Alaa..!
yan umetoa well said na well done juu..??
kwa lipi sasa?angesema Rits au Ami maneno hayo bila shaka ungewaita Wanywa kahawa..
double standards at its best level..!!
Mkuu, Nguruvi3,well said, well done!
Mimi nimeona Wakurya wakidanganya umri ili waende Kagera! Nimeona kwa macho.
Nimeona matajiri wakitoa ng'ombe kwa ajili ya chakula cha wanajeshi, mabasi yakitolewa kupeleka wapiganaji.
Kule barabara ya 10 na 11 sikuona hamasa kama nilizoziona Tarime, Kyabakari, Nyamongo n.k. lakini haina maana hawakwepo Wabondei au wasambaa.
Sasa akitokea mtu aka single out Wakurya na kuandika historia ya vita ya Kagera kwa kutumia Wakurya tu na kisha kusema ndiyo historia ya vita ya Kagera na kwamba huo ni ukweli, inafikirisha sana.
Kwa wanajamvi, tunathamini mchango wa kila mtu lakini basi mchango wa mtu fulani usitumike kumdhalilisha mwingine.
Uhuru wa Tanganyika ni nyumba ya matofali na kwamba kila tofali lilikuwa na nafasi yake muhimu na isemwe hivyo.
Hapa ndipo watu hawaelewi na kuishia katika ''nyie na sisi''
Hatuwezi kuwa na taifa la nyie na sisi. Rwanda hawakuweza, Bosnia hawakuweza, Nigeria ni matatizo tupu n.k.
Hata pale walipo akina ''sisi'' kama Somalia bado wamegawanyika kwamba Wasengeli wanasema sisi, wabaidoa wanasema nyie. Mtoto amezaliwa na sasa ni askari hakuna muafaka. Jamani, huko ndiko mnataka tuelekee?
Kama ndiko, basi tuelewesheni nani mshindi wa maeneo hayo!
Nguruvi3,
Nguruvi napenda kupingana na wewe hapo nilipo bold. Kwani huo ni mtazamo hasi kwa jamii. Kumbuka kuwa UDSM si kuwa ni pekee na maarufu sana duniyani kulinganisha na nyingine kama hivyo kwa historia ya nchi yenu Tanzania ambayo UDSM ipo inapokataa kukipitia kitabu cha kitaaluma kinachozungumzia historia ya nchi yenu huo utakuwa uvivu na unafiki wa watafiti wenu katika chuo hicho katika kutaka kutoa historia ya kweli.
Kwa mtazamo wangu kinachofanyika kwenye mnakasha huu kilitakiwa kifanywe na UDSM kudadisi na kukisoma kitabu hichi ikiwemo kumwalika mwandishi afike na kutoa muhadhara ili wapate kuumuuliza masuala mbalimbali katika historia hiyo aliyoandika na kama wataona kuna mapungufu kidogo basi wakifanyie masahihisho na kama kimepotoka kabisa basi wakiandike kingine kupingana na hicho.
Huo ndio sisis tunaita usomi wa kuelimika na sio usomi wa ulafi wa fedha. Au hata hili la kuandika historia sahihi ya nchi enu mnahitaji wafadhwili waje wawasaidie.
Historia mnayoitumia ni ile ya kijitabu kilichitungwa na Chuo cha kivukoni ambayo hakuna hata University moja dunini wanayoweza kuitumia na kubakia kusomwa hapo UDSM ambayo inaonyesha kuwa kuna siri ndanimwe yya kutaka kuficha ukweli.
Kitabu cha MS kimepitiwa na kinazidi pitiwa na taasisi na vyuo vikuu vingi na hata kutumiwa kama reference katika vyuo mbalimbali ambavyo MS ametubainishia humu kwa ushahidi thabiti.
Je unaweza nieleza kijitabu cha Historia ya uhuru wa tanganyika inapitiwa na University gani nyingine nje ya UDSM? Je kwanini?
Nafikiri sasa ni wakti wa kusema ukweli na kuacha tarbia ya kuficha ukweli na kueneza propaganda katika mambo ya historia kwani siku zote historia huwa inajirudia.
Funguka kiakili usikumbwe na ushabiki wa kuficha ukweli kwa kumpendelea mtu kwa faida yako.
mada hii inaweza kuendela jadiliwa hata miaka 5, ila kweli ipo pale pale ya wkamba historia ya uhuru ilichakachuliwa kwa kipindi kirefu na watu hakujua ukweli halisi, pia jingine hakuna mtu anayeweza kupinga kitabu hiki.
