Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Barubaru,

Hawa ndugu zetu uwa wanatudharau sana kuna siku nimekwenda ubalozi wa Uingereza kuchukuwa Viza nikakutana na jamaa yangu mkiristo ananiuliza watakupa kweli Viza wakati umevaa kanzu, mie nikacheka sana.

Yeye alikuwa dirisha la pili Ubalozi wa Holland cha kuchekesha yeye akanyimwa Viza makaratasi yake ayajakamilika.

Baadae napewa Viza yangu ninamuanga ananiambia wamekupa nikamwambia mie nimeanza kusafiri wakati wewe bado upo kijijini kwenu.
Ritz
Kwenye hii story, ni obvious kwamba ulikuwa umekamilisha vigezo vyote vya kupata "visa" na yule mkristo alikuwa hajakamilisha ndio maana akanyimwa, na wewe ukapewa. Hapa unamlaumu mkristo kwamba alikudharau..., ok, it is fair.
Sasa hebu fikiria wewe ungekuwa ndiyo yeye, na yeye ndio wewe, kwamba wewe Ritz unyimwe "Visa" kwa kutotimiza masharti, ungeiripoti vipi hapa jamvini?
I'll bet my ten years' salary kwamba ungekuja hapa ukilia kwamba UMENYIMWA VISA KWA VILE WEWE NI MUISLAM...
 
Last edited by a moderator:
Ritz
Kwenye hii story, ni obvious kwamba ulikuwa umekamilisha vigezo vyote vya kupata "visa" na yule mkristo alikuwa hajakamilisha ndio maana akanyimwa, na wewe ukapewa. Hapa unamlaumu mkristo kwamba alikudharau..., ok, it is fair.
Sasa hebu fikiria wewe ungekuwa ndiyo yeye, na yeye ndio wewe, kwamba wewe Ritz unyimwe "Visa" kwa kutotimiza masharti, ungeiripoti vipi hapa jamvini?
I'll bet my ten years' salary kwamba ungekuja hapa ukilia kwamba UMENYIMWA VISA KWA VILE WEWE NI MUISLAM...
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.
 
Last edited by a moderator:
Ritz
Kwenye hii story, ni obvious kwamba ulikuwa umekamilisha vigezo vyote vya kupata "visa" na yule mkristo alikuwa hajakamilisha ndio maana akanyimwa, na wewe ukapewa. Hapa unamlaumu mkristo kwamba alikudharau..., ok, it is fair.
Sasa hebu fikiria wewe ungekuwa ndiyo yeye, na yeye ndio wewe, kwamba wewe Ritz unyimwe "Visa" kwa kutotimiza masharti, ungeiripoti vipi hapa jamvini?
I'll bet my ten years' salary kwamba ungekuja hapa ukilia kwamba UMENYIMWA VISA KWA VILE WEWE NI MUISLAM...
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.
 
Last edited by a moderator:
Ritz
Kwenye hii story, ni obvious kwamba ulikuwa umekamilisha vigezo vyote vya kupata "visa" na yule mkristo alikuwa hajakamilisha ndio maana akanyimwa, na wewe ukapewa. Hapa unamlaumu mkristo kwamba alikudharau..., ok, it is fair.
Sasa hebu fikiria wewe ungekuwa ndiyo yeye, na yeye ndio wewe, kwamba wewe Ritz unyimwe "Visa" kwa kutotimiza masharti, ungeiripoti vipi hapa jamvini?
I'll bet my ten years' salary kwamba ungekuja hapa ukilia kwamba UMENYIMWA VISA KWA VILE WEWE NI MUISLAM...

Nanren,

Wapi nememlaumu huyo jamaa? Hebu nisome vizuri.

Ninachoelezea hapa ni dharau alizonionyesha kisa nimevaa kanzu kwa akili yake alikuwa anajua kanzu ni tatizo.

Ndivyo mlivyoaminishwa kuwa wote wavaa kanzu na watu wa madrassa ni wajinga hawana wanachokijua hawajasoma.

Regards.

Ritz,
 
Last edited by a moderator:
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.

WildCard,

Katika Uislam ni haram mtu kulialia na kulalamika tofautisha dhulma na kulalamika.

Uislam umekataza kufanya dhulma kwa yeyote hata kama siyo Muislam na umekataza pia kuruhusu kudhulumiwa huku umekaa kimya.

Wala Uislam hauruhusu kusaidiwa kama una uwezo.
 
