Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Hapana si nyumba hii.
Nyumba iliyojengwa na Kleist na wenzake iko pale Mtaa
wa Lumumba.
Pale palipoandikwa "Hapa ndipo ilipozaliwa TANU 7 Julai 1954."
Katika mambo ya kusikitisha mle ndani hakuna kumbukumbu yoyote
ya wazalendo walojenga nyumba ile.
Historia yote imefutwa.
Katika kitabu changu ipo picha ya ufunguzi wa jengo lile mwaka1933.
Yuko Gavana Ronald Cameron, Kleist Sykes, Mashado Plantan, Mwalimu
Mdachi Shariff na wengineo.
Nyumba iliyojengwa na Kleist na wenzake iko pale Mtaa
wa Lumumba.
Pale palipoandikwa "Hapa ndipo ilipozaliwa TANU 7 Julai 1954."
Katika mambo ya kusikitisha mle ndani hakuna kumbukumbu yoyote
ya wazalendo walojenga nyumba ile.
Historia yote imefutwa.
Katika kitabu changu ipo picha ya ufunguzi wa jengo lile mwaka1933.
Yuko Gavana Ronald Cameron, Kleist Sykes, Mashado Plantan, Mwalimu
Mdachi Shariff na wengineo.
![151361462[1].jpg 151361462[1].jpg](https://xf23.jamii.app/data/attachments/3158/3158984-eeb9ed83829434ec72d90ceab2571b4e.jpg?hash=7rntg4KUNO)