Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko Nyerere,

Hizo ngano zako ugaidi endelea kuwalisha wenzako ugaidi wa Saddam Hussein ni upi? Marekani walisema anamiliki silaha za sumu zipo wapi? Ndiyo maana kitabu chako kinafadhaliwa na ubalozi wa Marekani.
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere,Hizo ngano zako ugaidi endelea kuwalisha wenzako ugaidi wa Saddam Hussein ni upi? Marekani walisema anamiliki silaha za sumu zipo wapi? Ndiyo maana kitabu chako kinafadhaliwa na ubalozi wa Marekani.
Ritz,Huyo jamaa mbona kashindwa masuala ya mada na kujibu shutuma za Marehemu Baba yake analeta mchezo wa kitoto hapa!?Hii shughuli ni nzito,si unaona Nguruvi3 A.K.A Vunja Mifupa ameingia mitini kinyemela. Mag3 nae,kaja na yaleyale mambo yake ya misuto kwa Sheikh Mohammed Said. Yule mpiga Kula Daku wa kiTanga,ndio kama tunavyojua kuwa kuna vitu vinamsumbua kuelewa.Yule mtu Zali la Mentali A.K.A Mchimba Chumvi na mwenzie Sumu Ya Nyoka ni hatari. Yaani wamechafua jamvi vibaya mno,kiasi kwamba jamaa woote wametimka. Kilchobaki sasa hapa ni kuleta maswali ya kitoto na ile janja ya paka,na kutaka kumuumiza kichwa Sheikh Mohammed.Nimefurahi Jasusi katumia ustaarabu kuanzisha mambo ya Music watu tuburudike. Lakini huko huko nako kwenye hiyo Music,Sheikh Mohammed kenda wamaliza kama alivyowamaliza awali kwenye Movies. Huyu mtu Wallahi ni hatari saana.Insha Allah tuburudike na kupendana.
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere,

Hizo ngano zako ugaidi endelea kuwalisha wenzako ugaidi wa Saddam Hussein ni upi? Marekani walisema anamiliki silaha za sumu zipo wapi? Ndiyo maana kitabu chako kinafadhaliwa na ubalozi wa Marekani.

Hakika ni NGANO tena ngano ya nera!


Jipumzishe na hiyooo!!!


CRAIG KELLY AMPA UJUMBE POWELL.
Huko mjini Lima, Peru, asubuhi hiyo, waziri wa mambo ya Nje Colin L. Powell alikuwa ndiyo kwanza ameanza kupata kifungua kinywa na rais mpya Alejandro Toledo. Powell alikuwa anahudhuria mkutano wa nchi za umoja wa Nchi za Amerika. .Alikuwa na mategemeo ya mawasiliano mema na mawaziri wa nchi za nje au viongozi 34 wa nchi 35 za eneo hilo.Cuba ilikuwa haikukaribishwa, Toledo alikuwa anasisitiza kuhusu mgao wa soko wa nguo kutoka Marekani . Alitaka kuondolewa kwa kodi katika pamba ya hadhi ya juu ambayo alidai isingeweza kushindanishwa na pamba ya hadhi ya chini iliyokuwa inazalishwa katika mataifa ya kusini ya Marekani ambayo ilikuwa inataka pawepo mgao huo katika soko.

Ghafla mlango ukafunguliwa na Craig Kelly, msaidizi mtendaji wa Powell, aliingia haraka akiwa na ujumbe uliokuwa umeandikwa katika kipande cha karatasi kilichokuwa kimechanwa kutoka katika kitabu cha kumbukumbu .Ndege mbili zimejibamiza katika kituo cha Biashara cha kimataifa. Ndege mbili, si tukio la ajali, Powell alitambua .ujumbe wa pili ulisema kwamba ndege hizo zilikuwa ni za injini ya "jet" .Powell akafikiri, nilazima niende nyumbani. Hata kama kimetokea nini, hali ilikuwa ni mbaya mno kwake kuendelea kukaa katika mkutano wa mawaziri wa mamboya nje mjini Peru. "Hebu tayarisha ndege, alimwambia Kelly, Nenda kawaambie tunasubiri". Ingechukua kiasi cha saa moja kuitayarisha ndege, hivyo Powell aliueleza mkutano huo.

Mawaziri wengine walitoa hotuba za kumpa pole. Powell alizungumza kwa ufupi, akiwashukuru wajumbe wa mkutano huo kwa pole zao na kuahidi kwamba Marekani inachukua hatua mara moja "Mkasa mkubwa sana umeikumba nchi yangu," alisema "Lakini….lazima mfahamu kwamba Amerika itapambana na wakosaji watafikishwa mbele ya haki. Mfahamu kwamba pamoja na siku hii kuwa mbaya kwetu, nilazima tutashinda kwani sisi ni taifa lenye nguvu na linalo jiamini duniani' Wajumbe wengine walisimama nakupiga makofi. Mara tu baada ya ndege kuondoka Powell alifahamu kwamba asingezungumza na mtu yeyote kwavile vyombo vyake vya mawasiliano vilikuwa vimeunganishwa na mfumo wa mawasiliano nchini Marekani ambao ulikuwa umejaa habari mbalimbali za ma wasiliano.

Bila yasimu au barua pepe, alikuwa ni sawa na mtu ambaye hakuwa na nchi. Baada ya dakika kadhaa alikwenda mbele ya ndege kupiga mawasiliano ya radio. Hiyo ilimaanisha mawasiliano hayo hayakuwa na usalama. Alimpata Richard L Armitage, naibu waziri wa mambo ya nje na rafiki yake mkubwa, walizungumza mara kadha, lakini mazungumzo ya maana hayakuwezekana. Armitage ambaye alihitimu chuo cha jeshi la maji mwaka 1967 alikuwa ametumikia jeshi mara nne nchini Vietnam na baadaye akawa Naibu waziri wa ulinzi katika utawala wa Reagan. Alikuwa ni mtu mwenye kupenda kusema ukweli mwenye tambo kubwa na kifua kipana ambaye hakupenda kuzungumzia diplomasia yenye kujificha.

Hata kabla hawajawa wakuu wa wizara ya mambo ya nje Powell na Armitage walikuwa wakizungumza mara kadhaa kila siku. "Mtu huyu ninamwamini kuhusu uhai wangu, watoto wangu, hadhi yangu, kila kitu ambacho ninacho," alikuwa akisema Powell kuhusiana na Armitage. Katika mambo yote ambayo Powell alikuwa anayachukia, ni kushindwa kuchukua hatua yoyote wakati wa tatizo ndilo jambo lililokuwa linashika nafasi ya kwanza. Jambo kuu katika upangaji wa sera za usalama wa taifa, na timu ya Ikulu au ya usalama wa taifa ingetaka kuweka msimamo gani katika upangaji wa sera kulikuwa kuna utaratibu wa kipekee katika nyakati za matukio makubwa. Hali ya migogoro ndiyo ilitoa fursa ya kuwepo hatari kubwa zaidi na fursa kubwa zaidi za utendaji wa kazi. Ni mmarekani wa kwanza mweusi kuweka historia ya kuhudumu katika ngazi za juu za utawala wa Marekani.

Akiwa na umri wa miaka 64 katika kipindi cha mgogoro Powell alikuwa tayari amekaa katika viti vitatu vya chumba cha dharura vya Ikulu ambavyo ni mshauri wa kitaifa kwa Rais Regan kwa muda wa mwaka mmoja, kisha akawa mwenyekiti wa Muungano wa Wanadhimu kwa Rais Bush wa kwanza wakati wa vita vya Ghuba, na wakati mgogoro alikuwa ni Waziri wa mambo ya nje kwa rais George W. Bush. Ripoti nyingine ilifuata ikisema kwamba makao makuu ya jeshi yalikuwa yameshambuliwa, na kulikuwa na ripoti na uvumi usioaminika kwamba kulikuwa na ndege nyingine zikiruka kila mahali.

