Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ritz, nimeshasema sana kuwa spinning si kitu kizuri. Ingawa watu wanakutetea na pengine kudhani nakuonea mwenyezi mungu analeta heri zake.

Hiyo nukuu umeichukua ''Duru za siasa''.
Kwanza nisema kuwa sina chama cha siasa kama unavyosema. Pitia maandiko yangu yote uone jinsi gani ninavyokichambua kila chama kwa mujibu wa maoni na tahmini zangu.
Hili la kusema mimi ni mwancham wa Chadema umeniwekea, kama ningelikuwa hivyo sina sababu ya kukataa.

Kitu kimoja ambacho kipo kwenye rekodi yangu ni kuwa sipendi CCM na nimesema hata PPT maendeleo ikichukua nchi nitafurahi kwa kuangalia miaka 50 iliyopita. Ipo katika rekodi za JF.

Kwenye hiyo nukuu kutoka duru za siasa, kuna sehemu kuu mbili.
Sehemu ya kwanza nimeelezea kuhusu Lipumba, sehemu ya pili nikaelezea kuhusu Edwin Mtei na kauli zao.
Nikafanya ulinagnifu wa kauli ya Lipumba na ya Mtei na nimesema kama Lipumba anakuwa responsible na kauli zile basi Meti atakukuwa responsible equally.

Ukisoma heading utaona nimeandika nini. Na katika maandishi yangu sikuwahi kusema kwanini amezungumza msikitini.
Nimesema kuhusu kauli zake tu. Sasa hiyo spinning unayofanya siyo nzuri.

Naweka kila nilichokiandika PROF LIPUMBA HATAGOMBEA TENA UONGOZI WA NCHI
KAULI ZA MZEE MTEI ZAGEUKA KUWA SHUBIRI KWA CHADEMA
ili watu wasome na waone jinsi gani spinning zako zinavyoharibu, kuudhi na kukirihisha watu wengine. Na hapa namualika Gombesugu aliyesema unaumia kwa lobbying zangu kwa invisible.

nitaweka hapa chini kile nilichokisoma hata kama link ipo ili ukweli utawale
Halafu nitahoji kauli za Ritz alizoniwekea mdomoni

Nguruvi3; My condolences, and i wish you luck in your efforts!!!!!
 
Ndugu zangu Waislam nadhani mmeona ushauri mzuri mliopewa na ndugu yenu Nguruvi3, anawapendeni sana na ana mahaba mazito na nyie, hebu apa chini tumsome anapokuwa katika chama chake cha Chadema kinachoongoza na Padri wa zamani kama wao wanavyomuita.

Mbunge wa Jimbo la Karatu Mchungaji Israel Natse (CHADEMA) na mbunge wa jimbo la Iringa mjini
Mchungaji Peter Msigwa Chadema wana makanisa yao kabisa lakini wao wakiongea na ndugu zao kanisani hakuna tatizo.

Huyu kosa lake ni kuongea na Waislam wenzake Msikitini ndugu zangu Waislam wazee wa Madrassa mimi nawaacha ni vikazi kidogo nafanza.

Inferiority Complex...

cc: Al Akhiy Ahsanta
 
Ndugu zangu Waislam nadhani mmeona ushauri mzuri mliopewa na ndugu yenu Nguruvi3, anawapendeni sana na ana mahaba mazito na nyie, hebu apa chini tumsome anapokuwa katika chama chake cha Chadema kinachoongoza na Padri wa zamani kama wao wanavyomuita.

Mbunge wa Jimbo la Karatu Mchungaji Israel Natse (CHADEMA) na mbunge wa jimbo la Iringa mjini
Mchungaji Peter Msigwa Chadema wana makanisa yao kabisa lakini wao wakiongea na ndugu zao kanisani hakuna tatizo.

