Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Duuh,
Umenikumbusha mbali. Mick Jagger and the Rolling Stones. I was Mick Jagger pale Aga Khan.
Ndiyo watafute akina Esta na Pati Mzena nadhani bado wapo hapo Dar. Msiba ulikuwa wiki iliyopita.
 

Gombesugu; Hii article ni nzuri sana. Una kipaji cha kujieleza and i love it. Nimeitwanga "like" Keep it up.
 
Duuh,
Umenikumbusha mbali. Mick Jagger and the Rolling Stones. I was Mick Jagger pale Aga Khan.
Ndiyo watafute akina Esta na Pati Mzena nadhani bado wapo hapo Dar. Msiba ulikuwa wiki iliyopita.

Jasusi,
Nitawatafuta kuwapa pole.

Oh...hearthrobs!
Hahahahahahaha...
 

Gombesugu,
Ahsante kwa yote.,
 

Gombesugu,
Huwezi kujua mapenzi ya Hamza Aziz kwangu.

Sote tumezaliwa Kipata na sote tukipenda muziki
wa Nat King Cole.

Juu ya tofauti wa umri wetu tukizungumza as equals.

Akinitania kwa mke wangu, "Mohamed you have taste
for good looking ladies..."

Nami huwa simwachi namjibu namwambia, "I have picked
that from you!"

Tena akinitania hivi mbele ya binti zake kwenye diner table.

Akiwa na jambo zito tunakwenda kwenye majlis yake pwani
tunaangalia bahari.

Kwenye kibanda kile ndipo Hamza Aziz alikuwa anafunguka khasa.

Sasa baadae nikajajua kwa nini tukiwa ndani ni maskhara na tukiwa
majlis ni serious business.

Ndani mwake nahisi alikuwa na hofu ya bugs.
Sasa baada ya kukusoma ndiyo inanijia wazi kabisa.

Ikajanipitikia kuwa Hamza Aziz alikuwa anataka niyajue baadhi ya mambo
asije kwenda nayo kaburini.

Hiyo bugging kanipa mkanda mzima lakini siyo hiyo album yako....
Nimeburudika pia na showdown yake ndani ya Halmashauri Kuu ya TANU...
Akanambia yote chanzo ilikuwa yeye kukataa kumkamata Sheikh Hassan
bin Amir.

Nina mengi...
Hawa ndugu zetu ni wageni katika mambo haya.

Hao walikuwa wazee wetu walioipigania nchi hii kuitoa mikononi mwa Waingereza.
 

Wickama,
Ni bahati mbaya na sijui kwa nini umeumizwa na stori
hii ya Kariakoo na Nyerere kulala chumba cha Abbas.

Hii ndiyo ilikuwa ghera ya TANU...

Hapo Kariakoo Nyerere anakwenda kwa Market Master
Abdu Sykes na Abdu kapu anamkabidhi Mzee Abdallah
aliyekuwa mesenja pale.

Dakika kumi kapu lishatakata.

Najua ni ugeni wa kujua mila za wazee wetu ndiyo unahisi
labda Nyerere kadhalilika.

Soma kitabu changu kisa hiki kakieleza Nyerere mwenyewe
katika kuwasifu wazee wangu.

Pole sana kama nimekuumiza.
Haikuwa nia yangu.
 
GOmgesugu,

..hebu tuliza munkari.

..siyo vizuri kutoa kauli za hasira namna hiyo.

..pamoja na hayo, kuna mambo umeyaandika hapo ningependa ufunguke zaidi.

..haswa suala la Hamza Aziz[r.i.p], Shekhe Yahya, Kitwana Kondo, Nyakyoma, na Mohamed Enterprise.

..kuna mahali unadai Kitwana Kondo alikuwa na nguvu kuliko Raisi Mwinyi!! WHAAAT!!?? R U KIDDING ME!!?

NB:

..kuhusu suala la meli ya SMZ kutumika kwa shughuli za KIJESHI, naomba uzingatie kwamba ULINZI na USALAMA ni masuala ya MUUNGANO.

..zaidi, naomba nitahadharishe kwamba Samora Machel hakuwa mkatoliki, bali Wareno aliokuwa akipigana nao ndiyo majority Wakatoliki. pia uzingatie kwamba Wareno walikuwa sehemu ya NATO.

..Umemlaumu Mwalimu Nyerere kwa kumsaidia Samora Machel. Je, una mtizamo gani kuhusu Raisi Mwinyi kumsaidia Joaquim Chissano baada ya Samora kuuwawa??

cc: Nguruvi3, Jasusi, Wickama
 
Last edited by a moderator:

jokaKuu,'
Hii ya Kitwana Kondo kuwa na ushawishi mkubwa ndani ya serikali ya Mwinyi ni kweli kabisa. Mzee Bomani aliwahi kulalamika kuwa baraza la mawaziri lilikuwa likipitisha uamuzi lakini baada ya Kitwana Kondo kukutana na Mwinyi wanasikia yanayotangazwa na RTD ni tofauti na yale waliyokubaliana.
 