Powell alianza kuandika notisi kwa ajili ya matumizi yake, aliandika hivi, "Watu wangu watakuwa na majukumu gani"? Je, ulimwengu na Marekani zitajibu vipi tukio hili? Je, hali itakuwa vipi kwa Umoja wa Mataifa? Je, Umoja wa kujihami wa NATO? Je, nitaanzaje kuwaita watu mbali mbali wakusanyike? Masaa saba kutowasiliana na mtu yeyote yalionekana kama miaka isiyohesabika kwa mtu huyo ambaye angekuwa mkuu wa majeshi. Mnamo 1995, miaka miwili Powell akiwa amestaafu kutoka jeshini, alikuwa amefikiria kugombea urais. Aliandika kitabu cha simulizi ya maisha yake kiitwacho My America Journey (Safari yangu ya Amerika) ambacho kilishika nafasi ya kwanza kitaifa katika idara ya mauzo.

Alikuwa amejichimbia katika siasa za Marekani akiwa katika kiwango cha makadirio ya juu kiumaarufu ambacho uteuzi wa chama cha Repblican ulikuwa ni wa kutaka aseme tu, na urais alikuwa karibu sana kuufikia. Armitage alikuwa amekipinga kitu hicho kwa nguvu "hapana haja. "Achana nacho" alimshauri rafiki yake huyo, "sidhani kama uko tayari kwa kitu kama hicho". Shughuli ya kuendesha kampeni ni jambo ambalo Powell alikuwa halipendi, "inajumuisha kila kitu kibaya unachoweza kukifikiria." Powell alikuwa anapenda mipango iliyotayarishwa vyema utaratibu mwema wenye kuweza kutabirika, na kiwango cha uhakika jambo ambalo halikuwa ni sehemu ya siasa za haraka haraka za Marekani.

Ilikuwa inafahamika wazi kwamba mkewe, Alma, alikuwa hapendi jaribio hilo kugombea nafasi hizo. Kilichokuwa siri ni kwamba Alma alikuwa amemwambia wazi kwamba iwapo angegombea urais angemwacha. "Ukigombea tu naondoka", alisema. Alma alikuwa anaogopa kwamba (mumewe) angeshambuliwa au kupingwa risasi. Mumewe kugombea urais, "akishinda" na yeye kuwa mke wa rais ni mambo ambayomwanamke huyo alikuwa hayataki maishani mwake."Itabidi uyafanye mambo hayo peke yako," alisema. Baada ya Bush kushinda uteuzi wa kugombea urais wa chama cha Repblican mwaka 2000, Powell alisaini makubaliano ya kutoa msaada, lakini Karl Rove aligundua kwamba kampeni hiyo ilikuwa ifanye juu chini kumwezesha aonekane katika tukio lolote sambamba na Bush. Karibu wafuasi wote muhimu wa Repblican walikubaliana kwamba chaguo la kugombea urais siyo Powell.

Watu wake walitaka kufahamu ni nani mwingine ambaye angekuwepo kwenye tukio muhimu la chama hicho, kitu gani kingesemwa, nani wangehudhuria, na lengo la kisiasa lilikuwa nini. Yote haya yalikuwa yamepangwa kuelekeza mgawanyiko dhidi ya Powell na si Bush. Isitoshe ni nyenzo za kumweka Bush katika siasa za mlengo wa kati na baadaye akawa ndiye chaguo kuu la kuwa waziri wa mambo ya nje iwapo Bush angechaguliwa kuwa rais. Katika sura ya nchi zaidi kulikuwa na hisia kubwa kuwa walifahamu kuwa walikuwa wanachagua timu si Bush na makamu mgombea mwenza wake, Waziri wa ulinzi wa zamani Dick Cheney, pia Powell. Wakati mahakama kuu ilipomtangaza Bush kuwa mshindi kwa kura 537 katika mkanganyiko wa uchaguzi huko Florida washauri wa Powell walikuwa na imani kwamba bosi wao alikuwa amesaidia kwa kiwango kikubwa sana katika ushindi huo.

Katika miezi yake ya kwanza akiwa waziri wa mambo ya nje Powell alikuwa hajaliziba pengo la uhusiano wake na Bush ambalo halikuwafanya wawe karibu zaidi kama alivyokuwa na uhusiano wa karibu na watu wengine. Kulikuwa na pengo kati ya watu hao wenye kuunganishwa na maelewano ya kirafiki. Bush na Powell walikuwa wanataniana wakiwa na watu wengine lakini walifanya hivyo mara chache sana wakiwa wawili. Rove alihisi kwamba Powell alikuwa anajidukiza mno kisiasa na kuendesha shughuli zake nje ya cheo chake. "Lazima ufahamu siku zote kwamba vyote hivi ni siasa na mimi ndiye nitaushinda mchezo huu wa kisiasa," Rove alimwambia kwa faragha Powell. Kila mara Powell alipokuwa katika mandhari ya mbele kuhusiana na suala fulani na kuonekana kuwa ndiyo sura ya utawala, shughuli za kisiasa na mawasiliano huko Ikulu zilihakikisha zina mweka pembeni mwa mandhari na mwanga wa kisiasa.

Rove na Karen P. Hughes mkurugenzi wa muda mrefu wa mawasiliano wa Bush ambaye wakati huo alikuwa ni mshauri Ikulu waliamua nani miongoni mwa viongozi angetokea katika kipindi cha mazungumzo cha jumapili kipindi maarufu cha televisheni kuhusu habari za jioni na asubuhi. Iwapo Ikuluisingetoa taarifa kupendekeza kwamba akubali mwaliko wa kutokea kwenyekipindi hicho Powell alikuwa anafahamu utaratibu mzima. Aliwaambiawatayarishaji wa kipindi hicho. Mnamo Aprili 2001 wakati ndege moja ya ujasusi wa kijeshi ya Marekani aina ya EP-3E ilipokingamwa na ndege za kivita katika pwani ya China, ikalazimishwa na serikali ya China kutua na kukamatwa mateka wote 24 waliokuwa katika ndege hiyo. Ikulu ilikuwa imedhamiria kuona kwamba Bush hajihusishi na suala hilo ili rais huyo asionekane kuwa mzungumzaji katika mgogoro huo.

Ilikuwa ni kama vile hapakuwepo na mgogoro wa mateka, hii ilikuwa ni kwa kutia maanani jinsi mgogoro wa mateka huko Iran ulivyomdhoofisha Rais Carter na jinsi mgogoro wa mateka huko Lebanon ulivyokuja kumwathiri Rais Reagan katikati ya miaka ya 1980. Suala hilo lilipelekwa kwa Powell ambaye alifanikisha kuachiliwa kwa mateka hao baada ya siku 11. Ulikuwa ni ushindi mkubwa lakini hata hivyo, Ikulu haikutaka atokee kwenye televisheni kupata sifa alizostahili. Powell na Armitage walikuwa wanataniana na kusema kwamba Powell alikuwa amewekwa katika kisanduku cha barafu au kwenye friji ambapo alikuwa anatumiwa tu wakati akitakiwa. Muda mfupi kabla ya mashambulizi ya September 11, jarida la times lilikuwa limeandika habari moja kuu kuhusiana na Powell ikiwa na kichwa cha habari "Umekwenda wapi Colin Powell"? Habari hiyo ilisema kwamba alikuwa akiacha nyoyo zikiwa kwenye kina kirefu kuhusiana na sera mbali mbali na kuonekana kuwa amemezwa na watu wenye msimamo mkali katika utawala uliokuwa madarakani.

Habari hiyo ilitoa changamoto kubwa kwa Ikulu ambako maofisa kadhaa walikuwa wamewashikilia waandishi kuthibitisha kwamba Powell alikuwa akifanya kazi kama kawaida wakati mwingine akiwa amekata tama.mara nyingi akifanya kazi kwa upweke akiwa amejikita pembeni na utawala huo mpya. Rove akiwa miongoni mwa maofisa hao alikuwa akisema chini chini kwamba alikuwa anahisi Powell alikuwa ameteleza sehemu fulani na kwamba ilikuwa si kawaida kumwona akiwa katika hali isiyoonyesha furaha akiwa na Rais.