Huyu kosa lake ni kuongea na Waislam wenzake Msikitini ndugu zangu Waislam wazee wa Madrassa mimi nawaacha ni vikazi kidogo nafanza.
Ritz, sasa huu ndio uchochezi wenyewe halisi! nakushangaa sana kwani daima upo hapa kuwagawa watanzania kwa kuwatenga waislam kwa tabia zako za kishenzi. Hoja hapa haikuwa kosa kwa profesa kuongea na waislam wenzake, kosa lilikuwa kile alichokisema. Yeye kama ulivyo wewe na mzee wako Mohamed aliingiza chuki kwa waislam wawachukie wenzao wasio waislam kwa lengo tu la kutaka kuungwa mkono. Na wewe unarudia tena hapa, kuwaalika waislam wamchukie Nguruvi3 bila kujali hoja zake! Unatofauti gani na wauaji au majambazi wanao ua watu kwa tamaa ya utajiri?
 
Nguruvi3; My condolences, and i wish you luck in your efforts!!!!!
Wickama,thanks Bro! watu wanashindwa kusimama toe to toe kwa hoja.
Hakuna anayejibu hoja, anayejaribu ni yule atakayefanya ''character assissanation'' na hii ilianza na Mohamed Said.

I will never be intimidated by an individual or a mob. I will write without fear or favor.

Nitasema ninachotaka kusema na si kile watu wanachotaka kusikia.
 
YERICKO NA MOHAMMED SAID;
Inaninibidi niwa-address nyote wawili kwa vile nimeona jambo ambalo kama halitarekebishwa basi huenda hata huu mnaksha hautakuwa na tija kwa wanaotusoma.

1. Mada ya mnakasha huu sio ya dini. Mada inaeleweka na sio ngumu. Kinachotakiwa ni Yericko kutuwekea wazi (hata ikibidi kurudia-ili kukumbusha) kwa nini unadhani MS ni Mchochochezi na yeye MS atueleze umma wa TZ kwanini yeye sio Mchochezi. Muhimu lazima maana ya UCHOCHEZI ieleweke ili MS apime kama anachokifanya ni uchochezi ili naye ajitetee. Watu waweze kupima tuhuma na utetezi.

2. Hadi sasa, mnakasha umeachiwa kuingiza mambo mengi tena yasiyouhusu kwa kiasi kikubwa sana. Ni kwamba sasa kila anayesoma ataona ni kama vile uislamu na ukiristo ndio vinalumbana. Mada haikuwa kutafuta mbora kati ya dini hizi au historia zake katika nchi zetu hizi au kwingine. Binafsi sioni kama ni njia nzuri ya mwelekeo na wala siamini kuwa baada ya kuzilumbanisha dini hizo mbili ndio suluhu ya tuhuma zilizotolewa kwenye uzi huu zitapatikana. Kwa hiyo nawashauri nyote wawili mrudishe jahazi kwenye mada mama. Forum za dini zipo na anayezitaka azifuate kwa wakati wake.

3. Kutokana na (2) mnakasha unawagawa wachangiaji katika dini na sio mada wanazosimamia. Wanaowagawa wachangiaji katika matakwa ya dini wameachwa huru kufanya desturi hii bila aina yoyote ya kuwajibika na hii inawapa ari ya kuwatia uoga wasomaji wengine kuchangia ili wasionekane hawaendi kama kundi lao linavyoenda wakati ambapo mawazo yao yangenufaisha wasomaji wengi kwa mifano yenye tija na kupanua uelewa wa watu wengi

4. Itakuwa ni hasara kama baada ya muda wote wa kuwa hewani tutaambulia kutojua nini kifanyike katika haya tunayojadiliana hivi sasa. Na hili huenda likawa sio la kushangaza kama hizo point tatu zilizotangulia hazitawekwa sawa

5. Kama tuhuma zilishatolewa na kujibiwa tunaomba kuzijua na ikiwezekana tuelewe nini hatma yake. Kama hakuna kitu kama hicho cha makubaliano (pia ni uungwana) sio mbaya kambi hii tukaifunga ikapisha nyuzi zingine tukachangia.

Wasalaam

Wickama,
Mimi niseme nini ilhali nina kitabu kizima nimeandika.
 
Ndugu zangu,

Kwanza nianze kwa kumshukuru mkuu Wickama kwa kutukumbusha kuenenda sawa na maudhui ya mjadala huu!

Kwa bahati mbaya siku mbili hizi nilikuwa nimetingwa kidogo na majukumu flani, hivyo sikupata fursa za kushiriki vema hatua kwa hatua za mjadala huu! Nilikuwa nikisoma juu juu tu!

