Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Iron,

..alichoandika Mohamed Said ni moja kati ya plots nyingi zinazounda kitu kizima, yaani harakati za uhuru wa Tanganyika.

..anachoelezea yeye ni mchango wa wanaharakati wa D'Salaam, na wanaharakati wa Kiislamu, ktk kupigania uhuru wa Tanganyika.

..wa-Tanganyika wa maeneo mengine, wa imani mbalimbali, wa rangi mbalimbali, nao walikuwa na mchango kufanikisha juhudi hizo. Kwa mfano, kulingana na maelezo ya John Illife kuna wakati 2/3 ya michango ya kuendesha chama cha Tanu ilikuwa inatoka Sukuma Land.

..wakati mwingine ukisoma mjadala huu unaweza kufikiri kwamba maeneo mengine walikuwa wamelala usingizi, wakiwa wameridhika na utawala wa kikoloni. hilo si kweli.

..Mkoloni alikuwa amechokwa ktk maeneo mengi ya Tanganyika. tayari wananchi walikuwa wameshaanza kuji-organize kuukataa utawala wa Mwingereza. Mazingira hayo ndiyo yaliyofanya Tanu iungwe mkono Tanganyika nzima.

..Watanzania hatuna utamaduni wa kuweka kuandika na kuweka kumbukumbu ya michango yetu. nadhani tatizo hilo limejitokeza waziwazi ktk mjadala huu. wasiwasi wangu ni kwamba, inawezekana ktk waasisi wa harakati za uhuru, ni familia ya kina Sykes tu walioweka kumbukumbu ya mchango wao.

cc: Wickama, gombesugu, Mag3, Ritz, THE BIG SHOW,
 
Last edited by a moderator:

Niseme mambo mawili hapa.
Kwanza kuhusu hawa wazee wa kaskazini sijalalamika kuwa hawajatajwa. Nilitaka kujua ushiriki wao. Kwamba je wanayonafasi kuhesabiwa kuwa wazee waliopigania uhuru? Au michango yao imekuwa midogo sana(Insignificant)?

Pili, sisemi kwamba watu binafsi wasifanye utafiti na kuweka historia sawa. Nasema wanayo nafasi ya kuratibu. Mfano, wanayo hifadhi ya nyaraka muhimu hata kabla ya uhuru. Kama ndivyo, wanaweza kuthibitisha uhalisia wa tafiti za watu kulingana na nyaraka halisi zilizopo. Pia, wanaweza kuratibu kongamano la wanahistoria waliofanya tafiti, ili kuoanisha (harmonize) matokeo yao na kupata ukweli staki.

Tukumbuke, nadharia hutengenezwa kabla ya utafiti. Ndio kusema mtu anayeamini, kwa mfano, kuwa wamasai wamesahaualika ktk historia ya nchi hii, anaweza kufanya utafiti kwa lengo la kuthibitisha hilo. Ndio maana naamini uratibu wa kitaifa utasaidia kupata historia ya kitaifa!
 

Nakubaliana nawe kuwa uandishi unapaswa kuwa kazi ya kitaaluma na kila mwenye utafiti ruksa kuandika! Hofu yangu swala hili ni nyeti, linahusu historia ya taifa letu. Hivi watoto wetu hawa wa English medium wanapata wapi rejea sahihi ya historia ya nchi yetu? Fikiri zipo kama rejea tano hivi! Wataelewa historia from loosers view au victors view? Ndio maana naona kuna umuhimu wa kuwa na uratibu maana historia hii si ya mtu binafsi bali taifa zima. Pengine serikali inaweza kuwa na madhaifu yake, basi angalau uratibu wa baraza maalumu la wanataaluma lisilo na shaka katika ueledi wake!
 
Wickama,





..the fact kwamba "hotuba/muswada/draft" hiyo ilibidi ukae maktaba miaka mitano mpaka alipopatikana the right person kwenda kuiwasilisha UN, tell u how special Mwalimu Nyerere was.

