Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Mkuu THE BIG SHOW, pole sana kwa kasheshe la vibaka(polisi) waliopita wakipora mali za wananchi wa Mtwara kwa kisingizio cha kutuliza ghasia! nilishuhudia kwa macho yangu wakimpiga bwana mmoja na kumnyang'anya simu yake ya mkononi. Ama kweli hatuna polisi bali vibaka!Hatukeshi hapa 24/7 kukusoma wewe...
La hasha usiote mapembe,tupo hapa kumsoma Moh Said,
Kama ulianzisha hii thread kutafuta umaarufu na credits,then kaa ukijua ya kwamba umeshushwa daraja kwnye mizani ya wale wanaofuatilia hoja na kusaka elimu...
Mkuu Ngongo, hebu isome hii kotoka kwa mjukuu wa mercenary soldier!Duh Nguruvi3 Mzee Mohamed Said atahitaji moyo wa chuma kuzijibu hizi hoja zilizojisimamia zenyewe.Nimewahi kujiuliza mara kadhaa tumweke Nyerere katika nafasi ya Sykes:
[1] Kwamba alikuja Tanganyika kama Mercenary.
[2] Kwamba alishikiri kuwatesa,kukandamiza haki za msingi za waTanganyika.
[3] Kwamba aliwauwa mababu zetu.
Pata picha Mzee wetu wa Gerezani angeandika vitabu vingapi vya kumdhalilisha Nyerere !.
Kwani Mohamed Said anasemaje kuhusu hili? kwa nikujuavyo wewe huwezi kuamini habari yoyote kama haikuletwa na huyu mzee wako!
Sasa hapo sijakupuruka. Nimeuliza swali ili kupata jibu. Mimi nimeona kama ni sehemu nzuri ya kuanzia. Vyema umesema tuwatazame wa Zanzibar pia. Sijafika Zanzibar ndio maana sijataja. Sasa swali linakuja, kuwa wote ni waislamu. Kwanini serikali hii ya mfumo Kristo imeruhusu maendeleo ya waislamu wa sehemu moja na kuzuia nyingine? Halafu kumbe huko walipowaislamu wengi wanaoonekana wameachwa wapo na wakristo pia?Ndio maana kama umenielewa nimesema tatizo letu kama nchi ni kubwa zaidi ya Ukristo na Uislamu! Sijui kama huko ni kukurupuka.
Kwenye suala la uchumi sijafanya tafiti nani anashika uchumi wa nchi hii. Pengine naweza pia kukosa muda wa kufanya utafiti huo. Hivyo kama unafahamu,vyema unielimishe. Nitashukuru
Nafyonza Ilm kutoka kwa Mzee Mohamed Said najiuliza hayo yote mimi ningeyajulia wapi. Tanzania gazeti la Mwananchi ndio linaogoza kwa kutoa nakala nyingi wasingekubali kutoa habari za uchochezi kama tunavyoaminishwa humu na baadhi ya wenzetu. The Citizen ni gazeti makini pia lazima wajiridhishe 100% kuchapa habari zenye ukweli.
Endelea kutoa darsa mzee wetu sisi tunafyonza na kuchota ilm kwako.
Duh Nguruvi3 Mzee Mohamed Said atahitaji moyo wa chuma kuzijibu hizi hoja zilizojisimamia zenyewe.Nimewahi kujiuliza mara kadhaa tumweke Nyerere katika nafasi ya Sykes:
[1] Kwamba alikuja Tanganyika kama Mercenary.
[2] Kwamba alishikiri kuwatesa,kukandamiza haki za msingi za waTanganyika.
[3] Kwamba aliwauwa mababu zetu.
Pata picha Mzee wetu wa Gerezani angeandika vitabu vingapi vya kumdhalilisha Nyerere !.
Barubaru,
..Shukrani.
..jambo lingine ambalo napenda kuongeza ni kwamba wenzetu mmefanya utafiti mwingi sana kuhusu muungano.
..mnajishughulisha kuhusu muungano kutuzidi sisi wa-Tanganyika.
..mimi naomba uendelee kutusaidia na kutuelekeza ni wapi tunaweza kupata data zaidi kuhusu muungano.
..naomba kama una ripoti za kamati ya Shelukindo, kamati ya Bomani, kamati ya Mtei[??], utuletee hapa JF tuweze kuzichambua.
Ndugu yangu gombesugu, hukuwa na sababu yoyote ya kupitisha ujumbe huu kwa mkuu wangu Ritz! mtindo huu anautumia sana mzee wetu Mohamed anapotaka kuwapelekea ujumbe watu wake aliowaweka kwenye ile "list" yake, sasa sijui na wewe ndugu yangu umeniweka kwenye "list" yako kama ile ya mzee wangu Mohamed? Kwa ufupi nilipoandika mambo ya Kilwa kisiwani sikuwa na kusudi lolote baya dhidi ya uislam na miskiti, nilitaka kuonesha
Ustaadh Boko haram, habari za siku tele jamaa yangu!
