Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar



Nguruvi kwahaya maneno nimekubali uko vizuri :yo::yo::yo: na wewe naomba ukubali mzee MS yuko vizuri hata kama umeona kuna makosa kwenye historia yake yeye ni binadamu kwasababu kitabu chake si msahafu ninacho kushauri huu mnakasha tuendenao kwa ustaarabu bila madharau kwasababu ziko pande mbili hapa lakini kunaupande ambao unadharau upande mwingine eti kwasababu wanasoma madrasa hilo sio jambo lilotuleta kwenye huu mnakasha kwahiyo respect ni kitu muhimu sana sawa mkubwa[/QUOTE]

Nifurahishwa sana na maungamo haya. Binafsi nimeshawahi kuungama kuwa ni afadhali nimsome Sheikh Said kuliko kusoma Annur (ingawa Sheik Said hakupenda kauli yangu ya kumtenganisha yeye na Annur).
Hapa sikuikataa kazi nzima ya Sheikh Said, tatizo lake ni pale anapounganisha matatizo ya Waislamu na kudai tatizo la yote ni Nyerere na Ukristo wake na Wakristo!
Najiuliza hivi, kwa nini Waislamu wengi linapitokea tatizo kwenye Uislamu basi sababu au Mchawi wao ni Ukristo? Bila shaka haya ndio matokeo ya "elimu" inayotolewa kwa umma wa Waislamu nchini na Wahadhiri wengi na Sheikh hujiingiza humo kwa makusudi. Hatoi suluhisho ila kunogesha chuki za kidini!
 
Hiki kitabu ndio kimenifikia leo kikiwa miongoni mwa vile vitabu nilivyokuwa nimeagiza; kingine ni Tanganyika Under German Rule... Kumbe kina Kleist hawakusahauliwa na historia... wametajwa sehemu nyingi tu...

Duh! Miaka yote hiyo hukupata kuwasoma waakina Kleist wakitajwa "sehemu nyingi" mpaka leo hii ulipopata hicho kitabu tena kwa kushauriwa na huyo huyo unayompiga vita?
 
Ritz kapewa likizo atarudi baada ya likizo
 
Duh! Miaka yote hiyo hukupata kuwasoma waakina Kleist wakitajwa "sehemu nyingi" mpaka leo hii ulipopata hicho kitabu tena kwa kushauriwa na huyo huyo unayompiga vita?
You have missed the point mr. Kudadeki. Mohamed Said alitaka kutuaminisha kuwa bila yeye akina Kleist wangesahaulika katika historia.
 

The Big Show,

Salaam,Al Akhiy.

Wallahi nakupongeza kwa umahiri wako uso mfano. Tangia weekend nilikua nakusoma na kukufuatilia kwa makini minyambulisho na maporomoko ya bayana zako hususan kwenye hii "The Escape Route".
Ama kwa hakika ume-summarize hizi tafran zoote za huu mnakasha, tena kwa ustadi na utuvu wa kina kama dasturi yako.
Hata huu mnakasha umekua dhaifu sasa kwayo ulonena,ilobaki hapa sasa ni wingi wa fadhaa na ile "inadi ya mbwa koko".

Mola takulipa fadhila zako pamoja na Maalim wetu Sheikh Mohammed Said Insha Allah.

Ahsanta.
 
You have missed the point mr. Kudadeki. Mohamed Said alitaka kutuaminisha kuwa bila yeye akina Kleist wangesahaulika katika historia.
Mohamed Said anataka historia ya TANU ifananishwe na historia ya familia ya Sykes:
- AA ihusishwe moja kwamoja na SYKES;
-TAA itundikwe shingoni mwa KLEIST;
-TANU ni mali ya ABDULWAHID;

Kwa mtindo huu historia inarejeshwa mahala pake. Mwalimu ahusishwe na CCM ile ya 1977 angalau!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli hii ndiyo turufu ya Mohamed Said,

Bahati mbaya sana kwake nikuwa anapingana na fact za historia na kukumbatia hisia zake tu,

Hapa tunamkatalia kuwa aliwazalo sio uhalisia wake.
 
Last edited by a moderator:
Mnakasha umejaa vitishoo!!
Mara....list this...list that...nitakupuuza...nitaku-nini sijui aaah!!

Hii ni ishara ya kuishiwa hoja.

Hili ndilo lina nifanya nami niishie kusoma tu, hoja zimekuwa repetitive hakuna mpya. Same quotes and evidance ndizo zinarudiwa rudiwa. Hoja zenye mashiko hakuna tena. Hakuna nguvu ya hoja bali ni ubabe tu yaani hoja ya nguvu. Mjadala umekuwa "your wrong am right and there is nothing you can do about it." I just want to see where will this thread take us.
 

Thanks Mag3; Gombesugu, fikiria hivi, tulipigana na Idd Amin ile vita ya Uganda kama Tanzanians. Nobody cared askari aliyepigana ni kabila gani au dini gani. Kesho akija "mwanahistoria" na kuandika jinsi ambavyo "wakurya" waliokomboa uganda au bukoba kutoenziwa utamwelewa? kesho mwingine anaandika jinsi mchango wa "freemasons" walivyopigana kulikomboa daraja la Mto kagera katika jeshi hilohilo haujathaminiwa; wewe utamwelewa vipi? Mwisho ya yote ukimpa swali DOGO kabisa; SASA? Hana jibu. Wazee waliompenda na kumchagua Nyerere akiwa na miezi Dar hawakujali wao ni Sunni au Shia au Freemason an Protestants. Hivi kesho nikivalia hilo kidedea na kusema wote waliomnunulia baiskeli walikuwa ni wa jumuiya ya Qadiriya utanielewa? Hapo ndipo ukiongozwa na chuki ALWAYS utafanya blunders kwenye vission.
 

Muheshimiwa Nguruvi3,

I'm quite impressed with your brain power to try comprehend what Islam is and its teaching and who Muslims are.

Ahsanta kwa kunijuza jitihada zako za kujaribu kuwasaidia kwa kuwatafutia ajira/vibarua waIslam hapo Tanganyika.

Nashukuru pia kwa kunisamehe kwa kuhisi kwako kuwa maelekezo yangu ya awali yalikua na "elements" za hasira na kashfa dhidi yako.

Ile habari ya kunitaka mimi nikiandike upya kitabu cha Sheikh Mohammed Said "kwa njia ya kisayansi" ili kifahamike uzuri,ahsanta kwa kunipa cheo hicho japo ni kikubwa mno dhidi yangu. Kama utarejea kwenye bayana yangu ya awali kwa Sheikh Mohammed Said nalieleza uchechefu wangu na ku-declare kuwa nipo kwa kujifunza!

Pia nachelea isijekua ile habari ya Rais wenu Bw W. Mkapa,alipotuamrisha ati tumwandikie madai na dhiki zetu "kwa njia ya kisayansi". Tulipomaliza na kumkabidhi akatujibu, ati yeye binafsi hana uwezo wa kuyashughulikia na Serikali haiyamudu maana ni "magumu mno na ni ya kiHistoria". I have never come across the most ridiculous comment made by a sitting President my entire life!!

Kuhusu yule Alhaj Rukara wa WML,nilikufahamu maswali yako kwa Sheikh Mohammed Said,japo naye kwa ustaarabu alikujibu kuwa hazijui "zile habari".
Nafikiri kwa upande mwingine inalazim tuwasamehe hawa ndugu zetu wa kirundi na kinyaRwanda maana yaelekea ndio "dasturi na mazoea" yao, kuwa makwao pakitulia basi hurejea.
Nafikiri unakumbuka habari ya Prof. Silas Lwakabamba wa UDSM baadae KIST na sasa hivi ni mmojawapo wa watu wa karibu saana na Kagame na ana cheo/mamlaka nyeti pale Kigali-Rwanda.
Tujitahidi na kujiepusha kidogo kuwa selective tunapotoa mifano. Huyo Lwakabamba naye vitimbi na ghilba zake haitofautiani kabisa na shutuma na madai ulotoa dhidi ya Alhaj Rukara na labda kupita. Alikua ni kama "James Bond" fulani hivi. Shughuli nyingi nyeti alizowahi kutumwa na Serikali na Consultancy kadhaa alikua akizipitisha kwanza kwa Kagame na Rwanda tangia yupo pale UDSM. Huyu ni mkristo mzuri tu kama alivyokua Alhaj Rukara ni mu-Islam mzuri pia. Nafikiri hatuna haja ya kufungua mnakasha mwingine ati kujadili na kupeana definitions za Gaidi,Mchochezi,mwanaharakati au Jasusi!?

