Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Shariff gombesugu,
Hawa ndugu zetu kutoka mkoa wa Mara JokaKuu, Jasusi, WildCard, Wickama, kwao wanatambuana kwa makabila.
Ni mkoa ambao unaongoza kwa ukabila Tanzania na hili tatizo limewafanya wakose maendeleo bahati nzuri napajua vizuri unawaona hapa wapo pamoja lakini wakifika Musoma kila mtu na lake.
Mkurya hawezi kushirikiana na Mkwaya, Mjaruo wa Shirati hawapatani na Wajita, Waruri hawapatani na Wakabwa, Wangoreme hawapatani na Wazanaki, Wasambiti hawapatani na Waikoma, Waisenye hawapatani na Waikoma.
Wanadhani kila mkoa wapo kama kwao kila siku kukatana mapanga.
Hawa ndugu zetu kutoka mkoa wa Mara JokaKuu, Jasusi, WildCard, Wickama, kwao wanatambuana kwa makabila.
Ni mkoa ambao unaongoza kwa ukabila Tanzania na hili tatizo limewafanya wakose maendeleo bahati nzuri napajua vizuri unawaona hapa wapo pamoja lakini wakifika Musoma kila mtu na lake.
Mkurya hawezi kushirikiana na Mkwaya, Mjaruo wa Shirati hawapatani na Wajita, Waruri hawapatani na Wakabwa, Wangoreme hawapatani na Wazanaki, Wasambiti hawapatani na Waikoma, Waisenye hawapatani na Waikoma.
Wanadhani kila mkoa wapo kama kwao kila siku kukatana mapanga.
Last edited by a moderator: