Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohammed,
Kuna tofauti gani kati ya Hassan (Kiswahili) na Ghassany (Kiarabu)? Isn't it the same name with a cultural alteration? Ndugu zetu Afrika magharibi wamezoea kuita Aminata. Waswahili tunaita Amina. Fatumata. Fatuma. etc

Jasusi,
Nilidhani umelikosea jina.

Harith ndiyo alinisindikiza VOA hapo Washington
kufanya mahojiano.

Nilikuuliza.
 
Uingereza (Kuleta makomandoo wa kurejesha utawala haramu wa Nyerere baada ya kukataliwa na Wazalendo wakati wa mapinduzi ya 1964)

Sikutaka kujibizana na huyu jamaa anajiita Zali la Mentali kwa sababu kwanza naona uelewaji wake wa masuala ni wa ajabu sana. Mfano ni hicho kipande nilichonukuu hapo juu kutoka kwa bandiko lake. Kwa hiyo ule uasi wa 1964 ulikuwa ni juhudi za wazalendo kukataa utawala haramu wa Nyerere? Hao wazalendo walikuwa ni akina nani? Na je, uasi uliofanyika wakati huo huo Kenya ulikuwa pia ni juhudi za wazalendo kuukataa utawala wa Kenyatta? Kwa sababu Waingereza vile vile walisaidia kuuzima ule uasi, lakini tofauti na Tanganyika, waliweka kambi za kudumu za kijeshi Kenya. Utajibizanaje na jitu la maoni kama haya?

Jasusi,

Punguza munkari jitulize kunywa fundo tatu za maji kisha pumzika kidogo.

Huu ni mnakasha watu wote wapo huru kujenga hoja zao ili zijibiwe kwa hoja, unamuita Zali la Mentali, jitu hapo umeteleza.

Hebu jifunze kutoka kwa mwalimu wetu Mohamed Said, wenzako wanavyomshambulia kwa matusi, kejeli, dhihaka, lakini katulizana hana wasiwasi anafundisha tu.

Sasa nyie mtu akiwaeleza habari za Nyerere tofauti na mnazozijua nyie mnakuwa wakali.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo kati ya ama UNAFIKI au UCHIZI wewe umechangua kumpa sifa ya UCHIZI si ndiyo? Hoja hii ilijengwa baada ya Nyerere kuamua kujiunga na TAA na kupanda ngazi kwenye chama hicho bila kujua viongozi wa chama hicho ni kina nani na chama kina malengo gani. Acha unazi wa kijinga na elezea kutoka kwenye nafsi yako ili tujue na wewe uko sawa au vipi. Mtu wa aina hiyo atakuwa mzima kweli? Mpaka sasa wakati haujajibu hili swali there is a very fine line between your misbehavior and his.
Zali la mentali, umesifiwa sana na wapumbavu wenzako kuwa unahoja na unaweza kuwa nyamazisha wasomi kwa huu upumbavu wako hapa. Huwezi kuleta mabadiliko kwako wewe mwenyewe wala kwa hao ambao unadhani unawasemea kwa kumtusi Nyerere! naamini hata mzee Mohamed Saidi mchochezi hawezi kuafiki hadharani matusi unayomtukana Nyerere. Hivi kwa umbumbumbu wako na mitusi yako ambayo unaiita hoja ulitegemea Nyerere angeweza kujiunga na TAA bila kuisoma katiba yake?Au kwa upumbavu wako unadhani kwamba Nyerere hakuwa anawafahamu akina Dosa kabla ya kujiunga na TAA na baadae kuiongoza? Katibiwe ugonjwa wako wa kujiamini kawa mambo ya kijinga ambayo hata huyajui. Mbona unakuwa kichekesho hapa jamvini? chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere haiwezi kubadirisha historia ya Tanganyika! mkuu Wild Card alisha kuuliza ni nani alikuwa rais wa kwanza na wa mwisho wa TANU, hukujibu na huta kaa ujibu swali hilo kwakuwa umesheheni chuki kichwani mwako badala ya maarifa na busara.
 
