Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hapo swadakta.. Narudi kidogo kwenye uhuru wa Tanganyika., Hili pia ningependa na Mzee wetu Mohamed Said alitolee ufafanuzi. Katika mojawapo ya maandiko ya wanazuoni nguli wa Zanzibar niliyopata kuyapitia kwa umakini mkubwa yanaelezea namna ambavyo Baba wa Taifa, akiwa katika TANU alivoanza kuwa na mgogoro na baadhi ya wazee wa kiislamu.
Anaeleza kuwa, mara tu baada ya Uhuru, mwalimu alikutana kwa siri na baadhi ya viongozi wa juu wa kanisa katoliki, hasa maaskofu na waliliweka Taifa la Tanganyika chini ya usimamizi wa Bikira Maria, na hii ikafanywa kuwa formal kabisa.
Baadae alipowaomba kuzikabidhi shule za makanisa chini ya Serikali haikuwa vigumu kwa kuwa tayari walikuwa "wanazungumza lugha moja". Tukio hili la kuliweka taifa chini ya Bikira Maria lilifanywa kwa siri kubwa, lakini kwakuwa ndani ya Serikali walikuwepo viongozi wa kiislamu kama vile akina Mzee wetu Mkwawa (R.I.P), Zilivuja na kuwafikia baadhi ya masheikh wakubwa Tanganyika hasa wa Tabora na Dsm..
Hawa wasingekubali kunyamaza, na huo ukawa mwanzo wa maelewano tete kati ya mwalimu na wenzake wa TANU, hasa wale waislamu. June 1962, masheikh hawa waliamua kuonana na Mwalimu ili kuweka wazi madukuduku yao.. Hata hvo, yasemekana mwalimu alikuwa na baadhi ya masheikh ambao "wangemtetea popote hata kupinga imani zao", na hata katika mazungumzo hayo, walisimama kidete kumtetea mwalimu.
Sina shaka hili pia lilihusishwa na uundwaji wa BAKWATA, na waliotengeneza BAKWATA ya mwanzo walikua hawa ambao waliiva katika chungu kimoja na Mwalimu, wakati wengine walipinga vikali uanzishwaji wake.
Hebu wanazuoni wangu naombeni mnichambulie vizuri hii habari ya Bikira Maria kufanywa msimamizi wa Taifa na mgogoro kati ya mwalimu na masheikh., pana ukweli ama ni porojo za kwenye gahawa?
Kwako
Yericko.
Mohamed Said,
Ritz,
Nguruvi na wengine wote...
gombesugu, mpaka dakika hii nashindwa kuamini ni wewe umeandika hayo maneno...ingawaje hayakulengwa kwangu lakini!...Anyway, hayo tuyaache. gombesugu, kumbuka humu kuna watu aina mbili; wanaofyonza ilmu kutoka kwa mtoa darsa Mohamed Said bila kuhoji na wale wanaozipokea kwa tahadhari huku wakihoji ukweli wake na zipo nyakati mtoa darsa amekuta kumbe ni yeye anapewa darsa!
Hapo nyuma nimewahi kuelezea kuhusu chaguzi mbili zilizofanyika Zanzibar mwaka 1961 na mwaka 1963 na kuambatanisha matokeo. Ajabu ni kwamba hata wewe gombesugu umeungana na wameza ngano kudai ushahidi lakini hapo hapo humu ndani hata mara moja sijakushuhudia ukihoji simulizi za maAl Akhiy @ Mohamed Said au Ritz, kulikoni A Akhiy gombesugu?
Nakushukuru sana ndugu yangu. Je sheikh Bilal Waikela ameandika maandishi yoyote? ni yule mzee aliyetoa ushahidi kwenye kesi ya Ponda hivi juzijuzi? kama ndie huyo naamini anaishi Tabora, nitamfikiaje kutoka huku Iringa!Niwe radhi ndugu yangu maulaga, kwa kuchelewa kukujibu.
Source ya mipini hiyo imetoka kwa Mwalimu wetu wa historia Mohamed Said, pamoja na Masheikh na Wazee wetu ambao wengi wameishatangulia mbele ya haki mmoja wao tumemzika jana Ally Sykes.
Kama utapenda kufyonza Ilm zaidi bado wapo Wazee unaweza kumtafuta Mzee Abbas Sykes, Sheikh Bilal Waikela hawa wameishi zama hizo na Nyerere.
Muheshimiwa Nguruvi3,
Salaam.
Unafahamu nini maana ya Al Akhiy kwa utuvu,na kama unafahamu mbona unafanya tashtit zisizo maana "ndugu yangu wa Kicheba"!?
