Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Many many thanks. What about your own books, any on PDF?
Mostly in e-books (Kindle, Amazon). But soon some of my works will be found in pdf...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Many many thanks. What about your own books, any on PDF?
Mohammed,
Kuna tofauti gani kati ya Hassan (Kiswahili) na Ghassany (Kiarabu)? Isn't it the same name with a cultural alteration? Ndugu zetu Afrika magharibi wamezoea kuita Aminata. Waswahili tunaita Amina. Fatumata. Fatuma. etc
Uingereza (Kuleta makomandoo wa kurejesha utawala haramu wa Nyerere baada ya kukataliwa na Wazalendo wakati wa mapinduzi ya 1964)
Sikutaka kujibizana na huyu jamaa anajiita Zali la Mentali kwa sababu kwanza naona uelewaji wake wa masuala ni wa ajabu sana. Mfano ni hicho kipande nilichonukuu hapo juu kutoka kwa bandiko lake. Kwa hiyo ule uasi wa 1964 ulikuwa ni juhudi za wazalendo kukataa utawala haramu wa Nyerere? Hao wazalendo walikuwa ni akina nani? Na je, uasi uliofanyika wakati huo huo Kenya ulikuwa pia ni juhudi za wazalendo kuukataa utawala wa Kenyatta? Kwa sababu Waingereza vile vile walisaidia kuuzima ule uasi, lakini tofauti na Tanganyika, waliweka kambi za kudumu za kijeshi Kenya. Utajibizanaje na jitu la maoni kama haya?
Zali la mentali, umesifiwa sana na wapumbavu wenzako kuwa unahoja na unaweza kuwa nyamazisha wasomi kwa huu upumbavu wako hapa. Huwezi kuleta mabadiliko kwako wewe mwenyewe wala kwa hao ambao unadhani unawasemea kwa kumtusi Nyerere! naamini hata mzee Mohamed Saidi mchochezi hawezi kuafiki hadharani matusi unayomtukana Nyerere. Hivi kwa umbumbumbu wako na mitusi yako ambayo unaiita hoja ulitegemea Nyerere angeweza kujiunga na TAA bila kuisoma katiba yake?Au kwa upumbavu wako unadhani kwamba Nyerere hakuwa anawafahamu akina Dosa kabla ya kujiunga na TAA na baadae kuiongoza? Katibiwe ugonjwa wako wa kujiamini kawa mambo ya kijinga ambayo hata huyajui. Mbona unakuwa kichekesho hapa jamvini? chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere haiwezi kubadirisha historia ya Tanganyika! mkuu Wild Card alisha kuuliza ni nani alikuwa rais wa kwanza na wa mwisho wa TANU, hukujibu na huta kaa ujibu swali hilo kwakuwa umesheheni chuki kichwani mwako badala ya maarifa na busara.Kwa hiyo kati ya ama UNAFIKI au UCHIZI wewe umechangua kumpa sifa ya UCHIZI si ndiyo? Hoja hii ilijengwa baada ya Nyerere kuamua kujiunga na TAA na kupanda ngazi kwenye chama hicho bila kujua viongozi wa chama hicho ni kina nani na chama kina malengo gani. Acha unazi wa kijinga na elezea kutoka kwenye nafsi yako ili tujue na wewe uko sawa au vipi. Mtu wa aina hiyo atakuwa mzima kweli? Mpaka sasa wakati haujajibu hili swali there is a very fine line between your misbehavior and his.
Zali la Mentali, kwa kweli hujaweka hoja hata moja tangu umeingia kwenye hili jamvi. Kilichowekwa hapa na wewe ni makelele ya mgonjwa wa akili aliyejaa chuki, kibuli, dharau na matusi dhidi ya Nyerere na sio vinginevyo. Nakushauri jirudie tu kwenye mradi wako wa kuchimba chumvi mahali ambako lugha yako inavumilika.Wewe ndio unayetoa malalamiko na majungu bila ushahidi. Hoja zangu zote zimejengwa kwa ushahidi ndio maana huzioni kwa sababu umezoea umbeya.