Wewe ndio unayetoa malalamiko na majungu bila ushahidi. Hoja zangu zote zimejengwa kwa ushahidi ndio maana huzioni kwa sababu umezoea umbeya.
Zali la Mentali, kwa kweli hujaweka hoja hata moja tangu umeingia kwenye hili jamvi. Kilichowekwa hapa na wewe ni makelele ya mgonjwa wa akili aliyejaa chuki, kibuli, dharau na matusi dhidi ya Nyerere na sio vinginevyo. Nakushauri jirudie tu kwenye mradi wako wa kuchimba chumvi mahali ambako lugha yako inavumilika.
 
Kwa hiyo kati ya ama UNAFIKI au UCHIZI wewe umechangua kumpa sifa ya UCHIZI si ndiyo? Hoja hii ilijengwa baada ya Nyerere kuamua kujiunga na TAA na kupanda ngazi kwenye chama hicho bila kujua viongozi wa chama hicho ni kina nani na chama kina malengo gani. Acha unazi wa kijinga na elezea kutoka kwenye nafsi yako ili tujue na wewe uko sawa au vipi. Mtu wa aina hiyo atakuwa mzima kweli? Mpaka sasa wakati haujajibu hili swali there is a very fine line between your misbehavior and his.
Hapa umenizindua kitu muhimu sana katika nafsi ya Nyerere.Si alikiri mwenyewe kwamba hakuwajua viongozi wake?.Ikiwa si uchizi huo ni nini?
Zali la mentali, umesifiwa sana na wapumbavu wenzako kuwa unahoja na unaweza kuwa nyamazisha wasomi kwa huu upumbavu wako hapa. Huwezi kuleta mabadiliko kwako wewe mwenyewe wala kwa hao ambao unadhani unawasemea kwa kumtusi Nyerere! naamini hata mzee Mohamed Saidi mchochezi hawezi kuafiki hadharani matusi unayomtukana Nyerere. Hivi kwa umbumbumbu wako na mitusi yako ambayo unaiita hoja ulitegemea Nyerere angeweza kujiunga na TAA bila kuisoma katiba yake?Au kwa upumbavu wako unadhani kwamba Nyerere hakuwa anawafahamu akina Dosa kabla ya kujiunga na TAA na baadae kuiongoza? Katibiwe ugonjwa wako wa kujiamini kawa mambo ya kijinga ambayo hata huyajui. Mbona unakuwa kichekesho hapa jamvini? chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere haiwezi kubadirisha historia ya Tanganyika! mkuu Wild Card alisha kuuliza ni nani alikuwa rais wa kwanza na wa mwisho wa TANU, hukujibu na huta kaa ujibu swali hilo kwakuwa umesheheni chuki kichwani mwako badala ya maarifa na busara.
Afadhali wewe umekiri kuwa Nyerere alijiunga na bila shaka baada ya kukaribishwa.
Tatizo umeamua kumtetea bila mafanikio kuhusu uchizi wake kama hapo juu kwa Zali.Fikiria mwenyewe ikiwa alikuwa anawajuwa akina Dosa watu muhimu katika chama mbona aliwasahau kirahisi.Ikiwa si uchizi huo ni nini?.
Yuko wapi Spike afyonze elimu na gombesugu atupe siri zaidi za Nyerere ambazo Mohammed Said alizibania kulinda heshima yake?.
 
Eti Zali la Mentali haonekani? Soma posts zangu za jana na leo sasa hivi ninazoziposts. WEWE NDIO UMEKIMBIA UWANJA KWA KUSHINDWA KUJIBU HATA HOJA MOJA NILIYOIWEKA MPAKA SASA HIVI. JINGA KABISA WEWE UANAYEKIMBIA KUJIBU HOJA ZA WANAUME WENZAKO (Kama kweli wewe si mwanaume). Mara nyingi nikiwepo humu, ninakuona chini ukiwa live lakini utasubiri mpaka nimeondoka ndipo uanze kuongea utumbo wako.