Napenda kukufahamisha yakuwa Al Akhiy Barubaru,siye pekee mwenye hiyo PhD hapa jamvini(kama PhD ndio kigezo chako cha kumuhishimu mtu na kumuona wa maana au msomi zaidi).
Hata hao "ma-Al Akhiy" unaowadharau na kuwabeza nao pia wanazo hizo "PhD zako" unazoziabudu.
Kama kuitendea haki "Club ya PhD",mbona unamuonea Barubaru peke yake!?
Kwani hujapata khabari kuna watu wa "Club" hiyohiyo ya PhD,wananyang'anya Wake za watu na kuwafanza Vimada wao...je ushawahi kuwaambia lolote!? Kumbuka udhaifu ni kwa mwana-Adam yeyote.
Hivi karibuni takujibu ile hoja yako,nisamehe nimezongwa na vijishughuli kiduchu.
Nashukuru kwa kunisikiza.
Hilo lilitokea kweli na masheikh na Waislam kwa jumla walikereka sana.
Kanisa halikuwapo katika harakati za kupigania uhuru.
Hiyo Tanzania kuwekwa chini ya BIKIRAMARIA ni habari mpya kwangu,
Lakini nitaitafsiri na kuipa majibu kwa uzani uleule iliyokuja nao hapa jamvini,
Kwanza niseme ni UONGO bila kupepesa juu ya madai hayo, ni yakufikirika kama zilivyo zingine za mitaani!
Baada yakupata uhuru, taasisi zote za kiroho zilizotambuliwa na mkoloni kwamaana ya zile zenye usajili kamili zililazimika kufika ikulu nakujitambulisha mbele ya kiongozi mpya wa nchi, hilo halina tofauti na ilivyo leo hii!
Taasisi hizo za kidini ni, Waislamu, Wakatoliki na muungano wa makanisa ya Kiruthelani
Hizo ndizo taasisi zinazotambuliwa hadi leo kisheria, na kila rais aingiapo madarakani taasisi hizo zina utaratibu wake wakwenda kumuona rais/kumpa hongera/nk!
Sasa zikiibuka hoja kuwa walizungumza nini katika makutano ya mwazo kabisa kati ya Julius Nyerere na Katoliki baada ya uhuru, Bila shaka zitaibuka hoja zingine za.
"Nyerere alipokutana na Mashehe katika kikao chao cha siri walikubaliana kuwa nchi iwe ya kiislamu"
Mimi binafsi ninasema hoja yako hapo juu ni yakufikirika tu!
Naam na znz yenu yenye maendeleo itapatikana mkiwa nje ya muungano!
Kwabahati mbaya hilo halitatokea kwasababu ninyi ndio waumini wa muungano wa Uswiss, Hong Kong na China n.k. Hamtaki kuondoka katika muungano mkifahamu wazi kuwa hayo ni maumivu tena makali.
Kuhusu wznz kupigwa, hilo halina taabu. Hakuna sababu za wnz kuandamana kudai znz.
Wanaweza kuipata znz bila tusi achilia mbali kurusha jiwe.
Ni hivi, mwambieni makamu wa rais aliyepatikana kwasababu ya uzanzibar, mawaziri waliopatikana kwasababu ya uzanzibar(na si weledi au usomi), wabunge walioko Dodoma kwasababu ni wzn, maafisa wanaofanyakazi katika serikali ya muungano kwasababu ni wznz, wanafunzi wanaosoma bure kwasababu ni waznz na wafanyabiashara, wote kwa pamoja waondoke warudi kuijenga znz yenye maendeleo. Hadi hapo muungano utakuwa umekufa.
Si hapo tu, washawishini wajumbe 15 wa tume ya warioba waondoke katika tume.
Mshaurini Maalim arudishe kitambulisho alichochukua Karimjee.
Fungeni biashara na mawasiliano na Tanganyika. Muungano utakuwa umekufa
Ima hayo ni magumu, nendeni katika baraza la wawakilishi mkiwa na mswada wa kuvunja muungano.
Kabla wabunge wa Dodoma hawajaondoka kurudi kwao, watoe mswada wa kuvunja muungano
Ima hawataki basi anayeng'ang'ania si Mtanganyika aliyeko nyumbani kwakwe ni mzanzibar aliyekuja kuhemea huku akiacha nchi ya neema na yenye maendeleo
Hadi hapo unajitaji maandamano ?
Kuhusu maendeleo, takwimu zipo wazi kuwa katika muungano mnachangia pato la billion 24.
Mapato ya znz kwa mwaka ni 120 billioni, bajeti ni 630 billioni, jilize hilo pengo anaziba nani?