Hapa umenizindua kitu muhimu sana katika nafsi ya Nyerere.Si alikiri mwenyewe kwamba hakuwajua viongozi wake?.Ikiwa si uchizi huo ni nini?Kwa hiyo kati ya ama UNAFIKI au UCHIZI wewe umechangua kumpa sifa ya UCHIZI si ndiyo? Hoja hii ilijengwa baada ya Nyerere kuamua kujiunga na TAA na kupanda ngazi kwenye chama hicho bila kujua viongozi wa chama hicho ni kina nani na chama kina malengo gani. Acha unazi wa kijinga na elezea kutoka kwenye nafsi yako ili tujue na wewe uko sawa au vipi. Mtu wa aina hiyo atakuwa mzima kweli? Mpaka sasa wakati haujajibu hili swali there is a very fine line between your misbehavior and his.
Afadhali wewe umekiri kuwa Nyerere alijiunga na bila shaka baada ya kukaribishwa.Zali la mentali, umesifiwa sana na wapumbavu wenzako kuwa unahoja na unaweza kuwa nyamazisha wasomi kwa huu upumbavu wako hapa. Huwezi kuleta mabadiliko kwako wewe mwenyewe wala kwa hao ambao unadhani unawasemea kwa kumtusi Nyerere! naamini hata mzee Mohamed Saidi mchochezi hawezi kuafiki hadharani matusi unayomtukana Nyerere. Hivi kwa umbumbumbu wako na mitusi yako ambayo unaiita hoja ulitegemea Nyerere angeweza kujiunga na TAA bila kuisoma katiba yake?Au kwa upumbavu wako unadhani kwamba Nyerere hakuwa anawafahamu akina Dosa kabla ya kujiunga na TAA na baadae kuiongoza? Katibiwe ugonjwa wako wa kujiamini kawa mambo ya kijinga ambayo hata huyajui. Mbona unakuwa kichekesho hapa jamvini? chuki zako binafsi dhidi ya Nyerere haiwezi kubadirisha historia ya Tanganyika! mkuu Wild Card alisha kuuliza ni nani alikuwa rais wa kwanza na wa mwisho wa TANU, hukujibu na huta kaa ujibu swali hilo kwakuwa umesheheni chuki kichwani mwako badala ya maarifa na busara.
Pongezi nyingi kwa Ritz kutuletea kichwa kama wewe hapa.Eti Zali la Mentali haonekani? Soma posts zangu za jana na leo sasa hivi ninazoziposts. WEWE NDIO UMEKIMBIA UWANJA KWA KUSHINDWA KUJIBU HATA HOJA MOJA NILIYOIWEKA MPAKA SASA HIVI. JINGA KABISA WEWE UANAYEKIMBIA KUJIBU HOJA ZA WANAUME WENZAKO (Kama kweli wewe si mwanaume). Mara nyingi nikiwepo humu, ninakuona chini ukiwa live lakini utasubiri mpaka nimeondoka ndipo uanze kuongea utumbo wako.
Sasa najibu utumbo wako uliyouweka hapo juu. Mpango wa kumsimika Nyerere ulitayarishwa na Ukatoliki kupitia wadau wenzake kama CIA (Marekani kama walivyojieleza wenyewe kwamba wanamtegemea Nyerere kusambaratisha Uislamu Zanzibar na wakaweka mpaka blan B kama Wazanzibar wakiyakataa mapinduzi yale haramu. Plan B hiyo ndiyo iliyompa Nyerere kiburi cha kuendelea kuwaua, kuwakandamiza na kuwadhalilisha Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla wao alivyotaka na ndiyo inayowapa CCM uhalali bandia wa kuendeleza uuwaji, ukandamizaji na udhalilishaji wa Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla wao mpaka leo), Uingereza (Kuleta makomandoo wa kurejesha utawala haramu wa Nyerere baada ya kukataliwa na Wazalendo wakati wa mapinduzi ya 1964) na Ukatoliki kupitia mfumo wao wa kutumia madicteta kuua na kukandamiza watu wasiokuwa Wakatoliki ili waeneze dini yao ambayo haiwezi kuenezwa kwa kutumia hoja bali nguvu.