"

Kuna jambo naliona hapa. Kuna nadharia inaonekana kuwa pengine Nyerere alifanya "umafia kuwachinjia wenzake baharini". Lakini inaonekana hao watu walimkubali Nyerere toka awali! Pengine walimwona bora kuliko wao. Na pengne wakazembea kuweka michango yao katika historia maana kwa Nyerere alikuwa Mungu mtu. Sijui! Ni mawazo yangu tuu. Mohamed Said nisaidie hapo
 
Last edited by a moderator:

Maoni kama haya wadau wengi walipendekeza huko nyuma kuwa sisi wote tunaojadiliana hapa, tuandae makutano na kuunganisha tafiti zetu na makusanyo yote yahusuyo historia ya nchi yetu, kisha tuandike kitabu cha pamoja kihusucho HISTORIA ya Tanganyika na uhuru wetu!

Mimi nakubaliana na hili, hii itawasaidia watoto wetu wa leo na kesho kuwa na rejea stahiki!
 

Ili usiumize kichwa juu yayo,

Kwanza watambue hao wanaolalamikiwa kuwa wamesahauliwa/wametupwa ni kuwa WALIKUWA ni WAASI wa TANU na serikali halali ya Tanganyika,

Ukilitambua hilo, hutajiuliza kwanini historia iliwaondoa!
 
Last edited by a moderator:
Iron,

..kwa mtizamo wangu waasisi hao walikuwa na vigezo vyao,na Mwalimu ni kati ya wale walioonekana wametimiza vigezo vya kuongoza tanu. kumbuka kuna habari kwamba Chief David Kadaha Makwaia alikuwa miongoni mwa wa-Tgk walioombwa kuongoza harakati hizo.

..sidhani kama kulikuwa na suala la nani ni bora kuliko mwingine. kila mmoja hapo alikuwa na role yake ya ku-play. Mwalimu asingeweza kukubalika maeneo mbalimbali ya Tanganyika bila kukaribishwa na kudhaminiwa na "ma-alwatan" wa maeneo husika.

cc: Mohamed Said, Wickama, gombesugu, Ritz, Mag3
 
Last edited by a moderator:

Nakuelewa! Ila tafiti zinaweza kufanywa zaidi kufahamu mengi juu ya hawa wazee wetu kwa ujumla wao!
 
Last edited by a moderator:

Wickama,
Hiyo "tunataka kuwasha mwenge" Nyerere kaitoa katika nukuu moja ya watakatifu wa Kikatoliki.

Msome Njozi "Mwembechai Killings..."

Ni moja ya sababu ya kukipiga marufuku kitabu hicho.
 
Ili usiumize kichwa juu yayo,

Kwanza watambue hao wanaolalamikiwa kuwa wamesahauliwa/wametupwa ni kuwa WALIKUWA ni WAASI wa TANU na serikali halali ya Tanganyika,

Ukilitambua hilo, hutajiuliza kwanini historia iliwaondoa!

Labda kama sijakuelewa. Ila kama nimekuelewa, nadhani nitapaswa kujiuliza kwanini hawa waasisi historia imewaondoa. Pengine kutojua kwangu historia na umri wangu mdogo vinachangia kutoelewa kwa haraka!
 
[h=3]KITABU-SHEIKH HASSAN B. AMEIR ASH-SHIRAZI (1880-1979): HIS CONTRIBUTION TO ISLAMIC EDUCATION IN EAST AFRICA[/h]

SHEIKH HASSAN B. AMEIR ASH-SHIRAZI (1880-1979): HIS CONTRIBUTION TO ISLAMIC EDUCATION IN EAST AFRICA.


Dr. Issa Haj.i Ziddy, University of Zanzibar, Zanzibar, Tanzania.

INTRODUCTION
In the last decades, the ‘Alawi tradition of Islamic learning in East Africa has attracted the bulk of academic attention (see el-Zein 1994, ALA III, Bang 2000, Pouwels 1987 etc.). By contrast, non ‘alawi traditions of learning have been rather neglected, at least by western academia. Still, these traditions of learning, often connected with the Sufi brotherhoods of the Qadiriya and Shadhiliya exist and have also considerably contributed to the development of Islamic learning in East Africa.


A major personality in Qadiri networks of scholars in the 20th century was Sk. Hassan b. Ameir ash-Shirazi (1880-1979) from Makunduchi, Zanzibar. His life and legacy are the focus of the present contribution.