Mohamed Said
Wewe lazima ufike wakati uwe mtu mzima kweli, na utumie akili zako vema kuwasaidia vijana.
Nimeweaka maana nzima ya neno unafiki na usaliti, nikaonyesha wapi sheikh alikuwa mnafiki na wapi alikuwa msaliti.
Ulitakiwa kuisadia jamii kuonyesha wapi kweli au si kweli
Hili la kusema nimetukana onyesha, kama huna tulia maana napiga mapigo yasiyo na huruma kwa wanafiki kama wewe.
Wewe ndiye unapita duniani kila silu ukieneza uongo na matusi dhidi ya Nyerere.
Nyerere anaitwa dhulmati, baradhuli, habithi, mnafiki na mfitini hujakemea hilo, leo unajifanya mwislam mwema sana kukemea suala la mnafiki na msaliti.
Nyerere 'Lanatullah' akitajwa wewe umekaa kitako unakenua meno kwa bashasha leo Sheikh ambaye tumeonyesha unafiki na usaliti wake inakuuma sana! mnafiki wewe! tusi lingeuma usingehangaika duniani na mikoba kutusi watu wengine
Wewe umeandika vitabu na makala ukieleza wapi Nyerere alilala na vitoweo aliomba kwa nani.
Mnafiki mkubwa sana
Umeoyesha jinsi alivyokwenda sokoni kuomba vitoweo! Huna haya leo unasema eti Sheikh Katukanwa.
Lazima ujiheshimu kwanza kabla hujadai hishma.
Ungekuwa unachukizwa na matusi usingefunga safari kwenda Ibadan kueneza uongo, chuki na fitna dhidi ya mtu mwingine.
Umesahau kuwa kuna aya ya warongo, wanafiki na wasengenyaji kama wewe.
Usiupumbaze umma wa kiislama kwa hadithi za kutunga na hatutakaa kimya kuona unafiki wa sheikh unaendelezwa na watu kama wewe.
Tutakupa mubashara bila haya. Jibu hoja kama huna kaa kimya! ukija jamvini tutapiga katiuka mfupa hatuoni haya! hapa si kgogovivu kwa kupelekesha watu left right. Hadi sasa unajua jinsi nguo zilivyokuanguka....
Gombesugu; Kwanza una-over-react. Pili nilikuwa na-react na swali la muulizaji. Tatu, nilimwambia kitu kilichowahi kusemwa humu JF kuwa UDSM hawatoi kitabu cha mzee MS kama reference. Nne sina nitakachofaidi kuuchukia uislamu. Tano, hayo unayoyasema siyo ya kweli na ni matayarisho yako kama siku zote ili unitusi. Go ahead haitakuwa umeanza leo.
Gombesugu; Turkey ni 90% moslems. Saudia haitofautiani na namba hiyo, tena yapita. Lakini Saudia walijikomboa toka kwa waturuki. Angola hali kadhalika. German na Poland Jee? iwavyo vyovyote vile hoja na ushauri niliompa Uthman bado una mashiko.
Samahani kwa uchefuchefu wangu
Gombesugu; Vita ni akili sio misuli pia yake. Ukijua udhaifu wa adui yako inakusaidia kupanga jinsi ya kupamabana naye. Naposema psychology hapa ni kwamba mshindani wako akishajua;
1. hakuna umoja katika nyie (kila siku ni vita baina yenu)
2. hakuna nidhamu baina yenu (kila siku ni kutukanana na viongozi wa dini zenu hadharani na kwenye media)
3. hakuna upangaji wa malengo mama (ni kelele za sisi, sisi, sisi.......)
anakuwa na mwanya wa kujua akutibulie wapi.
Shukran
Wickama,
Haina neno,lakini naona umeamua kuhamisha goal posts!? Punguza ujanja!
The way you retreated, you remind me of this:
"I could have become a Soldier if I had waited;I knew more about retreating than the Man who invented retreating"- Private History of a Campaign that failed. By Mark Twain.
Hicho kichefuchefu chako taratibu sijetapikia hapa jamvini.
Ahsanta.
Ngongo,
Babu yangu mkuu Samitungo Muyukwa Mwekapopo aliingia Tanganyika na
Wajerumani 1890s kama alivyoingia Sykes Mbuwane - askari mamluki.
Sijifaharishi kwa hilo wala sioni aibu.
Huu ndiyo ulikuwa ukoloni na adha zake.
Lakini najifaharisha kuwa babu yangu Salum Abdallah ameacha alama katika
historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kama alivyoacha Kleist Sykes.
Nadhani hapa panatosha kuwa ingawa hawa Wazulu, Wamanyema na Wanubi
waliingia Tanganyika kuutia nguvu ukoloni lakini watoto wao wakajakuwa wazalendo
wakubwa.