Suala la Nyerere kuvunja EAMW limeeelezwa wazi kwamba ni maelekezo kutoka Kanisa Katoliki aliyopewa Nyerere baada ya Msimamizi wa Kanisa katika Ukanda wa Africa Mashariki kuwasilisha hofu yake kwa Papa kwamba EAMWS itawafanya Waislamu waendelee kielimu pamoja na mshikamano. Ndipo Nyerere alipopewa maelekeza kutoka Vatican kuhakikisha EAMW inavunjwa. Bila haya wao wana AMECEA ambayo ni taasisi ya Kikatoliki Africa Mashariki iliyojikita katika masuala ya kuwaendeleza Wakatoliki kielimu ukiachilia mbali TEC ya Tanzania. Na AMECEA haijaishia hapo, inaunganishwa hadi Vatican.
Ritz,Huyo Zali la Mentali ni mentali kweli. Anang'ang'ana tumjibu hoja ambazo hazipo! TAA na AA tunaweza kuiachia familia ya Sykes kwa kuwa hivo ndivyo anavyotaka ieleweke mzee Mohamed. TANU ni ya Mwalimu mwanzo hadi mwisho wake. Mwalimu alikuwa Rais wa KWANZA wa TANU na Mwenyekiti wa Mwisho wa chama hiki.Wanajamvi huyu ndugu yetu Zali la Mentali, "Mchimba chumvi" kwa kweli katumfumbua macho.Nyerere anasema alikuwa mjumbe wa TAA na alihudhuria mkutano wa Tabora.Cha kushangaza alikuwa hamjui kiongozi wake Katibu Mkuu wa TAA Abdul Sykes.Kaja kufahamishwa na Kasanga Tumbo alivyokuja Dar es Salaa, hapa napata tabu kidogo.Ni sawa sawa Mabere Marando, kajiunga Chadema lakini hamfahamu Katibu Mkuu wa Chadema Dr Slaa.
Ritz,Huyo Zali la Mentali ni mentali kweli. Anang'ang'ana tumjibu hoja ambazo hazipo! TAA na AA tunaweza kuiachia familia ya Sykes kwa kuwa hivo ndivyo anavyotaka ieleweke mzee Mohamed. TANU ni ya Mwalimu mwanzo hadi mwisho wake. Mwalimu alikuwa Rais wa KWANZA wa TANU na Mwenyekiti wa Mwisho wa chama hiki.
Wanajamvi huyu ndugu yetu Zali la Mentali, "Mchimba chumvi" kwa kweli katumfumbua macho.
Nyerere anasema alikuwa mjumbe wa TAA na alihudhuria mkutano wa Tabora.
Cha kushangaza alikuwa hamjui kiongozi wake Katibu Mkuu wa TAA Abdul Sykes.
Kaja kufahamishwa na Kasanga Tumbo, alivyokuja Dar es Salaam, hapa napata tabu kidogo kumuelewa Nyerere.
Ni sawa sawa Mabere Marando, kajiunga Chadema lakini hamfahamu Katibu Mkuu wake wa Chadema, Dr Slaa.
Mimi nakiita ni kituko Nyerere kajiunga kwenye chama bila kuwafahamu viongozi wake.
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.
Barubaru,
Uchaguzi wa KWANZA wa viongozi wa TANU ulimchagua Mwalimu kuwa Rais wake wa KWANZA. Huu Uenyekiti ulikuja baadae sana. Uchaguzi huu ndio uliomwondoa Abdu Sykes kwenye "active politics" za TANU na kukiondoa chama rasmi mikononi mwa wazee wa Mohamed. Historia ni katili hivo wakati mwingine.
Wickama, ngoja nitengeneze swali la namna nyingine; ni nchi gani ambayo ina chombo kimoja tu cha Waislamu kutetea maslahi yao; chenye kuunganisha Waislamu wa Madhehebu yote? Misri? Iraq? wapi... kwanini ni Waislamu wa Tanzania tu wanatakiwa wawe chini ya chombo kimoja tu? Ukisoma hapo unaweza kuamini kabisa kuwa EAMWS ndiyo ilikuwa panacea ya matatizo yote ya Waislamu; ni kweli? Lakini mbona Aga Khan aliendelea kufanya kazi Tanzania (yeye ndiye aliyekuwa muasisi na mfadhili mkuu wa EAMWS. Kama Nyerere alikuwa na tatizo na Waislamu wa EAMWS (chini ya Aga Khan) kwanini Aga Khan aliendelea kufanya kazi nchini muda wote wa Nyerere na hata kuja karibu kila baada ya miaka michache na kukutana na Rais Nyerere? Au Aga Khan baada ya kuvunjwa EAMWS hakuwa tena Muislamu kwa sababu aliendelea kufanya kazi na Nyerere?
Ni maswali ya kuchokoza tu ndugu zetu ambao wanajaribu kuililia EAMWS... Hivi ile hospitali ya Aga Khan si imekuwepo nchini kwa muda mrefu sana? na shule ya Aga Khan nayo si bado ipo? WAkati shule binafsi zimetaifishwa si serikali ya Nyerere hiyo hiyo iliruhusu kujengwa kwa Shule ya Aga Khan mwaka 1967 ikiwa chini ya uongozi wa Waislamu wa Ismailiya?
Kwanini wanaozungumzia kuvunjwa kwa EAMWS hawazungumzii kabisa uhusiano wa Imam Aga Khan na serikali ya Tanzania chini ya Nyerere? Ni kweli Nyerere hakutaka Waislamu wasifanikiwe lakini bado akamruhusu Imam (kiongozi wa Jumuiya ya Waislamu) kufanya kazi mbalimbali za maendeleo?
Unless of course, kina M. Said watuambie kuwa kina Aga Khan siyo Waislamu safi na hawamtambui Aga Khan kama Imam. Which... will bring us back to EAMWS.
Mohammed,
Kuna tofauti gani kati ya Hassan (Kiswahili) na Ghassany (Kiarabu)? Isn't it the same name with a cultural alteration? Ndugu zetu Afrika magharibi wamezoea kuita Aminata. Waswahili tunaita Amina. Fatumata. Fatuma. etc
Wickama,Hili jamvi lina Breaking News kila Upande. Kumbe kuwa na kijisehemu cha Ukurya katika maumbile yako inakupunguzia kulialia!!!!!!!! hahahahahahah. Asante Wildcard. I happen to have more of that stuff. hahahahahah. Mzee MS uliyajua haya? Sina hamu, let me laugh.
Hili jamvi lina Breaking News kila Upande. Kumbe kuwa na kijisehemu cha Ukurya katika maumbile yako inakupunguzia kulialia!!!!!!!! hahahahahahah. Asante Wildcard. I happen to have more of that stuff. hahahahahah. Mzee MS uliyajua haya? Sina hamu, let me laugh.
WildCard,
Mie ni mtani wangu tunapenda kutaniana mimi sina ukurya ingiwa nimeishi nao na ni marafiki zangu mwaka jana nilikwenda Tarime kumzika rafiki yangu Masubo, alikuwa mfanyabiashara pale Mwanza.
Napafahamu vizuri Musoma, Mkendo Kati, Kawawa, Karume, Makoko, Majita, Tarime, Shirati, Bunda, Sirari, Lamadi, juzi Nguruvi3, kataja daraja la lililowasumbua Wataliana nimekumbuka mbali sana watu walikuwa wanasema pale kuna mizimu inabidi wachinje ng'ombe wamwage damu, ha haa ha.
Kaka nashukuru Tanzania nimetembea kwingi...ukifika Tarime likizo msalimie Zakaria.
WildCard,
Nadhani ingekuwa bora mgemjibu kusema kuwa suala la AA, TAA, mnawachia familia ya Sykes siyo jibu.