Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed Said,

Nimemsoma Zitto Kabwe hakihotubia bunge kaongea maneno mazito sana utadhani naye anafyonza Ilm kwenye huu Mnakasha.

Humu jamvini watu wanataka kuwapangia Waislam waongozwe na Bakwata ambayo ni chombo cha serikali.


Ajabu...!
Mbona wao jumuiya zao haziongozwi na kupangiwa mambo yao na serikali??
Imekuwa bakwata kazi yao ni kutangaza mwezi tuh unapoandama na siku za watu za kufunga na kufungua kama matahira,ukionekana Kenya hawataki kutangaza,wanasubiri mwezi wa Tanzania kwanza kisha wawatangazie kufunga na kufungua,vihiyo wakubwa,
Nyerere katika hili la bakwata mzimu wake utamuandama hadi huko kaburini,iweje mambo yetu sisi yeye aamue kuunda chombo bila ridhaa yetu??huku wengine akiwaacha waunde vyombo vyao kwa ridhaa zao??
Hongera Zitto kwa ujasiri wako wa kusema ukweli...
 
Nguruvi3,

Umemsikia Kadinal Pengo na sakata la bomu Arusha.

Wewe ulisema Mohamed Said anahusika na matukio ya Zanzibar na Arusha.

Busara yako ipo wapi?
Sijasema amehusika! hilo la kwanza. Pili kama unataka kuiona busara ya kile nilichomaanisha hilo halina wahka nitaweka hapa
 
Hiyo sentensi niliyoikizia hakika umenigusa. Ni muhimu sana

Kwa maana nyingine hakuna undugu kama ndugu ni mchumia tumbo na unakubaliana nami kuwa tafsiri ya kuunusuru Uislam ya Mohamed ina walakini mkubwa sana.

Pili, alaaa! kumbe kuchumia tumbo kwa kufanya kinyume na dini ni makosa! Ok! sasa kupotosha, kudanganya na kusema uongo au kusengenya si yote yapo kundi hilo. Nashukuru ujumbe wako utakuwa umewafikia wengi.
Kwahili nakupongeza kwa ujasiri maana inataka moyo kusema maneno hayo mazito. Naomba walengwa wayazingatie.
 

Nguruvi3
Mimi katika list yangu hadi sasa wapo wawili,unataka nikuongeze uwe wa tatu??
la hasha sintofanza hivyo kwa kuwa najua hapo umejitoa ufaham kwa makusudi,mtu anaefaham mafuhum ya dini kisha akashindwa kuyatumia kwa maslahi ya dini kwa makusudi kabisa huyo anakua ameasi na kwa kias kikubwa mtu huyo huwa na sifa za kinafiki,,

Pia anachofaya Moh Said na sisi walamba buti zake kama mnavosema si kupigana jihadi,la hasha,ni kusimamia ktika ukweli ambao umefutwa kwa makusudi na kupotoshwa,sasa kwa kuwa wengi wetu tunaonekana kama ni watu wa imani hii basi ninyi mmekuja kutuhukum hivyo moja kwa moja,sisi hatuna tatizo na hilo,

Tutaendelea kusimamia kile tunachokiamini,ila bakwata yenu tunawaachia nyinyi na nyerere wenu,,,
 
Last edited by a moderator:
Don't even go there. Nimemsikia Mohamed akiwatahadharisha kuwa kuna uwezekano wa kukashifiana kidini. Don't go there. Otherwise ukifyatua makombora upande mwingine unaweza kabisa kujibu.
 

NGURUVI:

Hivi ni kwanini Askofu Method Kilaini alihamishiwa Bukoba kuwa Askofu msaidizi toka Dar?
 

Nguruvi3,

Ndugu yangu hayo maneno yako ulikuwa unamlenga nani kama siyo Mohamed Said.

Hakuna tatizo kama unayakana maneno yako.

Tuendelee na mnakasha tusemezane...
 