HIS LIFE AND ACHIEVEMENTS
Sk. Hassan b. Ameir (1890-1979) died on October 8,1979, he was undisputedly one among the international scholars, mubalighs, educationists and Muslim writers in East and Central Africa. He is remembered with ever smiling face and pleasant manners among his students and Muslims of this region as a whole. People who wanted to shake his hand or kiss him or discuss about current views of Islamic education surrounded him everywhere he went. His reputation extended beyond the boundaries of East Africa, from Egypt in the north and South Africa in the south, to Burundi, Ruanda and Congo where he conducted darsas now and then when his Headquarter was in Dar es Salaam at the Ngazija/Commorian Mosque before he was deported to Zanzibar (1968) to complete his ten remaining years of life. His name, conduct and Islamic education theory and ideas spread to every corner of Tanganyika and East Africa because of his great work as a Mubaligh in the East African Muslim Welfare Society -EAMWS- (1945-1968). "Perhaps the most popular teacher in terms of numbers of students in Tanzania (at least after 1940, when he moved there from Zanzibar) was Sk. Hassan b. Ameir Al-Shirazi. His popularity stems from his having traveled extensively throughout East Africa to teach. He eventually settled in Dar es Salaam, where he opened his well patronized Madrasat al Shiraziya in the Commorian Mosque." (August H. Nimtz Jr. 1980. 23).


Born in Makunduchi Zanzibar on 1880 into a family of religious leaders and well distinguished in the sourthern District of Zanzibar. Sk. Hassan b. Ameir studied the Qur-an from Maalim Majaaliwa and memorized the whole Qur-an at a very young age. He then started to help his teacher to teach, reciting and memorizing Qur-an to his fellow students.


Because of his strong desire for Islamic education, Sk. Hassan b. Ameir traveled to Dunga Kiangale (Central District of Zanzibar) to take the Science of Qur-ani (Uluumul Qur-ani) at the hands of Sk. Muhammed b. Ali Bar-wan. After that, he went to Upenja (Central District of Zanzibar) to read Ahkaam Taj-wiid. His eagerness for education made him almost always to be seen concentrating on new Islamic books and Zanzibar 'Ulamaa. He loved reading both Nakli (criticism, glossary, summarizing, writing composition, essay etc.) and 'Akli (logic, research, comprehension, philosophy etc.) knowledge. He started purchasing Islamic books and established his own library since he was very young. While colleagues of his age engaged in leisurely activities, he used most of his time revising and following 'Ulamaahere and there.


When Sk. Hassan b. Ameir died, he was the most accomplished and respected 'Alim in the Global world of Swahili. "Until (and after) his departure from (Dar es Salaam) to Zanzibar in 1968, Sk. Hassan was recognized as the leading Sheikh in mainland Tanzania" (ibid). He was also the Mufti of East Africa. His incomparable contribution to Islamic Education reached its peak with the publications (using Arabic language) of his famous books in different fields of Islamic issues from Fiqhi, ‘Akida, and Tasawwuf to Ibaadat. He was the first prominent Scholar from Ng'ambo and Shamba area of Zanzibar to write and publish nine Islamic books such as Wasilatul-Rajaa ‘ala safinatu nnajaa, Madarijil-‘ulaa sher-he Tabaraka dhil-‘ulaa etc. and write other unpublished manuscripts.


Sk. Hassan b. Ameir was an enthusiastic scholar since his early years. He was lucky because at that time, Zanzibar was in its educational, economical and social peak. It was of the time when Zanzibar retained some of the centuries old Islamic educational Institutions. Sk. Hassan b. Ameir left Makunduchi and joined in these Institutions, which were filled with other students from inside and outside Zanzibar under the guidance of Intellectual U'lamaa. Sk.Hassan b. Ameir studied in Kutani Institute under great Sheikhs. He also took other studies in his working place as a Clerk in Kadhis Offices or when he was a teacher in the Government schools. He believed that it was very important to seek education at any place and any time. Some of the great scholars who had got an opportunity of teaching Sk. Hassan b. Ameir were:
Sk. Hamdan b. Abubakar Al Qahtan, where Sk. Hassan attended his Darsa every evening. (Farsy. 1972. 65). Sk. Abdalla b. Amour Al- ‘Azry, the Ibadhi teacher. He met him in Chake Chake Pemba and learned from him until he became the man who came to be (Ibid). Sk. Said b. Muhammad b. Dahman. Sk.Muhammad b.Abdalla b. Waziri. Sk. Ali b. Abdulla b. Mundhiry. Sk. Abdurahim b. Mahmoud Al-Washili. Sk. Abdulrahman b. Hassan. Sk. Muhammad b. Ali b. Khamis Al-Bar-wani. Sk. Ali b. Muhammad Al-Mundhiry (Ibadhis Kadhi). Sk. Sayyid Ahmad b. Abubakar b. Sumayt (Sunni Kadhi) who gave him special Certificate/Ijaza, and Sk. Sayyid Salim b. Hafidh b. Sheikh b. Abubakar b. Salim who also gave him Ijaza. (Salmin Hafidh.2000. 2).


In 1910's, Sk. Hassan b. Ameir enrolled in the Department of Education after he successfully passed the course organized by the Department under the great Tutor from Al-Azhar scholar Sk. ‘Abd al-Bari al-‘Aji-zi who taught how to teach Arabic language and Islamic Studies subjects in primary Schools. Also Mr. Rivers Smith who was the first Director of the Zanzibar department of education and the first to introduce the Roman alphabets to replace the Arabic transcript, taught how to read and write Kiswahili by using Roman alphabet instead of Arabic one. Sk. Hassan was a teacher in his village, Makunduchi School and Muyuni School and Kiembe Samaki School and then in Chake Chake School in Pemba.


In 1920's, and 30's Sk. Hassan served in different Courts of Zanzibar as a clerk. It was during this time that came to be in good direct contact with the great Ulamaa with different specialization and experiences especially Sayyiid Ahmad b. Abubakar b. Sumayt (1881-1925) who served seven Sultans (Anne K. Bang.16). Sk. Hassan also benefited a lot from the Ibadhi Kadhi Sk. Ali b. Muhammad Al-Mundhiry (1866-1925). Sk. Hassan did also clerical job with Kadhi Burhan b. Abdulaziz Al-Amawi (1861-1935), from whom he gained a lot of experience and political sciences. Sk. Hassan also got an opportunity of doing clerical job with Sk. Tahir b. Abubakar Al-Amawi (1877-1938). All these scholars enabled Sk. Hassan to build his strongShakhsia because various types of knowledge.


Besides mastering the rudimentary teaching of Islam at his Madrasa Ash-Shiraziya in Misufini (Ng'ambo area), Sk. Hassan penetrated deeply in Arabic grammar and poems. In 1946 he published his famous book known as 'Aqdul ‘Aq-yaani ‘ala maulidi jaylaniy. This book, which explains the life and history of Sayyid ‘Abdul Qadir Jaylaniy the founder of Tariqatul Qadiriyaby using Arabic poem -indicated the high level of education that Sk. Hassan and Zanzibar ‘Ulamaa were capable of disseminating at the time.


The intellectual performance of Sk.Hassan b. Ameir in secular education was equally impressive. When Zanzibaris citizens hesitated to send their children in the newly established government schools, which opened since 1907, Sk. Hassan did a big job to convince them by himself joining in Seminar and Teacher Training courses. He also sent all members of his family to these schools.


In 1940, Sk.Hassan b. Ameir left Zanzibar the center of Islamic knowledge and went to live in Tanganyika for the purpose of Daawa and Tabligh. His aim was to spread Islam in all regions after his students from there told him of the importance of Daawa in those places. On his first journey, he visited Burundi, Ruanda, Congo and returned via Kigoma, Dar es Salaam, then Kilwa at Somanga Village, he went to Mbwera village and married, and at the end he stayed in Dar es Salaam and opened his Madrasa and Daawa Institute, Its name was Sk. Hassan b, Ameir Missionary East Africa which had Branches in all East African Countries and also in Great Lakes Countries where for some time Bujumbura was his headquarter of his Daawa (Salmin Hafidh. 2000. 4).


When Sk. Hassan stayed in Dar es Salaam since 1940's he realized that the Colonial Government didn't gave the Muslims chances to get Education. They were poor without education and living in an underdeveloped situation. Only the Missionary schools were there, and Muslims were afraid to join in these schools because they feared to changing their religion!