Last edited by a moderator:
WildCard,

Katika Uislam ni haram mtu kulialia na kulalamika tofautisha dhulma na kulalamika.

Uislam umekataza kufanya dhulma kwa yeyote hata kama siyo Muislam na umekataza pia kuruhusu kudhulumiwa huku umekaa kimya.

Wala Uislam hauruhusu kusaidiwa kama una uwezo.
Dah! Kila kukicha naona Waislam wanafanya dhulma kwa UHAI wa wenzao na watu wengine. Uliona yale juzi ya Boston Marathon bila shaka. Tuache yale ya 9/11, balozi za marekani hapa nchini na kule Kenya, yanayoendelea kule Syria, Iraq, Afghanistan, Pakistan, Libya,....
 
Mohamed,

Umeulizwa wew kama ulishawahi kubaguliwa kwasababu ya uasili wako wa bara, lakini unajibu kwakujiunganisha na udini,

Kulikoni mzee wangu? Kwanin usisimame kama swali lilivyo?

Yericko,
Mie mtu wa pwani.

Kama bara basi tumetokea Belgian Congo 1880s.
 
Nanren,

Wapi nememlaumu huyo jamaa? Hebu nisome vizuri.

Ninachoelezea hapa ni dharau alizonionyesha kisa nimevaa kanzu kwa akili yake alikuwa anajua kanzu ni tatizo.

Ndivyo mlivyoaminishwa kuwa wote wavaa kanzu na watu wa madrassa ni wajinga hawana wanachokijua hawajasoma.

Regards.

Ritz,
Unazungumzia Viza ya Msumbiji au UK Viza!? regardless ulipata au hukupata lakini UK Viza haitolewi kienyeji hivyo, unless rekebisa maelezo yako.
 
Nanren,
Hawa watu kulialia kuonewa ni sehemu ya ibada yao kama ilivyo kuchinja wanyama. Hawaonewi pale tu kiongozi mkuu wa dini yao ndie pia kiongozi mkuu wa dola/taifa. Wanataka kila nchi itawaliwe na Ayatollah/Mulla. Ritz ana Ukurya flani unamsaidia kidogo. Halii sana kama akina Mohamed.

Wild Card,
Kumbe mzito wa uelewa.

Mtu aliyekuwa na ujasiri wa kusema nilosema
na Nyerere yu hai huyo mtu wa kutokwa machozi?
 
Sasa Boko haram unadai heshima ambayo hustahili! ukiandika mambo ya kijinga unatakawatu wakuite mwerevu?

Kama sistahiki heshima si unipuuze niweke kwenye "shit list" kunawatu wengi ambao ni werevu unaweza kujadiliana nao mimi niache nife na ujinga wangu sawa mkubwa
 
Kwenye post yangu #13116 niliweka ushahidi huu ambao unadhihirisha kwamba Nyerere hakuishia Africa Mashariki tu bali aliunganisha Mfumo Katoliki mpaka Vatican. Haya ndiyo niliyoyazungumza ambayo mpaka sasa mnayakimbia kama kituo cha polisi kuyajibu:

Ni kweli wazee wa wakati ule hawakuwa wadini lakini Nyerere alikuwa mdini aliyekubuhu.

Ushahidi uliowekwa na muanzisha thread hii kwamba Askofu Maranta alikwenda kwa Sheikh Issa ili aone jinsi Kanisa linavyoweza kuingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha kudai uhuru hapo mwaka 1948 na kushauriwa ajiunge kwenye vyama vilivyopo ni dhahiri kwamba Sheikh Issa alikuwa analikalibisha Kanisa kwenye African Association ambapo Masheikhs walishajitambulisha na hicho chama tangu kinaanzishwa mwaka 1929. Na inaonekana hapa kwamba mipango ya Kanisa Katoliki kuanza mikakati ya kumpandikiza Nyerere kwenye TAA ilianza kusukwa hapa kwani Kanisa halikuwa na sababu yeyote ya msingi ya kutaka kuonana na Masheikhs kujadiliana nao jinsi gani Kanisa litaingia kwenye harakati za kudai uhuru wakati Kanisa lilishafanya uamuzi kwamba hawawezi kujiunga na vyama ambavyo havina wasomi. Haiingii akili kwenda kumuona mtu ambaye tayari umeshamuhukumu kwamba hafai!!!!