Last edited by a moderator:
Moh Said,
Ndug Zitto kamaliza kila kitu,ametumia lugha yenye kueleweka sana,
Huo ndio ukweli tunaousema...
Muongo mkubwa, wewe na hilo zee lako hamsemi hivyo! Nyie mnasema adui wa waislam ni Nyerere, mfumo kristo na kanisa katoliki. Ulivyokosa akili na busara unathubutu kudandia hoja ya Zito! Soma utumbo wa ndugu yako Ami hapa;
 

Potelea mbali hata kama Chadema watamfukuza Zito au kumzuia asigombee Urais mwaka 2015! Wananchi wanaimani nae!
 
Potelea mbali hata kama Chadema watamfukuza Zito au kumzuia asigombee Urais mwaka 2015! Wananchi wanaimani nae!
Wajameni,
Samahani kama nadandia treni kwa mbele. Sijaiona kauli ya Zitto. Kwani Zitto kasemaje?
 

Jasusi,

Kauli ya Zitto hii hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kelelee weeee! We ni KAFIRI TU
Mkuu umemshtukia vizuri sana ... Mpuuzi kweli kweli eti na yeye anajinasibu kuwa ni mwislam! Adui Mkubwa kwa Waislam wa Tanzania anajulikana kuwa ni BAKWATA: chini yake mali za waislam zimeuzwa kama njugu, chini ya BAKWATA waislam tunaendelea kudhulumiwa katika kila nyanja za kimaendeleo, Watoto wa kiislam wanafelishwa, Waislam wananyimwa fursa za ajira katika taasisi nyeti za umma hadi ndani ya ikulu! Eti hakuna waislam waliosoma! waislam wa sasa tumesoma sana, tunauweledi mkubwa sana, tunachokihitaji ni fursa sawa kwa wote...
 
mi nadhani hapa issue inatetewa sana hoja, hoja uliyotoa feby ni kuwa waislam sana sana wa pwani wajipange wasome ili wawe kama wenzetu wakristo.
swali kwako je kwa sasa kwani waislam wasomi hakuna?
na je kama wapo je uwiano katika soko la ajira unalingana?
mimi nimemwelewa sana MOHAMED sasa unataka waislam wasome wakati necta ndio machinjioni, unakumbuka necta walikiri kukosea kusahihisha mitihani ya islamic knowledge? kwanini isiwe bible knowledge ?
wewe inawezekana ni muislam, lakini jiulize ni muumini?
je unaamrisha yale yote aliyotuamrisha ALLAH au tu wewe ni muislam kwa ajili familia na jina lako ni la kiislam.
shame be upon you.
 
Labda naomba msaada kwa Mohamed na vijana wake wanieleze, hivi akitokea Mwislam anamnajisi mwanamke kwa nguvu(kubaka) na mwanake huyo si Mwislam, je huyu mwislam aliyeona hilo anatakiwa amnusuru nani?
Amesema Mtume salalahu alayhi wasallam:
Mnusuru ndugu yako (Muislamu) aliyedhulumiwa au anayedhulumu, mtu mmoja aliyekuwepo akauliza:ninaelewa kumnusuru ndugu yangu aliyedhulumiwa lakini anayedhulumu (sielewi)?
Mtume salalahu alayhi wasallam akamwambia: Unaweza kumzuia asifanye (asiendeleze) dhulma, huo utakuwa ni msaada wako kwake (umemuondolea mzigo wa adhabu za Kiama)".mwisho wa hadith- (imepokelewa kwenye sahiihayn, Bukhari na Muslim)

*kwenye mabano ni tafsiri yangu jinsi nilivyoelewa mimi.
 

Iboru1995.

Jina lako limenikumbusha skuli ya sekondari Ilboru iliyopo kule ARUSHA.

Ni mimi niliyepigania haki ya watoto wa kiislam pale Form One wasiingizwe katika kundi la kulisha nguruwe wa skuli.
Tukumbuke siku zote HAKUNA DHULMA YENYE KUDUMU. Na nafikiri sana ndio mnaenda ukingoni. Haki bin Haki ndio suluhisho. mambo ya dini fulani imesoma kuliko nyingine na hivyo wao wana fursa nyingi na hati miliki za uongozi wa nchi zimepitwa na wakti.