In many magazines, newspapers, audio and video cassettes and even different historical books (especially for Muslim writers) and some missionary books stated that Sk. Hassan b. Ameir was a politician, and so because his name and pictures appeared more then one time in the Documents of Tanganyika independent activities and struggles lead by TAA (Tanganyika African Association) and TANU (Tanganyika African National Union). This picture is very open in the book of Said Muhammed. The life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968). The untold story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika. 1998. It is said that the cause of his deportation to Zanzibar was politics. However, some Students and Muriidi of Sheikh Hassan totally refused this thought. They said that he was not a politician, as it is known today, his aim was the struggle for Muslims Education, right and unity. He didn't want to be a Minister or even Sheha (chief). "Sk Hassan did not involve himself in politics, but some of his Students were politicians, they invited him sometimes to say Fatiha in the end of their political meetings. Also some of them seek his advisement, like that of the TAA memorandum" (Ali Mzee Commorian. Interview. 2002). Also, his Students like Sk. Amour b. Hassan b. Ali and Sk. Muhammed b. Kombo and others denied the political side of Sheikh.


Because of this, what the Researcher has seen is that, Sk. Hassan b. Ameir wanted education and development to all Muslims of East Africa. His thought was how he can build the Unity of Muslims by teaching them their religion. His students were from different Madha-hib; he didn't refuse Shia, Ibadhi, Answaar Sunna, Sufis and others. And because of his aim, he didn't refuse any student from any Muslim group. Because of that, he was an active member of Al-jamiatul Islamiya (Muslim Association of Tanganyika), andAd-Daawatul Islamiya (Muslim Call) and also the East African Muslims Welfare Society (EAMWS). By using these Societies, Sk, Hassan visited many Countries making Daawa for Muslims and non Muslims. His one student Sk. Ramadhan b. Jaafar told me that Sk. Hassan converted 7 million peoples to Islam. I asked him 7 million or 7 hundred thousand? He told me " Sk. Hassan himself told me that 7 million" (Interview. 2002).


After the independence of Tanganyika, he continued his educational activities with all Muslims, but the time starting to change quickly inside the Muslim societies. In 1964, Sk. Hassan was among Muslim Scholars from EAMWS who visited the Islamic countries to explain to them the important of coo-peration in educational matters. In May 20 1964 they returned home with very good news, that The Government of Egypt will donate 55 million pounds to help building the Islamic University in Dar es Salaam. But the political situation has changed. And because of that " Sk. Hassan has been convinced by his friend and his nearest Student Sk. Mzee b. Ali Commorian to change the contents and methods of delivering his hotubas and darsas (not to touch political issues) because the time has changed a lot" (Bi Bahia b. Abdulrahman, Interview. October 2002).


Muhammed Said explains in his book that the Islamic Unity started to collapse after the independence. We have seen that a very famous student of Sk Hassan who used to gave him his seat to teach students during his visits to other centers sk. Abdalla Chaurembo made conflicts with his Sk. because of politics. And because of these internal conflicts among Muslims, there was no Islamic University built only the foundation stone were laid. In 1968, the EAMWS came to an end. Sk. Hassan tried to use his talents and efforts to support this Society. But Tanganyika Muslims were divided in to two different groups. The first group supported any government idea with out questioning if this new thought is Halal or haraam from Islamic point of view, while the second one supported the government only if its idea was Halaal.Because of this condition and conflict, many Sheikhs were imprisoned by the "Preventive Detention Act of 1962" (Muhammed Said. 1998, 368). In page 370, Muhammed Said stated how Sk. Hassan was deported from Tanganyika to Zanzibar.


His Students told us that he still insisted on the importance of education and unity between Muslims until the end of his life in 1978.
Sk. Hassan used Tariqatul Qadiriya to attract his followers and to convince them to establish the Islamic institutions. He had Students from every corner of the country and East Africa. The present researcher has listed more then 50 famous students from Zanzibar, Dar es Salaam, Mafia, Mbwera, Burundi and other places of this region.
Sk. Hassan b. Ameir died, but his ideas and books are still present. Some of his students are republishing these books.


CONCLUSION
During its history, Zanzibar had many Scholars in different fields of traditional learning, religious and secular. Western historians and academia forgot some of these scholars, although they had connections with the Sufi brotherhood and wrote many famous Islamic books and served famous scholars and Kadhis both from Sunni and Ibadhi as their clerk.