Nikiri wazi kuwa baadhi ya ndugu zetu wanajamvi wanageuza huu mjadala kuwa WAKIDINI badala ya mjadala wa HISTORIA ya Uhuru hasa tukiangaza

"Uchozi na dhihaka ya Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Ukisoma maelezo yangu ya hoja pale juu nimeeleza kuwa Mohamed Said ni mchochezi na amefanya dhihaka dhidi ya Wanaukombozi wetu,


Kwanza ili twende sawa tudadavue kwapamoja maana ya neno "UCHOCHEZI" na "DHIHAKI"

Tukiyafahamu hayo kwa pamoja tutaangazia hoja zangu kuwa Mohamed Said ni "Mchochezi na ni Mdhihaki"

Chonde chonde ndugu zangu Ritz,GombeSugu,Sadeeq na wengine tuache mada zinazotuondoa kwenye mjadala hasa zinazotupeleka kwenye udini na tujikite kwenye mada husika!

Tutamuomba Mods awe makini na WADINI katika mjadala huu,

Lengo la mjadala huu ni kupata mwafaka wa tunachokijadili na kuibuka na adhimio la pamoja kama watanzania na wasomi tunaowajibika kwa taifa letu na vizazi vya kesho!

Tuisomeshe jamii kupitia jf kwa mafaa ya vizazi vilivyopo na vijavyo!
 
Ritz, nimeshasema sana kuwa spinning si kitu kizuri. Ingawa watu wanakutetea na pengine kudhani nakuonea mwenyezi mungu analeta heri zake.

Hiyo nukuu umeichukua ''Duru za siasa''.
Kwanza nisema kuwa sina chama cha siasa kama unavyosema. Pitia maandiko yangu yote uone jinsi gani ninavyokichambua kila chama kwa mujibu wa maoni na tahmini zangu.
Hili la kusema mimi ni mwancham wa Chadema umeniwekea, kama ningelikuwa hivyo sina sababu ya kukataa.

Kitu kimoja ambacho kipo kwenye rekodi yangu ni kuwa sipendi CCM na nimesema hata PPT maendeleo ikichukua nchi nitafurahi kwa kuangalia miaka 50 iliyopita. Ipo katika rekodi za JF.

Kwenye hiyo nukuu kutoka duru za siasa, kuna sehemu kuu mbili.
Sehemu ya kwanza nimeelezea kuhusu Lipumba, sehemu ya pili nikaelezea kuhusu Edwin Mtei na kauli zao.
Nikafanya ulinagnifu wa kauli ya Lipumba na ya Mtei na nimesema kama Lipumba anakuwa responsible na kauli zile basi Meti atakukuwa responsible equally.

Ukisoma heading utaona nimeandika nini. Na katika maandishi yangu sikuwahi kusema kwanini amezungumza msikitini.
Nimesema kuhusu kauli zake tu. Sasa hiyo spinning unayofanya siyo nzuri.

Naweka kila nilichokiandika PROF LIPUMBA HATAGOMBEA TENA UONGOZI WA NCHI
KAULI ZA MZEE MTEI ZAGEUKA KUWA SHUBIRI KWA CHADEMA
ili watu wasome na waone jinsi gani spinning zako zinavyoharibu, kuudhi na kukirihisha watu wengine. Na hapa namualika Gombesugu aliyesema unaumia kwa lobbying zangu kwa invisible.

nitaweka hapa chini kile nilichokisoma hata kama link ipo ili ukweli utawale
Halafu nitahoji kauli za Ritz alizoniwekea mdomoni

Nguruvi3,

Kwanza futa kauli yako wewe hauna uwezo wa kunionea mimi hata siku moja.

Mimi nilichandika ni maneno yako sijaongeza kitu wala kupunguza kitu mimi mtu wa madrassa bwaba kama unavyotuita unalia lia nini sasa.

Nguruvi3, wewe hakuna anakupangia kuandika chochote humu ukumbini nakuonya usinipangie cha kuandika nadhani umenipata mimi ni mtu wa madrassa tambua hivyo.