Unajua Mkuu wa skuli alikuwa anaitwa Mzee Mushi (maarufu kama Bino) alikuwa akiwataka form one wote wanakuwa na zamu za kulisha nguruwe wa skuli. Na watoto wa kiislam kazi zao zilikuwa kuleta chakula mpaka nje ya banda na wakristo ndio waliokuwa wanaingia ndani kulisha. Nilimfahamisha kuwa kufanya kazi zozote zile za nguruwe kuanzia kuleta chakule, kumlisha na mengineyo ni haramu kwa mwislam. nashukuru mzee huyo alikubali na ikawa kazi ya waislam ni kulisha ndama wa skuli. Hongera sana BONO na Mzc 611(hiyo ilikuwa namba ya gari lake)

Kinachotakiwa Pasu kwa Pasu. Na waachwe waislam wapumue kwa kujichagulia viongozi na taasisi waitakayo na sio kulazimishwa kujikita na BAKWATA.

Hongera sana Ilboru
 
Mkuu Barubaru umenikumbusha mbali sana, Nafurahi kuona wadau wengi sana wamepita pale Ilboru. Bino alikuwa Mwl na Kiongozi mzuri, enzi zetu tulikuwa tunapatiwa futari nzuri, alijitahidi kwa kweli...Back kwenye mada, mimi nakubaliana na wewe kwa 100%. Watu wengi hawataki kukubaliana na ukweli kuwa kama Taifa kuna mahali tulikosea! kuna kundi lilinyimwa fursa na sasa tayari limeshajiimarisha na linakataa kuendelea kudhulumiwa! wengine wanatamani waendelee kupokea check kutoka ikulu kwaajili ya kuwasomesha watu wao na kuendeleza miradi yao kwa gharama za walipa kodi wote bila ya kujali imani zao...Hii haikubaliki hata kidogo.
BAKWATA inajulikana kuwa haiko kwa maslahi ya Waislam wa Tanzania, Iko kuwatumikia waasisi wake zaidi... Mali za Waislamu zimewekwa chini ya chombo pandikizi BAKWATA! ndiyo maana kuna watu wanauziwa majengo na viwanja vyenye thamani kubwa kwa bei ya kutupa tena kimya kimya...Waislam wameikataa chombo hiki kwa nguvu zote lakini sana sana ninachokiona ni kesi za kubambikiwa zingine zikiwa za ugaidi na hujma za kuchoma makanisa ili mradi waislam tuonekane wakorofi wenye fujo... Tusikubali kuingizwa kwenye mitego ya kijinga, game wanalolicheza sisi tunalijua mwanzo mwisho! Nakubaliana na wewe kuwa sasa wamefikia mwisho na insha'allah tutafanikiwa kuunda chombo imara kitakacho hakikisha ustawi wa Jamii ya Kiislam hapa Tanzania...Tumuunge mkono Zitto et al kuikataa BAKWATA kwa Vitendo....
 
Mohamed Said,

Nimemsoma Zitto Kabwe hakihotubia bunge kaongea maneno mazito sana utadhani naye anafyonza Ilm kwenye huu Mnakasha.

Humu jamvini watu wanataka kuwapangia Waislam waongozwe na Bakwata ambayo ni chombo cha serikali.
Naomba niulize swali dogo tu. Kama Bakwata ni chombo cha serikali, na waislamu wengi hawakitambui, inakuwaje waislamu hao hao wanataka serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi? Ni swali dogo tu.
 
Naomba niulize swali dogo tu. Kama Bakwata ni chombo cha serikali, na waislamu wengi hawakitambui, inakuwaje waislamu hao hao wanataka serikali hiyo hiyo iwaanzishie mahakama ya kadhi? Ni swali dogo tu.

Watatunga tu vijisababu hawanaga haya ya kusema hili ni kweli tulipotoka hapa ni kweli sio hivi kwao mashindano ndio utaratibu hata kama ni totaly wrong! Subiri jibu utaskia tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…