platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Wild Card,
Basi mnakasha utagota hapo kwenye balozi na bunge au baadhi
ya wabunge.
Huna lolote la kusema kuhusu majibu yangu ya hotuba ya balozi?
Huna la kusema kuwa ingekuwa ni bunge zima sheria ya ugaidi
isingepita?
Au ndiyo kile kisa cha kujenga mlima kutoka kichuguu?
Content nzima ya majibu yako kwa Balozi inaanzia pale mwanzo alipokuwa "Akihutubia bunge" au "Akiongea na wabunge" ama "Akitoa semina kwa Wabunge.
Nafikiri wewe sasa Mtu mzima kwa makamo yako unapaswa ujue uzito wa kile unachokisema hata kama kipo kwenye
mstari mmoja. Na na imani unajua kabisa alichokifanya Balozi ni tofauti kubwa sana na wewe ulichoandika, na hapo
ndiyo akina siye wengine tunapokuwa tunajiuliza motives zako ni nini.
Ukisema tuliache hilo tutaacha mangapi ya Msingi ikiwa wewe mwenyewe hutaki kukubali umepindisha maana kwa
jambo kubwa kama hilo. Na utakapokubali hilo utakuwa umewasaidia Wafuasi wako pakubwa, maana kwa wao kila
unachokiandika hakina makosa, wanameza tu kama hilo la "Balozi wa Marekani kuhutubia Bunge"