Mifano ni mingi tu kuanzia misimamo ya kina Reagan na Thatcher dhidi ya Mandela kipindi kile mpaka leo tunafikia baina ya wa-Afrika wenyewe kwa wenyewe! Kwa hiyo yawezekana kabisa kuwa; huyo umuonae wewe ni gaidi,mwanaharakati hatari na mchochezi,wengine wanamuona mpigania haki na ni mkombozi wao!! Kwa ufupi huyo Prof. Silas Lwakabamba mnyaRwanda,ambae miaka mingi baadhi ya jamaa walikua wakiamini kuwa ni mzalendo halisi,mkristo mtakatifu na msomi mahiri, "sisi wengine" tulishajua madhila na ujasusi wake dhidi ya nchi yetu. Japo kwa bahati mbaya kelele zetu zoote wakti huo zilipuuzwa kwa kuitwa wadini!?

Kwahiyo nakufahamu "kiasi" juu ya kilio chako dhidi ya Alhaj Rukara.

Tafadhali tuendelee na mnakasha ili tusiende nje ya mada/shutuma alizoleta Yericko Nyerere. Punguza kumbana Sheikh Mohammed kuhusu hilo suala la Alhaj Rukara na WML,na kishasema haijui hiyo habari.

Ahsanta kwa kunisikiza uchechefu wangu na nakutakia siku njema mTanzania mwenzangu.
 
Nifurahishwa sana na maungamo haya. Binafsi nimeshawahi kuungama kuwa ni afadhali nimsome Sheikh Said kuliko kusoma Annur (ingawa Sheik Said hakupenda kauli yangu ya kumtenganisha yeye na Annur).
Hapa sikuikataa kazi nzima ya Sheikh Said, tatizo lake ni pale anapounganisha matatizo ya Waislamu na kudai tatizo la yote ni Nyerere na Ukristo wake na Wakristo!
Najiuliza hivi, kwa nini Waislamu wengi linapitokea tatizo kwenye Uislamu basi sababu au Mchawi wao ni Ukristo? Bila shaka haya ndio matokeo ya "elimu" inayotolewa kwa umma wa Waislamu nchini na Wahadhiri wengi na Sheikh hujiingiza humo kwa makusudi. Hatoi suluhisho ila kunogesha chuki za kidini![/QUOTE]

Wimana; U have hit a very central point. Mzee MS lazima apewe heshima kama scholar na efforts zake za kuandika kitabu lazima tumpe Hi-5 (japo Kadogoo ataniungurumia kuwa Hi-5 ni ya kikafiri!!!!!) That said, lazima pia apewe heshima nyingine kwa kutambua kuwa sio lazima wote tukubaliane naye (myself included). Na hii ni desturi ya scholars. Ipo siku atahitaji pengine kuandika another work, nakwambia zile criticisms za kina Mag3, Nguruvi, wewe, nk ndio zitamsaidia sio sifa za wapambe.
 
well said, well done!
Mimi nimeona Wakurya wakidanganya umri ili waende Kagera! Nimeona kwa macho.
Nimeona matajiri wakitoa ng'ombe kwa ajili ya chakula cha wanajeshi, mabasi yakitolewa kupeleka wapiganaji.

Kule barabara ya 10 na 11 sikuona hamasa kama nilizoziona Tarime, Kyabakari, Nyamongo n.k. lakini haina maana hawakwepo Wabondei au wasambaa.

Sasa akitokea mtu aka single out Wakurya na kuandika historia ya vita ya Kagera kwa kutumia Wakurya tu na kisha kusema ndiyo historia ya vita ya Kagera na kwamba huo ni ukweli, inafikirisha sana.

Kwa wanajamvi, tunathamini mchango wa kila mtu lakini basi mchango wa mtu fulani usitumike kumdhalilisha mwingine.
Uhuru wa Tanganyika ni nyumba ya matofali na kwamba kila tofali lilikuwa na nafasi yake muhimu na isemwe hivyo.
Hapa ndipo watu hawaelewi na kuishia katika ''nyie na sisi''

Hatuwezi kuwa na taifa la nyie na sisi. Rwanda hawakuweza, Bosnia hawakuweza, Nigeria ni matatizo tupu n.k.
Hata pale walipo akina ''sisi'' kama Somalia bado wamegawanyika kwamba Wasengeli wanasema sisi, wabaidoa wanasema nyie. Mtoto amezaliwa na sasa ni askari hakuna muafaka. Jamani, huko ndiko mnataka tuelekee?

Kama ndiko, basi tuelewesheni nani mshindi wa maeneo hayo!
 

Kadogoo
,


..acha ubishi ndugu yangu, Waislamu wa Machame, Usangi, Kagera, wanazingatia elimu kuliko wenzao walioko Pwani na Kusini.
 

gombesugu,

..hauko peke yako ktk hilo.

..wana Jamii Forums wengi walitoa maoni wakilaumu barabara kubwa D'Salaam kupewa jina Mwai Kibaki.

..kuna viongozi wazito na marafiki wa kweli wa Tanzania hawajapewa heshima kama aliyopewa Kibaki.

..hapa nazungumzia viongozi kama Mzee Kenneth Kaunda. Linganisha barabara ya Kaunda na ile ya Mwai Kibaki.
 
Last edited by a moderator:


Waleykhum Salaam gombesugu a.k.a THE GREAT THINKER..
Hao ndio walitaka kuutia Utaifa wetu kwenye mashaka,sisi tunaurudisha..
Ajabu Twashangaa Twaitwa wachochezi..
Ila umma unaelewa mbivu na mbichi..
 
Last edited by a moderator:


Alaa..!
yan umetoa well said na well done juu..??
kwa lipi sasa?angesema Rits au Ami maneno hayo bila shaka ungewaita Wanywa kahawa..
double standards at its best level..!!
 
Reactions: Ami
Mnakashaumejaa vitishoo!!
Mara....list this...list that...nitakupuuza...nitaku-nini sijui aaah!!

Hii ni ishara ya kuishiwa hoja.

Ami :violin:
 

Hili binafsi naliona kama ni tatizo la kiitifaki na weledi wa watawala wetu tu.
 
Last edited by a moderator:

Gombe sugu kumbe na wewe ni muokoteza hoja kama Said, hahaha unamfahamu Lwakabamba lakini? Huyu aliwapa maisha wabongo pale Kist kuanzia malekchara, tvutorial assistants mpaka workshop instructors wa dini na makabila mbalimbali leo analinganishwa na huyo Rukala? ama kweli hili somo lenu la udini halina aibu.

Kuna kit nakisoma btn the lines, shule si mchezo bana yaani leo waliokuwa wa mjini kama nukuu lukuki za mchchezi said wanalamika kuonewa n a kudhulumiwa na mijitu isiyostaarabika kutoka bara hahahahahaha!!!!! Kweli waliosema elimu ufunguo wa maisha they were very right.
 

Kadogoo
,


..acha ubishi ndugu yangu, Waislamu wa Machame, Usangi, Kagera, wanazingatia elimu kuliko wenzao walioko Pwani na Kusini.

Ahsante Jokakuu; Mi napenda sana input ya Kadogoo. Hii ni kwa sababu sio mbali na pale kwao wana shule safi ya Mudio Islamic, inafanya vizuri sana. Ukija kwa watani zake hapa Same upareni wana Kirinjiko, inafanya nayo vizuri. Lakini hapa JF eti Kadogoo naye anawapa "company" jamaa kusikitika jinsi ambavyo wamebanwa mbavu na Mfumo Kristo hata shule hawana. Hiyo ni kuzingatia kuwa kwao Kadogoo wamezungukwa na wasio Waislamu!!!! Hata Kadogoo akatae, lakini presence ya Wakiristo wengi jirani na wao imewafanya wachacharike kielimu wakati "washikaji" wanalia na Mkapa majukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…