Sasa najibu utumbo wako uliyouweka hapo juu. Mpango wa kumsimika Nyerere ulitayarishwa na Ukatoliki kupitia wadau wenzake kama CIA (Marekani kama walivyojieleza wenyewe kwamba wanamtegemea Nyerere kusambaratisha Uislamu Zanzibar na wakaweka mpaka blan B kama Wazanzibar wakiyakataa mapinduzi yale haramu. Plan B hiyo ndiyo iliyompa Nyerere kiburi cha kuendelea kuwaua, kuwakandamiza na kuwadhalilisha Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla wao alivyotaka na ndiyo inayowapa CCM uhalali bandia wa kuendeleza uuwaji, ukandamizaji na udhalilishaji wa Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla wao mpaka leo), Uingereza (Kuleta makomandoo wa kurejesha utawala haramu wa Nyerere baada ya kukataliwa na Wazalendo wakati wa mapinduzi ya 1964) na Ukatoliki kupitia mfumo wao wa kutumia madicteta kuua na kukandamiza watu wasiokuwa Wakatoliki ili waeneze dini yao ambayo haiwezi kuenezwa kwa kutumia hoja bali nguvu.

Suala la Nyerere kuvunja EAMW limeeelezwa wazi kwamba ni maelekezo kutoka Kanisa Katoliki aliyopewa Nyerere baada ya Msimamizi wa Kanisa katika Ukanda wa Africa Mashariki kuwasilisha hofu yake kwa Papa kwamba EAMWS itawafanya Waislamu waendelee kielimu pamoja na mshikamano. Ndipo Nyerere alipopewa maelekeza kutoka Vatican kuhakikisha EAMW inavunjwa. Bila haya wao wana AMECEA ambayo ni taasisi ya Kikatoliki Africa Mashariki iliyojikita katika masuala ya kuwaendeleza Wakatoliki kielimu ukiachilia mbali TEC ya Tanzania. Na AMECEA haijaishia hapo, inaunganishwa hadi Vatican.
Pongezi nyingi kwa Ritz kutuletea kichwa kama wewe hapa.
Kwa kweli ogopa sana kupingana na ukweli daima utaumbuka.Haya unayoyaeleza hapa ni ukweli wa kihistoria ambao umejaa kwenye vitabu na nyaraka vingi vikiwa havikuandikwa na waislamu.Ajabu wanatokea watu ovyo ovyo kama Mwanakijiji eti anataka kujibizana kuhusu mapinduzi ya Zanzibara wakati mwenyewe ndio kwanza anataka kusoma Kwaheri Kwaheri cha Alghassany!.
Hivi vitabu vya akina Mohammed ni historia kutokana na mahojiano ya wahusika,hivyo watu wengine ni bora wasome tu na kufyonza elimu.
 
Wanajamvi huyu ndugu yetu Zali la Mentali, "Mchimba chumvi" kwa kweli katumfumbua macho.

Nyerere anasema alikuwa mjumbe wa TAA na alihudhuria mkutano wa Tabora.

Cha kushangaza alikuwa hamjui kiongozi wake Katibu Mkuu wa TAA Abdul Sykes.

Kaja kufahamishwa na Kasanga Tumbo, alivyokuja Dar es Salaam, hapa napata tabu kidogo kumuelewa Nyerere.

Ni sawa sawa Mabere Marando, kajiunga Chadema lakini hamfahamu Katibu Mkuu wake wa Chadema, Dr Slaa.

Mimi nakiita ni kituko Nyerere kajiunga kwenye chama bila kuwafahamu viongozi wake.
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi huyu ndugu yetu Zali la Mentali, "Mchimba chumvi" kwa kweli katumfumbua macho.Nyerere anasema alikuwa mjumbe wa TAA na alihudhuria mkutano wa Tabora.Cha kushangaza alikuwa hamjui kiongozi wake Katibu Mkuu wa TAA Abdul Sykes.Kaja kufahamishwa na Kasanga Tumbo alivyokuja Dar es Salaa, hapa napata tabu kidogo.Ni sawa sawa Mabere Marando, kajiunga Chadema lakini hamfahamu Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa.
Ritz,Huyo Zali la Mentali ni mentali kweli. Anang'ang'ana tumjibu hoja ambazo hazipo! TAA na AA tunaweza kuiachia familia ya Sykes kwa kuwa hivo ndivyo anavyotaka ieleweke mzee Mohamed. TANU ni ya Mwalimu mwanzo hadi mwisho wake. Mwalimu alikuwa Rais wa KWANZA wa TANU na Mwenyekiti wa Mwisho wa chama hiki.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,Huyo Zali la Mentali ni mentali kweli. Anang'ang'ana tumjibu hoja ambazo hazipo! TAA na AA tunaweza kuiachia familia ya Sykes kwa kuwa hivo ndivyo anavyotaka ieleweke mzee Mohamed. TANU ni ya Mwalimu mwanzo hadi mwisho wake. Mwalimu alikuwa Rais wa KWANZA wa TANU na Mwenyekiti wa Mwisho wa chama hiki.

WildCard,

Nadhani ingekuwa bora mgemjibu kusema kuwa suala la AA, TAA, mnawachia familia ya Sykes siyo jibu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Ami
Ritz,
Post za mwenzetu Zali la Mentali ni kama gunia au belo la mitumba ya nguo. Tusaidie kuziainisha hoja zake ili tujibu tunazoweza.
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi huyu ndugu yetu Zali la Mentali, "Mchimba chumvi" kwa kweli katumfumbua macho.

Nyerere anasema alikuwa mjumbe wa TAA na alihudhuria mkutano wa Tabora.

Cha kushangaza alikuwa hamjui kiongozi wake Katibu Mkuu wa TAA Abdul Sykes.

Kaja kufahamishwa na Kasanga Tumbo, alivyokuja Dar es Salaam, hapa napata tabu kidogo kumuelewa Nyerere.

Ni sawa sawa Mabere Marando, kajiunga Chadema lakini hamfahamu Katibu Mkuu wake wa Chadema, Dr Slaa.

Mimi nakiita ni kituko Nyerere kajiunga kwenye chama bila kuwafahamu viongozi wake.

Ritz,

Hicho sio KITUKO bali ni UNAFIKI mkubwa wa kutaka kuwahadaa walimwengu wa duniyani.

Kweli tutajua mengi kutokana na mnakasha huu.


 
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.

Hili jamvi lina Breaking News kila Upande. Kumbe kuwa na kijisehemu cha Ukurya katika maumbile yako inakupunguzia kulialia!!!!!!!! hahahahahahah. Asante Wildcard. I happen to have more of that stuff. hahahahahah. Mzee MS uliyajua haya? Sina hamu, let me laugh.
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,
Uchaguzi wa KWANZA wa viongozi wa TANU ulimchagua Mwalimu kuwa Rais wake wa KWANZA. Huu Uenyekiti ulikuja baadae sana. Uchaguzi huu ndio uliomwondoa Abdu Sykes kwenye "active politics" za TANU na kukiondoa chama rasmi mikononi mwa wazee wa Mohamed. Historia ni katili hivo wakati mwingine.

WC,

Kwenye historia hatusemi hata siku moja baadae sana au baadae kidogo. Unatakiwa utaje miaka hapo iwe sekunde, saa, dakika au siku zote zinahishimika. Weka miaka ili ujipambanue weledi wako katika hili.

 
Wickama, ngoja nitengeneze swali la namna nyingine; ni nchi gani ambayo ina chombo kimoja tu cha Waislamu kutetea maslahi yao; chenye kuunganisha Waislamu wa Madhehebu yote? Misri? Iraq? wapi... kwanini ni Waislamu wa Tanzania tu wanatakiwa wawe chini ya chombo kimoja tu? Ukisoma hapo unaweza kuamini kabisa kuwa EAMWS ndiyo ilikuwa panacea ya matatizo yote ya Waislamu; ni kweli? Lakini mbona Aga Khan aliendelea kufanya kazi Tanzania (yeye ndiye aliyekuwa muasisi na mfadhili mkuu wa EAMWS. Kama Nyerere alikuwa na tatizo na Waislamu wa EAMWS (chini ya Aga Khan) kwanini Aga Khan aliendelea kufanya kazi nchini muda wote wa Nyerere na hata kuja karibu kila baada ya miaka michache na kukutana na Rais Nyerere? Au Aga Khan baada ya kuvunjwa EAMWS hakuwa tena Muislamu kwa sababu aliendelea kufanya kazi na Nyerere?

Ni maswali ya kuchokoza tu ndugu zetu ambao wanajaribu kuililia EAMWS... Hivi ile hospitali ya Aga Khan si imekuwepo nchini kwa muda mrefu sana? na shule ya Aga Khan nayo si bado ipo? WAkati shule binafsi zimetaifishwa si serikali ya Nyerere hiyo hiyo iliruhusu kujengwa kwa Shule ya Aga Khan mwaka 1967 ikiwa chini ya uongozi wa Waislamu wa Ismailiya?