Kutoka katika kitabu kiitwacho "Vita Dhidi ya Ugaidi"

Na Yericko Nyerere
 
Ritz,Huyo jamaa mbona kashindwa masuala ya mada na kujibu shutuma za Marehemu Baba yake analeta mchezo wa kitoto hapa!?Hii shughuli ni nzito,si unaona Nguruvi3 A.K.A Vunja Mifupa ameingia mitini kinyemela. Mag3 nae,kaja na yaleyale mambo yake ya misuto kwa Sheikh Mohammed Said. Yule mpiga Kula Daku wa kiTanga,ndio kama tunavyojua kuwa kuna vitu vinamsumbua kuelewa.Yule mtu Zali la Mentali A.K.A Mchimba Chumvi na mwenzie Sumu Ya Nyoka ni hatari. Yaani wamechafua jamvi vibaya mno,kiasi kwamba jamaa woote wametimka. Kilchobaki sasa hapa ni kuleta maswali ya kitoto na ile janja ya paka,na kutaka kumuumiza kichwa Sheikh Mohammed.Nimefurahi Jasusi katumia ustaarabu kuanzisha mambo ya Music watu tuburudike. Lakini huko huko nako kwenye hiyo Music,Sheikh Mohammed kenda wamaliza kama alivyowamaliza awali kwenye Movies. Huyu mtu Wallahi ni hatari saana.Insha Allah tuburudike na kupendana.

Mohamed Said tumemuonyesha makosa ya wazi ya kitabu chake na yale yaliyojificha, tena tumemueleza kwa ufasaha na kwa lugha rahisi ya kitaifa,


Sioni sababu ya eti sisi tuwakimbie wafuasi wa Mohamed????
 

Wanajamvi,

Kazi na dawa.

All work and no play make Jack a dull boy.
Nimependa hapo kwa Eduardo Massengo.

(Check spelling ya ''Edward'' hivyo ndivyo Masengo alivyokuwa akiandika jina lake)

Hebu tusome kwa furaha habari hii kuhusu Massengo na promoter wake Peter Colmore.
Haya mambo yametokea katika miaka ya 1950 mjini Nairobi:

I sat behind the Mercedes with Peter Colmore.

His chauffer was dressed in khaki suit complete with cap.

He knew quite a lot about me from Ally Sykes.

Ihave never seen such an organized person in my life.

(Among the white people I had known in my life two of them stand out - Peter Colmore and Jim Bailey, the owner of Drum Magazine. These two gentlemen were all introduced to me by Ally Sykes and our friendship endured until when they passed away).

Colmore had catalogued newspaper cuttings, photographs, records in wax, CDs, tapes, films, etc, he wasa walking encyclopedia of the music and entertainment history in East Africa.

I had planned to interview Peter Colmore for three days and my area of interestbeing the 1950s.

Whatever I had wanted to know was in his finger tips, he would give me a cutting or play a tape for me or give me a narration in his upper class English accent.

Colmore could also speak Kiswahili well together with other local vernaculars.

I had all I wanted in less than a day and had lunch together.

I spent the rest of my time with him in his library going through his book collection and listening to very old recordings by Eduardo Massengo andMwenda Jean Bosco.

olmoresigned Eduardo Masengo the gifted guitarist from Elizabethville, Belgian Congo to promote Coca-Cola.

Masengo had come to Nairobi with a group called ‘Je-Co-Ke’ meaning, Jean Comedian Katanga.

Colmore who was already inbroadcasting was informed that there was a young man in town who played terrific guitar.

Colmore went to the hotel where Masengo was lodging.

There hefound Masengo in a filthy hotel at River Road.

He was sitting on the floor playing his guitar with people around him listening to his music.

This was the beginning ofthe association between Colmore and Masengo.

Growing up in Dar es Salaam of 1960s I remember very well the famous poster of Masengo in stripped blazer with his guitar and holding a bottle ofCoca-Cola.

There was also the famous photograph of Msafiri Morimori the trombone player.

These photographs were familiar in all newspapers in East Africa.

This had a dual effect to themusicians as well as to the products.

First the sales of the product rose asthe market responded to the idol, and second the music of the artist himself was promoted through his personality being associated with the product.

The artists made money, the industries made profit and more people wereemployed.

The quality of life of the people improved and at the end of the day everybody was happy more so HighFidelity Productions.

Wanajamvi,

Hivi ndivyo tunavyoyaona mambo mimi na ndugu zangu hapa jamvini.

Wao wanapita kijuujuu tu.
Mimi hawa watu waliotengeneza historia nilikuwa naishinao.

Hakika kwa hili namshukuru Allah.
Insha Allah watazamaji ndani ya uwanja watafika 200,000.

Kila siku Insha Allah nitawapa mambo mapya hawajapatapo kusikia.


Tunakusoma Moh Said,Tupe Burdan ikhuan..
Wamekosea sana,wamefanya kosa la jinai kutuchagulia upande huu,dakika ya 90 tisini dimbani hapa timu pinzani iko hoi sana,beki zimeshindwa kabisa kukaba..
twende kazi..
 
Ndugu Mohamed Said na wafuasi wako,

Kimsingi hoja yako ya Balozi kulihutubia bunge la Tanzania imethibitishwa kuwa ni UONGO tena ni uchochezi mbele ya uso wa kimataifa.


Sasa hebu jisomeeni hapo chini.




UGAIDI WA IRAQ.
Kwa wale wenye kufuatilia historia wataamini kuwa Iraq ni nchi iliyounga mkono vikundi vya kigaidi ulimwenguni na kwamba iliutumia ugaidi kama silaha ya kuwa kandamiza wananchi wake. Matumizi ya ugaidi wa taifa wa serikali ya Saddam Hussein yalikuwa ni suala kila siku la maisha ya Iraq, ambako uhuru wa kutoa maoni ulipingwa bila sababu maalum. Katika ripoti ya mwaka 2002 ya shirika la Amnesty International ilisema watu mbalimbali walikamatwa ikiwa ni pamoja na waliotetea haki za binadamu na maafisa wa jeshi waliotuhumiwa kutaka kuipindua serikali ya Saddam walinyongwa. Wapinzani wengi wa serikali ikiwa ni pamoja na vikundi vya upinzani vilivyo uhamishoni walikamatwa na kufungwa.

Hatima na mahali walipo wote waliokamatwa ni kitendawili. Watu kadha waliongezewa vifungo baada ya mwendo mrefu wa mashtaka katika mahakama. Mateso makubwa wafungwa wa kisiasa waliyapata. Hukumu ya kifo ilitiwa mkazo zaidi, Makosa yaliyostahili hukumu ya kifo ni pamoja na ukahaba, ushoga, mapenzi ya wanandugu na ubakaji. Sheria ya mwaka 2001 inasema wale watakao patikana na hatia ya kumiliki madanguro watauawa kwa upanga. Mateso yameenea! Amnesty inaripoti kwamba wafungwa wa kisiasa na mateka walikabiliwa na mateso makali, miili ya waliokufa ilionyesha alama za mateso makubwa. Mbinu rahisi ya mateso ya kimwili ni pamoja na kutumia umeme, kung'oa kucha au meno, kuchapwa, nk. Yote haya yalifanywa chini ya Saddam Hussen,

Mnamo September, 1971, makumi elfu walitimuliwa na kupelekwa Iran. Mapema mwaka 1973 jeshi la Iraq lilianza kuwahamisha Wakurd kutoka katika vijiji kwenye eneo la Kirkur na katika sekta mbalimbali katika mipaka ya Iraq, Uturuk na Iran. Katika mwaka 1971 na 1972 vyanzo vya usalama wa Taifa vya Iraq vilimuua kiongozi wa wakurd Mullah Mustapha Barzani. Taarifa zinasema kuwa Wakurd karibu 6,000 walikamatwa kufuatia kauli ya Saddam Hussen mwaka 1975, kwa kushukiwa kuwa ni wanachama wa Demokrasia cha Kikurd (Kurdish Democratic Part) na wakapelekwa kwenye kambi maalmu kusini mwa Iraq.

Mnamo mwaka 1976 Wakurdi 7,200 walikamatwa kwa tuhuma kwamba walijihusisha na vikundi vya upinzani na zaidi ya Wakurdi 786 waliripotiwa kukamatwa mwaka 1978. Hayo yote yalifanyika wakati Saddam hajashika hatamu za uongozi nchini Iraq lakini akiwa mstari wambele kuyatenda akiwa kama Luteni jenerali hadi kupewa nishani ya Rafidani (Rafidanian Order First Class) ya kijeshi. Sasa tuangalie alipokuja kushika madaraka na ndipo uthibitisho halisi kuwa utawala wa Sadam Hussein ulikuwa unamiliki silaha za kikemia, Biolojia na nyuklia.