Nyeree alificha makucha yake ya udini uliokubuhu wakati wa zoezi zima la yeye kuingia kwenye kwenye Siasa kupitia TAA. Makucha yake alianza kuyaanika mara baada ya kufanikiwa kujipenyeza ndani ya TAA na hatimaye kupata Urais wa nchi. Ndipo hapo Nyerere aligeuka kuwa zaidi ya Mdini. Alikuwa Mmadhehebu wa hatari sana. Alianza kuweka mikakati ya kuwapendelea Wakatoliki dhidi ya dini zingine na madhehebu mengine ya Wakristo. Akaanza mikakati ya kuuuwa Uislam.

Kitabu cha Jan P. Van Bergen kilimnukuu Nyerere akisema maslahi ya kanisa lake (Roman) yanakuja kwanza na hatokwenda kinyume na kanisa lake.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!
Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:
"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".
Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Mwaka 1970 Nyerere aliwaalika Ikulu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Tanzania Episcopal Conference Fr. Robert Rweyemamu na muwakilishi wa Papa Tanzania Mgr. Giovano Cerrano na Nyerere aliwaambia wageni wake alikuwa anafanya kila liwezekanalo katika mamlaka yake kuuimarisha Ukatoliki Tanzania. Aliwaomba pia waende kuwafahamisha ma bishops kwamba ameanzisha idara ya elimu ya siasa kwenye TANU na kwamba amemteua Mkristo Reverend kuwa mkuu wa idara hiyo sio kwa sababu ya uwezo wake katika siasa bali kwa sababu ya imani yake thabiti kwenye Ukristo. Jukumu lake ni kuongoza na kudhibiti muelekeo wa kisiasa wa chama. Aliwafahamisha vilevile kwamba katika Kamati Kuu ya Chama (NEC) wajumbe wawili ni Reverends. Alisema anaamini hiyo ndio njia nzuri ya kuhakikisha kwamba chama kinapata “watu” wazuri!!!!!! (van Bergen, 1981:333-336).

Si ajabu kutokana na agano lake hilo hapo juu kwamba Sivalon (1992:49) anaripoti kwamba katika mwaka huo huo aliotoa ahadi Wakatoliki walikuwa asilimia 70 ya asilimia 75 ya Wakristo wote waliochaguliwa kuwa wabunge. Kati ya wabunge 108 waliochaguliwa 5 walikuwa wanaamini kwenye dini zetu za asili, 23 walikuwa wanaamini kwenye Uislam, 24 walikuwa wanaamini katika madhehebu mengine ya Kikristo yasiyokuwa Katoliki na 56 walikuwa wanaamini katika Ukatoliki. Hivyo utaona Wakatoliki walikuwa zaidi ya nusu ya wabunge wote!!!!!!!!

Nyerere ndio mtu aliyetumika na Kanisa katika mikakati yao ya kuumaliza Uislam (Crusade). Hii inadhihirishwa na mpango wake wa kufanya mapinduzi Zanzibar kwa kumtumia mtu katili na mdini mwenzake Okello ili kuusambaratisha Uislamu ambapo zaidi ya watu 20,000 waliuawa kikatili na watu wasiopungua 200 walichomwa moto kwenye tanuri wakiwa hai!!!!!

Sasa unahitaji ushahidi gani zaidi?

Hakuna haja ya kufungua thread nyingine. Fuatilia ID yangu utakuta kila thread niliyoifungua JF wameifungia isijadiliwe. Mnataka nifungue nyingine ili nayo muifungie? Tutabanana hapa hapa mpaka kieleweke.

Ndugu yangu zali la mentali mimi naona unahoja lakini kuna mtu anasema hauna hoja ajaribu kupangua basi hii kazi yake kuita watu wajinga "ubondia anautaka lakini anaogopa manundu!"
 
Kama sistahiki heshima si unipuuze niweke kwenye "shit list" kunawatu wengi ambao ni werevu unaweza kujadiliana nao mimi niache nife na ujinga wangu sawa mkubwa
Boko haram, hutakiwi kufa kwa ujinga, unatakiwa kuachana na kufugwa na huyo mzee mchochezi Mohamed Said na ukubali kupokea maarifa mengine zaidi!hapo ujinga utaachana nao na hautakuua! uskubaliane na upuuzi kwamba vijana wa kiislam wanahujumiwa na mizimu ya mfumo kristo na kwa hiyo hawawezi kufanikiwa kwa lolote, huo ni uongo, fursa zipo kwa wote bila kujali imani zao. Adui wa Tanzania ni viongozi wasio wabunifu wala uchungu kwa taifa lao ambao wamekumbatia ufisadi na visingizio visivyo na maana yeyote pamoja na kutumia udini kuficha ufedhuri wao!
 
Dah! Kila kukicha naona Waislam wanafanya dhulma kwa UHAI wa wenzao na watu wengine. Uliona yale juzi ya Boston Marathon bila shaka. Tuache yale ya 9/11, balozi za marekani hapa nchini na kule Kenya, yanayoendelea kule Syria, Iraq, Afghanistan, Pakistan, Libya,....

WildCard,

Labda nisaidie kwenye ili Rev Gene Robinson wa Kanisa la Aglican ni shoga na kiongozi vipi ndiyo Ukiristo unafundisha ivyo?

Adolf Hitler ni Mkiristo alichokuwa anakifanya ndiyo Ukiristo?

Mapadri kufanyia vijana wa kiume ushenzi Ukiristo ndiyo unafundisha ivyo?

Usichanganye tabia za watu na dini.
 
Last edited by a moderator:
WildCard,

Labda nisaidie kwenye ili Rev Gene Robinson wa Kanisa la Aglican ni shoga na kiongozi vipi ndiyo Ukiristo unafundisha ivyo?

Adolf Hitler ni Mkiristo alichokuwa anakifanya ndiyo Ukiristo?

Mapadri kufanyia vijana wa kiume ushenzi Ukiristo ndiyo unafundisha ivyo?

Usichanganye tabia za watu na dini.
Ritz,
Watu wenu wanasema ni DINI yao inawatuma kufanya haya. Kama Sheikh Ponda anavyofanya kwa kutumia maandiko ya Mzee Mohamed. Hebu hii ya Boston juzi:

"Dzhokhar Tsarnaev indicated his older brother, Tamerlan, was the driving force behind the attacks and wanted to defend Islam from attack, the source said."
 
Kwenye post yangu #13116 niliweka ushahidi huu ambao unadhihirisha kwamba Nyerere hakuishia Africa Mashariki tu bali aliunganisha Mfumo Katoliki mpaka Vatican. Haya ndiyo niliyoyazungumza ambayo mpaka sasa mnayakimbia kama kituo cha polisi kuyajibu:

Ni kweli wazee wa wakati ule hawakuwa wadini lakini Nyerere alikuwa mdini aliyekubuhu.

Ushahidi uliowekwa na muanzisha thread hii kwamba Askofu Maranta alikwenda kwa Sheikh Issa ili aone jinsi Kanisa linavyoweza kuingia rasmi kwenye kinyang'anyiro cha kudai uhuru hapo mwaka 1948 na kushauriwa ajiunge kwenye vyama vilivyopo ni dhahiri kwamba Sheikh Issa alikuwa analikalibisha Kanisa kwenye African Association ambapo Masheikhs walishajitambulisha na hicho chama tangu kinaanzishwa mwaka 1929. Na inaonekana hapa kwamba mipango ya Kanisa Katoliki kuanza mikakati ya kumpandikiza Nyerere kwenye TAA ilianza kusukwa hapa kwani Kanisa halikuwa na sababu yeyote ya msingi ya kutaka kuonana na Masheikhs kujadiliana nao jinsi gani Kanisa litaingia kwenye harakati za kudai uhuru wakati Kanisa lilishafanya uamuzi kwamba hawawezi kujiunga na vyama ambavyo havina wasomi. Haiingii akili kwenda kumuona mtu ambaye tayari umeshamuhukumu kwamba hafai!!!!

Nyeree alificha makucha yake ya udini uliokubuhu wakati wa zoezi zima la yeye kuingia kwenye kwenye Siasa kupitia TAA. Makucha yake alianza kuyaanika mara baada ya kufanikiwa kujipenyeza ndani ya TAA na hatimaye kupata Urais wa nchi. Ndipo hapo Nyerere aligeuka kuwa zaidi ya Mdini. Alikuwa Mmadhehebu wa hatari sana. Alianza kuweka mikakati ya kuwapendelea Wakatoliki dhidi ya dini zingine na madhehebu mengine ya Wakristo. Akaanza mikakati ya kuuuwa Uislam.

Kitabu cha Jan P. Van Bergen kilimnukuu Nyerere akisema maslahi ya kanisa lake (Roman) yanakuja kwanza na hatokwenda kinyume na kanisa lake.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!
Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:
"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".
Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Mwaka 1970 Nyerere aliwaalika Ikulu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Tanzania Episcopal Conference Fr. Robert Rweyemamu na muwakilishi wa Papa Tanzania Mgr. Giovano Cerrano na Nyerere aliwaambia wageni wake alikuwa anafanya kila liwezekanalo katika mamlaka yake kuuimarisha Ukatoliki Tanzania. Aliwaomba pia waende kuwafahamisha ma bishops kwamba ameanzisha idara ya elimu ya siasa kwenye TANU na kwamba amemteua Mkristo Reverend kuwa mkuu wa idara hiyo sio kwa sababu ya uwezo wake katika siasa bali kwa sababu ya imani yake thabiti kwenye Ukristo. Jukumu lake ni kuongoza na kudhibiti muelekeo wa kisiasa wa chama. Aliwafahamisha vilevile kwamba katika Kamati Kuu ya Chama (NEC) wajumbe wawili ni Reverends. Alisema anaamini hiyo ndio njia nzuri ya kuhakikisha kwamba chama kinapata “watu” wazuri!!!!!! (van Bergen, 1981:333-336).

Si ajabu kutokana na agano lake hilo hapo juu kwamba Sivalon (1992:49) anaripoti kwamba katika mwaka huo huo aliotoa ahadi Wakatoliki walikuwa asilimia 70 ya asilimia 75 ya Wakristo wote waliochaguliwa kuwa wabunge. Kati ya wabunge 108 waliochaguliwa 5 walikuwa wanaamini kwenye dini zetu za asili, 23 walikuwa wanaamini kwenye Uislam, 24 walikuwa wanaamini katika madhehebu mengine ya Kikristo yasiyokuwa Katoliki na 56 walikuwa wanaamini katika Ukatoliki. Hivyo utaona Wakatoliki walikuwa zaidi ya nusu ya wabunge wote!!!!!!!!

Nyerere ndio mtu aliyetumika na Kanisa katika mikakati yao ya kuumaliza Uislam (Crusade). Hii inadhihirishwa na mpango wake wa kufanya mapinduzi Zanzibar kwa kumtumia mtu katili na mdini mwenzake Okello ili kuusambaratisha Uislamu ambapo zaidi ya watu 20,000 waliuawa kikatili na watu wasiopungua 200 walichomwa moto kwenye tanuri wakiwa hai!!!!!

Sasa unahitaji ushahidi gani zaidi?

Hakuna haja ya kufungua thread nyingine. Fuatilia ID yangu utakuta kila thread niliyoifungua JF wameifungia isijadiliwe. Mnataka nifungue nyingine ili nayo muifungie? Tutabanana hapa hapa mpaka kieleweke.

Zali la mentali; Angalua lugha yako imeanza kuwa katika KAWAIDA. Ulinitia woga ndugu yangu, sio kwa hoja bali ule ushari. Mimi sina tatizo na threads zako na wala siogopi maswali yako na wala sipo hapa kumtetea Nyerere. Na pia nimeshasema bayana kabisa kuwa tume ya kina Waryoba ikitoa fursa ya kuupigia kura Muungano, mimi nitawatema Zenj. Waishi wanavyotaka. Hapa ni hoja na majibu. Sijui nitasema sijui. Ili kukujibu, inabidi nikukumbushe tena kuwa Maana ya MDINI sio mtu anayefuatilia dini yake. Ni mtu anayetoa au kunyima haki/fursa stahiki kwa mwingine kwa kigezo cha dini yake kufanana au kutofautiana na mlengwa. Hapa wewe weka ushahidi;

1. Kuwa Nyerere alikuwa mdini kwa kigezo hicho. Kwa maana nyingine itasaidia kama utaonyesha japo kim-kataba cha JKN na hao mabosi wa kanisa kuwa "nyie tulieni, hawa waislamu watanikoma"

2. Kuwa mauti yake ya taratibu (ulisema huko awali), na kufa kwa kupumua kwa mashine (pia ulisema) ni laana. Weka ushahidi, hata kutoka hata vitabu vya dini yoyote kuwa mkiona mtu anaugua hafi haraka mjue ni laana. Fanya hivyo pia kwa kufa huku unatumia mashine ya oksijen. Zali, kuwa mwangalifu sana hapa usijitege ukaambiwa umejitoa katika dini yako. Wapo mitume walikufa taratibu kwa maradhi chonde usijeonekana unawakosea adabu.

3. Okello anaarifu kuwa siku hiyo (ya Mapinduzi) waliuwawa WAARABU 13,000. Wewe unasema waliuwawa waislamu 20,000. Wacha idadi. Mimi pia sipendi watu kuuwawa. Toa ushahidi kuwa Okello alilenga kuwaua Waislamu na sio waarabu kama anavyoripoti mwenyewe. Kabla hujajibu swali hili jikinge angalau na data za population ya zenj wakati ule ili ujue idadi ya wazenj wote. Nitakupa Tip; chunguza kilichomzuia kuwaua waswahili kiholela huku pia wao ni waislamu

4. Katika kitabu chake, Okello anajuta kutumaini angalau msaada toka kwa Nyerere na anasema alimwona sio wa kuamika kama Kenyatta. Anasema ingekuwa anaweza basi bora angeunganisha zenj na kenya. Wewe unasema Nyerere ndiye aliyekuwa tajiri yake. Tafadhali sherehesha hoja hizi zisikinzane kisha tuendelee.

5. Maelezo yako yaliyotangulia yameonyesha kamanda mkuu wa polisi zenj akiwasiliana na Kenya na kuahidi kila kitu kiko sawa, hapa inatoa picha kama vile Kenya ndio iliyokuwa na sauti, sio JKN.

Hebu anzia na haya

Wasalaam
 
Unazungumzia Viza ya Msumbiji au UK Viza!? regardless ulipata au hukupata lakini UK Viza haitolewi kienyeji hivyo, unless rekebisa maelezo yako.

gombesugu, Kadogoo, THE BIG SHOW, Ami, Boko haram,

Hebu angalieni huyu kauzu anaamini Ritz, hawezi kupata Viza ya Uingereza anasema Uingereza hawatoi Viza kienyeji hanijui simjui lakini hataki kuamini kama nimefika Uingereza sababu mie ni Muislam.

Nakufahamisha tu mie nimeanza kusafiri kabla wewe haujatoka kwenu Bukoba.

Mimi nafanya kazi na haya makampuni ya Uingereza BEKO, HINARI, DIESEL, H &M, POLICE, POLO, hawa wote wananitumia mialiko ya kwenda Uingereza kununua bidhaa zao.

Kampuni yangu inatoa Viza ya nchi yeyote.
 
Last edited by a moderator:
Naenda kupumzika. Tutaonana siku nyingine. Kazi ya kuchimba chumvi ni ngumu kweli kweli si mchezo!!!!!! Ila tutaendelea kuwekana sawa mpaka kieleweke!!!!!!!!!!!!

Zali; Kuna maswali nikuwekea, yajibu kisha uende mgodini. No jazba please. Nataka point moja baada ya nyingine.
 
Ritz,
Watu wenu wanasema ni DINI yao inawatuma kufanya haya. Kama Sheikh Ponda anavyofanya kwa kutumia maandiko ya Mzee Mohamed. Hebu hii ya Boston juzi:

"Dzhokhar Tsarnaev indicated his older brother, Tamerlan, was the driving force behind the attacks and wanted to defend Islam from attack, the source said."

WilrdCard,

Mbona hujibu kuhusu hao watu niliokutajia?

Sheikh Ponda kafanyaje?
 
gombesugu, Kadogoo, THE BIG SHOW, Ami, Boko haram,

Hebu angalieni huyu kauzu anaamini Ritz, hawezi kupata Viza ya Uingereza anasema Uingereza hawatoi Viza kienyeji hanijui simjui lakini hataki kuamini kama nimefika Uingereza sababu mie ni Muislam.

Nakufahamisha tu mie nimeanza kusafiri kabla wewe haujatoka kwenu Bukoba.

Mimi nafanya kazi na haya makampuni ya Uingereza BEKO, HINARI, DIESEL, H &M, POLICE, POLO, hawa wote wananitumia mialiko ya kwenda Uingereza kununua bidhaa zao.

Kampuni yangu inatoa Viza ya nchi yeyote.
Mbona una "over react" bila sababu? mbona Matola hakuuzungumzia uislam wako! sasa unawataja hawa jamaa zako ili wamuadhibu Matola au ili wautete uislam wako?
 
Back
Top Bottom