Kwanini wanaozungumzia kuvunjwa kwa EAMWS hawazungumzii kabisa uhusiano wa Imam Aga Khan na serikali ya Tanzania chini ya Nyerere? Ni kweli Nyerere hakutaka Waislamu wasifanikiwe lakini bado akamruhusu Imam (kiongozi wa Jumuiya ya Waislamu) kufanya kazi mbalimbali za maendeleo?

Unless of course, kina M. Said watuambie kuwa kina Aga Khan siyo Waislamu safi na hawamtambui Aga Khan kama Imam. Which... will bring us back to EAMWS.


Nitakusaidia hapo nili Underline tu.

Nitakupa nchi jirani yako kabisa. Kenya, Uganda, Msumbiji, Zambia na nyingine nyingi sana. Ila Tanzania hususan Tanganyika ndio Serikali imewabania na kuwaundia BAKWATA.
 
Mohammed,
Kuna tofauti gani kati ya Hassan (Kiswahili) na Ghassany (Kiarabu)? Isn't it the same name with a cultural alteration? Ndugu zetu Afrika magharibi wamezoea kuita Aminata. Waswahili tunaita Amina. Fatumata. Fatuma. etc

Jasusi,



Sasa hapo huoni yakuwa unajichanganya mwenyewe!?....mfano Albert na Alberto!?...Hii kwa mwenye kufahamu ni inanyambulisha background,customs and culture ya mtajwa. Ni kama ulivyoonyesha,yakuwa jina ni moja lakini ghafla,inabainisha yakuwa huyo mtajwa anatokea pahala gani na tamaduni ipi...kama ulivyosema...Fatma kwa sisi mwambao wa East Africa lakini Bara nyinyi mnaita Fatuma...na wenzetu Afrika ya magharibi ni Fatumata kwa bara zao na halikadhalika coast zao ni Fatimata.

Tuendelee na mnakasha.
 
Hili jamvi lina Breaking News kila Upande. Kumbe kuwa na kijisehemu cha Ukurya katika maumbile yako inakupunguzia kulialia!!!!!!!! hahahahahahah. Asante Wildcard. I happen to have more of that stuff. hahahahahah. Mzee MS uliyajua haya? Sina hamu, let me laugh.
Wickama,
Mkurya mwanaume halii. Mkurya mwanaume hahamishii matatizo yake kwingine. Mkurya mwanaume hajui kusingizia wala kuliahirisha tatizo. Hii ni kweli pia vikabila vingi vya jamii hiyo mkoani Mara. Hawa jamaa wanakabiliana na tatizo kama changamoto.
Wakurya wengi hawakwenda shule lakini hawamlaumu Mhaya au Mchaga wa Tanzania hii.
 
Hili jamvi lina Breaking News kila Upande. Kumbe kuwa na kijisehemu cha Ukurya katika maumbile yako inakupunguzia kulialia!!!!!!!! hahahahahahah. Asante Wildcard. I happen to have more of that stuff. hahahahahah. Mzee MS uliyajua haya? Sina hamu, let me laugh.

WildCard,

Mie ni mtani wangu tunapenda kutaniana mimi sina ukurya ingiwa nimeishi nao na ni marafiki zangu mwaka jana nilikwenda Tarime kumzika rafiki yangu Masubo, alikuwa mfanyabiashara pale Mwanza.

Napafahamu vizuri Musoma, Mkendo Kati, Kawawa, Karume, Makoko, Majita, Tarime, Shirati, Bunda, Sirari, Lamadi, juzi Nguruvi3, kataja daraja la lililowasumbua Wataliana nimekumbuka mbali sana watu walikuwa wanasema pale kuna mizimu inabidi wachinje ng'ombe wamwage damu, ha haa ha.

Kaka nashukuru Tanzania nimetembea kwingi...ukifika Tarime likizo msalimie Zakaria.
 
WildCard,

Mie ni mtani wangu tunapenda kutaniana mimi sina ukurya ingiwa nimeishi nao na ni marafiki zangu mwaka jana nilikwenda Tarime kumzika rafiki yangu Masubo, alikuwa mfanyabiashara pale Mwanza.

