Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Hakuna tukio muhimu katika historia ya Harakati za uhuru wa Tanganyika kama azimio la Mkutano mkuu wa TANU Tabora mwaka 1958 kushiriki katika uchaguzi wa kura tatu...azimio ambalo lilipitishwa kwa kupigiwa kura na wajumbe 60 kutoka majimbo yote ya Tanganyika. Kati ya kura hizo kura 60 zilizopigwa ni wajumbe 37 waliounga mkono azimio lililokuja kujulikana kama "decision of wisdom" na wajumbe 23 walipinga! Ni azimio hili lililomfanya Zuberi Mtemvu, publicity secretary wa TANU makao makuu, kuhama TANU na kuanzisha chama chake cha African Congress.

Pia ni mkutano huu wa Tabora uliowachagua wajumbe wanne kwenye baraza la LEGCO katika uchaguzi mwaka huo huo wa 1958. Hawa wajumbe walichaguliwa kuwawakilisha Watanganyika wenzao kwa uwezo na sifa zao na katu hawakuchaguliwa kwa misingi ya dini zao...Wajumbe hao ni;

  1. Julius Nyerere - Jimbo la Mashariki na makao makuu ya TANU.
  2. Solomon Eliufoo - Jimbo la Kaskazini
  3. John Mwakangale - Jimbo la Kusini
  4. Chief Abdalla Fundikira - Jimbo la Magharibi
Ni huo huo mwaka 1958, ndipo shaka na manung'uniko yalianza kujitokeza mioyoni mwa baadhi ya wana TANU, hasa wale wa dini ya Kiislaam kuwa Kanisa linaanza kuiteka TANU ambao ndio msingi wa madai ya Mohamed Said. ILI kukabiliana na hali hiyo chama cha Kiislaam, AMNUT, kikiongozwa na Chamwenyewe kilianzishwa kama LUKU dhidi ya spidi ya TANU. Ajabu ni kwamba mpaka kufikia hapo, kwa nini Abdulwahid Sykes, kiongozi asiye na mfanowe katika harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika, hatumsikii? Ni nani huyo, wakati huo, alizima ama kuficha habari/historia za wazee wake Mohamed Said wa Gerezani, Kipata na Kariakoo? Mohamed Said ni masalia tu ya AMNUT.

Kwa namna yoyote mtu anayejaribu kuwaweka kwenye mizani sawa Mwalimu Julius Nyerere na watu kama hao wazee wa Gerezani ni wa kupuuzwa. Somo tunalopata hapa ni kuwa kuna watu walianza kuwabagua Watanganyika wenzao wasio wa dini yao toka kabla ya uhuru na hata baada ya kukataliwa waliendeleza harakati zao hata baada ya uhuru...ni hawa Mohamed Said anawalilia na kujaribu kuwakweza na sisi wengine tunamkatalia kata kata. Ndio maana msimamo wangu kwake haubadiliki wala hauyumbi, Mohamed Said ni mchochezi na mtu hatari ambaye kama serikali isingekuwa dhaifu, angeshashughulikiwa zamani. Lakini masikini Tanganyika, mbegu aliyoipanda imeanza kuwazaa akina Ilunga, Ponda na Uamsho na bado!

5. Lawi Sijaona

6. Poul Bomani

7. George Kahama

8. John Ketto

Funguka zaidi hapo wanajamvi wakusome na mimi takuja na mpini kuhusu hawa uliowataja na hawa wengine ulikuwa umewasahu nimekuongezea.
 
ari? yako Bwana ADOYA najalibu kupitia mjadala wenu na mohamed nimzuri kwa lengo la kujenga lakini maswali ya wasomali ni kumtoa nje ya mada.
hivi una jua kwamba 1992 wamarekani waliburuzwa kwenye mitaa ya mogadishu hakukua na matatizo haya unayo yaona pale hila kwa sababu mataifa ya maghalibi khasa AMERICA hile somalia ni HORN of AFRICA ukikamata ni nzuri kwa military base ndio kwa maana yamewafika haya unayoyaona HATA SISI KAMA TUTAKATAA MASILAI FURANI YA AMERICA BASI YATATUFIKA YA WASOMALI,,

Tangu mwaka 1992 wasomalia walianza kupata mazila america walitumia kila hila pamoja ya kupandikiza makundi ya kigaidi ndani ya somalia.mpaka serikali ya somalia hikapinduliwa na wanaoitwa wa babe wavita ambao wanafadhiliwa na AMERICA.wakitumia sera za mabeberu wote ya divide and rule. makundi mbali mbali ya kaanzishwa chini ya koooo mbalimbali za kisomali zenye uchu ya utawala.na wengine wakijalibu kuhikomboa somalia kutoka kwenye mzozo au vita hiyo iliyo leta wasomalia wengi Tanzania nA SEHEMU NYINGINE DUNIANI.


1997..mwaka huu wasomali waliochoshwa na vita na mapingano Viongozi wakimira,wakoo na kidini wakaona nibora kukaa chini na kuangalia kwanini wauane wao kwa wao ? wakapata jibu ni kule kungawanyika kwao nini kitawarudisha pamoja? wakapata jibu ni dini yao kumbuka somalia 100% waislam. wakakubaliana wote wawechini ya kaulimbiu ya umoja wa kiislamu,ndipo hikaanzishwa mahakama ya kislam..