Kuwataja ni jambo zuri. Ambapo hatukubaliani naye ni pale anapo insinuate kuwa Nyerere aliwabagua waislamu baada yao kumfadhili. Yaliyotokea baada ya uhuru, kukamatwa kwa mashehe, kufukuzwa kwa baadhi yao, kulifanyika kwa minajili ya kulinda the state. Lakini hapo hapo si mashehe peke yao waliokamatwa. Kuna wakristo wengi tu waliowekwa detention enzi hizo kwa hiyo unapozungumzia mashehe usisahau hao wakristo waliowekwa kizuizini vile vile. Nyerere was a nationalist. He was not anti-islam.
Kadogoo,
..acha ubishi ndugu yangu, Waislamu wa Machame, Usangi, Kagera, wanazingatia elimu kuliko wenzao walioko Pwani na Kusini.
Ndugu wanajamvi, naomba wote ambao wangependa kujua ukweli wafanye angalau jitihada za kukitafuta kitabu hicho...wakisome halafu walinganishe na dai la Mohamed Said la wazee wake wa Gerezani kutotajwa/kusahauliwa. Mimi, pamoja na kutoipenda CCM, nasifu kitabu hicho kwa kuwakumbuka wazee wetu wote kama Watanganyika bila ubaguzi wowote kama anaouleta mdini Mohamed Said.2.0 TANU NA HARAKATI ZA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
2.1 TANU ilizaliwa katika mazingira yaliyoandaliwa na Tanganyika African Association (TAA):
TAA iliundwa 1948 kufuatia tukio la kutengana kwa African Association (AA) ya Tanganyika na Zanzibar. AA ilizaliwa Dar es Salaam 1927 chini ya uongozi wa Cecil Matola akiwa Rais na Kleist P. Sykes akiwa Katibu. Malengo ya AA yalikuwa ni kupigania haki, maslahi na umoja wa Waafrika. AA ilikuwa na matawi yake makuu Dodoma na Zanzibar. Aidha, AA ilifungua matawi katika miji iliyokuwa makao makuu ya wilaya.
Katiba ya TAA ilitamka wazi kwamba Chama hicho hakikuwa na malengo ya kisiasa. Mwaka 1953 yalifanyika mabadiliko ya uongozi katika TAA. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alichaguliwa kuwa Rais wa TAA. Chini ya uongozi mpya, Katiba ya TAA ilionekana kwamba isingeweza kukidhi malengo ya kisiasa. Mwalimu alipewa jukumu la kuandaa Katiba mpya ya TAA ambayo ingezingatia malengo ya kisiasa. Baada ya uandaaji wa Katiba hiyo kukamilika, haja ya kubadili jina ilionekana dhahiri na majina mengi yalipendekezwa likiwemo la TANU. Nafasi ya TAA ilichukuliwa na TANU iliyozaliwa tarehe 7 Julai, 1954. TANU ilirithi matawi ya TAA, wanachama na viongozi wa TAA katika maeneo mengi.
Waasisi wa TANU ambao walihudhuria na kushiriki katika Mkutano wa kuzaliwa kwa TANU walikuwa 17:
TANU ilizaliwa baada ya Vita ya Pili ya Dunia:
- Mwalimu J.K. Nyerere – Rais wa TAA/TANU
- Geremano Pacha – Jimbo la Magharibi
- Joseph Kimalando – Jimbo la Kaskazini
- Japhet Kirilo – Jimbo la Kaskazini
- C.O. Milinga – Jimbo la Mashariki
- Abubakari llanga – Jimbo la Ziwa
- L.B. Makaranga – Jimbo la Ziwa
- Saadani A. Kandoro – Jimbo la Ziwa
- Suleman M. Kitwara – Jimbo la Ziwa
- Kisung'uta Gabara – Jimbo la Ziwa
- Tewa Said Tewa – Jimbo la Mashariki
- Dossa A. Aziz – Jimbo la Mashariki
- Abdu Sykes – Jimbo la Mashariki
- Patrick Kunambi – Jimbo la Mashariki
- Joseph K. Bantu – Jimbo la Mashariki
- Ally Sykes – Jimbo la Mashariki
- John Rupia – Jimbo la Mashariki
Katika vita ya Pili ya Dunia (1939 – 1945), Watanganyika walishiriki wakiwa askari upande wa Waingereza. Katika kushiriki huko, baadhi yao walipigana vita nchi za nje, kwa mfano, India, Burma, Madagascar n.k. Wakiwa huko vitani walipata fursa ya kubadilishana mawazo ya kisiasa na askari wenzao waliokutana nao katika uwanja wa vita.