Napafahamu vizuri Musoma, Mkendo Kati, Kawawa, Karume, Makoko, Majita, Tarime, Shirati, Bunda, Sirari, Lamadi, juzi Nguruvi3, kataja daraja la lililowasumbua Wataliana nimekumbuka mbali sana watu walikuwa wanasema pale kuna mizimu inabidi wachinje ng'ombe wamwage damu, ha haa ha.

Kaka nashukuru Tanzania nimetembea kwingi...ukifika Tarime likizo msalimie Zakaria.

Ritz nashukuru; Najua mlikuwa mnatoana jasho na Wildcard nilijiingiza kwenye mtaa wa utani wenu ili nicheke kidogo. Mi nyumbani ni pale Starehe street Tarime mjini. Japo pia kwa vile Mara unaijua vizuri tunatokea maeneo ya Kuruya uelekeo wa ziwani. Pale mjini nilisomea kwa miaka michache pale Sabasaba primary school (muda mwingi nimekulia MOshi). Classmates ni kina Mwita Mantago (alikuwa meya wa Tarime hivi karibuni), wakina Macharia-wakikuyu hawa walikuwa na hotel (then ni Kilimambogo nadhani). Kuna wakina Paulo Mganda (ana dispensary yake huyu kwa sasa). Wakati huo huyu Zacharia unayemsema hajainuka. Walikuwa ndio wakina Gachuma, Chambiri ndio wababe wa biashara. Tarime ya wakati huo ilikuwa na timu ngumu ya football ikiitwa Mori FC (wakiwamo kina akina Nashon, Abdallah, kaka yake bubu mmoja mchoma mishkaki, Hamad-kipa huyu kama Pondamali). Siku wakipambana na timu ya kutoka Musoma (Maji, wakina Nyitara na striker mwingine hatari kwa mashuti-mjaluo yule bwana simkumbuki jina kwa sasa-huenda ni Ouma) Mji unasimamisha shughuli. Mara nyingi hata FFU toka Musoma walikuwa wanakuja kupunguza hamasa!!!! Wazee wa kiislamu waliobebea walikuwa wakina mzee Idd Akilimali (marehemu sasa), Mzee Juma Mtongoli (naye marehemu kwa sasa). huyu Mtongoli alikuwa jirani yetu (nyumba inayofuata na alikuwa rafiki yangu sana japo mimi ni mtoto). Kila nikifika likizo lazima nikishatua mizigo yangu marehemu mama ananipa UPDATEs za Mzee huyu, then naenda kumsalimu. Miaka hiyo nilipiga sana picha naye, bila kujua baadae zingeifaa familia yake. Majuzi tuu ndio nilizi scan picha zake na kumtumia binti yake anasomea PhD ya hali ya hewa Norway kwa sasa!!!!!! picha za baba yao after nearly 35 years. Mzee Akilimali alikuwa rafiki sana na marehemu mama. Ila watoto wake kina Daudi hao walisoma na kaka zangu. Umetaja kisa cha daraja la mto mara-kirumi. "Mzimu" wa pale kirumi ulikuwa unasubiriwa sana kunako miezi ya mwisho mwisho wa mwaka. Miezi kama hiyo palitumbukia gari ya breweries pale. Ni zamani wakati wa ferry. Mwanzoni, askari (FFU) walipalinda sana ili watu wasijaribishe kuzamia hadi kunako shehena yenyewe. Lakini jinsi matumaini ya kulitoa yalivyozidi kufifia taratiibu wakaanza kuwaachia wapiga mbizi wa kisimbiti na kikiroba (wenyeji hawa) kuzamia kujaribisha "bahati yao". Sijui kama walikuwa wanabahatisha au kukosa. Itatosha kusema kila mtu (askari ni mtu pia) alikuwa na mapenzi na bia za bure. I mean kama unazipata. Afterall huenda lori na "shehena yake" lilikuwa limekatiwa bima au siyo???? Kwa hiyo Ritz, dunia ilishaanza kuwa a small village tangu miaka hiyo. Shukran kwa response yako. Msalimu Wildcard.
 
WildCard,

Nadhani ingekuwa bora mgemjibu kusema kuwa suala la AA, TAA, mnawachia familia ya Sykes siyo jibu.