This paper has mentioned one of those forgotten Scholars. His name is Sk. Hassan b. Ameir from Makunduchi. He studied from many famous great Sheikhs of Zanzibar town in a very famous Institute of Kutani. This shows that there were no boundary between Shamba and town ‘ulamaa. Sk. Hassan played a big role in spreading Islam in Tanganyika and East Africa, as he established many educational institutions and published many books in different fields of Islamic education.


BIBLIOGRAPHY



  • Abdin Chande (2000), "Radicalism and Islamic reform in East Africa" In: Nehemia Levtzion and Randall L. Pouwels, the History of Islam in Africa, Ohio University Press, Athens 349-369.
  • Aboud Jumbe (1995), The Partner-ship, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, miaka 30 ya Dhoruba, Amana Publishers, Dar-es-Salaam.
  • Allyson Purpura (1997), knowledge and Agency: The social relations of Islamic Expertise in Zanzibar Town, A Dissertation of Ph.D, The City University of New York.
  • Anne K. Bang (2001), Intellectuals and Civil Servants: Early 20th Century Zanzibar U'lama- and the Colonial State, In: B. Scarcia Amoretti, Islam in East Africa New Sources. Herder editrice Libreria Rome 59-98.
  • Anne K. Bang (2000), Sufis and Scholars of the sea, The Sufi family networks of Ahmed b. Sumayt and the Tariqa A'lawiyya in East Africa c. 1860-1925, Thesis submitted for the Degree of Dr. Art. University of Bergen.
  • Al-Ismaily I.N (1999), Zanzibar kinyang'anyiro na utumwa, Oman.
  • August H. Nimtz, Jr. (1980), Islam and politics in east Africa, University of Minnesota Press, U.S.A.
  • Amrit Wilson, Uhasidi wa Marekani kwa Mapinduzi ya Zanzibar, Siku 100 za kuundwa Muungano wa TANZANIA, Al Khayria Press ltd. Zanzibar.
  • Farsy A. S. (1972), Baadhi ya Wanavyuoni wa Kishafi wa Mashariki ya Africa, Mombasa.
  • Farsy A. S. (1942), Seyyid Said b. Sultan, Mwongozi Printing Press, Zanzibar.
  • Fairooz Amani Thani (1995), Ukweli ni huu Kuusuta uwongo, Dubai U.A.E.
  • Historia ya Uislamu baada ya Khalifa wa nne hadi leo, An-nuur paper na.7, August & September 2002.
  • Hollingsworth L.W. (1953), Zanzibar under foreign office 1890-1913, London Macmillan and co. Ltd.
  • Ingrams, William Harold (1967), Zanzibar. Its History and its people, London, Frank cass and Co. Ltd.
  • Justo Lacunza – Balda, Translations of the Qur-an into Swahili, and Contemporary Islamic revival in east Africa. In: Eva Evers Rosander and David Westelund, African Islamic and Islam in Africa, Hurst and Company, London 95-126
  • Lodhi A. Y. (1992), National language, Culture and Identity: The role of Kiswahili in the context of Zanzibar, International Conference on the History and Culture of Zanzibar, Zanzibar, 14-16 December 1992.
  • Lodhi A. Y. (1994), Muslims in East Africa: Their past and present. In: Nordic Journal Studies 3(1): 88-99, (1994).
  • Lodhi A. Y. (2002), Conference on Cultural Exchange and Transformation in the Indian Ocean World, 5-7 April 2002, Los Angeles, Cal. U.S.A.
  • Lodhi A. Y. (2000), A note on the Baloch in East Africa. In: Caarina Jahani, Language in Society – Eight Sociolinguistic essays on Balochi, UPPSALA.
  • Lodhi A. Y. (1992), African settlements in India. In: Nordic Journal of African Studies.
  • Mapuri O. R. (1996), Zanzibar. The 1964 Revolution: Achievements and Prospectus. Tema Publishers, Tanzania.
  • Mbiku Fr. D. H. (1985), historia ya jimbo kuu la Dar – es –Salaam, Benedictine publications, Tanzania.
  • Mohammed Said, Mkutano wa Taifa wa Waislamu 1968, An-nuur paper na. 284, 223,& 373.
  • Mohammed Said (2002), Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968). Historia iliyofichwa kuhusu Harakati za Waislamu dhidi ya Ukoloni wa Waingereza katika Tanganyika, Phoenix Publishers, Nairobi, Kenya. (Eng & Kiswa.).
  • Randall L. Pouwels (2000), The East African Coast, c780 to 1900 C.E. In: Nehemia Levtzion and Randall L. Pouwels, The history of Islam in Africa, Ohio University Press, Athens 251-348.
  • Sendaro A. M. (1997), Slavery and Slave trade: The perspectives of Christianity and Islam, Crane Publishers ltd. Kampala.
  • Sivalon J.C (1992), Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953-1985, Benedictine Publications, Tanzania.
  • Souvenir of the activities of ten years of the East African Muslim Welfare Society(1954), Fort Jesus Road, mombasa, Kenya.
  • Ziddy I. H. (1998), Arabic language Curriculum for Junior Secondary section – Study and evaluation between 1995-1997. A Dissertation of M.Ed., International University of Africa, Khartoum, Sudan.
  • Ziddy I. H. (2001), The effectiveness of Islamic Studies Curriculum to the Secondary School Students between 1964-1999, Study of Students religious behaviour, A dissertation of Ph.D. IUA, Khartoum, Sudan .
 