Ni hayo tu ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:
Ritz, Hoja hapa haikuwa kosa kwa profesa kuongea na waislam wenzake, kosa lilikuwa kile alichokisema. Yeye kama ulivyo wewe na mzee wako Mohamed aliingiza chuki kwa waislam wawachukie wenzao wasio waislam kwa lengo tu la kutaka kuungwa mkono. Na wewe unarudia tena hapa, kuwaalika waislam wamchukie Nguruvi3 bila kujali hoja zake!
Na hiki ndicho ninachokisema kuwa hakuna hoja ni kutafuta wapi mtu ataleta tafran na watu wengine.

Ame insinuate kuwa mimi ni Chadema, sioni sababu ya mimi kutosema hivyo kama ni kweli lakini basi lazima ithibitike kuwa ni hivyo.

Hoja yangu si wapi Lipumba ameongelea na ameongea na nani, hoja yangu ni maudhui hasa kisiasa.
Tena nimekwenda mbali nakusema kama kwake ni kosa na kwa mtei naye pia kwasababu wote wana hadhi katika jamii.

Nikaonya kuwa wao wana uhuru wa kuongea kama raia wengine, lakini basi lazima ifike mahali waweke mpaka ili ijulikane ni wapi wanaongea kama wao na maoni yao na wapi wanaongea kama wanasiasa.

Nikawaasa hao CUF kutoa kauli kupitia mtu mwenye hadhi na si afisa katika jambo zito kama hilo.
Nikasema Chadema walipuuza na inaonekana itakula kwao.

Nikazungumzia wananchi kwa ujumla kuwa pamoja na kuepuka farki na fitna kwasababu matatizo yakitokea wao hawana pa kukimbilia.

Mtu kakata sehemu tu ya mtiririko wa habari nzima ili kutumbukiza hasira na chuki zake halafu akachomeka maneno yake kama sehemu ya habari hiyo. Too low !

I hope Gombesugu na Bokoharam watasimama kumtetea!

Ritz, ninaendelea kufunga mjadala nawe kama ilivyokuwa, lakini ukifanya spinning kama hii Invisible ataalikwa.
Hadi hapa nimemalizana na wewe.

Jamvi hili ni la hoja siyo spinning na kuligeuza jamvi la wapuuzi wasio na hoja na wapika majungu.
Please JF is more than that!

cc. Mohamed Said, Barbaru,Gombesugu
 
Na hiki ndicho ninachokisema kuwa hakuna hoja ni kutafuta wapi mtu ataleta tafran na watu wengine.

Ame insinuate kuwa mimi ni Chadema, sioni sababu ya mimi kutosema hivyo kama ni kweli lakini basi lazima ithibitike kuwa ni hivyo.

Hoja yangu si wapi Lipumba ameongelea na ameongea na nani, hoja yangu ni maudhui hasa kisiasa.
Tena nimekwenda mbali nakusema kama kwake ni kosa na kwa mtei naye pia kwasababu wote wana hadhi katika jamii.

Nikaonya kuwa wao wana uhuru wa kuongea kama raia wengine, lakini basi lazima ifike mahali waweke mpaka ili ijulikane ni wapi wanaongea kama wao na maoni yao na wapi wanaongea kama wanasiasa.

Nikawaasa hao CUF kutoa kauli kupitia mtu mwenye hadhi na si afisa katika jambo zito kama hilo.
Nikasema Chadema walipuuza na inaonekana itakula kwao.

Nikazungumzia wananchi kwa ujumla kuwa pamoja na kuepuka farki na fitna kwasababu matatizo yakitokea wao hawana pa kukimbilia.

Mtu kakata sehemu tu ya mtiririko wa habari nzima ili kutumbukiza hasira na chuki zake halafu akachomeka maneno yake kama sehemu ya habari hiyo. Too low !

I hope Gombesugu na Bokoharam watasimama kumtetea!

Ritz, ninaendelea kufunga mjadala nawe kama ilivyokuwa, lakini ukifanya spinning kama hii Invisible ataalikwa.
Hadi hapa nimemalizana na wewe.

Jamvi hili ni la hoja siyo spinning na kuligeuza jamvi la wapuuzi wasio na hoja na wapika majungu.
Please JF is more than that!

cc. Mohamed Said, Barbaru,Gombesugu

Kila la heri...nilikuwa nakuheshimu lakini kumbe bure tu uwezi kutuita sisi "bwaba" usinitishe na Invisible wewe umetoa matusi kwenye post yako unatukana imani zetu tukiwajibu mnatuita wadini.

