Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Wewe mantiki ya kusema aliondoka mda mrefu kwenda kusoma na hivyo hakuwa anawajua viongozi wa TAA wa wakati anarudi kutoka masomoni umeitoa wapi? Mantiki ya kusema mawasiliano yalikuwa magumu wakati ule umeitoa wapi wakati kwenye hotuba yake haipo? Huoni na wewe umeweka mantiki tofauti kabisa ya hotuba yake kwa kumlisha maneno ambayo hayapo kwenye hotuba yake?
 
Why should I waste my time quoting your stupidity? You have no point worthy discussion here, your head is full of ignorance and unworthy arrogance.
 
You are doomed embicile hooligan.

Sasa nakupa uwanja umalizie matusi yote uliyokuwa nayo kichwani kwani hayo ndiyo yanayokufanya kichwa chako kuwa kizito sana kuelewa mambo. Yamwage hapa upate nafuu ya akili kwani mtaji wa mpumbavu anapokuwa kazidiwa nguvu ya hoja ni matusi yake mwenyewe ili yamsaidie kupunguza inferiority complex anayoihisi wakati wa kujadiliana na watu wenye kumshinda hoja.
 
Zali la Mentali, why do you keep on repeating the word "hoja"? You have never never put forward any "hoja" here since you joined JF! instead you have been narrating unsubstantiated rumours! Stop forthwith boring us with your nasty and stupid stories.
 
Zali la Mentali, why do you keep on repeating the word "hoja"? You have never never put forward any "hoja" here since you joined JF! instead you have been narrating unsubstantiated rumours! Stop forthwith boring us with your nasty and stupid stories.

Huwezi kunizuia kutumia neno hoja kwa sababu ninazitema kisawasawa. Utaishia kupiga kichwa ukuta mpaka kipasuke kama hutaki kujibu hoja zangu halafu unategemea you will get away with it that simple.

Angalia Wackama alivyofanya. Alini quote na akaweka madukuku yake. Nikaweza kumjibu moja baada ya jingine. Wewe ulivyo mpumbavu huna desturi ya kujadiliana kwa hoja. Unaendeshwa na emotions zako kama vile uko kwenye tendo la ushoga.
 
Oh! i did not know that you are an expart in gay marriages! by the way, who takes you on ride poor boy? That is why you never talks sense!
 
Inasikitisha sana kuona watu wanaojiita wasomi na wenye wangavu mukubwa kuendeleza amani ya nchiyetu wanapogeuka kuwa wachochezi wakubwa bila aibu! Inasikitisha sana mnatupeleka wapi ni mwanadamu gani aliyekamilika? Shame upon you!!!
 
Zali la Mentali, why do you keep on repeating the word "hoja"? You have never never put forward any "hoja" here since you joined JF! instead you have been narrating unsubstantiated rumours! Stop forthwith boring us with your nasty and stupid stories.
Wacha kutudanganya na nafsi yako.Wenzako akina Mag3 na Wickama tangu kuingia zali na gombe wameanza kuelewa na wengine wameamua wakae kimya.Wewe umeamua kubaki kutukana tukana ovyo.
Kama una hoja saidia kujibu hizi.
Jibu na hii


Kichwa chako Gwalihenzi ni kama cha samaki.Kama sio kweli kanusha kipande kipande
 

Ami,

Wale wote waliokuwa wanapinga kuwa Tanzania hakuna mfumo kristo wote wapo kimya baada ya Mchimba Chumvi Zali la Mentali, kushusha mipini.

Kuna wengine wametangaza kabisa kuwa hawataki kumuona Zali la Mentali, kachafua jamvi lote.

Wanajamvi jitokezeni kujibu hoja za Mchimba Chumvi.

Cc.. gombesugu,
 
Last edited by a moderator:

Ha ha haa hapa kwa MCHIMBA CHUMVI kawa mpole kakutana na kiboko yake zali anasema ukimwaga ugali yeye anamwaga mboga zali endelea kupiga misumari yenye vikofia juu ile ya kupaulia nyumba!
 
Nguruvi3,

Usiogope kabisa kwani siku zote huwezi kuuficha ukweli.

Na Siku zote ukweli unauma sana na Unatisha sana.

dawa ni kutenda haki tu na matendo mazuri ndiyo yatakayo kujengea taswira na maisha mazuri duniyani na Akhera.

Hongera sana Mohamed said kubainisha hayo.
 
Nduka,

Asalaam Alaykum Al Akhiy.

Nafurahi kukusikia na kutambuana hapa jamvini.

Wallahi kama upo hapo D'salaam,nipa salaam sana pia kwa Eddy Islam mwambie nduguyo "Shariff Nganganga" wa Vienna anakusalim atacheka saana!ahaha!!

Ma'salaam.

Islam gani huyu wa Upanda. Au yule mwenye duka opposite Msikiti Ngazija.

Anayeishi Ali Khan street

 

Hoja zipi alizozimwaga? Mwambie ajibu maswali yangu yaliyotoka na anachokiita hojan nimemuuliza akaishia kurukaruka tu!
 
Last edited by a moderator:
Ami, you are as dead as your doomed philosophy!
 
Oh! i did not know that you are an expart in gay marriages! by the way, who takes you on ride poor boy? That is why you never talks sense!

Wewe umeshaonyesha dalili zote za kuwa mtoto si ridhiki kwa kulialia humu jamvini kuomba watu walewale unaowatukana wakusaidie kunidhibiti mimi. Sasa ndio maana naoengea kwa lugha ambayo utaielewa vizuri kwani ndio matendo yako.
 
Hoja zipi alizozimwaga? Mwambie ajibu maswali yangu yaliyotoka na anachokiita hojan nimemuuliza akaishia kurukaruka tu!

Kwa hiyo hizo hoja alizoziweka moja baada ya nyingine huzioni? Kama huzioni KAA KIMYA.

Kuhusu mjadala wetu, uliamua kuingia mitini baada ya kushindwa kujibu swali langu la mwisho linalohusu mantiki ya hotuba ya Nyerere. Sasa mimi nikiona mtu kaingia mitini bila kuzungumza chochote simfatilii. Najua kanielewa.

Sasa huna haki ya kusema kwamba ninarukaruka tu wakati wewe umeamua kuingia mitini. Kuendeleza malumbano yangu kupitia kwa watu wengine hakutakusaidia. Nitakushukia kama mwewe popote pale utakapoamua kuendeleza malumbano na mimi kwenye mnakasha huu.
 
Ami, you are as dead as your doomed philosophy!

Kama kawaida mtaalamu wa matusi anaendelea na kazi yake ya kumwaga matusi badala ya kujibu hoja za watu!!!!!!

Huyu jamaa ni wazi kabisa akipitisha siku bila kutukana atalazwa hospitalini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…