Wewe ndie uliyeutangazia ulimwengu kuwa Tanzania niyamfumo kristu,
Sasa tukihoji kuwa mtu huyo wa kigeni alifikaje nchini kufanya kazi za uislamu? Wewe unatuambia tukahiji wizara????????? Inaingia akilini mkuu?
Wanajamvi naomba msaada kidogo,kuna mahali nimesoma Mohamed anasema Tanzania haijiungi na taasisi za kiislam kama OIC na hata ''commonwelath'' kwasababu ya mfumokristo hautaki.Nguruvi,
Swali lako umelielekeza sipo.Hayo ni ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Nguruvi3 said:Kwahiyo baada ya mkataba wake kwisha alirudi Burundi. Kuna mahali anaunganishwa unganishwa sana na harakati za waasi. Anyway sijui. Sasa ilikuwaje huyu alikuwa anaratibu shughuli za ndani za misikiti kupanga mikakati akiwa mfanyakazi tu wa washirika la ''Kimataifa''.
Na hawa world muslim league waliwezaje kuingia na kufanya shughuli hapa nchini maana kwa maandiko yako Tanzania ikiwa chini ya mfumo hairuhusu kujiunga na mashirika ya kiislam.
Hawa World Muslim league walikuwa wanafanya shughuli gani kiasi kwamba mfumokrkristo ambao hauruhusu Tanzania kuwa na mahusiano na mashirika ya dini ya kiislam ukawasahau.
Na vipi huyu mfanyakazi wa kigeni aliweza kumiliki Nyumba na kujihusisha na shughuli za harakati za waislam nchini.
Mohamed, hili tuliweke sawa lisije likaleta utata kwa vizazi vijavyo kama la EAMWS.
cc @Mwanakijiji, @Mag3, @JokaKuu, @Jasusi, @Ritz, @Platoozom, @Wickama, @Raphaerl, @The Big show
Wanajamvi naomba msaada kidogo,kuna mahali nimesoma Mohamed anasema Tanzania haijiungi na taasisi za kiislam kama OIC na hata ''commonwelath'' kwasababu ya mfumokristo hautaki.
Sasa hili la World Muslim league kufanya kazi Tanzania liliwezekana vipi.
Tena mkuu wake alikuwa mtu wa Burundi ingawa kuna ''Utanzania'' kwa namna fulani.
Anyway,nifungueni macho kwa hili. Naona kuna kitu labda sielewi.
JASUSI:
Wewe huwa unaamini na kukubali anayosema Dr. Slaa?
Usilolijua ni kama usiku wa giza...kwa nini huwezi kukaa kimya ukisoma tu kama kitu hukijui? Tulia kijana mambo yanakuja, hii tabia ya kurukia hata usivyovielewa ni hatari kubwa...bila shaka huyo Rukara hata hukuwahi kumsikia!Mi nadhani kabla hujasaidiwa, ungetufahamisha kwanza World Muslim na OIC ni nini? na nini maana ya Mkuu wake ni Mburundi ingawa kuna UTZ kwa namna fulani?
Usilolijua ni kama usiku wa giza...kwa nini huwezi kukaa kimya ukisoma tu kama kitu hukijui? Tulia kijana mambo yanakuja, hii tabia ya kurukia hata usivyovielewa ni hatari kubwa...bila shaka huyo Rukara hata hukuwahi kumsikia!
Mengi anayoyasema yana ukweli. Unakumbuka alipotangaza orodha ya mafisadi 11? Watu walimwita majina ya ajabu sana. Lakini baadaye imegundulika kuwa ni kweli CCM inatuibia hela zetu benki kuu kwa ajili ya uchaguzi. Wewe mtu kama huyo utampuuza kweli?
Sidhani kama ni mhariri wa Annur, najua huwa anatuma makala zake na hata za vitabu vyake ziliandikwa sana mle.
Pia hutumia gazeti hilo katika mobilization ya mambo kama maandamano Ijumaa, tuhuma tuhuma, kutukana tukana viongozi na kudhalilisha kidogo n.k.