Wasalimie...
 
Ndugu zangu,

Kwanza nianze kwa kumshukuru mkuu Wickama kwa kutukumbusha kuenenda sawa na maudhui ya mjadala huu!

Kwa bahati mbaya siku mbili hizi nilikuwa nimetingwa kidogo na majukumu flani, hivyo sikupata fursa za kushiriki vema hatua kwa hatua za mjadala huu! Nilikuwa nikisoma juu juu tu!

Nikiri wazi kuwa baadhi ya ndugu zetu wanajamvi wanageuza huu mjadala kuwa WAKIDINI badala ya mjadala wa HISTORIA ya Uhuru hasa tukiangaza

"Uchozi na dhihaka ya Mohamed Said dhidi ya wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar"

Ukisoma maelezo yangu ya hoja pale juu nimeeleza kuwa Mohamed Said ni mchochezi na amefanya dhihaka dhidi ya Wanaukombozi wetu,


Kwanza ili twende sawa tudadavue kwapamoja maana ya neno "UCHOCHEZI" na "DHIHAKI"

Tukiyafahamu hayo kwa pamoja tutaangazia hoja zangu kuwa Mohamed Said ni "Mchochezi na ni Mdhihaki"

Chonde chonde ndugu zangu Ritz,GombeSugu,Sadeeq na wengine tuache mada zinazotuondoa kwenye mjadala hasa zinazotupeleka kwenye udini na tujikite kwenye mada husika!

Tutamuomba Mods awe makini na WADINI katika mjadala huu,

Lengo la mjadala huu ni kupata mwafaka wa tunachokijadili na kuibuka na adhimio la pamoja kama watanzania na wasomi tunaowajibika kwa taifa letu na vizazi vya kesho!

Tuisomeshe jamii kupitia jf kwa mafaa ya vizazi vilivyopo na vijavyo!

Hivi wadini ni Ritz, gombesugu, SADEeq,?
 
Last edited by a moderator:
Hivi wadini ni Ritz, gombesugu, SADEeq,?
Al Akhiy jitulize kwanza kunywa funda tatu, mi nipo hapa nakunywa juisi ya tende nikishushia na mishikaki ya nyati... nikiendelea kufuatilia mnakasha, naona umehamaki sana mpaka lile koti lako la ccm umevua na kubaki tumbo wazi, hebu kunywa funda tatu tuendelee...
 
Hivi wadini ni Ritz, gombesugu, SADEeq,?

Hapana sio hao tu bali hao niwahafidhina zaidi!

Vema zaidi tujikite kwenye mada!

Na nikushauri tena kuwa kile ulichonifanyia mimi umerudia tena kumfanyia ndugu yetu Nguruvi3,

Huo sio uungwana, una katabia kaku quote kitu kisha unabadili maneno (edit) ili sentensi ieleweke kama utakavyo wewe,

Hilo nikosa kisheria hapa jf,

Mimi nilikuonya kwa kutumia maneno kuwa

"huna qualification yakujadiliana na mimi katika mambo yanayohitaji jicho la tatu bali tujadili ngano za kipata na mkunguni"

Lakini katika hali ya kushangaza umeendelea kuvunja sheria za jf na kudharirisha wanajamvi ambao wanatoa michango yao na wewe kuibadili kwa mafaa yako!

Tujitahidi kwenda kwa adabu na utii bila shuruti ya Mods, hakika tutakidhi haja ya wadau wanaofutilia mjadala huu wenye mafaa kwa taifa letu takatifu!

Tusonge mbele
 
Last edited by a moderator:
Kna mambo mawili mimi humu ndani vinantia uchechefu

1,kuna watu kutwa waipinga serikali hii ya kifisadi lakini chaa ajabu hapa kwenye mnakasha wote wamekuwa watetezi wa serikali kwa nguvu zote (hivi kweli wanaweza kuitoa ccm madarakani kwa uchechefu huu?)

2.kuna watu wanajiita hawana dini lakini kutwa humu wanapiga vita uislam
Ni hayo maajabu yananinyima usingizi mwenzenu
Nami bado nafyonza elm tena nipo kwenye busati
AHSATA
CC RITZ ,gombesugu, bibi titi
 
Kila la heri...nilikuwa nakuheshimu lakini kumbe bure tu uwezi kutuita sisi "bwaba" usinitishe na Invisible wewe umetoa matusi kwenye post yako unatukana imani zetu tukiwajibu mnatuita wadini.

Wasalimie...
Very serious allegation. Invisible,Moderator tafadhali naomba sana muje hapa.
Kama kuna mahali nimetukana imani ya mtu kama anavyosema Ritz nipigwe BAN. Narudia nipigwe BAN

Kama hakuna nasema huu ni udhalilishaji na kuvunjia watu heshma.
Ritz atakuwa amekiuka kanuni za JF kwa allegation serious kama hii.
Naomba aonyeshe wapi nimetukana waislam au imani nyingine.
Onyesha mahali niliposema hivyo unavyomaanisha wewe kwamba

cc.Invisible
 
JokaKuu,

Nimekunyambulia japo kwa kistaarabu,lakini kukuonyesha yakuwa huyo Professor wako hamna kitu...Waswahili tunaita "Zumbukuku".

Nimezunguka vile na kuandika kwa kirefu kwa maana yangu makhusus,sasa hata kunipa pongezi kiduchu kwa kushinda kwenye hii keyboard ndugu yangu!?

Kuhusu tafsir ya Qur'aan mimi binafsi sina uwezo wala utaalamu nayo kwa kujitanafasi mbele ya wenzangu,afadhali wewe mwenzangu labda itakua unaijua hiyo Biblia yenu japo kiduchu.

Ndipo pale nikamshangaa,yule Professor/Author wako,ati kunukuu Ayat za Qur'aan pahala wala isipokhusu au kulazim!?

Kiswahili si yakuwa nakipenda tu,bali pia huona fakhari iso kifani kukizungumza na kuringia nacho...maana mimi ni Mswahili kwa kila kitu;asili yangu,matendo yangu na hata kibri changu!ahaha!!

Poleni nyingi kwa huo "mzozo" ulozuka kwenye hiyo "Blog ya Wazanzibary"....kama ulivyoiita!

Ahsanta sana.
gombesugu,

..mbona nimeweka "like" kwenye post yako?!! hahahaa!!

..nashukuru kwa majibu yako ukielezea mtazamo wako kuhusu mwandishi niliyemnukuu.

..mimi nia yangu ilikuwa kumaliza "mzozo" na jamaa wa hapa JF kuhusu ushiriki wa MWARABU ktk biashara ya WATUMWA ktk eneo la TANGANYIKA na ZANZIBAR.

..kuhusu masuala ya nukuu za maandiko matakatifu mimi huwa sijihusishi nayo. sasa kama muandishi amenukuu kwa usahihi Qur'aan hilo nitakuachieni nyie wataalamu.

NB:

..jamaa zetu wa ki-Zenji walicharuka kwelikweli wakidai kwamba mtu mweusi/mbantu hana nafasi yoyote ile ktk chimbuko na kukuza lugha ya Kiswahili.
 
Last edited by a moderator:
Kila mara nimekuwa nasoma watu wakijinasibu ''watu wa madrasa'' katika kuonyesha hali fulani.
Niseme wazi kuwa ni katika hali ya kuonyesha unyonge.

Watu lazima waelewe kuwa elimu ni elimu tu hata ile ya jando na unyago ilikuwa elimu muhimu sana.
Ningefarijika sana kama watu wangejinasibu na elimu ya madrasa kuliko kujisikia wanyonge wa elimu hiyo.

Kinachotokea hapa ni sumu ya Mohamed Said kuathiri jamii. Kwamba, Mohamed ameifanya jamii iamini kuwa ni dhalili.
Siku zote ukitaka kumshinda mtu jambo la kwanza mfanye ajisikie dhalili hapo utapiga kadri unavyotaka.

Kabla ya mpambano wa ngumi, mara nyingi utasikia tambo za wanamasumbwi '' yule nyanya sana, bwaba lile raundi mbili kwisha, hana lolote minyama tu n.k.'' yote hiyo ni kumdhalilisha kwanza mpinzani kabla ya kuingia ulingoni.

