Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Shariff gombesugu,

Hawa ndugu zetu kutoka mkoa wa Mara JokaKuu, Jasusi, WildCard, Wickama, kwao wanatambuana kwa makabila.

Ni mkoa ambao unaongoza kwa ukabila Tanzania na hili tatizo limewafanya wakose maendeleo bahati nzuri napajua vizuri unawaona hapa wapo pamoja lakini wakifika Musoma kila mtu na lake.

Mkurya hawezi kushirikiana na Mkwaya, Mjaruo wa Shirati hawapatani na Wajita, Waruri hawapatani na Wakabwa, Wangoreme hawapatani na Wazanaki, Wasambiti hawapatani na Waikoma, Waisenye hawapatani na Waikoma.

Wanadhani kila mkoa wapo kama kwao kila siku kukatana mapanga.
 
Last edited by a moderator:

Ulivyo mateka wa Chadema pamoja na Kanisa unadhani wote tu ivyo weka hayo maneno yangu unayosema na chuki.

Mimi nimekuja JF peke yangu sijaletwa na Chadema kama wewe ulivyoletwa na Dr Slaa, utajiumiza bure kama unakeleka na michango yangu bora ukae kimya na unafiki wako.

Wewe kazi yako humu nini kama siyo kutetea Chadema na Kanisa, kama unataka mnakasha wa haina yeyote na mimi nipo tayari karibu sana ukumbini.

Ushauri wangu kwako kama una cha kuandika andika lakini kama umejitolea kupambana na Ritz, karibu mipini ipo.
 

ali akhiy kashata.. Acha kuhusisha cdm na kanisa huko ni kututusi wakristo
 


Sasa nawewe source ha hizo takwimu zako ni wapi??
hakuna anaeshabikia uarabu hapa,labda wewe unatuambie ushabiki uko wapi,copy n paste afanye ritz akifanya yericko zinageuka kuwa utafiti??

ni kweli mwarabu hapa hatoweza kurudi kama mvosema,ajabu kwenu hawa wote walikuwa ni maslave masters,twawashangaa wenzetu hadi mmeamua kuwafungulia na ubalozi hapa moja kwa moja na kumweka mzungu mweusi pengo kama mwakilishi wenu..!,kati yetu sie na nyie nani anamkumbatia slave master??
 
ali akhiy kashata.. Acha kuhusisha cdm na kanisa huko ni kututusi wakristo

REMOTE,

Kauli yako imenishtua! kwani Chadema kuhusishwa na Kanisa ni tusi? huoni fahari Chama kunasibishwa na mahala patakatifu? au Chadema kina walakini na kauchafu fulani vile au mfano wa Kiongozi wake kutembea na mke wa mtu ndio maana unaona ni tusi kwa Wakristo CDM kuhusishwa nao? naomba ufafanuzi mkuu!
 
mkuu bado tu hujakua aiseee.
 

Mohamed Said,

Umenikumbusha mbali sana almarhum Sheikh Ali Nabwa alikuwa ni mmoja katika watu waliokuwa wanazindua wengi kwenye historia ya Tanzania. Gazeti la Dira limepata jina kutokana na makala zake alizokuwa akiandika ambazo zilikuwa mwiba kwa Serikali zote mbili.
 

Mkuu,

Umeitendea haki hiyo hoja ya hao wahafidhina bandia!

Ukiwasoma kwa ndani nikuwa wao wanaamini utawala wa Sultan uliotokana na uchaguzi huo ndio utawala wa haki na ukombozi kamili wa Zanzibar!

Lakini ukiwakumbusha madhila yaliyokuwa yakiwakumba mababu zetu (wazalendo halisi) wanakosa hoja na hapo ndipo hoja yao inakufa!

Haya tukija kwenye tafsiri ya mapinduzi yenyewe chini ya Okello wao wanayaita ni kharamu kwa maana ya Nyerere alimtumia Okello na Wamakonde kuudhibi uislamu,

Lakini ukiwauliza kwa nini wazanzibar ambao kwa asilimia 99 ni waumini wa uislamu wanayaadhimisha mpaka hii leo?

Hapo wanakosa jibu la msingi na hoja yao inafia hapo!


Lakini hawa hawa kuna wenzao wanapingana ama kwa lengo la kukwepesha ukweli ama kwa kutojua!

Hawa nao wakiongozwa na Mohamed Said wanaibuka na madai kuwa Okello hakuhusika na mapinduzi yale, bali kiongozi ni Kasim Hanga, Omar Mkwawa na wengine,

Sasa hawa wanafunika yale mauaji aliyoendesha Okello ndani ya miezi 6 ya utawala wake pale Zanzibar,

Kundi lingine ni lile linaloongozwa na Ahamed Rajabu,

Lenyewe linayaona mapinduzi yale ni ya ASP na sio Okello,

Hilo nalo linamuona Okello kama mgojwa wa akili aliyekuwa mponda matofali tu,

Lina pinga wazi kuwa hakukuwa na mauaji Zanzibar bali mapigano ya dakika kadhaa tu!



Sasa ukiyaangalia makundi hayo yote, ndio yale yale yenye taswira moja linapokuja suala la Historia ya Tanganyika na Zanzibar,

Waoa adui yao ni Nyerere na Ukristu tu!
 
Last edited by a moderator:

Naona Al akhiy umehamaki sana, wewe nani kakwambia mimi nimeletwa na Dr Slaa jf au nani kakwambia we umeletwa kila mmoja amekuja kivyake jf hakuna alieletwa

sema tunatofautiana, halafu mambo ya kanisa yameingiaje we unadhani kila mtu ni mfia dini kama wewe kila jambo unaliona kwa mambo ya dini dini tu

narudia kukwambia ukweli mchungu ila inabidi uumeze tu ni kwamba yaani huna mipini yoyote ya maana

kama ni mipini ya dhihaka, kejeli, dharau pamoja na matusi hiyo kweli unayo, kwa hiyo nakusifu kweli una mipini

Ahali yangu usijenge chuki, hapa tunajadiliana tu... Sote ni Watanzania lakini tunatofautiana katika mitazamo tu.
 

Wewe kweli ni Kadogoo aliyekupa hilo jina wala hakukosea...
 

Nadhani ujumbe umefika.
 

Anasema Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) katika Qur-aan 49:13: Enyi watu, hakika Tumewaumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke na Tumewajalieni Mataifa na Makabila ili mpate kujuana, hakika mbora wenu mbele ya Allaah ni yule mchaji Mungu zaidi
 
Last edited by a moderator:

Gombesugu; Haki ya Mungu....... umejaliwa lugha safi sana ya kumliwaza mtu. NImejikuta natoa LIKE. Ngoja niondoke haraka kumfatilia yule Marshall aliyezipiga kavukavu!!!!! kabla hayanipata madhara hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…