Hapo ukae ukitambua kuwa hakuna bajeti ya ulinzi na usalama, elimu ya juu, na mishahara ya SMZ.
Mna hiari muondoke mkatafute maendeleo, hakuna anayewazuia. Ule muda wa kulia na kupewa pipi sasa basi.
Jaji Warioba, hawa watu wana 50% katika tume! tunakutahadhirisha kuwa kila jambo liangaliwe kwa 50% kama wanahitaji msaada wa kuwa nasi. Rasimu ya kumbeba mznz itakufa kabla ya kusomwa
Mbona unaweka hisia zako nakuhalalisha kuwa ndio ukweli wa historia?
Harakati za ukombozi za mwaka gani ambazo kanisa/makanisa hayakujihusisha?
Nimekupa habari mpya katika uzi huo pale juu nikieleza ushiriki wa kanisa kuanzia 1927 sasa nini hujakielewa?
Hebu nenda pinga kwakila hoja unapinga kwa hoja katika yale yote niliyoyaeleza pale juu!
Nilikuuliza jambo dogo tu kuwa Shekhe Issa Bin Amir unafahamu habari zake? Lakini umekimbia jumla hoja hiyo unabaki kuhubiri uongo tu!
Yericko,
Nafikiri hapo nilipo-bold umekusudia Sheikh Hassan Bin Amir!?
Ukipata fursa jitahidi ukabadilishe na kule mwanzo wa hii Thread,maana pia hilo jina bado linasomeka kimakosa!
Ahsanta.
Mkuu,
Me maono yangu ni kwamba bado wanajidanganya mara ngapi wazanzibar wamedai kujitoa lakini vitisho na kuwauwa na kuwaweka chini ya ulinzi wengine ama vifungo vya ndani kwa kutaka kuuvunja muungano kama ni mzigo wazanzibar wameonesha ishara za dhati kutaka kujitenga lakini sijasikia na kushuhudia hata mara moja watanganyika(watanzania) wanaandamana ama wanapinga kuhusu muungano sijawahi kuona hadi hii leo.
Halafu mwengine anakuja anasema TANGANYIKA inachangia kiasi fulani iko wapi hiyo tanganyika yenyewe ifufueni kwanza, halafu sisi tunajuaje kama tanganyika inachukua mara mbili (Tanganyika + Tanzania) ndo maana tunasema yamuungano yawe ya muungano ya tanganyika ilokufa yawe ya tanganyika
Pia kama mlijua nchi ni ndogo na bado munajua kama ni ndogo kama sehemu ya ilala kwanini bado mupo nao pamoja ingieni barabarani mupinge na nyinyi TUMECHOKA KUONA ZANZIBAR YETU BILA YA MAENDELEO.
nambokola,
..lazima nikiri kwamba sisi wa-Tgk tumechelewa kudai haki zetu ndani ya muungano.
..pamoja na hayo tumeanza kuelimishana kama unavyoona tunavyofanya ktk media kama hizi.
..naamini kwamba tumeanza vizuri na huko tunakuoelekea Tanganyika itarudi tu.
..pamoja na kuirudisha Tanganyika, tunataka kuendeleza mashirikiano na Zanzibar kupitia East African Community.
..hatutaki muungano wa serikali 3, wala muungano wa mkataba, zaidi hatutaki any kind of bilateral relations. mashirikiano yoyote yale baada ya hapo lazima yawe kupitia multilateral organizations, na the most suitable one ni EAC.
..hizo data nilizokupatia ni taarifa za makusanyo toka Tanzania Revenue Authority. waandaaji wa ripoti wametumia jina Tanzania Bara, mimi nimeamua kutumia jina TANGANYIKA.
..mimi naomba utuletee data zinazoonyesha kwamba Tanzania Visiwani[zanzibar] inachangia zaidi ya Tanzania Bara[Tanganyika] ktk jambo lolote lile la muungano. that is a challenge kwa mtanzania visiwani yeyote yule anayedai muungano unawanyonya.
NB:
kwa heshima zote nikupatia link ya source ya data nilizotumia.
URT Joint Finance Commission: Joint Finance Commission
barua pepe kwa katibu wa Commission: katibu@jfc.go.tz
publications za commission:
http://www.jfc.go.tz/downloads/mapato.pdf
http://www.jfc.go.tz/downloads/gharamaa.pdf
cc: THE BIG SHOW, gombesugu, Nguruvi3, Wickama, Ritz, Kadogoo
Nini chaajabu kwako hapo?
Ninaposema Mwalimu Nyerere ni Mzee wangu, Joseph Warioba ni mzeee wangu, Paul Boman ni Mzee wangu, Joseph Butiku ni Mzee wangu, Abdul Sykes ni Mzee wangu, Kingunge Ngombalemwiru ni Mzee wangu, unaelewa nini hapo?