Baadhi ya askari hao wa Tanganyika waliporejea kutoka vitani walikuja na fikra mpya za ukombozi wa Mwafrika. Fikra hizi mpya zilioana na zile za Kituo cha Wasomi wa Kiafrika waliokuwa London. Kituo hicho kilijishughulisha sana na suala la ukombozi wa Mwafrika kupitia midahalo.
Katika miaka 1950, wakulima walikwishajiunga na kuanzisha vyama vya kuuza mazao yao ya biashara ili waweze kupata bei nzuri kwa kupunguza gharama ya mtu wa kati ambaye alikuwa ni mfanyabiashara wa Kiasia. Baadhi ya Vyama vya Ushirika vilivyokuwepo kabla ya TANU ni:-
- TANU ilizaliwa katika mazingira ya vyama vya ushirika:
Kwa kuwepo vyama vya ushirika, ujumbe wa TANU kuwafikia wananchi ulirahisishwa. Wanachama wa vyama vya ushirika walijiunga na TANU. Wanachama na viongozi wa vyama vya ushirika waliunga mkono TANU katika madai yake ya kudai uhuru. Baadhi ya viongozi wa vyama vya ushirika walichaguliwa kuwa viongozi wa TANU katika ngazi ya Taifa. Kwa mfano:-
- Kilimanjaro Co-operative Union Ltd (1933)
- Ngoni – Matengo Co-operative Union Ltd. (1936)
- Rungwe African Co-operative Union Ltd. (1949)
- Bukoba Co-operative Union Ltd. (1950)
- Lake Province Native Growers Association.
- Ndugu Nsilo Swai
- Sir George Kahama
- Ndugu Jeremiah Kasambala
- Balozi Paul Bomani
- Ndugu John Mhavile.
Kadogoo kama hata hilo unauliza basi hili jukwaa linakuzidi kimo na hivyo nakuomba ubaki msomaji/mtazamaji tu, hakuna atakayekudharau! Wewe bila shaka ni mmojawapo kati ya wale walioathirika kweli kweli na porojo za Mohamed Said!Jasusi;
Ni Mkristo yupi aliyekamatwa na kutupwa jela halafu akasafirishwa nje ya nchi? Ni jumuiya ipi ya Kikristo iliyofutwa kipindi hicho? Kumbuka Nyerere alitangaza vita na Vigogo wa EAMWA akina Tewa Saidi Tewa na Bibi Titi Mohamed kwa msimamo wao wa kuilinda na kuienzi jumuiya hiyo hata kama Mwalimu hakuwa radhi! sasa wataje hao Viongozi wa Kikristo waliokamatwa na kuswekwa jela kwa sababu za kutaka kumpindua Mwalimu au kwa sababu zingine!
Ahsante Jokakuu; Mi napenda sana input ya Kadogoo. Hii ni kwa sababu sio mbali na pale kwao wana shule safi ya Mudio Islamic, inafanya vizuri sana. Ukija kwa watani zake hapa Same upareni wana Kirinjiko, inafanya nayo vizuri. Lakini hapa JF eti Kadogoo naye anawapa "company" jamaa kusikitika jinsi ambavyo wamebanwa mbavu na Mfumo Kristo hata shule hawana. Hiyo ni kuzingatia kuwa kwao Kadogoo wamezungukwa na wasio Waislamu!!!! Hata Kadogoo akatae, lakini presence ya Wakiristo wengi jirani na wao imewafanya wachacharike kielimu wakati "washikaji" wanalia na Mkapa majukwaani.
Kadogoo kama hata hilo unauliza basi hili jukwaa linakuzidi kimo na hivyo nakuomba ubaki msomaji/mtazamaji tu, hakuna atakayekudharau! Wewe bila shaka ni mmojawapo kati ya wale walioathirika kweli kweli na porojo za Mohamed Said!
Si kweli unayosema kwani hakuna utafiti uliofanya kuthibitisha dai lako!