1999-mpaka kufikia mwaka huu hakukua na shida kwa mahakama zakislamu kuwaludisha wasomalia katika umoja wao kwani kundi moja tu ndio lililokataa kujiunga na mahkama za kislamu nalo ni wababe wa kivita.linalofadhiliwa na America vita hikawa ni vibaraka wa America ambao ni THE LORD of War na wa somalia chini ya uongozi wa mahakama za kiislam Wakati huu eneo dogo tu ndio lilokua navita ambalo wababewakivita walikua wana tawala.

2000-mahakama za kiislamu hili chukua eneo lote la somalia na somalia hikawa chini ya utawala wa kiislamu na wasomali wote wakawa kitu kimoja taifa moja na wale wilokuanje wakimbizi wakaanza kurudi somaria Historia INAONENESHA hakuna kipindi ambacho wasomalia waliludi somalia na wageni kwenda somalia kama kipindi hiki cha 1999- 2001.

2001-RAIS wa AMERICA wakati huo GEORGE BUSH akatangaza kuamba kona ya AFRICA inakaliwa na Magaidi na wao hawapati usingizi kwa sababu magaidi wana shikilia sehemu furani duniani vikaanza vikwazo somalia. vikifwatia na vita kali baina ya wasomalia na VIBARAKA WENGINE ETHOPIA...kwa masilahi ya marekani droon zikatumika

2003-ETHOPIA wanaingia somalia wakisaidiwa na America wasomali wanapambana na wavamizi kwako wewe ni kosa hilo
ajabu kweli hii kutete Taifa lako nikosa???

2004 somalia haikaliki tena mahakama za kiislamu zina angushwa na baazi ya viongozi wao wanakamatwa baadhi yao wana kubali matakwa ya AMERICA wanaachwa hai na waliobaki na msimamo wao wana uwawa.

2004-2005 AL-SHABAB tafsiri hisio rasmi(vijana shupavu) Inazaliwa baadhi ya viongozi vijana waliobaki wanabakia na msimamo usioteteleka zidi ya wavamizi wote walioingia somalia kwa masilahi ya marekani

2004-2005-Burundi ,Rwanda Uganda zinaingia Somalia kwa masilahi ya marekani

2010-Kenya inaingia kwa masilahi ya marekani

WASOMALI MATATIZO YAO NI KWA SABABU YA UZALENDO WAO.KWA NCHI YAO

MWISHO
 
Kijana usipende kudandia mambo wewe unadhani kila mtu kaja humu kushindana hii ni minakasha tu, mie nimeeleza hicho kitabu ambacho ni kweli kakiandika wewe unaleta habari za kukosa raha.

Acha unafki wewe.nani hajakusoma humu wewe kwamba unapigania Dini kwanza

Mmekosa amani na Mwanakijiji alivyowapuuza ndio mnazidi kuumia

Ile post yako si ya kinafki tu.
 


Sikiliza busara za Ritz

Nyambala atawezaje kupambana na hoja za sheikh Mohammed ikiwa mtu mdogotu kama mimi ameshaanza kususia kunijibu.
Kwanza naomba ile jadweli ya makabila na uwingi wao.Halafu kablahatujaanza kukuweka kundi moja na akina Nguruvi na Mwanakijiji waliokimbia mada kwa kushindwa hoja.Badonampa nafasi Nyambala ya kujisafisha mbele ya hadhira ya JF na pia kuweka recordsstraight kwa manufaa ya taifia letu .Naomba jibu hoja hii:

Nyambalaitakuwa una jawabu hilo.
Comeon! .Twende kazii….

Ha ha ha ha!!naona lile jibu limekuuma sana pamoja na wenzako...face it looser!!

Ushauri:
M-PM mwalimu wako hilo swali ndo amuulize Nyambala...nimekushauri tu sasa isije rudi na matusi
 
ari? yako Bwana ADOYA najalibu kupitia mjadala wenu na mohamed nimzuri kwa lengo la kujenga lakini maswali ya wasomali ni kumtoa nje ya mada.
hivi una jua kwamba 1992 wamarekani waliburuzwa kwenye mitaa ya mogadishu hakukua na matatizo haya unayo yaona pale hila kwa sababu mataifa ya maghalibi khasa AMERICA hile somalia ni HORN of AFRICA ukikamata ni nzuri kwa military base ndio kwa maana yamewafika haya unayoyaona HATA SISI KAMA TUTAKATAA MASILAI FURANI YA AMERICA BASI YATATUFIKA YA WASOMALI,,

Tangu mwaka 1992 wasomalia walianza kupata mazila america walitumia kila hila pamoja ya kupandikiza makundi ya kigaidi ndani ya somalia.mpaka serikali ya somalia hikapinduliwa na wanaoitwa wa babe wavita ambao wanafadhiliwa na AMERICA.wakitumia sera za mabeberu wote ya divide and rule. makundi mbali mbali ya kaanzishwa chini ya koooo mbalimbali za kisomali zenye uchu ya utawala.na wengine wakijalibu kuhikomboa somalia kutoka kwenye mzozo au vita hiyo iliyo leta wasomalia wengi Tanzania nA SEHEMU NYINGINE DUNIANI.