Usiwe mkubwa wa mwili na umri tu lakini akili za kijiko cha chai!
Mohamed Said anaposema Shehe Hassan Bin Amir ni mzee wake unaelewaje?
Wewe unaposema Abdul Sykes ni mzee wako unaelewa maana yake!
Nilishasema huna Qualification za kujadiliana na mimi, nakustahi kwakuwa ni binadamu unaepumua!
Kimsingi nakupuuza! Na sitakujibu kwa upuuzi wako huo!
nambokola,
..lazima nikiri kwamba sisi wa-Tgk tumechelewa kudai haki zetu ndani ya muungano.
..pamoja na hayo tumeanza kuelimishana kama unavyoona tunavyofanya ktk media kama hizi.
..naamini kwamba tumeanza vizuri na huko tunakuoelekea Tanganyika itarudi tu.
..pamoja na kuirudisha Tanganyika, tunataka kuendeleza mashirikiano na Zanzibar kupitia East African Community.
..hatutaki muungano wa serikali 3, wala muungano wa mkataba, zaidi hatutaki any kind of bilateral relations. mashirikiano yoyote yale baada ya hapo lazima yawe kupitia multilateral organizations, na the most suitable one ni EAC.
..hizo data nilizokupatia ni taarifa za makusanyo toka Tanzania Revenue Authority. waandaaji wa ripoti wametumia jina Tanzania Bara, mimi nimeamua kutumia jina TANGANYIKA.
..mimi naomba utuletee data zinazoonyesha kwamba Tanzania Visiwani[zanzibar] inachangia zaidi ya Tanzania Bara[Tanganyika] ktk jambo lolote lile la muungano. that is a challenge kwa mtanzania visiwani yeyote yule anayedai muungano unawanyonya.
NB:
kwa heshima zote nikupatia link ya source ya data nilizotumia.
URT Joint Finance Commission: Joint Finance Commission
barua pepe kwa katibu wa Commission: katibu@jfc.go.tz
publications za commission:
http://www.jfc.go.tz/downloads/mapato.pdf
http://www.jfc.go.tz/downloads/gharamaa.pdf
cc: THE BIG SHOW, gombesugu, Nguruvi3, Wickama, Ritz, Kadogoo
Umefanya vema sana kuwapatia links hawa ndugu zetu,
Wasome na wapevuke hapa hapa!
Cool Runnings,
This is the second time you try to seek attention. It seems that you are reading me too much.
Well,I responded to you only once and this is the last.
I like offering candy as reward to a small child like you,for acting big and kind of like you know everything.
You really do write the biggest pile of random sh1t on here. Your words means nothing.
The reality is;it's what you feel on inside that you manifest on the outside...the end result for you is a lost person/an Idiot and a sad spectacle.
Your attitude is garbage. There will always be a$$holes,pompous nutters but I can out number all of you and over power your Clan through decency and kindness....HATE away!!
Ciao.
Cc;Ritz,
Nakushukuru sana ndugu yangu. Je sheikh Bilal Waikela ameandika maandishi yoyote? ni yule mzee aliyetoa ushahidi kwenye kesi ya Ponda hivi juzijuzi? kama ndie huyo naamini anaishi Tabora, nitamfikiaje kutoka huku Iringa!
Mkuu wangu Mohamed Said,unaonaje tukaliangalia jambo hili kwa mtazamo kwamba kanisa kama taasisi lisingeweza kujiingiza katika mzozo na serikali ya kikoloni(kwa mtazamo wake wa ya Kaisari aachiwe kaisari) lakini hata hivyo waumini wake ambao walikuwa wanatoka katika madhehebu mbalimbali na matabaka mbalimbali walishiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya ukoloni sambamba na watanganyika wenzao wa kiislam na imani nyingine.Hilo lilitokea kweli na masheikh na Waislam kwa jumla walikereka sana.
Kanisa halikuwapo katika harakati za kupigania uhuru.
Mkuu wangu Ritz, mie sio mtafiti na wala sikusudii kuandika kitabu, nataka kufyonza ilm hapa na isitoshe sina rasilimali za kunifikisha huko Tabora hata kama ningependa kufanya hivyo! Mkuu, tupeane taarifa hapahapa kama inawezekana.Ndugu yangu maulaga, siku zote ukitaka kujifunza kitu lazima ukubali kupoteza muda wako inabidi uende Tabora ukamuone huyu mzee Bilal Waikela.
MZEE Bilal Waikela (mwenye bakora) akitoka nje ya mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kutoa ushahidi wake katika kesi ya Sheikh Ponda