Jee; vipi Waislamu wa Kondoa, Mbeya, Dodoma, Kigoma, Musoma, Arusha, Mwanza, Shinyanga, Iringa, Morogoro, Singida, Manyara, na Zanzibar wao vipi mazingatio yao ya elimu kulinganisha na wenzao wa Pwani na Kusini?
Kadogoo kama hata hilo unauliza basi hili jukwaa linakuzidi kimo na hivyo nakuomba ubaki msomaji/mtazamaji tu, hakuna atakayekudharau! Wewe bila shaka ni mmojawapo kati ya wale walioathirika kweli kweli na porojo za Mohamed Said!
Huyo ndiyo Kadogoo, kazi kwelikweli. Waiteni hawa wengine wasio na mashule yao toka huko ulikotaja waje pale Mudio/Kirinjiko Islamic wajifunze nyie mmewezaje. Haiwezekani nyie mchangikishane mpaka mlio Dar, mfyatue tofali, mtafute waalimu na kujenga mashule halafu wengine wajilie raha huku wakivuta uradi na kumlaani Mkapa. Swala na kazi Kadogooo, Hata ungekuwa Freemason lazima uhenyee maendeleo yako.
WICKAMA;
Shule za Mudio na Kirinjiko zinapokea wanafunzi toka kila pembe ya nchi yetu na hata nje ya nchi kama vile Kenya, Uganda, Burundi na sio kwa ajili ya Wamachame tu au Wapare! tena hayo makabila wanafunzi wao ni wachache sana kuliko wengine kwasababu ada za shule hizo hazibagui kama huyu ni Mmachame au Mpare bali inategemea na mfuko wa Mzazi jinsi ulivyo!
Kwa taarifa yako Shule hizi zinafanya bidii na juhudi zote hizo kwasababu haziko chini ya Bakwata ambayo pia inamiliki shule ktk maeneo hayohayo unayosifia! mfano: Shule ya Kolila Secondary iliyoko Kwasadala Masama, Alnahdwa na Bakwata Secondary School izilizoko Moshi na Shule zingine za Bakwata huko Upare!
Sasa jiulize kwanini Shule za Bakwata huko Uchagani na Upareni zinatia aibu lakini zilizochini ya Jumuiya zingine zinaongoza? kwa mtazamo wako Wachaga na Wapare wanaosoma ktk Shule za Mudio na Kirinjiko wanaakili au mwamko zaidi kuliko wenzao wanaosoma ktk Shule za Bakwata?
Mag3; Mohammed SAid anatumia ignorance ya baadhi ya watu kuwalisha uongo. Habari za wazee wake zimeandikwa kwa kirefu kama sehemu ya historia yetu kama taifa. Nilisema huko nyuma kuwa nilikuwa nimeagiza baadhi ya vitabu ambavyo Bw. Said amevitumia sana kupotosha historia; tayari ninavyo viwili ambavyo vimefika katika ya karibu 14 ambavyo nimeagiza toka maktaba mbalimbali hapa.
Historia ya TANU ilianza na Kleist Sykes?
Kitabu cha Modern Tanganyika cha John Iliffe kinatudokeza hivi (Iliffe yeye alikuwa mhariri tu; maandishi hapa chini ni ya Daisy Sykes mjukuu wa Kleist):
While Kleist was settling down in family life and in his new job during the 1920s, he was alo beginning to become involved in mattrs of social and political concern. When the famous Ghanian educater Dr. Aggrey visited Dar es Salaam in 1924 Kleist was among those who welcome him and exchanged views with him. It is said that Aggrey gave a copy of one of his books to Kleist.... It is likely that Aggrey first interested Kleist in politics, for a few years laer Kleist was one of the small group of men who formed the Tanganyika African Association (pg 101)
Anaendelea
It is said that Rawson Watts, who used to work at the Secretariat, was the originator of the idea of an Association. When this idea became known amongst his friends in Dar es Salaam - meaning the people mentioned above - the idea seemed agreeable. So they met at Cecil Matola's house to discuss it. (pg 102)
Sasa ukikubaliana na historia ya Iliffe ambayo ndio msingi wa simulizi la Mohammed Said utaona kuwa
a. Kleist Sykes alichochewa kuingia katika siasa na Dr. Aggrey (Mghana, na I suppose Mkristu -kama suala la dini ni la msingi).
b. Wazo la kuanzisha Association halikutoka kwa Kleist Sykes bali kwa Rawson Watts. Kama kweli Watts ndiye mwanzilishi wazo la kuanzisha Association Kleist Sykes anapewa credit ya nini? Daisy (Mjukuu wa Kleist na mtoto wa Abdul) anamuona kama mmoja tu wa waanzilishi.