Lakini pia kama watu wanaona elimu ya madrasa ina mushkeli, je wanafanya nini kuioboresha?
Na hapa pia Mohamed anabeba lawama za kuchomeka fikra za kulalamika na wala si kutenda.
Si ajabu atakuja na hoja za eneo flani kutaka kujenga madrasa na mfumokristo kukataa! pathetic

Ujumbe wangu kwa wale mnaosema ''elimu ya madrasa, sisi wa madrasa n.k.'' mnashindwa kuelewa kuwa mnaitia elimu hiyo udhalili wenyewe na mnaonyesha kuwa kuna tatizo katika elimu yenyewe, now it's time to do something.

Jitambueni na acheni kuchukua unyonge wa kufundishwa na Mohamed.
You take the confidence away halafu unaingia ulingoni!

Mohamed amefanikiwa sana kuwafanya watu wawe kama vizuka, wengine wanasema wanaonewa! ukimuuliza wapi hana jibu, wengine elimu ya madrasa ukimwambia inatatizo gani hana jibu.

Acheni kusoma hadithi, sasa ni wakati watu wajiulize zile madrasa zinaweza kuwa tranformed vipi na kuingiza mitaala mingi ili kuzifanya bora na zinazoenda na wakti!

Ni wakati wa kujiuliza, je walimu wa madrasa wanaswifa za kutosha kumuandaa mtoto katika mazingira yaliyopo.
Ni wakati wa kujiuliza je,kuna mitaala ya madrasa ambayo mtoto akitoka Kilwa na kuja Dar hatachanganyikiwa
Ni wakati wa kujiuliza walimu wa madrasa wanalipwa stahiki za maisha au ndio kusubiri mzee fulani ajitolee kumlipa.
Ni wakati wa kujiuliza kuna taasisi ya kuandaa walimu wa madrasa

Nashkuru nadhani nimetumia tarbiya al islam na nawanukuu Al-akyi wote, Talib Barubaru, Swahib, Shariff Ritz, Alwatan Gombesugu,Mag3, JokaKuu, Prishaz, Wickama, Jasusi, Mkuu wa chuo,mfyonza elimu spike lee, mtoto wa Alaska na wanajamvi wote.

Wanakumbi,

Huyu alichokiandika hapa hawezi kuona ni matusi kwetu sisi Waislam ni matusi makubwa imani yetu Waislam Madrassa ni moja yamatukufu yetu na ndipo huko tunapokwenda kufundishwa dini yetu Qur'an na Sunna.

What is Islam? ukienda madrassa ndiyo utajua.

Islam exposed ukienda madrassa ndiyo utajua.

Satan's art of decepition ukienda madrassa ndiyo utajua.

What Muslims believe about God? Ukienda madarassa ndiyo utajua.

Future of Islam in world actions speak louder than words kupitia madrassa. gombesugu kakujibu vizuri sana kuhusu madrassa, ukikejeli na kufanya dhihaka, kebehi, kwenye madrassa umegusa matukufu yetu ingawa kwako siyo issue ndiyo maana umeuliza wapi nimekejeli imani ya mtu uoni?.

Umekwenda mbali zaidi umetumia neno baya kabisa kwetu "Bwaba" neno hili mtaani ni shoga "------" lakini hakuna alisema chochote kuhusu kauli zako.

Wewe kila siku unamjibu Mohamed Said, kwa kukata maandishi vipande kama mimi nilivyokata nani kalalamika? umeishasikia Mohamed Said, kaomba msaada kwa Mods, uzoeshe moyo wako kukosolewa na watu ambao mnatofautiana mitazamo na fikra fanya heshima kwa matukufu ya wenzako na wewe pia watayaheshimu matukufu yako usipende kujiona kuwa kila sehemu uwe mshindi.
 
Last edited by a moderator:
Al Akhiy jitulize kwanza kunywa funda tatu, mi nipo hapa nakunywa juisi ya tende nikishushia na mishikaki ya nyati... nikiendelea kufuatilia mnakasha, naona umehamaki sana mpaka lile koti lako la ccm umevua na kubaki tumbo wazi, hebu kunywa funda tatu tuendelee...

Wakati mwingine dawa inakuwachungu kumeza lakini inatibu.
 
Back
Top Bottom