humgogoro utaisha lina au mpaka kiama ,nani atashinda na unamaslahi gan kwa taifa kwa siku hizi zenye changamoto rukuki
 

Uthman,
Ujumbe uliotoka Jimbo la Kusini kuhudhuria mkutano wa mwaka wa kwanza wa
TANU mwaka 1955 ulofanyika Ukumbi wa Hindu Mandal Dar es Salaam.

Salum Mpunga muasisi wa TANU Lindi na Ali Mnjale ndiyo walikuwa wajumbe toka
Jimbo la Kusini.

Baada ya mkutano walibaki nyuma wakafanya mkutano na uongozi wa TANU Makao
Makuu: Sheikh Suleiman Takadir, Ali Mwinyi Tambwe, Rajab Diwani na Julius Nyerere.

Ujumbe ule kutoka Lindi ulieleza uongozi wa pale New Street fitna na sumu inayoenezwa
na Kanisa Katoliki dhidi ya TANU kanisa likiwatisha Wakristo wasijiunge na harakati za
kudai uhuru.
 
Yericko Nyerere,

Mbona umekuwa muongo kiasi hicho hivi unadhani humu wote ni wajinga hicho kitabu chako umeandika uongo mwingi nikiamua kukitoa makosa nadhani ubalozi wa Marekani watakuponda nacho usoni.

Hapa kiduchu tu naweka wazi uongo wako kuhusu hicho kitabu chako cha ugaidi.
Serikali ya Iraq yaidhinisha
kunyongwa kwa mpwa wa Saddam bw Mohamed Said al Sahaf (Chemical All) kwa kuhusika na mauaji
yaliyofanywa enzi za ubabe wao akiwa chini ya mpwawe Saddam Hussein
Mohamed al Sahaf na Chemical All ni watu wawili tofauti.


Ali Hassan Al-Majid ('Chemical Ali')




Mohammed Al-Sahaf,


Yericko Nyerere,
Hapa wafahamishe wanaukumbi vizuri bila mimi ulikuwa unataka kuwadanganya watu...ha haa haa Shariff gombesugu, upo.

Hizi data umezipata wapi ndugu yangu....
 

Ritz hapo umefanya jambo la maana huyu jamaa ana makengeza maandishi haoni vizuri hapo kwenye picha ndio mahala pake!
 
Iron,

..alichoandika Mohamed Said ni moja kati ya plots nyingi zinazounda kitu kizima, yaani harakati za uhuru wa Tanganyika.

cc: Wickama, gombesugu, Mag3, Ritz, THE BIG SHOW,

JokaKuu,

Salaam ndugu yangu. Nakusoma na pia kufuatilia bayana zako kwa makini.

Ile khabari ya yule jamaa aliyetunga yale mambo ya "Mwenge wa Uhuru",naona unaiulizia kwa mara ya pili sasa....hivi una maana yako makhusus au unataka tu kujua!?...la kama una mengine tafadhali "funguka" ndugu yangu ili na sisi wengine tupate Ilm.