Hapa Tanganyika kulikuwa na askari "motorised" kama walivyoitwa na Waingereza na
wazee wetu waliwaita "makavirondo" nimewataja vizuri katika kitabu cha Abdu Sykes.
Hawa walitumiwa na Waingereza kuzima mapambano ya wananchi dhidi ya serikali yaJe
kikoloni.
Je, tuna haki ya kuwalaumu watu hawa?
Fanya tafiti kiduchu uone ni kutoka kabila gani Waingereza waliwachukua askari hawa.
Gombesugu,
Ahsante ndugu yangu kwa kipande cha Mark Twain.
Nilikuwa na rafiki yangu James Brenan tunatoka Iowa
City kwa gari ndogo tunakuja Chicago.
Tulipofika mto Mississippi akawa ananionyesha.
Mimi kwa mzaha nikamwambia kuwa asijishughulishe
kwani nilipokuwa mtoto mimi na rafiki zangu Tom Sawyer
na Huckleberry Fin tukiogelea pale.
Ungeuona ule uso wa sahib wangu ulivyopigwa na mshangao!
Naamini umenielewa.
gombesugu,
..sidhani kama kuna mtu anabisha kwamba D'Salaam ilikuwa ndiyo "Central Command" ya harakati za uhuru.
..nadhani "mzozo" uliopo hapa ni kama Mwalimu Nyerere, au mtu mwingine, ndiye aliyekuwa Kamanda Mkuu ktk hiyo "central command."
..je, kati ya Julius Nyerere,Sheikh Hassan Bin Amiri, Mshume Kiyate, Abdu Sykes, etc etc ni nani haswa kiongozi mkuu wa harakati za uhuru wa Tanganyika??
NB:
..simfahamu mtunzi wa maneno " sisi tunataka kuwasha mwenge.." lakini ningependa kumfahamu kwasababu anastahili kuwa-recorgnized kwa mchango wake. Mohamed Said anasema, Prof.Njozi ameripoti ktk kitabu cha mauaji ya mwembechai kwamba Mwalimu aliyatoa maneno hayo ktk maandiko ya zamani ya Wakatoliki.
cc😡Ritz, Jasusi, Mag3, Nguruvi3, SHEIKH FARID, Wickama
Sheikh Mohammed,
Nakufahamu kwa utuvu Al Akhiy..."mioyo ya wenye kujua huwa na macho"
Wallahi,Al Akhiy huyo muungwana mie pia ndo "maradhi yangu".
Lakini kuna vijineno pia aliwahi kunena kuhusu ati Social Class ya Shakespear kwamba ilikua duni!ahaha!!
Na hivi karibuni nafikiri umesikia khabari mpya za Shakespear,kumbe nae alikua ni mlanguzi mkubwa wa bidhaa adimu wakti na zama hizo!?ahaha!! Ile hishma yake yoote ya ule "Saint" nafikiri itampungua japo kiduchu.
Wallahi,Wana-adam tuna madhaifu na viroja vingi.
Insha Allah nimefurahika kunipa fursa hii adimu kunena nawe japo kiduchu.
Ahsanta.
Gombesugu,
Kuna mwanafulani sijui kutaka kunitisha au kuni impress kanijibu kwa jeuri
kwa Kizungu cha Victorian England.
Basi mie nacheka naona vituko vya karagosi kalewa tembo.
Nikamwambia mbona hiyo ina harufu ya Dickens tena "Bleak House?"
Kashika adabu yake hajanirejea tena.
Kabaki kunitukana.
Nami simpatilizi nashika hamsini zangu.
Maalim wangu Sheikh Haruna kanifunza.
Anasema tusi halina jibu.
Madrasa ina raha zake.
Ahsante ndugu yangu.
Ndugu Uthman, natoa rai kwako na kwa watu wengine kuwa waangalifu katika kufanya uchambuzi wa masuala mazito kama haya.
Nikukumbushe kwanza ya kuwa siasa na dini kuna wakati zinaingiliana na si kila wakati.
Hili la kusema watu wa imani nyingine ni potofu sana. Si lazima ukubaliane na Mohamed ili uwe mwislam. Na si kila anayekataa habari za Mohamed ni mtu wa imani nyingine. Mbona wapo wa Imani nyingine wanakubaliana na Mohamed?
Sasa kama ukisema watu waliopigania uhuru walichagizwa na Uislam, na nadhani imani inaruhusu kutodhulumiwa, kuna school of thought itakayouliza, hivi znz kituo cha watumwa kuelekea bara Arab kwenye Uislam achilia mbali znz yenyewe kama kitovu cha Uislam East and central Africa, unyama huo ulifanywa kwa Uislam au ulifanywa na watu waliokuwa waislam?
Hebu tuanzie hapo bwana Uthaman