c. Mkutano wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Cecil Matola siyo kwa Sykes. Na inaonekana Cecil Matola alikuwa na nafasi ya pekee kiasi cha kuwa ni Rais wa kwanza (japo wengine wanasema Rawson Watts ndiye alikuwa Rais wa kwanza wa TAA)
Kwa hiyo hoja kuwa historia ya TANU ni lazima uende nyuma hadi Kleist haina msingi wowote; kwani ukiishia kwa Kleist tu bado hujafika mwisho ni lazima ufike kwa Watts na kwa Dr. Aggrey. Bahati mbaya waanzishili hawa wa mawazo ya kuunda TAA ni Wakristu na Mohammed Said hakutaka kuwapa Credit due to them.
Mag3; Mohammed SAid anatumia ignorance ya baadhi ya watu kuwalisha uongo. Habari za wazee wake zimeandikwa kwa kirefu kama sehemu ya historia yetu kama taifa. Nilisema huko nyuma kuwa nilikuwa nimeagiza baadhi ya vitabu ambavyo Bw. Said amevitumia sana kupotosha historia; tayari ninavyo viwili ambavyo vimefika katika ya karibu 14 ambavyo nimeagiza toka maktaba mbalimbali hapa.
Historia ya TANU ilianza na Kleist Sykes?
Kitabu cha Modern Tanganyika cha John Iliffe kinatudokeza hivi (Iliffe yeye alikuwa mhariri tu; maandishi hapa chini ni ya Daisy Sykes mjukuu wa Kleist):
While Kleist was settling down in family life and in his new job during the 1920s, he was alo beginning to become involved in mattrs of social and political concern. When the famous Ghanian educater Dr. Aggrey visited Dar es Salaam in 1924 Kleist was among those who welcome him and exchanged views with him. It is said that Aggrey gave a copy of one of his books to Kleist.... It is likely that Aggrey first interested Kleist in politics, for a few years laer Kleist was one of the small group of men who formed the Tanganyika African Association (pg 101)
Anaendelea
It is said that Rawson Watts, who used to work at the Secretariat, was the originator of the idea of an Association. When this idea became known amongst his friends in Dar es Salaam - meaning the people mentioned above - the idea seemed agreeable. So they met at Cecil Matola's house to discuss it. (pg 102)
Sasa ukikubaliana na historia ya Iliffe ambayo ndio msingi wa simulizi la Mohammed Said utaona kuwa
a. Kleist Sykes alichochewa kuingia katika siasa na Dr. Aggrey (Mghana, na I suppose Mkristu -kama suala la dini ni la msingi).
b. Wazo la kuanzisha Association halikutoka kwa Kleist Sykes bali kwa Rawson Watts. Kama kweli Watts ndiye mwanzilishi wazo la kuanzisha Association Kleist Sykes anapewa credit ya nini? Daisy (Mjukuu wa Kleist na mtoto wa Abdul) anamuona kama mmoja tu wa waanzilishi.
c. Mkutano wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Cecil Matola siyo kwa Sykes. Na inaonekana Cecil Matola alikuwa na nafasi ya pekee kiasi cha kuwa ni Rais wa kwanza (japo wengine wanasema Rawson Watts ndiye alikuwa Rais wa kwanza wa TAA)
Kwa hiyo hoja kuwa historia ya TANU ni lazima uende nyuma hadi Kleist haina msingi wowote; kwani ukiishia kwa Kleist tu bado hujafika mwisho ni lazima ufike kwa Watts na kwa Dr. Aggrey. Bahati mbaya waanzishili hawa wa mawazo ya kuunda TAA ni Wakristu na Mohammed Said hakutaka kuwapa Credit due to them.
Mzee Mwanakijiji hata mimi kitabu cha John Iliffe ninacho na kila wakati Mohamed Said anapohubiri uongo wake kuwa muasisi wa AA ni Kleist Sykes, nabaki mdomo wazi! Lakini la kushangaza zaidi ni ule ujasiri wake wa kujaribu kutetea huo uongo humu JF...sijui anawachukuliaje wasomaji wa JF! Of course wapo kina Kadogoo watakaomfuata wakipiga makofi hata kama anawaelekeza shimoni, hilo sikatai, wapo, ila upofu wa kidini umewatanda kiasi hawawezi hata kufungua macho watazame wanakoelekea...this is really sad!Mag3; Mohammed SAid anatumia ignorance ya baadhi ya watu kuwalisha uongo. Habari za wazee wake zimeandikwa kwa kirefu kama sehemu ya historia yetu kama taifa. Nilisema huko nyuma kuwa nilikuwa nimeagiza baadhi ya vitabu ambavyo Bw. Said amevitumia sana kupotosha historia; tayari ninavyo viwili ambavyo vimefika katika ya karibu 14 ambavyo nimeagiza toka maktaba mbalimbali hapa.
Historia ya TANU ilianza na Kleist Sykes?
Kitabu cha Modern Tanganyika cha John Iliffe kinatudokeza hivi (Iliffe yeye alikuwa mhariri tu; maandishi hapa chini ni ya Daisy Sykes mjukuu wa Kleist):
While Kleist was settling down in family life and in his new job during the 1920s, he was alo beginning to become involved in mattrs of social and political concern. When the famous Ghanian educater Dr. Aggrey visited Dar es Salaam in 1924 Kleist was among those who welcome him and exchanged views with him. It is said that Aggrey gave a copy of one of his books to Kleist.... It is likely that Aggrey first interested Kleist in politics, for a few years laer Kleist was one of the small group of men who formed the Tanganyika African Association (pg 101)
Anaendelea
It is said that Rawson Watts, who used to work at the Secretariat, was the originator of the idea of an Association. When this idea became known amongst his friends in Dar es Salaam - meaning the people mentioned above - the idea seemed agreeable. So they met at Cecil Matola's house to discuss it. (pg 102)
Sasa ukikubaliana na historia ya Iliffe ambayo ndio msingi wa simulizi la Mohammed Said utaona kuwa
a. Kleist Sykes alichochewa kuingia katika siasa na Dr. Aggrey (Mghana, na I suppose Mkristu -kama suala la dini ni la msingi).
b. Wazo la kuanzisha Association halikutoka kwa Kleist Sykes bali kwa Rawson Watts. Kama kweli Watts ndiye mwanzilishi wazo la kuanzisha Association Kleist Sykes anapewa credit ya nini? Daisy (Mjukuu wa Kleist na mtoto wa Abdul) anamuona kama mmoja tu wa waanzilishi.
c. Mkutano wa kwanza ulifanyika nyumbani kwa Cecil Matola siyo kwa Sykes. Na inaonekana Cecil Matola alikuwa na nafasi ya pekee kiasi cha kuwa ni Rais wa kwanza (japo wengine wanasema Rawson Watts ndiye alikuwa Rais wa kwanza wa TAA)
Kwa hiyo hoja kuwa historia ya TANU ni lazima uende nyuma hadi Kleist haina msingi wowote; kwani ukiishia kwa Kleist tu bado hujafika mwisho ni lazima ufike kwa Watts na kwa Dr. Aggrey. Bahati mbaya waanzishili hawa wa mawazo ya kuunda TAA ni Wakristu na Mohammed Said hakutaka kuwapa Credit due to them.
Kadogoo, Wickama,WICKAMA;
Shule za Mudio na Kirinjiko zinapokea wanafunzi toka kila pembe ya nchi yetu na hata nje ya nchi kama vile Kenya, Uganda, Burundi na sio kwa ajili ya Wamachame tu au Wapare! tena hayo makabila wanafunzi wao ni wachache sana kuliko wengine kwasababu ada za shule hizo hazibagui kama huyu ni Mmachame au Mpare bali inategemea na mfuko wa Mzazi jinsi ulivyo!
Kwa taarifa yako Shule hizi zinafanya bidii na juhudi zote hizo kwasababu haziko chini ya Bakwata ambayo pia inamiliki shule ktk maeneo hayohayo unayosifia! mfano: Shule ya Kolila Secondary iliyoko Kwasadala Masama, Alnahdwa na Bakwata Secondary School izilizoko Moshi na Shule zingine za Bakwata huko Upare!
Sasa jiulize kwanini Shule za Bakwata huko Uchagani na Upareni zinatia aibu lakini zilizochini ya Jumuiya zingine zinaongoza? kwa mtazamo wako Wachaga na Wapare wanaosoma ktk Shule za Mudio na Kirinjiko wanaakili au mwamko zaidi kuliko wenzao wanaosoma ktk Shule za Bakwata?