Mwaka 1983 wakati Iraq ilipokuwa inakabiliwa na matatizo kutokana na vita dhidi ya Iran utawala wa chama hicho ukaamua kukaza kamba kuwabana Wakurdi, wakati vita dhidi ya Iran ilipopamba moto serikali iliona hakuna haja ya kuwaleta wakurdi na kuamua kuchukua miji na vijiji vyao hali iliyopelekea wakazi wengi kukimbia. Mnamo Aprili 1987 Wakurdi wengi waliokuwa chini ya Sheik Wasan waliuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na gesi ya sumu. Mnamo Jun 1987 sehemu kubwa ya kusini mwa Iraq ambayo watu wengi walikuwa wamekimbilia ilishambuliwa kwa mabomu ya gesi yaliyoporomoshwa na midege ya Iraq.

Mnamo Machi 16/ 1988 mji wa Wakkurd wa Halabja ulishushiwa mvua ya mabomu ya gesi na kusababisha watu 50,000 kufa na wengine 1000 kujeruhiwa kwa mujibu wa taarifa mbalimbali zilizotolewa na mashirika ya kimataifa. Mnamo Agosti 1980 majeshi ya serikali ya Saddam yaliripotiwa kuvamia vijiji kadhaa vya Wakurdi karibu na mji wa Duhok na kuwakamata watu 10,000 baadhi yao walikuwa na majeraha yaliyotokana na milipuko ya mabomu ya kikemikali na kibaiolojia.



Kutoka katika kitabu cha Vita Dhidi ya Ugaid

Na Yericko Nyerere
Yericko! malizana kwanza na historia ya Tanganyika!

Hayo uliyoyataja ni ugaidi wa Saddam ambao ulipelekea America kuiwekea vikwazo Iraq (kama unakumbuka), vikwazo vilivyosababisha vifo vya watoto zaidi ya milioni (wengine wanaiweka idadi kuwa milioni mbili) kwa kukosa madawa!

Madeleine Albright alipoulizwa kuhusu hili alisema kuwa ni kwa sababu hawataki kumuondoa Saddam!...raia wa kawaida wasingeweza kumuondoa Saddam sembuse watoto!

Vikwazo vile havikumuathiri Saddam kitu chochote bali ni raia wa Kiiraq wa kawaida (Amerika walikuwa wakilijua hili) hivyo walengwa walikuwa ni Wairaq wa kawaida; kinamama,watoto,wazee n.k kwa kosa gani?
 

Wanajamvi,

Kazi na dawa.

All work and no play make Jack a dull boy.
Nimependa hapo kwa Eduardo Massengo.

(Check spelling ya ''Edward'' hivyo ndivyo Masengo alivyokuwa akiandika jina lake)

Hebu tusome kwa furaha habari hii kuhusu Massengo na promoter wake Peter Colmore.
Haya mambo yametokea katika miaka ya 1950 mjini Nairobi:

I sat behind the Mercedes with Peter Colmore.

His chauffer was dressed in khaki suit complete with cap.

He knew quite a lot about me from Ally Sykes.

Ihave never seen such an organized person in my life.

(Among the white people I had known in my life two of them stand out - Peter Colmore and Jim Bailey, the owner of Drum Magazine. These two gentlemen were all introduced to me by Ally Sykes and our friendship endured until when they passed away).

Colmore had catalogued newspaper cuttings, photographs, records in wax, CDs, tapes, films, etc, he wasa walking encyclopedia of the music and entertainment history in East Africa.

I had planned to interview Peter Colmore for three days and my area of interestbeing the 1950s.

Whatever I had wanted to know was in his finger tips, he would give me a cutting or play a tape for me or give me a narration in his upper class English accent.

Colmore could also speak Kiswahili well together with other local vernaculars.

I had all I wanted in less than a day and had lunch together.

I spent the rest of my time with him in his library going through his book collection and listening to very old recordings by Eduardo Massengo andMwenda Jean Bosco.

olmoresigned Eduardo Masengo the gifted guitarist from Elizabethville, Belgian Congo to promote Coca-Cola.

Masengo had come to Nairobi with a group called ‘Je-Co-Ke’ meaning, Jean Comedian Katanga.

Colmore who was already inbroadcasting was informed that there was a young man in town who played terrific guitar.

Colmore went to the hotel where Masengo was lodging.

There hefound Masengo in a filthy hotel at River Road.

He was sitting on the floor playing his guitar with people around him listening to his music.

This was the beginning ofthe association between Colmore and Masengo.

Growing up in Dar es Salaam of 1960s I remember very well the famous poster of Masengo in stripped blazer with his guitar and holding a bottle ofCoca-Cola.

There was also the famous photograph of Msafiri Morimori the trombone player.

These photographs were familiar in all newspapers in East Africa.

This had a dual effect to themusicians as well as to the products.

First the sales of the product rose asthe market responded to the idol, and second the music of the artist himself was promoted through his personality being associated with the product.

The artists made money, the industries made profit and more people wereemployed.

The quality of life of the people improved and at the end of the day everybody was happy more so HighFidelity Productions.

Wanajamvi,

Hivi ndivyo tunavyoyaona mambo mimi na ndugu zangu hapa jamvini.

Wao wanapita kijuujuu tu.
Mimi hawa watu waliotengeneza historia nilikuwa naishinao.

Hakika kwa hili namshukuru Allah.
Insha Allah watazamaji ndani ya uwanja watafika 200,000.

Kila siku Insha Allah nitawapa mambo mapya hawajapatapo kusikia.


Tunakusoma Moh Said,Tupe Burdan ikhuan..
Wamekosea sana,wamefanya kosa la jinai kutuchagulia upande huu,dakika ya 90 tisini dimbani hapa timu pinzani iko hoi sana,beki zimeshindwa kabisa kukaba..
twende kazi..
 
Sikujua kama mada ni kumpinga Nyerere na hiyo kwenye "bold" utakuwa umeongezea kutokana na darasa alilotoa Wickama kuhusu EAMWS ila mimi nakuhakikishia wanaopinga uchochezi wa Mohamed Said, wanatoka dini zote, makabila yote na kanda zote bila kubaguana kwa namna yoyote ile...turudi kwenye mada.

Na mimi naongezea kidogo...mitafaruku baina ya Waislaam, wenyewe kwa wenyewe, ilianza zamani sana. Kubwa ni wakati jumuiya ya Isma’ili Khoja chini ya Aga Khan wakifungua tawi la EAMWS Tanganyika mwaka 1945. Ugomvi mkubwa ulianzia hapo wa nani watambulike kama wawakilishi wa Waislaam na hili Mohamed Said hathubutu kuliongelea, hapana, lita"dilute" sumu ya ngano zake. Iliyojulikana kama Al Islamia Jamiatul lslamiyya fi Tanganyika haikufurahishwa na ujio wa EAMWS na kusababisha uhasama mkubwa baina ya hizi jumuiya mbili. Huu uhasama uliendelea hadi tunapata uhuru mwaka 1961.

Mwanzoni mwa mwaka 1968, serikali ilitaka sana kushirikiana na EAMWS na iliiona jumuiya hii kama mwakilishi rasmi wa Waislaam kitaifa wa kuweza kuongea kwa niaba yao. Bahati mbaya baada ya chama cha AMNUT kuzikwa rasmi miaka michache nyuma, wale wote waliokuwa na malengo ya kuipinga serikali walihamia EAMWS. Ghafla mgogoro mkubwa ukazuka ndani ya jumuiya hii kati ya Waislaam walioiunga mkono na Waislaam walioipinga TANU, chama kilichounda serikali. Ili kuepusha shari na hali ya hatari iliyojitokeza baina ya kundi hizi mbili, serikali kwa ushauri wa viongozi Waislaam iliipiga marufuku EAMWS.