Nimependa umetumia neno "plots"....haina neno. Lakini alichoandika Sheikh Mohammed Said kiundani ni "Plot" iliyokua kubwa kuliko zoote katika zile harakati za kupigania Uhuru wa Tanganyika.

Bila ya shaka labda zilikuwapo hizo "Plots" nyinginezo nyingi na harakati za Wazee wengi huko Mikoani na Vijijini kwingineko...lakini ni mughali kujaribu/kuthubutu kufafanisha na yale yaliokua yakifanzwa na kufanyika pale D'Salaam kupitia kwa Wazee wa Mzizima/Wana Mji. Harakati za pale Mzizima; ndizo zilizokua na nguvu kubwa mno, na ndo ilokua ngome na kitovu kikuu cha zile vuguvugu,chokochoko zoote za kumng'oa mkoloni katika Tanganyika yoote!

Kwa mfano kiduchu hapa;utaona wale jamaa zetu wa Kaskazini walivyoshughulika na ule mgogoro "wao" wa ardhi kule Meru. Inasemekana wao pia walipeleka mwanzo ujumbe huko UN kabla hata ya ule ujumbe wa Wazee wa Tanu uliowakilishwa na Nyerere.

Sasa ukifuatilia kiundani,utagundua vitu vingi mno. Nafikiri ndo maana Nyerere alipowapa hishma ya pekee na kuwataja tu Wazee wa Mzizima na khasa Waislamu peke yao kwenye hiyo hotuba ya "muago",tena huku akiwataja kwa majina na nasaba zao!?

Hii ni mojawapo ya ishara kubwa mno,kwa yeyote mwenye hamu ya kutaka kujua mambo Historia ya Tanganyika kiundani/kitaaluma bila ya kuendekeza udini au ukabila alonao. Kwa sababu huu ni ukweli usopingika. Au kwa lugha nyingine,ni "kigugumizi" kisichofunguka alotuachia Nyerere.

Haya majambo nafikiri hata Nyerere,angelikubaliana na mimi kwa hili. Kwani alijua kiundani ukweli huu na ukarimu, umuhimu wa hao Wazee wa Mzizima.

Ndo maana,kuna maswali nimejaribu kuyaweka japo kwa uchechefu,lakini kipata wasaa jaribu kuyachungulia kwa utuvu kwenye bayana niliomwandikia Iron asubuhi hii.

Niwie radhi kwa uchechefu wangu,na kama nina kosa au unahisi kuna kitu sijafahamu naomba unijuze ndugu yangu.

Ahsanta.

Cc;Ritz
 

Gombesugu unanipa raha "uchechefu" ahsanta" watoto wa madrasa wana maneno matamu ha ha haa...
 

Alhy Habiby gombesugu,

Nasoma bayana zako na miwani ya 3D maneno yako ni shurba unautumia vizuri kauli mbiu yetu humu ukumbini kwetu.

JF Where we dare to Talk Openly.

Pokea salamu kutoka kwa Mohamed Al-Sahaf yupo hai, lakini kuna baadhwi ya ndugu zetu wanatujuza kuwa kanyongwa na mahakama kuu Iraq...ha ha haaa.

Karibu sana leo mie nakula ndizi mkono wa tembo na jodari wa nazi..
 
Last edited by a moderator:
Gombesugu unanipa raha "uchechefu" ahsanta" watoto wa madrasa wana maneno matamu ha ha haa...

Sheikh Farid,

Salaam Al Akhiy. Nami pia nafurahika kukusizika minong'ono yako na pia huzichungulia bayana zako kwa utuvu.

Wajua hizi lugha tumeachiwa na Wazee wetu kwa mahaba makubwa yaso mipaka,basi ni wajibu wetu nasi kuzienzi na kuzitunza kwa unadhifu uso shaka.

Wallahi,leo nalitaka nipumzike japo kiduchu,lakini menijia hamu na shauku la kumsikiza Shariff Ritz kiduchu na huku tukipata darsa la Maalim Al Akhiy Sheikh Mohammed Bin Said.

Nakutakia W'end njema Al Akhiy.

Ahsanta sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…