Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,196
Nilipo Bold.
hapo ndio kiini cha tatizo. Kwani historia inayofundishwa Tanzania ni ile ya kumsifia Nyerere mpaka kufika kusema yeye kaleta amani Tanzania . Jambo ambalo si kweli kwani amani ya nchi yenu ni urithi toka kwa mababu zenu. Hakukuwa na vita vya makabila toka zamani. Sasa najiuliza Nyerere huyu alileta amani gani huko Tanzania?
Kwa kumtukuza huko wanafichwa hata wale vinara wa ukombozi na wapigania uhuru waliojitoa muhanga kwa mali zao na nguvu zao jambo ambalo Al Akhiy MS umeliweka bayana mpaka leo tunamjua Abdu na nduguze na hata akina Mz Mshume kihate na mashikh wetu takadir na tambaza na wengine katika kupigania uhuru.
Mimi naamini huwezi ficha historia na ukweli siku zote unasimama. Allah akubarik ana Al akhiy MS kwa kututoa matongotongo ya historia iliyofichwa
Barubaru; on the contrary humtukuzi mtu kwa kuwaambia umati mdogo wake nani au shangazi yake nani alimpisha alale. Address yourself to the reality here. Huku ni kusengenya na kudhalilisha kwa dhahiri!!!!! na kurani unaijua kama anavyoijua huyu anayesimulia haya kuwa inakataza tabia hii. Hii ni private information ya mwenyeji (Sykes) na mgeni wake (Nyerere) which MS has no room right to disclose here except for blind hatred over Nyerere. Sykes alienda Mwanza, alienda Kampala (MS showed that one day here) and many other places, have you ever seen a description ya mdogo wake Bomani au Bhoke Munanka walimpisha alale?