Mag3. Next time dont even bother to waste fuel on irrelevancies za "watu wa Musoma". Internet haina wilaya. Mwenzio hajui haya. Yanamtaabisha. Mwache. Awali tulishasema hawa ni wabaguzi na hawawezi kuhimili hoja. Dont waste your time. Angalia, hakuna anayetaka kusema huyu Sheikh wa EAMWS alifukuzwa kwa siasa ZIPI? Hivi ukiomba waislamu wajengewe University unafungwa? Professa wangu pale SUA na wenzie waliohenyea MUM basi wangekuwa kizuizini. Huyu Sheikh alikuwa anatoa Faatiah kwenye mikutano gani ya kisiasa hadi akaonywa kuwa please take care wa wenye kheri na yeye. Kwa agenda ipi? tena 1964-1965? Paper ya Dr Issa Ziddy ipo wazi. Kuna mtu hataki kusema ukweli kuwa nduguye ALIKUWA NDUMILAKUWILI. Kwenye TANU apate na kwenye AMNUT anawapa support through EAMWS. Ukisoma paper yote utajua Dr Ziddy kaacha kueleza hii mikutano ilikuwa ya nini labda katika kumstahi Sheikh. But now we know.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako ukisoma post zangu unazisoma kwa ushabiki wewe umesema watu wameingia jf kwa majina ambayo sio halisi kwahiyo huwezi kujua imani yake na mimi nikakwambia hata wewe inawezekana unajifanya ni ATHIEST kumbe ni PADRI hebu jitahidi kuwa muungwana kuwa mstaarabu hivyo ufanyavyo sivyo :nono::nono::nono:
Bado nakwambia uwe unaushirikisha ubongo wako unapoandika mawazo yako!huwezi kuwalinganisha hao watu wawali. Kwahiyo wewe Boko haram unaweza kujifanya mkristo ili ule nyama ya nguruwe?
 
Mag3. Next time dont even bother to waste fuel on irrelevancies za "watu wa Musoma". Internet haina wilaya. Mwenzio hajui haya. Yanamtaabisha. Mwache. Awali tulishasema hawa ni wabaguzi na hawawezi kuhimili hoja. Dont waste your time. Angalia, hakuna anayetaka kusema huyu Sheikh wa EAMWS alifukuzwa kwa siasa ZIPI? Hivi ukiomba waislamu wajengewe University unafungwa? Professa wangu pale SUA na wenzie waliohenyea MUM basi wangekuwa kizuizini. Huyu Sheikh alikuwa anatoa Faatiah kwenye mikutano gani ya kisiasa hadi akaonywa kuwa please take care wa wenye kheri na yeye. Kwa agenda ipi? tena 1964-1965? Paper ya Dr Issa Ziddy ipo wazi. Kuna mtu hataki kusema ukweli kuwa nduguye ALIKUWA NDUMILAKUWILI. Kwenye TANU apate na kwenye AMNUT anawapa support through EAMWS. Ukisoma paper yote utajua Dr Ziddy kaacha kueleza hii mikutano ilikuwa ya nini labda katika kumstahi Sheikh. But now we know.

Wewe toka ulivyosema Waislam wanatakiwa kumshukuru Mkapa nikakuweka kundi moja na Abuu Jahari, wamshukuru kwa lipi? Hakuna kitu kibaya kama unafiki na kujipendekeza.
 
Mag3. Next time dont even bother to waste fuel on irrelevancies za "watu wa Musoma". Internet haina wilaya. Mwenzio hajui haya. Yanamtaabisha. Mwache. Awali tulishasema hawa ni wabaguzi na hawawezi kuhimili hoja. Dont waste your time. Angalia, hakuna anayetaka kusema huyu Sheikh wa EAMWS alifukuzwa kwa siasa ZIPI? Hivi ukiomba waislamu wajengewe University unafungwa? Professa wangu pale SUA na wenzie waliohenyea MUM basi wangekuwa kizuizini. Huyu Sheikh alikuwa anatoa Faatiah kwenye mikutano gani ya kisiasa hadi akaonywa kuwa please take care wa wenye kheri na yeye. Kwa agenda ipi? tena 1964-1965? Paper ya Dr Issa Ziddy ipo wazi. Kuna mtu hataki kusema ukweli kuwa nduguye ALIKUWA NDUMILAKUWILI. Kwenye TANU apate na kwenye AMNUT anawapa support through EAMWS. Ukisoma paper yote utajua Dr Ziddy kaacha kueleza hii mikutano ilikuwa ya nini labda katika kumstahi Sheikh. But now we know.

Wickama,
Hujui mchango wa Sheikh Hassan bin Amir si kwa Nyerere wala
kwa TANU.

Ugomvi wa Waislam kujenga Chuo Kikuu sasa ni mashuhuri ni
kisa ambacho Waislam wanakijua vyema.

Dr. Ziddy nimefahamiananae Kampala kwenye mkutano na tukikaa
hoteli moja.

Alinizungumza kuhusu kitabu anachoandika cha Sheikh Hassan bin
Amir.

Nilimfahamisha kuwa mie tayari nina mswada wake na umekamilika.

Nikamweleza midhali wewe unaandika basi mimi nitakupa niyajuayo
kuhusu Sheikh Hassan bin Amir.

Kitu kilichonisikitisha kwake na nilimuhurumia aliponifahamisha kuwa
hatoweza kuandika kuhusu ugomvi wa Sheikh Hassan na Nyerere mara
tu baada ya uhuru kwa kuwa yeye ni mtumishi wa serikali ya Zanzibar.

Ikiwa ataandika kisa kile kwa ukamilifu wake huenda akaingia matatani.

Ala kuli hali kitabu cha Dr. Ziddy kimetoka na kama alivosema mwenyewe
habari kamili za Sheikh Hassan bin Amir hakuziandika.

Haya ndiyo matatizo yanayowakabili wasomi wetu.
 
Ritz,Huyo jamaa mbona kashindwa masuala ya mada na kujibu shutuma za Marehemu Baba yake analeta mchezo wa kitoto hapa!?Hii shughuli ni nzito,si unaona Nguruvi3 A.K.A Vunja Mifupa ameingia mitini kinyemela. Mag3 nae,kaja na yaleyale mambo yake ya misuto kwa Sheikh Mohammed Said. Yule mpiga Kula Daku wa kiTanga,ndio kama tunavyojua kuwa kuna vitu vinamsumbua kuelewa.Yule mtu Zali la Mentali A.K.A Mchimba Chumvi na mwenzie Sumu Ya Nyoka ni hatari. Yaani wamechafua jamvi vibaya mno,kiasi kwamba jamaa woote wametimka. Kilchobaki sasa hapa ni kuleta maswali ya kitoto na ile janja ya paka,na kutaka kumuumiza kichwa Sheikh Mohammed.Nimefurahi Jasusi katumia ustaarabu kuanzisha mambo ya Music watu tuburudike. Lakini huko huko nako kwenye hiyo Music,Sheikh Mohammed kenda wamaliza kama alivyowamaliza awali kwenye Movies. Huyu mtu Wallahi ni hatari saana.Insha Allah tuburudike na kupendana.

gombesugu,

Yericko Nyerere siyo mtoto wa Julius Kambarage Nyerere anatumia tu hilo jina mwanzo wa mnakasha huu alikuwa anajinasibisha na Nyerere kama baba yake mzazi bahati nzuri alikuja mtoto wa kwanza wa Julius Kambarage Nyerere, Andrew Nyerere akamkana kuwa siyo ndugu yao hamjui.

Aliulizwa swali moja tu mama yako ni nani mpaka leo kimya hajajibu.

Zali la Mentali, kachafua hali ya hewa humu jamvini.
 
Last edited by a moderator:
Hakika ni NGANO tena ngano ya nera!


Jipumzishe na hiyooo!!!


CRAIG KELLY AMPA UJUMBE POWELL.
Huko mjini Lima, Peru, asubuhi hiyo, waziri wa mambo ya Nje Colin L. Powell alikuwa ndiyo kwanza ameanza kupata kifungua kinywa na rais mpya Alejandro Toledo. Powell alikuwa anahudhuria mkutano wa nchi za umoja wa Nchi za Amerika. .Alikuwa na mategemeo ya mawasiliano mema na mawaziri wa nchi za nje au viongozi 34 wa nchi 35 za eneo hilo.Cuba ilikuwa haikukaribishwa, Toledo alikuwa anasisitiza kuhusu mgao wa soko wa nguo kutoka Marekani . Alitaka kuondolewa kwa kodi katika pamba ya hadhi ya juu ambayo alidai isingeweza kushindanishwa na pamba ya hadhi ya chini iliyokuwa inazalishwa katika mataifa ya kusini ya Marekani ambayo ilikuwa inataka pawepo mgao huo katika soko.