1997..mwaka huu wasomali waliochoshwa na vita na mapingano Viongozi wakimira,wakoo na kidini wakaona nibora kukaa chini na kuangalia kwanini wauane wao kwa wao ? wakapata jibu ni kule kungawanyika kwao nini kitawarudisha pamoja? wakapata jibu ni dini yao kumbuka somalia 100% waislam. wakakubaliana wote wawechini ya kaulimbiu ya umoja wa kiislamu,ndipo hikaanzishwa mahakama ya kislam..

1999-mpaka kufikia mwaka huu hakukua na shida kwa mahakama zakislamu kuwaludisha wasomalia katika umoja wao kwani kundi moja tu ndio lililokataa kujiunga na mahkama za kislamu nalo ni wababe wa kivita.linalofadhiliwa na America vita hikawa ni vibaraka wa America ambao ni THE LORD of War na wa somalia chini ya uongozi wa mahakama za kiislam Wakati huu eneo dogo tu ndio lilokua navita ambalo wababewakivita walikua wana tawala.

2000-mahakama za kiislamu hili chukua eneo lote la somalia na somalia hikawa chini ya utawala wa kiislamu na wasomali wote wakawa kitu kimoja taifa moja na wale wilokuanje wakimbizi wakaanza kurudi somaria Historia INAONENESHA hakuna kipindi ambacho wasomalia waliludi somalia na wageni kwenda somalia kama kipindi hiki cha 1999- 2001.

2001-RAIS wa AMERICA wakati huo GEORGE BUSH akatangaza kuamba kona ya AFRICA inakaliwa na Magaidi na wao hawapati usingizi kwa sababu magaidi wana shikilia sehemu furani duniani vikaanza vikwazo somalia. vikifwatia na vita kali baina ya wasomalia na VIBARAKA WENGINE ETHOPIA...kwa masilahi ya marekani droon zikatumika

2003-ETHOPIA wanaingia somalia wakisaidiwa na America wasomali wanapambana na wavamizi kwako wewe ni kosa hilo
ajabu kweli hii kutete Taifa lako nikosa???

2004 somalia haikaliki tena mahakama za kiislamu zina angushwa na baazi ya viongozi wao wanakamatwa baadhi yao wana kubali matakwa ya AMERICA wanaachwa hai na waliobaki na msimamo wao wana uwawa.

2004-2005 AL-SHABAB tafsiri hisio rasmi(vijana shupavu) Inazaliwa baadhi ya viongozi vijana waliobaki wanabakia na msimamo usioteteleka zidi ya wavamizi wote walioingia somalia kwa masilahi ya marekani

2004-2005-Burundi ,Rwanda Uganda zinaingia Somalia kwa masilahi ya marekani

2010-Kenya inaingia kwa masilahi ya marekani

WASOMALI MATATIZO YAO NI KWA SABABU YA UZALENDO WAO.KWA NCHI YAO

MWISHO

hii nimeipenda na takribani nchi zote za kiislam duniani zenye michafuko chanzo ni marekani lakini wale wasio kuwa waislam hupata la kusemea ati uislam dini ya vurugu na hutoa mifano kwa nchi zenye michafuko bila kujua chanzo cha mifarakano ni nini
 
Acha unafki wewe.nani hajakusoma humu wewe kwamba unapigania Dini kwanza

Mmekosa amani na Mwanakijiji alivyowapuuza ndio mnazidi kuumia

Ile post yako si ya kinafki tu.

Kauzu kama wewe upo humu kutetea Ukiristo wako hakuna cha zaidi mimi tena niwe mnafiki kwako? Wewe una nini humu zaidi ya kuimba mapambio.

Umeishajiuliza kwani hakuna hata Muislam mmoja anayekubaliana na hao watu wako unaowatetea, Mohamed ni mwiba kwenu wote nyie maadui wa Uislam na Waislam.

Na bado mtatokwa sana na mapovu, wewe endelea kuimba mapambio yako nimebebe nibembeleze, bomaee, bomaee, mnaitana majina mara google.

Mohamed Said habari ingine...
 
Tushukuru Mungu kuwa hatimaye baraza la ulaghai wa historia lililoanzishwa na WARSHA miaka karibu thelathini na kitu iliyopita sasa limevunjwa. Kwa miaka 15 Mohammed Said aliamini kabisa kuwa histohisia yake haiwezi kukosolewa na wala haipaswi kukosolewa lakini hatimaye sasa inakosolewa hadharani na watu waliofungwa minyororo ya ulaghai huo wa historia minyororo hiyo inaachia; pingili, baada ya pingili!!

Na msemo kuwa kweli itawaweka uhuru una maana kweli kweli!!
Kumbuka kuwa kitabu cha Mohamed Said ni cha kitaluma (academic). Hivyo kwa msomi yoyote anaelewa kuwa kitabu cha kitaluma uandishi wake natanguliwa na utafiti. Sasa kwa kukusaidia hapa NAKUELEZA KITU CHOCHOTE CHA KITAALUMA KINAPINGWA KITAALUMA kwa mana na wewe andika kitabu chako kupingana na hichi cha Mohamed Said kama unao uwezo lakin kukosoa hapa JF utakuwa uitendei haki jamii kama unahisi kuna pahala ailimpuruchuka. Tunasubiri kitabu chako kukosoa haya ya Ms
 
JokaKuu,tunapokuwa tunafanya analysis ya maandishi yake ni kujaribu kuuonyesha umma kile kilichofichika kama ulivyodadavua hapa. Hili la conclusion nadhani ndilo tatizo lake kubwa.

Mfano, yeye na WARSHA walikaa wakafikia conclusion kuwa wanafunzi wa kiislam wanaonewa.
Pakuanzia ni kutafuta takwimu za waliomaliza Darsa la saba. Zikatafutwa za miaka kadha zikapikwa pikwa matokeo yake ni yale ya kuwa na muslims vs christian na kisha kukimbia chumbani na kubadilisha muslims vs non muslim.
Pamoja na kupika bado ukweli unawakana akina Mohamed.

Ukisoma post yangu ya mwisho kabla ya hii utaona Mohamed alivyojaribu sana kumdhalilisha Nyerere, si kwasababu Nyerere ni mbaya bali ni kutaka kumkweza Abdul Sykes.

Ameandika kuhusu uchaguzi wa TAA kwakweli amejikanyaga ni aibu tupu.
Anatuletea habari za Dosa na watu wawili watatu kuhusu nini kilitokea ndani ya Anatouglo.
Returning officer Phombeah hakuwasiliana naye kwasababu angesema kile Mohamed asichotaka kusikia.

Soma makala za akina MWapachu, utaona jinsi walivyokuwa karibu sana na Mwalim.
Hawa akina Sykes wanaosemwa wametupwa si kweli.
Hamza Azizi alipewa kwa sababu ya heshima ya mzee Dosa.
Hamza alipata ajali hilo Mo halisemi anachokisema ni sheikh Amir kufukuzwa bila sababu!!

Hakika uzi huu umefumua kitabu cha Mohamed vibaya sana, kwa mwenye kusoma kwa akili itamchukua miaka kufikiria kurudi dukani kununua toleo lingine. It's obvious habari hizi ni za kupika zimetafutiwa data za kupika halafu zinaletwa.

Majaribio matatu ya kutupa namba hapa yameshindwa. Failure, kwasababu hesabu hazina ujanja ni ima upo sawa au umekosea. Jaribio la Takwimu limefeli, Jaribio la sensa 1967 limefeli, Jaribio la sensa 1957 limefeli.

The bottom line hizi ni habari za kupika za WARSHA ya akina Mohamed, Dau na Njozi. No more no less, uchonganishi, fitna,farki na husuda wakitumia mwamvuli wa dini. Pathetic and immoral

Kundi hili ndilo linaanda umwagikaji wa damu nchini. Ni kundi hatari sana kwasababu lina wasomi wanaotumia elimu yao vibaya kuihujumu jamii wala si kuisadia. Kundi hili ni advance Boko au Alshaabab to be honest.
Hizi vurugu zote mnazoziona ni kundi la Mohamed, ndio maana huwezi kutenga umwagikaji damu na akina
MO.
Nakubaliana na wewe kwa upande fulani kwani MS amesaidia sana kwa waislam kuweza kugundua hujma walizokuwa wanafanyiwa na wenzao wakristo. Lakin pia utafiti wake na kitabu chake kimewezesha wakristo nao kuweza kugundua waislam nao kumbe wamegundua na sasa kinachofuata ni kuwapaka matope wale wasomi wa kiislam wanaosema kweli. Jiulize nayo kadhia ya kuchinja ni MS pia kaipandikiza. Kwa wasomi tunaamini hakuna dhulma yenye kudumu suluhisho hapo ni kukaa pamoja kuunda tume ya maelewano na maridhiano ili msonge mbele salama kinyume chyake moshi mnaouficha moto utawaumbua
 
Sheikh Mohammed Bin Said Al Darisalama,
Asalaam Alaykum. Niwie radhi nilipotea kidogo maana nilikanyaga "chechere"!ahahaa!! Nimejaribu kupitia hapa na nimeona yaliyomo. Pole saana ndugu yangu,maana naona sasa imefikia unahusishwa na Muslim Brotherhood,ati muhamasishaji wa mauaji,mtamani damu za waTanzania,usopenda amani na kadhaa!! Insha Allah Mola takuongezea sabra!
Naona mpaka huu mpambano ukesha kila mtu atakua taabani kwa majiti ya roho na kuadhiriana kuso maana. Itakua kama ile "Thriller in Manila",baada ya ule mpambano kwisha ikawa woote Ali na Frazier taabani!ahaha!!

Ama kwa hakika,"usolijua litakusumbua". Maana jamaa wengine wana ile popular misconception kuhusu Hassan Al Bana na Muslim Brotherhood kwa ujumla. Lakini tusiwalaumu sana,maana hizo ndio athari na propaganda za Wikipedia,Google,CNN,Fox News,State Dept. British Council,Think Tanks za kina Neo-Cons,the so called "Orientalists",and many other western main stream-media.
Nafikiri utakumbuka Edward Said aliyaeleza yoote haya kwa undani na mpaka akataka kufumua ile myth ya Segmund Freud. Na ndipo pale Dershowitz na LOBBY wakaingilia kati na kuanza kumwandama! Insha Allah kuna mengi ya kunena penye majaaliwa!

Hao wanaokufananisha na Muslim Brotherhood au kukuita mfia dini,mbona hawayasemi machafu ya American Evangelism huko "Bible Belt" Amerika na connections zao kuanzia Uganda mpaka hapo Tanzania!? Basi wale ndo wafia dini na mwenzao "Nabii" Joseph Konyi!

Ile Visa yako ya Schengen ingekufikisha mpaka kizingitini pangu bila matata. Insha Allah nakukaribisha saana!!
Nilishakuhisi lazim utakua na maradhi ya Mozart!ahaha!! Penye uhai siku moja takupeleka pale "Mozarthaus Wienna".
Jana nalikua nikimsikiza mkongwe Abdilaalim Al Hafiz Shabana,basi nikamkumbuka Bwana Kadogoo na starehe zake pale Cairo!ahaha!!
Salaam saana mabwana Ami,Ritz,The Big Show na Boko Haram; waambie naviona virungu vyao humu, imekua hawakamatiki wala hawashikiki!ahaha!! Ile habari ya mapaka shume wa kwenye ma-Bar na Pubs na mambo ya Chakubimbi!ahaha!! Wallahi nimecheka pita kiasi maana kuna maneno mengine nilishayasahu miaka mingi!
Wallahi humu ndani kuna kadhaa na kidhaa!!
Ahsanta na ukae salama.
 
Kumbuka kuwa kitabu cha Mohamed Said ni cha kitaluma (academic). Hivyo kwa msomi yoyote anaelewa kuwa kitabu cha kitaluma uandishi wake natanguliwa na utafiti. Sasa kwa kukusaidia hapa NAKUELEZA KITU CHOCHOTE CHA KITAALUMA KINAPINGWA KITAALUMA kwa mana na wewe andika kitabu chako kupingana na hichi cha Mohamed Said kama unao uwezo lakin kukosoa hapa JF utakuwa uitendei haki jamii kama unahisi kuna pahala ailimpuruchuka. Tunasubiri kitabu chako kukosoa haya ya Ms


Anadhani tamthilia zake za mapenzi zinaweza kulandana na UTAFITI wa kihistoria uliotukuka wa Moh Said..
Mufilisi ni Mufilisi tuh..
 
Wale paka wapenda vya bwerere wanaoshinda shinda kwenye Ma-Bar kwa kuangalia wateja wanaoukula nyama choma kwa macho ya kutia huruma ili waonewe huruma na kurushiwa makombo ya mifupa ili wajaze matumbo yao wanalandana moja kwa moja na upande wa pili wa hawa jamaa wanaompinga Moh Said,wanachokifanya ni kusubiri point wanazohisi hizi tunaweza kumvamia Moh Said na kuzitia naksh naksh ili kuwathibitishia watazamaji kuwa Moh Said ni mzushi,lakin hadi hapa wamefeli,wameshindwa kabisa kuonesha uchocheza wa Moh Said ,na wanachofanya ni kudandia dandia hofa mbali mbali mfu ili kupata kwa kutokea, waache waendelee kuokota mifupa,sisi tunakula nyama mifupa twawaachia wao wazid kunenepeana wapenda vya bwerere hao..

Big show, siamini kama Mzee Ms ni mzushi per se, lkn ni hakika kuwa Mzee Ms hakufanya kazi yake kisomi,bali aliongozwa na chuki na udini.
Hatumtetei Nyerere kuwa hakufanya makosa, alijitahidi sana kwa maslahi ya Watanzania leo, alichukua maamuzi magumu dhidi ya Kanisa, lkn ajabu Mzee Ms hataki kukubali hili, anaona kuwa ni Waislamu pekee ndio waliolengwa na kuathiriwa na utawala wa Nyerere.
 
Unamuongelea Mzee Mwanakijiji!?mimi Mwanakijiji na wa aina yake ndo wanaonifanya niendelee kufatilia hii thread,nimejifunza mengi kwao

Na nilifikiri umenipuuza!?

Kinachonishangaza ni kuona jinsi Mzee Ms anavyoaminiwa kwa kila bandiko lake na jinsi ambavyo kuna wadau ambao wako tayari kumtetea hata pale alipopotosha!
Ujinga mtupu!
 
Big show, siamini kama Mzee Ms ni mzushi per se, lkn ni hakika kuwa Mzee Ms hakufanya kazi yake kisomi,bali aliongozwa na chuki na udini.
Hatumtetei Nyerere kuwa hakufanya makosa, alijitahidi sana kwa maslahi ya Watanzania leo, alichukua maamuzi magumu dhidi ya Kanisa, lkn ajabu Mzee Ms hataki kukubali hili, anaona kuwa ni Waislamu pekee ndio waliolengwa na kuathiriwa na utawala wa Nyerere.


:nono::nono:

Si kweli Mohamed Said,hajamdharau wala kumdhalilisha,wala kubeza juhuzi za nyerere,fuatilia kuanzia mwanzo wa page ya kwanza hadi sasa page ya 565 utaona ya kwamba alichokifanya Moh said ni kueleza historia ya wale waliosahaulika..
Sasa kwa kuwa wale waliosahaulika wengi wao wameonekana kuwa ni waislam kwa namna moja ama nyingine,na yeye Moh said kuonekana kuwa ni muislam basi nyinyi mkalibatiza hili moja kwa moja kama ni jihad kubwa inafanyika hapa..
Lakini katika kuongezea hapo hapo,Moh Said haongei hayo bila ushahid,bila rejea,ameweka rejea nyingi kwa watu wafanyie utafiti wao binafsi na wajirizishe lakini walichoambulia ni kuona uchochez na maneno ya kupikwa..
Ndio tukawaambia sasa kama hao wanaona ni upotoshaji basi wapuuze ama waandike maandiko yao ili jamii ielewe uhalisia,kukaa kutegemea JF haisadii kwani ni wachache wenye kuweza kufatilia minakasha kama hii na kuelewa uhalisia ulivyo,utafit hupingwa kwa utafiti..
wao wanadhani kwa kukaa hapa jukwaani 24/7 and 365,basi watasaidia kuufanya ukweli huu usisemwe au jamii isisome kilichoandikwa na Moh Said,wanajidanganya sana..
Sisi tusharidhika kwa tulichokifaham,na tumepima ukweli na uhalisia wa pande zote,uchochez hatuuoni,na udini haupatikani kwa kusemwa kwa ukweli hata kidogo,hata siku moja..
 
Last edited by a moderator:
Nyambala,
Nashukuru kwa yale maelekezo yako. Na muhimu ni jinsi unavyojitahidi to see things outside the box,I'm also impressed with the way you try to apply critical thinking in a broader perspective.
Picha uloambatanisha,ama kwa hakika zimenitia jakaroho na simanzi nyingi.

However,I still believe that Mohammed Said has a right here, firstly as a Scholar/Historian(I also appreciate that right comes with responsibility and I'm sure Mohammed Said is more than aware of that) to share his findings which so far I have no doubt been thoroughly researched and closely scrutinized. Also he has similar right to express his feelings honestly as a Tanganyikan/Tanzanian.

I entirely agree with your suggestion that,moving forward we should try and create positive atmosphere for dialogue and engagement as well as to have that sense of responsibility as individuals! I don't wanna go too much and sound bit patronising!ahaha!! But seriously, is vital that we recognise and appreciate our many differences. I hope that pretty soon we reach a desireable solution. Which must be suitable and beneficial to both/all waTanganyika and waZanzibary. Any solution,recommendations,proposal or advice must comprise among many other things;respect to our set of values and faith,elders and disability rights, implementation of equal rights to all without discriminating against tribal/political affiliations,skin colour,creed,gender also equal access to quality education,equal social and economic mobility for all!! I know the list is never ending!!ahaha!!

I think,thus why most of us are here,and probably this is just one of many positive initiatives currently undertaken!? I always believe that it is a blessing to mould together different opinions,ideas,set of skills,thoughts and values.

Furthermore,I appreciate and reliaze that some people in here don't agree with Mohammed Said,or for some reason/s seems to have different opinions(not concrete facts though!). Great!!
This is the best possible outcome for any healthy,mature,civilized and constructive argument/dialogue au mnakasha.

Tusisahau tulikotokea,maana wakti ule midahala kama hii ilikua ni kama ndoto tu!

As I mentioned before,I still agree with many aspects of Mohammed Said's writtings and findings but not blindly though, as you once suggested in one of your comments. I can assure you that I am not easily conviced person.
So for some people to try so hard just merely denounce him without any credible evidence,historical connection or proven/researched writtings. I find it very cheap,barbaric propaganda,social and historical illiterate and above all preposterous!

Nahisi kama tutaendelea hivi isijetokea kama yale yalowakuta wenzetu wa Sudan.
Nchi yao kukatwa mapande mawili ati kumaliza "mgogoro",ilihali hao mahasidi wa "mataifa ya magharibi" na baadhi ya mashoga zao kutoka baadhi ya nchi "fulani" za kiarabu wakijua kuwa issue yenyewe iko very complex(more than just what an eye can see!). Zikafanyika ila,fitna,uchochezi,ghilba na mengineyo mengi kuonyesha kuwa tatizo ati ni baina ya Uislamu/"Waarabu" na Ukristo/"Waafrika"!? Hebu fikiri mpaka leo hii karne ya 21 mabaradhuli wa kizungu ndo wanatupangia definition na interpretation of being Black and/or an Afrikan!? They always seems to forget that as non white ,we are blessed with different skin complexions and shades.
"Mgogoro" wa Sudan hakufuatilia vipengele kadhaa na muhimu in International Conflict Resolutions and Mechanism. Lakini haya tuyaache maana si yeetu,lakini ni mfano ulotokea hivi karibuni. Na mindhali hapo pashaambiwa pana Gas na Oil,inalazim tujihadhari saana na kushikamana na kumaliza migogoro iliyopo baina yeetu kwa ustaarabu ndo vyema!
The truth is Sudan mpaka leo pana matata(japo kwa sasa yametulia kidogo!?),huko South Sudan,Darfur na kwingineko. Sheikh Dr. Hassan Al Turabi mpaka leo analia maskini kwa machungu!!
Ma-Cooperate Bankers na makampuni kadhaa ya wale wahuni wa Wall Street ati ndo wamekua wanunuzi wa maelfu ya hekari za ardhi huko South Sudan. Wanajiita ati wawekezaji,wengine hawajawahi hata kutia mguu kwenye hiyo nchi!?ahaha!! Hao Natives wenyewe walopata huo "uhuru" hali zao taabani wanaishi kwa dhiki kwa "misaada" ya Makanisa/NGOs,na wengine mpaka leo bado wamo misituni. Kuna wachache ndo wananeemeka na shughuli zao kubwa ni kusaini mikataba ya kunakamisha nchi yao(social engineering in the making;class system/elitism).

Kwa mfano huo mdogo na uchechefu wangu,nashauri nasi tujihadhari na hasama zisizo tija wala busara. Tusikizane malalamiko yetu yoote yaliyopo na tujaribu kuyatatua kwa pamoja,amani na utulivu kama tulivyorithi toka kwa Mababu zeetu!

Ps: Kwa wale wenzangu kama mimi wa Madrasa na wavivu wa kusoma tafadhali mniwie radhi maana khutba imekua ndefu mno!ahahaha!!

JokaKuu: Wewe mkorofi saana,nilihisi lazim wewe ndio ungekuja na ile habari ya Hamza Aziz!ahaha!! Tafadhalini jamani haya mambo si mazuri,maana tunatia walokuwamo na wasokuwamo na kuvunjia hishma ndugu,jamaa na wazee wetu soote!!

Wickama: Thanx I noted your little comment on me,but I felt little bit violated for that "queer" thing!?ahaha!! Never mind tuko pamoja!

cc; Sheikh Mohammed Said,Ritz,Boko Haram, Ami,JokaKuu,Kadogoo,The Big Show
 
Acha unafki wewe.nani hajakusoma humu wewe kwamba unapigania Dini kwanza

Mmekosa amani na Mwanakijiji alivyowapuuza ndio mnazidi kuumia

Ile post yako si ya kinafki tu.

Juzi nimemsikia mzee wa upako anasema wachungaji kumi wameacha kazi ya uchungaji kwa kuwa hakuna waumini wanaowasapoti. Pia kuna kanisa moja mwenyewe kaliuza kakimbia nchi. Nimefurahi watu wanaamka sasa, wanayakimbia makanisa. Nadhani Ukristo unaelekea kuzama/kufa tanzania kama ilivyo nchi za ulaya. Lakini uislamu unazidi kukuwa.Muislamu yoyote kwanza dini yake. Dini kwa muislamu ni muhimu sana kuliko chochote.Hii ni kwa sababu dini ndio itakayomuokoa na adhabu za allah huko twendako kwenye maisha ya kudumu/milele. Naomba kufikisha ujumbe wangu kwa wasiokuwa waislamu wote. Akhera hamtatambulika na dini zenu hizo. Ni kuchomwa tu ambapo mtakuwa kuni nyinyi na mawe. nishafikisha ujumbe. Jisalimisheni kabla ya kifo.
 
:nono::nono:

Si kweli Mohamed Said,hajamdharau wala kumdhalilisha,wala kubeza juhuzi za nyerere,fuatilia kuanzia mwanzo wa page ya kwanza hadi sasa page ya 565 utaona ya kwamba alichokifanya Moh said ni kueleza historia ya wale waliosahaulika..
Sasa kwa kuwa wale waliosahaulika wengi wao wameonekana kuwa ni waislam kwa namna moja ama nyingine,na yeye Moh said kuonekana kuwa ni muislam basi nyinyi mkalibatiza hili moja kwa moja kama ni jihad kubwa inafanyika hapa..
Lakini katika kuongezea hapo hapo,Moh Said haongei hayo bila ushahid,bila rejea,ameweka rejea nyingi kwa watu wafanyie utafiti wao binafsi na wajirizishe lakini walichoambulia ni kuona uchochez na maneno ya kupikwa..
Ndio tukawaambia sasa kama hao wanaona ni upotoshaji basi wapuuze ama waandike maandiko yao ili jamii ielewe uhalisia,kukaa kutegemea JF haisadii kwani ni wachache wenye kuweza kufatilia minakasha kama hii na kuelewa uhalisia ulivyo,utafit hupingwa kwa utafiti..
wao wanadhani kwa kukaa hapa jukwaani 24/7 and 365,basi watasaidia kuufanya ukweli huu usisemwe au jamii isisome kilichoandikwa na Moh Said,wanajidanganya sana..
Sisi tusharidhika kwa tulichokifaham,na tumepima ukweli na uhalisia wa pande zote,uchochez hatuuoni,na udini haupatikani kwa kusemwa kwa ukweli hata kidogo,hata siku moja..
THE BIG SHOW.
Hawa watu wana matatizo sana hata uwaeleze vipi hawaelewi mara mzee MS mchochezi mara mnafiki mara mpumbavu na siku zote ukimuona mtu anatukana katika mazungumzo ujue huyo mtu kashindwa kwahiyo anataka na wewe umtukane ili wote muonekane ni majahil juhal, lakini mzee MS kwa busara zake wala hawajibu anawamaliza kwa ukweli wa mambo japo kuwa hawataki kwamfano kuna mtu unaweza kumwambia lile ni jua na anaona lile ni jua lakini kwa upumbavu wake na ubishi wake na ushabiki wake anakwambia ile ni nyota na povu linamtoka mtu kama huyo unatakiwa umpuuze kama kwenye huu mnakasha kuna kina ABUU JAHAL wengi sana!
 
According to the 1957population census, Muslims outnumbered Christians at a ratio of three to two.This means Tanzania is a leading Muslim nation in the region. But the 1967census the total figures for Tanzania Mainland are 32% Christian, 30% Muslimand 37% local belief. This shows Pagans as a leading majority. The 1967 census hasnot been able to show the reasons for the sudden decrease of Muslim populationnor the growth of Paganism. This was the last population census showing religiousdistribution. It is widely believed that the figures for the 1967 census weredoctored for political reasons to show Muslims were trailing behind Christiansin numerical strength.
Ha ha ha ha!!naona lile jibu limekuuma sana pamoja na wenzako...face it looser!!

Ushauri:
M-PM mwalimu wako hilo swali ndo amuulize Nyambala...nimekushauri tu sasa isije rudi na matusi
Akili gani hiyo rako ya kushikiwa!.
Yaani Nyambala kakimbia kwa kushindwa kuendelea na hoja halafu wewe unataka mimi nimPM sheikh Mohammed ili amuulize tena hilo swali ambalo tayari ameliona.Itasaidia nini?.
Kama unaweza jibu wewe au muombe Nyambala arudi ajibu kuweka
records straight.
Waislamu tumesema tunataka mahakama ya kadhi na nchi ijiunge na OIC lakini serikali inasema waulizwe na maaskofu wanasemaje.Mzunguko wote huo wa nini? wakati kitu kiko wazi kila mmoja anakiona.
 
Kumbuka kuwa kitabu cha Mohamed Said ni cha kitaluma (academic). Hivyo kwa msomi yoyote anaelewa kuwa kitabu cha kitaluma uandishi wake natanguliwa na utafiti. Sasa kwa kukusaidia hapa NAKUELEZA KITU CHOCHOTE CHA KITAALUMA KINAPINGWA KITAALUMA kwa mana na wewe andika kitabu chako kupingana na hichi cha Mohamed Said kama unao uwezo lakin kukosoa hapa JF utakuwa uitendei haki jamii kama unahisi kuna pahala ailimpuruchuka. Tunasubiri kitabu chako kukosoa haya ya Ms

Mkuu Barubaru hapo umeongea point na huyu MM anakitabu chake cha mapenzi kiko sokoni sasa namshangaa anapambana na mtu ambae ameandika kitabu chenye historia sahihi sasa mwandishi wa historia na mwandishi wa kitabu cha mapenzi wapi na wapi, umbali kati ya Mwanakijiji na mzee MS ni sawa na umbali kati ya mchanga na nyota.
 
Wana jf,

Moh Said anapindisha wazi ukweli wa mambo,

Hapo awali hapa na kwenye kitabu chake amesema wazi kuwa kanisa lilipinga waamini wake kujiunga na tanu,

Kumbuka wazi kuwa TANU imezaliwa 1954, ikiwa ni mwaka mmoja tangu Julius Nyerere akutane kwa faragha na kasisi Maranta,

Na mwaka uliofuata kanisa likaisaidia TANU kumsafirisha Mwalimu Nyerere kwenda UNO akipitia Londan,

Lakini Mohamed kadiri tulivyombana amebadili maneno yake na kusema kuwa kanisa liligharimia safari ya pili ya Mwalimu kwenda UNO,

Zingatieni kuwa Moh alishasema kuwa kanisa lilikuwa adui wa TANU, hii akimaanisha kuwa TANU ilikuwa ya wenyewe (waislam).

Vuta picha adui anageuka kuwa msamaria na kumsaidia TANU apate uhuru?


Lakini yote kwa yote, Mohamed hajautaja mchango huo wa kanisa wala hakumtaja Shehe Issa bin Amir mmoja wa viungo muhimu vya mapambano ya watanganyika kudai uhuru, huyu alikuwa bega kwa bega na Padre Maranta.


Je lengo la Mohamed ni nini?
 
Back
Top Bottom