Ritz,

Asalaam Alaykum Al Akhiy.

Hawa jamaa wameshindwa kabisa kujibu hoja kali na zenye minyambulisho na zilzala za nguvu. Labda yale mawe yamekua mazito mno sasa wanaona kimulimuli,kwa hiyo tusiwalaumu sana wanaposema ati hoja za Zali la Mentali a.k.a Mchimba Chumvi hawazioni!?ahaha!!

Mimi awali nilipoingia sikujua hawa jamaa kumbe wamo hapa jamvini kwa ajili ya Crusade kama ndugunyao George Bush na wale virongwe ma-Neo Cons. Lakini kila siku zinapokwenda nabainisha mengi hapa.

Kuna wakti walikua haweshi kututajia mambo ya Tanga na Wazee wetu wa Tanga,sisi tukawa kimya tunawacheka tu...nilipowafuata kuwavuruga kila mmoja kaanza kutaja makwao na yule mwingine akaacha kabisa kumtisha Sheikh Mohammed na yale mambo ya Makorora,sasa kakimbilia kwao Kicheba na Magila.

Kwa wale wa Mara na Tarime,nanyi pia nakuja hukohuko na nitaanza kwa kukuonyesheni ya kuwa huyo Nyerere wenu kaanza kula fadhila za Wazee wetu toke pale Musoma kwa Mzee Makongoro na Masheikh wengine wengi tu huko mabara. Nina tambara chafu saana la Nyerere alowafanyia kina Issa Makongoro na Sheikh Abdallah Mwita. Kwa hakika yule mtu alikua hakumbuki kabisa fadhila. Kila nikisoma hiyo hotuba ya upuuzi aloiweka huyo Yericko hapo juu,basi Wallahi nakumbuka jinsi gani Nyerere alishindwa hata kwenda mazikoni/msibani kwa Sheikh mohammed Yahya Ramia pale Bagamoyo. Alipopashwa habari na AbdilRahman Ramia,akadai ati yuko very busy kwenye simu na yule "changumemenya" Samora Machel!? Sijawahi kusikia maongezi ya simu ya siku nzima!? Na kuwasahau walokuweka na kukufadhili kwenye hayo madaraka!?

Leo hao jamaa ati wanamzoma Rais Al Jamuhuriya Al Maaruf Mrisho Bin Khalfan Kikwete,ati anasafiri sana. Embu wajaribu kupiga hesabu ya trip za huyo "Mwalim wao"!? Kuna trip nyingine alikua analazimisha huku anaambiwa kuwa ndege bado iko Government Hanger ina khitilaf. Chief Engineer wa Serikali yake takriban miaka 20 Mohammed "Babu" Mwita(mnywa kahawa,mtoto wa Kariakoo,mtu wa akili za Madrassa),alikua analalamika kuwa huyu Mzee Nyerere,iko siku atatufanya tufie angani maana anaingilia sana mambo asoyajua na mkaidi wa kusikiliza Wataalamu. Kwa issue hii,wale wajuba na mpendao kujipunja kamuulizeni Mkristo mwenzenu mtiifu Mzee Newa maana ndiye aliekua Pale Civil Aviation miaka mingi .

Jamaa naona kila habari tukiwapa hawazikubali,ati kwa sababu tu kuwa wao walikua hawazijui na wanajaribu kuzitia tashtit. Ndo maana Sheikh Mohammed huwauliza ,haya mambo mtayajuaje kwani nyinyi ni wageni na pia Wazee wenu ni wageni?

Nipo hapa leo, napitia ule utumbo wao wa W'end. Naona hamna lolote la maana zaidi ya matusi ya yule Kiroboto wao. Najua wale Manyangumi wa hoja wametahayari,pale The Big Show a.k.a The King Of Kings alipowaambia kuwa wanashinda hapa na kulala hapa hapa jamvini!ahaha!!

Naona yule kunguni wa hoja a.k.a Abu Jahal,ati anahangika kuingia kwenye "google search" na kupata fadhaa mbona hizi details hazipatikani!?ahaha!!...hawa jamaa kweli hamna kitu!

Tuendelee na mnakasha.


Cc; Ami

Sitie shaka nakuwekea vitu vipya na vya ndani every time...I never break my promises.
 
Back
Top Bottom