Ghafla mlango ukafunguliwa na Craig Kelly, msaidizi mtendaji wa Powell, aliingia haraka akiwa na ujumbe uliokuwa umeandikwa katika kipande cha karatasi kilichokuwa kimechanwa kutoka katika kitabu cha kumbukumbu .Ndege mbili zimejibamiza katika kituo cha Biashara cha kimataifa. Ndege mbili, si tukio la ajali, Powell alitambua .ujumbe wa pili ulisema kwamba ndege hizo zilikuwa ni za injini ya "jet" .Powell akafikiri, nilazima niende nyumbani. Hata kama kimetokea nini, hali ilikuwa ni mbaya mno kwake kuendelea kukaa katika mkutano wa mawaziri wa mamboya nje mjini Peru. "Hebu tayarisha ndege, alimwambia Kelly, Nenda kawaambie tunasubiri". Ingechukua kiasi cha saa moja kuitayarisha ndege, hivyo Powell aliueleza mkutano huo.

Mawaziri wengine walitoa hotuba za kumpa pole. Powell alizungumza kwa ufupi, akiwashukuru wajumbe wa mkutano huo kwa pole zao na kuahidi kwamba Marekani inachukua hatua mara moja "Mkasa mkubwa sana umeikumba nchi yangu," alisema "Lakini….lazima mfahamu kwamba Amerika itapambana na wakosaji watafikishwa mbele ya haki. Mfahamu kwamba pamoja na siku hii kuwa mbaya kwetu, nilazima tutashinda kwani sisi ni taifa lenye nguvu na linalo jiamini duniani' Wajumbe wengine walisimama nakupiga makofi. Mara tu baada ya ndege kuondoka Powell alifahamu kwamba asingezungumza na mtu yeyote kwavile vyombo vyake vya mawasiliano vilikuwa vimeunganishwa na mfumo wa mawasiliano nchini Marekani ambao ulikuwa umejaa habari mbalimbali za ma wasiliano.

Bila yasimu au barua pepe, alikuwa ni sawa na mtu ambaye hakuwa na nchi. Baada ya dakika kadhaa alikwenda mbele ya ndege kupiga mawasiliano ya radio. Hiyo ilimaanisha mawasiliano hayo hayakuwa na usalama. Alimpata Richard L Armitage, naibu waziri wa mambo ya nje na rafiki yake mkubwa, walizungumza mara kadha, lakini mazungumzo ya maana hayakuwezekana. Armitage ambaye alihitimu chuo cha jeshi la maji mwaka 1967 alikuwa ametumikia jeshi mara nne nchini Vietnam na baadaye akawa Naibu waziri wa ulinzi katika utawala wa Reagan. Alikuwa ni mtu mwenye kupenda kusema ukweli mwenye tambo kubwa na kifua kipana ambaye hakupenda kuzungumzia diplomasia yenye kujificha.

Hata kabla hawajawa wakuu wa wizara ya mambo ya nje Powell na Armitage walikuwa wakizungumza mara kadhaa kila siku. "Mtu huyu ninamwamini kuhusu uhai wangu, watoto wangu, hadhi yangu, kila kitu ambacho ninacho," alikuwa akisema Powell kuhusiana na Armitage. Katika mambo yote ambayo Powell alikuwa anayachukia, ni kushindwa kuchukua hatua yoyote wakati wa tatizo ndilo jambo lililokuwa linashika nafasi ya kwanza. Jambo kuu katika upangaji wa sera za usalama wa taifa, na timu ya Ikulu au ya usalama wa taifa ingetaka kuweka msimamo gani katika upangaji wa sera kulikuwa kuna utaratibu wa kipekee katika nyakati za matukio makubwa. Hali ya migogoro ndiyo ilitoa fursa ya kuwepo hatari kubwa zaidi na fursa kubwa zaidi za utendaji wa kazi. Ni mmarekani wa kwanza mweusi kuweka historia ya kuhudumu katika ngazi za juu za utawala wa Marekani.

Akiwa na umri wa miaka 64 katika kipindi cha mgogoro Powell alikuwa tayari amekaa katika viti vitatu vya chumba cha dharura vya Ikulu ambavyo ni mshauri wa kitaifa kwa Rais Regan kwa muda wa mwaka mmoja, kisha akawa mwenyekiti wa Muungano wa Wanadhimu kwa Rais Bush wa kwanza wakati wa vita vya Ghuba, na wakati mgogoro alikuwa ni Waziri wa mambo ya nje kwa rais George W. Bush. Ripoti nyingine ilifuata ikisema kwamba makao makuu ya jeshi yalikuwa yameshambuliwa, na kulikuwa na ripoti na uvumi usioaminika kwamba kulikuwa na ndege nyingine zikiruka kila mahali.

Powell alianza kuandika notisi kwa ajili ya matumizi yake, aliandika hivi, "Watu wangu watakuwa na majukumu gani"? Je, ulimwengu na Marekani zitajibu vipi tukio hili? Je, hali itakuwa vipi kwa Umoja wa Mataifa? Je, Umoja wa kujihami wa NATO? Je, nitaanzaje kuwaita watu mbali mbali wakusanyike? Masaa saba kutowasiliana na mtu yeyote yalionekana kama miaka isiyohesabika kwa mtu huyo ambaye angekuwa mkuu wa majeshi. Mnamo 1995, miaka miwili Powell akiwa amestaafu kutoka jeshini, alikuwa amefikiria kugombea urais. Aliandika kitabu cha simulizi ya maisha yake kiitwacho My America Journey (Safari yangu ya Amerika) ambacho kilishika nafasi ya kwanza kitaifa katika idara ya mauzo.

Alikuwa amejichimbia katika siasa za Marekani akiwa katika kiwango cha makadirio ya juu kiumaarufu ambacho uteuzi wa chama cha Repblican ulikuwa ni wa kutaka aseme tu, na urais alikuwa karibu sana kuufikia. Armitage alikuwa amekipinga kitu hicho kwa nguvu "hapana haja. "Achana nacho" alimshauri rafiki yake huyo, "sidhani kama uko tayari kwa kitu kama hicho". Shughuli ya kuendesha kampeni ni jambo ambalo Powell alikuwa halipendi, "inajumuisha kila kitu kibaya unachoweza kukifikiria." Powell alikuwa anapenda mipango iliyotayarishwa vyema utaratibu mwema wenye kuweza kutabirika, na kiwango cha uhakika jambo ambalo halikuwa ni sehemu ya siasa za haraka haraka za Marekani.

Ilikuwa inafahamika wazi kwamba mkewe, Alma, alikuwa hapendi jaribio hilo kugombea nafasi hizo. Kilichokuwa siri ni kwamba Alma alikuwa amemwambia wazi kwamba iwapo angegombea urais angemwacha. "Ukigombea tu naondoka", alisema. Alma alikuwa anaogopa kwamba (mumewe) angeshambuliwa au kupingwa risasi. Mumewe kugombea urais, "akishinda" na yeye kuwa mke wa rais ni mambo ambayomwanamke huyo alikuwa hayataki maishani mwake."Itabidi uyafanye mambo hayo peke yako," alisema. Baada ya Bush kushinda uteuzi wa kugombea urais wa chama cha Repblican mwaka 2000, Powell alisaini makubaliano ya kutoa msaada, lakini Karl Rove aligundua kwamba kampeni hiyo ilikuwa ifanye juu chini kumwezesha aonekane katika tukio lolote sambamba na Bush. Karibu wafuasi wote muhimu wa Repblican walikubaliana kwamba chaguo la kugombea urais siyo Powell.

Watu wake walitaka kufahamu ni nani mwingine ambaye angekuwepo kwenye tukio muhimu la chama hicho, kitu gani kingesemwa, nani wangehudhuria, na lengo la kisiasa lilikuwa nini. Yote haya yalikuwa yamepangwa kuelekeza mgawanyiko dhidi ya Powell na si Bush. Isitoshe ni nyenzo za kumweka Bush katika siasa za mlengo wa kati na baadaye akawa ndiye chaguo kuu la kuwa waziri wa mambo ya nje iwapo Bush angechaguliwa kuwa rais. Katika sura ya nchi zaidi kulikuwa na hisia kubwa kuwa walifahamu kuwa walikuwa wanachagua timu si Bush na makamu mgombea mwenza wake, Waziri wa ulinzi wa zamani Dick Cheney, pia Powell. Wakati mahakama kuu ilipomtangaza Bush kuwa mshindi kwa kura 537 katika mkanganyiko wa uchaguzi huko Florida washauri wa Powell walikuwa na imani kwamba bosi wao alikuwa amesaidia kwa kiwango kikubwa sana katika ushindi huo.