Heshima yako. Ni kwamba nimeongelea hadithi kutoendana na objective ya unacholenga kueleza. Kama Kitabu ni "Jitahada ya Wamakonde kukuza zao Mkonge" i believe heroes wako utawaelezea hata wakikopa hela wapanue mashamba ya mkonge. Ikija kuwa wanaonekana wanakopa ili wanywee pombe, then naona kama kuna mismatch ya objective na narration. Kwa Nyerere na mwenyeji wake Sykes, similarly i would not hesitate kuipokea kama ni sehemu ya struggle ya wabongo kumpinga Mkoloni katika mtindo wa kuwa yeye na Sykes au na yeyote walivumulia kama haya (including ......visa kama hivyo vya masokoni) kama sehemu ya barabara yao kuendea lengo lao la kukomboa nchi. Lakini i dont find that spirit in the narration. Hapa lazima nikubali kuwa kila jamii ina mtazamo wake tofauti na inategemea kila mtu kazoea nini. Binafsi it is an area ambayo i do not suffer in the least as Wickama. Naongelea "stance" ya reporting. Huenda wala huihitaji nachosema in view kuwa hatufanyi review ya kitabu hapa.
 

Jasusi
Mbona picha niliyoipata kutoka kwenye simulizi za Mohamed Said ilikuwa kama vile maamuzi ya Rais Mwinyi yalikuwa yakifuata "alichotaka" mkatoliki Nyerere? Au hata Mzee Kitwana Kondo naye alikuwa mkatoliki?!¿¡?
 
Last edited by a moderator:

Hapa niwe mkweli 100%. Kama unatoka Tarime as i do, which i have noticed is an irritation to some, it is unwise to contribute here. Good Luck.
 
Last edited by a moderator:
Jasusi
Mbona picha niliyoipata kutoka kwenye simulizi za Mohamed Said ilikuwa kama vile maamuzi ya Rais Mwinyi yalikuwa yakifuata "alichotaka" mkatoliki Nyerere? Au hata Mzee Kitwana Kondo naye alikuwa mkatoliki?!¿¡?

Now you are talking. We need proof Kitwana Kondo was not Catholic.
 
Last edited by a moderator:

Jokakuu; kuna mahali naweza pata reference ya chochote hapo juu? Sounds like good stuff
 
Last edited by a moderator:
Now you are talking. We need proof Kitwana Kondo was not Catholic.
Unajua hadithi za kusimuliwa na kuumba umba zina matatizo sana. Gombesugu anadai Kitwana Kondo alikuwa na nguvu zaidi ya rais Mwinyi. Mohamed anasema Nyerere alikuwa anaongoza kwa remote na Mwinyi alikuwa hana ''say''.
Baadhi ya waislam wanasema ni ngumu sana kuvunja mfumokristo kwasababu wakristo wameushika. Gombesugu anathibitisha kuwa Kitwana Kondo ndiye alikuwa na Serikali.

Njozi anamsifu Kitwana Kondo kusimama kidete kutetea waislam. Mohamed anasema CCM ilimsusa akapoteza ubunge kwa msimamo wake wa mambo ya dini. Gombesugu anasema kulikuwa na Ugomvi na Sheikh Yahya kuhusu mabinti enzi hizo.Mohamed anasema walinong'onezana kuichagua CCM iliyomtosa Kitwana Kondo.

It's all confusing huwezi kujua nani anasema nini kwasababu story zinabadilika with time and kind of conversation.

Ndio maana huwaita ''half baked wasomi'' kwasababu nao wameingia katika mkumbo wa hadithi za vijiweni like any othe illiterate in the street.
 
Hapa niwe mkweli 100%. Kama unatoka Tarime as i do, which i have noticed is an irritation to some, it is unwise to contribute here. Good Luck.

..sasa unakuwa unawapa nguvu wale wanaougua ubaguzi na udini.

..mimi watu wa namna hiyo huwa nawalipizia heshima na lugha ya staha.
 
Ndio maana huwaita ''half baked wasomi'' kwasababu nao wameingia katika mkumbo wa hadithi za vijiweni like any othe illiterate in the street.

Nguruvi kweli umetuchoka anyway sikukatalii ni mtazamo wako labda kwasababu sisi ni watu wa madrasa kwasababu kwenu mtu akisoma madrasa ni mjinga sanaaa dah safari ni ndefu
 

Wickama,
Nimekuelewa.

Lugha inashabihiana na utamaduni.
Kuna wakati nilikuwa natumia usafiri wa ofisi na jamaa ofisini.

Hawa jamaa wote wanatoka bara.

Tunapita Kariakoo.
Nawaona jamaa zangu.

Katika mila zetu aliyepanda chombo ndiye aula zaidi kutoa salamu.
Mimi nikifanya hivyo lakini kwa sauti ya juu kidogo.

Nasema, ''Abdallah Hashim Asalaam Aleikum.''

Hawa jamaa zangu wananiuliza (wamekereka kidogo) ''Why are you
shouting?''

Nami nawajibu, ''I am not shouting that is how we salute each other
short of that I would be considered snobbish.''

Hawaelewi.

Basi mie nikawa nawaambia, ''Nyie maadam mmekuja kuishi huku kwetu
lazima mjifunze na mila zetu.''

Walikuwa hawapendi wakichomwa sana na maneno yangu na katika wale
wengine ni wakubwa zangu katika kazi.

Juu ya hayo mie si mtu wa kujidhalilisha na walikuwa wakisema sana nawapa
hii nawaambia, ''Haya ni mafunzo katufunza Mtume SAW.''

Ilikuwa raha sana.
Hawa jamaa hawatanisahau.

Walikuwa wakati mwingine wakisema, ''Mohamed sisi hatujapatapo kukutana na
Mswahili wa aina yako.''

Sasa sijui ile ilikuwa ''compliment'' au nini.

Wickama,
Mimi nimekuelewa na mimi nakuomba unielewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…