Na wakati ule akiwa WARSHA hicho ndicho kilikuwa chombo chao kama sikosei.
Ni kwamba ana mahusiano makubwa na gazeti Lakini kwamba ni mhariri sidhani kwakweli. Hili siamini kama ni mhariri!
Kadogoo,Katika hayo machache ya uongo miongoni mwa mengi yenye ukweli kama la kukamatwa kontena la kura bandia mpakani na Zambia na la yeye alishinda urais mwaka 2010 ni miongoni mwa uongo huo? au haya ni miongoni mwa ukweli wake au unaweza kututajia mfano mmoja tu wa machache ya uongo wake?
Nadhani WARSHA walikuwa wanatumia gazeti likiitwa MIZANI. Naikumbuka makala moja ilikuwa imekaa ki-Moh Moh mwaka 1992 ikilalamikia kuanzishwa kwa uchangiaji elimu ya juu, na kudai kuwa ilikuwa ni kufunga milango ya Elimu kwa waislam. Katika makala hiyo walilalamikia na tangazo la redioni, lile la " mimi maimuna, nasema mimi maimuna"
Wanajamvi naomba msaada kidogo,kuna mahali nimesoma Mohamed anasema Tanzania haijiungi na taasisi za kiislam kama OIC na hata ''commonwelath'' kwasababu ya mfumokristo hautaki.
Sasa hili la World Muslim league kufanya kazi Tanzania liliwezekana vipi.
Tena mkuu wake alikuwa mtu wa Burundi ingawa kuna ''Utanzania'' kwa namna fulani.
Anyway,nifungueni macho kwa hili. Naona kuna kitu labda sielewi.
Sasa JF imehamia bungeni maswali ya papo kwa papo! Waziri Mkuu ni nani?
Kadogoo,Jokakuu,
Hivi Wafanyabiashara huwa wanawezeshwa au kupewa ruzuku na Serikali? Hapa panazungumzwa hali ya Serikali kupendelea dini moja dhidi ya dini zingine usichanganye mambo!
Mohamed, hapa kuna vitu viwili.Nguruvi, Jamaa yangu anasena nakimbia maswali ya Rukara na World Muslim League na OIC.Afahamu tu ni katika ustaarabu mtu kusema lile unalolijua.Usilolijua unasema kuwa hujui.Wanaosajili mambo kama hayo ni Wizara ya Mambo ya Ndani na wao ndiyo walowapotasjila.Vipi mimi nizungumzie kile nisichojua?
Kwaushahidi wako huu kuwa Wizara ilitoa kibali tena ni ushahidi wa kimaandishi bado unaamini Tanzania ni yamfumo kristu kama unavyoendelea kuhadhiri?Nguruvi,
Jamaa yangu anasena nakimbia maswali ya Rukara na World Muslim League na OIC.
Afahamu tu ni katika ustaarabu mtu kusema lile unalolijua.
Usilolijua unasema kuwa hujui.
Wanaosajili mambo kama hayo ni Wizara ya Mambo ya Ndani na wao ndiyo walowapo
tasjila.
Vipi mimi nizungumzie kile nisichojua?
Mohamed, hapa kuna vitu viwili.
1. Rukara na harakati akiwa mfanyakazi wa shirika la kimataifa na akiwa si Mtanzania
2. World Muslim League na shughuli zake na kama ni shirika la kliislam
Hilo la kwanza tuliache kwanza kwasababu muda ukiwadia tutalijadili
Hili la pili ndilo haswa tunataka tufahamu. Je, unakubali kuwa World Muslim League ni shirika linalojihusisha na mambo ya waislam na je, linafanya kazi Tanzania?
Hili halihitaji wizara ya mambo ya ndani, lipo katika uwezo wetu na ndilo tulijadili.
Mhh, Mohamed huyu sheikh Rukara hakuwepo hapo kariakoo kweli na ofisi zake. Ni wewe umesema Rukara alikuwa na world muslim league na ninakubaliana nawe kabisa.Nguruvi,
Tujadili mambo yetu.WML hawapo tz na huyo Rukara halikadhalika.