Katika miezi yake ya kwanza akiwa waziri wa mambo ya nje Powell alikuwa hajaliziba pengo la uhusiano wake na Bush ambalo halikuwafanya wawe karibu zaidi kama alivyokuwa na uhusiano wa karibu na watu wengine. Kulikuwa na pengo kati ya watu hao wenye kuunganishwa na maelewano ya kirafiki. Bush na Powell walikuwa wanataniana wakiwa na watu wengine lakini walifanya hivyo mara chache sana wakiwa wawili. Rove alihisi kwamba Powell alikuwa anajidukiza mno kisiasa na kuendesha shughuli zake nje ya cheo chake. "Lazima ufahamu siku zote kwamba vyote hivi ni siasa na mimi ndiye nitaushinda mchezo huu wa kisiasa," Rove alimwambia kwa faragha Powell. Kila mara Powell alipokuwa katika mandhari ya mbele kuhusiana na suala fulani na kuonekana kuwa ndiyo sura ya utawala, shughuli za kisiasa na mawasiliano huko Ikulu zilihakikisha zina mweka pembeni mwa mandhari na mwanga wa kisiasa.

Rove na Karen P. Hughes mkurugenzi wa muda mrefu wa mawasiliano wa Bush ambaye wakati huo alikuwa ni mshauri Ikulu waliamua nani miongoni mwa viongozi angetokea katika kipindi cha mazungumzo cha jumapili kipindi maarufu cha televisheni kuhusu habari za jioni na asubuhi. Iwapo Ikuluisingetoa taarifa kupendekeza kwamba akubali mwaliko wa kutokea kwenyekipindi hicho Powell alikuwa anafahamu utaratibu mzima. Aliwaambiawatayarishaji wa kipindi hicho. Mnamo Aprili 2001 wakati ndege moja ya ujasusi wa kijeshi ya Marekani aina ya EP-3E ilipokingamwa na ndege za kivita katika pwani ya China, ikalazimishwa na serikali ya China kutua na kukamatwa mateka wote 24 waliokuwa katika ndege hiyo. Ikulu ilikuwa imedhamiria kuona kwamba Bush hajihusishi na suala hilo ili rais huyo asionekane kuwa mzungumzaji katika mgogoro huo.

Ilikuwa ni kama vile hapakuwepo na mgogoro wa mateka, hii ilikuwa ni kwa kutia maanani jinsi mgogoro wa mateka huko Iran ulivyomdhoofisha Rais Carter na jinsi mgogoro wa mateka huko Lebanon ulivyokuja kumwathiri Rais Reagan katikati ya miaka ya 1980. Suala hilo lilipelekwa kwa Powell ambaye alifanikisha kuachiliwa kwa mateka hao baada ya siku 11. Ulikuwa ni ushindi mkubwa lakini hata hivyo, Ikulu haikutaka atokee kwenye televisheni kupata sifa alizostahili. Powell na Armitage walikuwa wanataniana na kusema kwamba Powell alikuwa amewekwa katika kisanduku cha barafu au kwenye friji ambapo alikuwa anatumiwa tu wakati akitakiwa. Muda mfupi kabla ya mashambulizi ya September 11, jarida la times lilikuwa limeandika habari moja kuu kuhusiana na Powell ikiwa na kichwa cha habari "Umekwenda wapi Colin Powell"? Habari hiyo ilisema kwamba alikuwa akiacha nyoyo zikiwa kwenye kina kirefu kuhusiana na sera mbali mbali na kuonekana kuwa amemezwa na watu wenye msimamo mkali katika utawala uliokuwa madarakani.

Habari hiyo ilitoa changamoto kubwa kwa Ikulu ambako maofisa kadhaa walikuwa wamewashikilia waandishi kuthibitisha kwamba Powell alikuwa akifanya kazi kama kawaida wakati mwingine akiwa amekata tama.mara nyingi akifanya kazi kwa upweke akiwa amejikita pembeni na utawala huo mpya. Rove akiwa miongoni mwa maofisa hao alikuwa akisema chini chini kwamba alikuwa anahisi Powell alikuwa ameteleza sehemu fulani na kwamba ilikuwa si kawaida kumwona akiwa katika hali isiyoonyesha furaha akiwa na Rais.




Kutoka katika kitabu kiitwacho "Vita Dhidi ya Ugaidi"

Na Yericko Nyerere

Yericko,
Unaweza kuwa kama Omari Chambati au Hammie Rajab.

Peter Cheyney unambadilisha jina unamtia mitaa ya Dar.
 
Yericko,
Unaweza kuwa kama Omari Chambati au Hammie Rajab.

Peter Cheyney unambadilisha jina unamtia mitaa ya Dar.

Kunilinganisha na hao inaweza kuwa turufu tata, lakini mantiki ya mnakasha inasimama wima kama ilivyonenwa!

Vipi mzee wangu unataka kujua zaidi juu elimu nikupaya sawasawa na vita dhidi ya ugaidi ama nikupe kile kisa nilichokuuliza juu ya Chifu Sapi na Mzee Nyerere?
 
Ritz,Huyo jamaa mbona kashindwa masuala ya mada na kujibu shutuma za Marehemu Baba yake analeta mchezo wa kitoto hapa!?Hii shughuli ni nzito,si unaona Nguruvi3 A.K.A Vunja Mifupa ameingia mitini kinyemela. Mag3 nae,kaja na yaleyale mambo yake ya misuto kwa Sheikh Mohammed Said. Yule mpiga Kula Daku wa kiTanga,ndio kama tunavyojua kuwa kuna vitu vinamsumbua kuelewa.Yule mtu Zali la Mentali A.K.A Mchimba Chumvi na mwenzie Sumu Ya Nyoka ni hatari. Yaani wamechafua jamvi vibaya mno,kiasi kwamba jamaa woote wametimka. Kilchobaki sasa hapa ni kuleta maswali ya kitoto na ile janja ya paka,na kutaka kumuumiza kichwa Sheikh Mohammed.Nimefurahi Jasusi katumia ustaarabu kuanzisha mambo ya Music watu tuburudike. Lakini huko huko nako kwenye hiyo Music,Sheikh Mohammed kenda wamaliza kama alivyowamaliza awali kwenye Movies. Huyu mtu Wallahi ni hatari saana.Insha Allah tuburudike na kupendana.
Gombesugu,Haha ha ha ! unapenda sana kusoma habari zangu.

Unamkumbuka mtu anaitwa Zomba. Watu walimpuuza na sijui kama yupo kwa ID nyingine au ndio kaondoka jamvini
Hivi mtu akisema kifo cha Nyerere ni laana, unasababu ya kujadiliana na mtu huyo.

Miye nala sahani moja na mtu aliyepanda ndege hadi Lagos bila kujua anaeleza kitu gani, aliporudi akaa na nyaraka bila utafiti. Tukamwambia hapana si hivyo akaja na tarehe zisizokuwepo. Huyu ndiye wakuhangaika naye.
Akina kadogoo, tunawaombe kwa mola awajaze hekima, awafungue macho na awepe ujuzi inshallah.
 
Gombesugu,Haha ha ha ! unapenda sana kusoma habari zangu.

Unamkumbuka mtu anaitwa Zomba. Watu walimpuuza na sijui kama yupo kwa ID nyingine au ndio kaondoka jamvini
Hivi mtu akisema kifo cha Nyerere ni laana, unasababu ya kujadiliana na mtu huyo.

Miye nala sahani moja na mtu aliyepanda ndege hadi Lagos bila kujua anaeleza kitu gani, aliporudi akaa na nyaraka bila utafiti. Tukamwambia hapana si hivyo akaja na tarehe zisizokuwepo. Huyu ndiye wakuhangaika naye.
Akina kadogoo, tunawaombe kwa mola awajaze hekima, awafungue macho na awepe ujuzi inshallah.

Mkuu Nguru3

Kwakuongeza zaidi

Mtu anaezuia wengine wasihoji ama kudadisi chochote juu ya anachodai yeye tu ndie anajua,

Mtu anaethubutu kusimama wima na kusema TANU haikuasisiwa tarehe 7/7/1954 bali iliasisiwa huko nchi za mbali BAMA.

Hakika huyu ndie wakutenga mda kabisa wakukabiliana na uongo wake.
 
Gombesugu,Haha ha ha ! unapenda sana kusoma habari zangu.

Unamkumbuka mtu anaitwa Zomba. Watu walimpuuza na sijui kama yupo kwa ID nyingine au ndio kaondoka jamvini
Hivi mtu akisema kifo cha Nyerere ni laana, unasababu ya kujadiliana na mtu huyo.

Miye nala sahani moja na mtu aliyepanda ndege hadi Lagos bila kujua anaeleza kitu gani, aliporudi akaa na nyaraka bila utafiti. Tukamwambia hapana si hivyo akaja na tarehe zisizokuwepo. Huyu ndiye wakuhangaika naye.
Akina kadogoo, tunawaombe kwa mola awajaze hekima, awafungue macho na awepe ujuzi inshallah.
Nguruvi3, zomba mbona karejea kitambo? Tangu lini kinyonga kaacha kuitwa kinyonga kwa kubadili rangi! Anyway hayo tuyaache...
Mohamed Said,
Wewe habari ingine kiboko umewafanya watu wazima waachane na historia ya kivukoni waanze kubukuwa vitabu vya kina Illife na Listowel leo hii...Siku zote walikuwa wanaamini kila kitu Nyerere.
Hapana Ritz, hatubukuwi hivyo vitabu kwa lengo hilo, tunavibukuwa kuonesha Mohamed Said alivyotayari kupindisha hadi maandishi ya watu hao katika kuutetea uongo wake. Mifano tumetoa mingi jinsi alivyojaribu kupotosha maandishi ya Illife kukidhi matakwa yake ya kichochezi.

Hata hicho kitabu cha Kivukoni nacho imebidi tukibukuwe tena kuonesha dai la uongo kuhusu kutajwa kwa baadhi ya wazee wake wa Gerezani. Tatizo ni kwamba tunao ma"zombie" humu ambao hata hivyo vitabu hawajawahi kuvisoma lakini wanameza ngano za Mohamed Said kama kawa.

Kuhusu mwana muziki wa Katanga, Congo Masemgo Edward (1930 - 2003) ni kwamba aliyetumbukiza hilo jina humu mwanzo ni huyo huyo Mohamed Said katika kuwateka akina Ritz & co. FYI miaka ya 1950s Masengo akiwa katika "peak" yake Mohamed Said sina hakika alikuwa na umri gani...je umemuuliza?

Hayo nayo tuyaache, tujikite katika mada kuhusu uchochezi na dhihaka zake kwa wapigania uhuru...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nguru3

Kwakuongeza zaidi

Mtu anaezuia wengine wasihoji ama kudadisi chochote juu ya anachodai yeye tu ndie anajua,

Mtu anaethubutu kusimama wima na kusema TANU haikuasisiwa tarehe 7/7/1954 bali iliasisiwa huko nchi za mbali BAMA.

Hakika huyu ndie wakutenga mda kabisa wakukabiliana na uongo wake.

Yericko,
Huwezi kumtoa Abdulwahid Sykes na historia ya kuasisiwa kwa TANU kama vile
ulivyoitaja Burma.

Ni vigumu kuiandika historia ya TANU bila kugusia yaliyopitika Burma wakati wa
Vita Vya Pili Vya Dunia.

Walijaribu kuiandika historia ya TANU bila Abdu Sykes jiulize wamefanikiwa?
Jiulize tena.

Unaweza kuiandika historia ya uhuru wa Kenya bila kutaja Mau Mau?
Au unaweza kuiandika historia ya KANU ukamwacha Bildad Kaggia?

Tahadhari sana na kauli zako usiendelee kuwa kichekesho cha jamvi.
Jua kuna watazamaji wanakimbilia sasa 200,000.

Lakini kama ninavyopenda kusema.

Amini nafsi yako inavyokutuma hakuna ugomvi maandishi yetu yako huru
kwingi na wasomaji wana akili zao.

Wao ndiyo waamuzi wa mwisho wataamua nani puruzai na nani ana yakini.
Ama limetajwa la majibu yangu kwa Balozi Robert Royall.

Mnakasha ule haukuwa Lagos bali Chuo Kikuu Cha Ibadan.
Na tujaalie Balozi hakuzungumza na Bunge kazungumza na Kamati ya Bunge.

Sasa ndiyo ibadili kitu gani.
Kuwa hakuzunguza kwenye Bunge Dodoma?

Twende mbele zaidi na tujaalie hata hao wabunge katika kamati hakupata kuwaona.
Haya sasa ndiyo iwe nini?
 
Nguruvi3, zomba mbona karejea kitambo? Tangu lini kinyonga kaacha kuitwa kinyonga kwa kubadili rangi! Anyway hayo tuyaache...

Hapana Ritz, hatubukuwi hivyo vitabu kwa lengo hilo, tunavibukuwa kuonesha Mohamed Said alivyotayari kupindisha hadi maandishi ya watu hao katika kuutetea uongo wake. Mifano tumetoa mingi jinsi alivyojaribu kupotosha maandishi ya Illife kukidhi matakwa yake ya kichochezi.

Hata hicho kitabu cha Kivukoni nacho imebidi tukibukuwe tena kuonesha dai la uongo kuhusu kutajwa kwa baadhi ya wazee wake wa Gerezani. Tatizo ni kwamba tunao ma"zombie" humu ambao hata hivyo vitabu hawajawahi kuvisoma lakini wanameza ngano za Mohamed Said kama kawa.

Kuhusu mwana muziki wa Katanga, Congo Masemgo Edward (1930 - 2003) ni kwamba aliyetumbukiza hilo jina humu mwanzo ni huyo huyo Mohamed Said katika kuwateka akina Ritz & co. FYI miaka ya 1950s Masengo akiwa katika "peak" yake Mohamed Said sina hakika alikuwa na umri gani...je umemuuliza?

Hayo nayo tuyaache, tujikite katika mada kuhusu uchochezi na dhihaka zake kwa wapigania uhuru...

Wanajamvi,
Nacheka peke yangu.

Wala si jambo la kujisifu na wakati mwingine hujuta na nafsi yangu kwa ''exposure''
ile.

Nimemjua Peter Colmore katika miaka ya katikati ya 1960 kwa kuwa nyumba yetu
ilikuwa karibu na ofisi yake hapa Dar es Salaam.

Nikenda katika ofisi ile ambako Ally Sykes akiitumia.
Muziki ulikuwa katika nyumba yetu.

Santuri za akina Masengo, Bosco, Nat King Cole, etc. etc. nikizicheza katika radiogram
nyumbani kwetu.

Jana kulikuwa na ducumentary ''The World of Nat King Cole'' nimetulia sana naangalia
usiku mkubwa.

Mama watoto ananiuliza ''Bwana mbona kipindi kiemkuchukua hivyo?
Sikujibu nilimpa ishara tu aje na yeye aangalie.

Alipomwona Nat akajua.
Nilikuwa nimerudi utoto na kama vile namuona na marehemu baba yangu.

Nikiimba nyimbo za Nat King Cole na Septet Habanero tena naimba Kispanish...
Natingisha kichwa...

Leo nimewakinga wanangu na maisha haya.
Lakini ule ulikuwa wakati wa wazee wetu...

Waingereza wamewaachia nchi na utamaduni wao wakauchukua.

Ati ananiuliza umri wangu wakati wa Masengo!

Nilikuwa mtoto sana lakini nikimfahamu vyema si yeye tu mpaka binamu yake
Mwenda Jean Bosco.

Salum Abdallah wa Cuban Marimba Cha Cha Band alikuwa rafiki ya baba yangu
akifika hadi kwetu.

Jaha Ubwa, Abdul Aziz Twala wanamapinduzi wa Zanzibar wakija kwa baba yangu.

Namshukuru Allah nilizaliwa na watu hawa katika wakati ule na ndiyo maana haya
yote nikajayajua kirahisi sana.

Wanajamvi,
Amueni.
Katika ''exposure'' hii 1950 - 1960.

Huyu jamaa yangu ndiyo anaweza kutoa shingo na kusema ati ''atakula sahani moja''
na mimi?

Sahani ipi hapo Magila, Mkuzi...
Kwanza nani atampa maji ya kunawa?

Mimi nilikuwa hapa Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom