Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


SubhaanaLlaah!.Matusi kama haya yanatolewa na kafiri kama Nguruvi!.Hata kunawa hajui lakini ana mdomo wa kuwatukana waislamu kama hivi.
:spy::spy:



Shariff Ami,

Salaam Al Akhiy.

Likua wapi weye,hata pata kutuaga nduguzo!?ahaha!!

Nakuamkua kiduchu tu ndugu yangu,pia ni furaha ilioje kukusikia umerejea.

Ahsanta.
 
Leo mda mfupi uliopita kupitia TBC taifa katika kipindi cha "Wosia wa Baba"

Hotuba ya kuwaaga wazee wa jiji la Dar imerushwa hewani, hakika imerushwa kama ilivyo hapo juu na maeelezo mengine mengi sana katika sehemu iliyosalia ya hotuba hiyo hapo juu!



Mtu wa ajabu sana wewe,

Kama hiyo hotuba ilitolewa TBC sisi inatuhusu nn kwa sasa??

Si ilisemwa upewe pesa uende ukaichukue ukakimbia??

Huna mamlaka ya kuja kujinasibisha na mtu asiekuhusu,acha kimbele mbele...

By the way huna unalojiua...
 

SubhaanaLlaah!.Matusi kama haya yanatolewa na kafiri kama Nguruvi!.Hata kunawa hajui lakini ana mdomo wa kuwatukana waislamu kama hivi.
:spy::spy:



Ami Nguruvi3 ni mtu wa kumpuuza sana.,
Unfortunately wapo wanaomuona wa maana sana,wapo wanaomuangalia juu juu sana,

Yeye kwa ukanjanja wake anadhani kwetu sisi elimu ya madrasa ni elimu ambayo tunajinasibisha nayo kwa unyonge,nimeuona pale kwenye bandiko lake anaibeza na kutuusia sisi tusiwe wanyonge na elimu hiyo,

Anashindwa kujua kwamba ile ndyo msingi wetu sisi ktk maisha yetu,na ktk kila nyanja,ni elimu tunayotembea nayo kifua mbele,wao ndio wanaidharau na kuikejeli elimu hiyo,nasisi kwa dhihaka tunapowaambia ya kwamba sisi ni wana madrasa tuh yeye hudhan kama tunajishusha na kujinyongesha,amepotoka sana,

Pia limbuken Nguruvi lazima atambue ya kwamba sisi hatupo hapa kupigana jihadi,ila yeye anaonesha yupo hapa na crew yake kufight crusade war wazi wazi,thats why kila anaejipambanua kuwa ni muislam ndan ya uzi huu na akaonekana kuzikubali hoja za Moh Said wao humuita MDINI...

SIS HATUWEZ KUIKANA IMANI YETU ETI KWA KUJISKIA HAYA,AIBU AU KUINGIWA NA WOGA KISA TUH WATU FULANI KWA FIKRA ZAO FINYU WAMEAMUA KUTUWEKA KATIKA DARJA HILO...

HATA SIKU MOJA,ABADAN ASILAN..!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu gombesugu ushauri wako umeangukia katika daraja la juu kabisa la udhalilishaji wa mwanajamvi mwenzetu "Yericko".

Mkuu Ngongo,

Simama kwenye haki kama umeamua kuwa hakimu.

Tumeitwa "Bwaba" sijui kama huu kwako ni udhalilishaji au ni jambo la kawaida usiwe double standard..

Nadhani tuendelee kuheshimiana bila kutoleana lugha za kifedhuli.
 
Last edited by a moderator:
Yericko Mjukuu wa Marehemu Burito,

Hivi unafahamu nini maana ya neno Wahafidhina!?

Najaribu kukuepuka,lakini kila mara shurti unitaje,wanitakiani!?

Kwa jinsi akili zako zilivyo,nina mashaka hata na Uraia wako!...nina hakika unatumiwa na baadhi ya Nchi jirani kwenye asili yako/uliokotokea ili kuleta ufisadi,uzandik na chokochoko hapo Tanzania.

Bakhti nzuri umepata watu wengi na kundi kubwa la Watanzania walioamua kujivalisha miwani za mbao na kukusikiliza,nawe ukiendelea kuwapotosha na kuwachonganisha!

Nenda Shule ukasome kijana!

Hahaa duuuh

Mnakasha huu una mambo sana,

Yani leo watu wameanza kusema wazi kuwa mimi Yericko Nyerere sio mtanzania na zaidi mimi ni jasusi niliyekuja kuwafarakanisha Watanzania??

Walianza kubadili mada kwa kuanza kunijadili "mimi ni nani hasa?"

Baada ya kushindikana sasa wanasema mimi sio raia wa Tanzania,

Lakini lengo lao ni lilelile la kufifisha mada kwakuibadili!

Ndugu yangu GombeSugu, nakuomba tutembee kwenye mada iliyo mbele yetu, hayo mengine hayana mafaa kwa umma!
 
The Big Show,

Salaam Al Akhiy.

Wallahi,umenena ukweli uso shaka...ndo maana mimi hupatwa na "Duwaa Al Mustaajaba" kwa hii Double Standard na Hypocrisy iliyopo hapa Jamvini.

Lakini haina neno,tutabanana nao hivihivi Insha Allah.

Ahsanta.

Cc;Hasanalis

gombesugu Mnywa ghahawa mwenzangu,

Hawa jamaa ni watu wa ajabu sana,vigeu geu wa hali ya juu,jambo ambalo sehemu nyingine wanalipinga hapa kwenye uzi huu wanalisapoti,

Jambo ambalo sehemu nyingine wanalisapoti hapa kwenye uzi huu utaona wanalipinga wazi wazi,ili mradi tuh nia yao na mission yao ikamilke,hapa hawatafanikiwa...

Mtu kama yericko anafikia hadi hatua ya kuukubali mwenge wa uhuru ndan ya uzi huu ili mradi tuh aonekane anashinda kwenye crusade war yake dhidi ya Moh Said na walamba buti zake,

Kwenye thread zingine yeye ndie huwa kinara wa kupinga mwenge huo na kuukejeli kwa namna mbali mbali,wanashangaza sana,
Nguruvi3,hata kama unasema huna chama sawa,na wengine pia tunaweza sema hatuna chama,lakini ile video ya hotuba ya lipumba nakushangaa kwanin umeyaacha kuyazungumzia yale maneno ya Shekhe BAASALEH kuhus kauli za MARY NAGU??

Umeacha yale maneno ya ukakasi ya mary nagu aliyoyasema kanisani,tena ya kisiasa anayazungumza kanisani haraka haraka kwa pupa unakuja kuyadandia ya lipumba??

Lipumba amezungumza maneno ambayo yapo,na yana uhalisia wa hali ya juu sana,kama umeamua kuchagua hisia zako sawa,

Al akhiy Gombesugu,tupo pamoja Manta Hofu...!!
 
Last edited by a moderator:
Gombesugu,
Naomba ruksa yako nikukumbushe jambo.

Aliemuoa Bi Salama Hussein Juma ni Ramadhani Aziz.

Majuzi niko makaburi ya Kisutu nimeliona kaburi la
marehemu Salama.

Sheikh Hussein Juma alikuwa Vice President wa UTP.

In Sha Allah nitakuwekea kitu kuhusu Al Hassanain.

Sheikh Hussein alizaa watoto brilliant kama Prof. Mansour
huyu nadhani ni bingwa wa hisabati, kisha Muhidin huyu
alikwenda Makerere na akawa katika polisi.

Sheikh Mohammed,

Salaam Al Akhiy.

I think, without your scholary work there is a danger for Muslims who live in Tanzania which has been described innocuosly or neutrally or euphemistically by their enemies and/or Government.

They would then live in a Country with a false sense of security and false promises of Socio-economic prospects,with a false consciousness of reality that could be dangreous to their survival.

They would be like a child in a den of snakes who has been taught that snakes are ropes!

Nakuaga nasafiri kwa masuala ya kibarua kesho kwenda Russia kwa siku kadhaa.

Insha Allah Al Jumaa ijayo nitasali pale St. Petersburg Mosque near River Neva. Najua itakua unaijua uzuri History ya Msikiti huu mzuri mno.

Ahsanta.

Cc;Ritz,The Big Show
 
Yericko,

Now I know that you are extremely disturbed person.

Stop messing around,I think you need to seek immediate attention of a Psychiatrist or Rehabilitation Centre near you.

Hope you do that pretty soon.

Ndugu zangu wanajamvi na uongozi mzima wa jf,

Natamka wazi kuwa ndugu yetu GombeSugu uvumilivu umemshinda na ameamua KUVUNJA kanuni na sheria za JF alizoziridhia wakati akijiunga,

Amezivunja kwa kuamua KUNIDHARIRISHA katika kiwango cha hali ya juu sana!

Sisi sote ni Watanzania na tunatumia lugha moja na ni ndugu, lakini udharirisha wa aina hii hautoi sura stahiki ya Utanzania wetu na Ubinadamu wetu!

Nachukua fura hii kumtaka ndugu yangu GombeSugu aniombe RADHI hapahapa jamvini na kufuta kauli yake,

Hilo naomba litendeke ndani ya dakika 72 kuanzia ninapo andika maelezo haya, vinginevyo nitamshirikisha MODS katika masikitiko haya na haki ya kisheria itachukua mkondo wake!
 
Ndugu zangu katika imani nawaombeni tumsamehe ndugu yetu hata kama yeye kaona ni sawa kuandika hayo maneno. Uislam ni dini ya upendo na amani.

Uislam uko kivitendo zaidi, ukikupa muongozo katika kila nyanja ya maisha, ikiwa pamoja na swala, kula, usafi, tabia, taadhima na heshima kwa wazazi na watu wa dini tofauti.

Mipaka katika Uislam ilishawekwa kitambo, haya yote yanapitakana kwenye Madrassa zetu tukufu ambapo ndipo tunasoma dini yetu ya Uislam.

Shule yangu ilikuwa Madrassa ilikuwa na vitabu na maktaba nzuri nilitumia muda wangu nikiwa nasoma Madrassa nikitimiza azma yangu ya udadisi.
 
Ndugu zangu katika imani nawaombeni tumsamehe ndugu yetu hata kama yeye kaona ni sawa kuandika hayo maneno. Uislam ni dini ya upendo na amani.

Uislam uko kivitendo zaidi, ukikupa muongozo katika kila nyanja ya maisha, ikiwa pamoja na swala, kula, usafi, tabia, taadhima na heshima kwa wazazi na watu wa dini tofauti.

Mipaka katika Uislam ilishawekwa kitambo, haya yote yanapitakana kwenye Madrassa zetu tukufu ambapo ndipo tunasoma dini yetu ya Uislam.

Shule yangu ilikuwa Madrassa ilikuwa na vitabu na maktaba nzuri nilitumia muda wangu nikiwa nasoma Madrassa nikitimiza azma yangu ya udadisi.

Ndugu yetu kipenzi Ritz,

Mimi nikiwa ndie muanzisha uzi huu, nimeshauri mambo ya dini yasijadiliwe ama kuhubiriwa hapa,

Kuna jukwaa mahususi kwa mihadhara ya kiroho mkuu waweza kwenda kule na ukahubiri vizuri!

Tusiharibu maana ya uzi huu!
 
Ndugu zangu wanajamvi na uongozi mzima wa jf,

Natamka wazi kuwa ndugu yetu GombeSugu uvumilivu umemshinda na ameamua KUVUNJA kanuni na sheria za JF alizoziridhia wakati akijiunga,

Amezivunja kwa kuamua KUNIDHARIRISHA katika kiwango cha hali ya juu sana!

Sisi sote ni Watanzania na tunatumia lugha moja na ni ndugu, lakini udharirisha wa aina hii hautoi sura stahiki ya Utanzania wetu na Ubinadamu wetu!

Nachukua fura hii kumtaka ndugu yangu GombeSugu aniombe RADHI hapahapa jamvini na kufuta kauli yake,

Hilo naomba litendeke ndani ya dakika 72 kuanzia ninapo andika maelezo haya, vinginevyo nitamshirikisha MODS katika masikitiko haya na haki ya kisheria itachukua mkondo wake!


Childish Behaviour & Crocodile Tears..!

Kabla hujayasema hayo ilikupasa uje nawewe ulithibitishie jukwaa hili uhalali wa kulikimbilia jina la Mwalimu na kulinasibisha na nasaba yako,

Yericko yapaswa utambue ya kwamba katika mnakasha huu sisi wengine tupo hapa kusoma facts na ukweli wa mambo,na hatupo hapa kusoma utumbo wako na vitu visivyo na tija,

Muda kwetu ni bidhaa adimu sana,kama umeshindwa kuuonesha uchochez wa Moh Said basi wewe na jamaa zako muambizane musitake kuugeuza huu kama ni uwanja wa Crusade Vs Jihadi...!

Hatupo hapa kwa hilo...
 
Ndugu zangu wanajamvi na uongozi mzima wa jf,

Natamka wazi kuwa ndugu yetu GombeSugu uvumilivu umemshinda na ameamua KUVUNJA kanuni na sheria za JF alizoziridhia wakati akijiunga,

Amezivunja kwa kuamua KUNIDHARIRISHA katika kiwango cha hali ya juu sana!

Sisi sote ni Watanzania na tunatumia lugha moja na ni ndugu, lakini udharirisha wa aina hii hautoi sura stahiki ya Utanzania wetu na Ubinadamu wetu!

Nachukua fura hii kumtaka ndugu yangu GombeSugu aniombe RADHI hapahapa jamvini na kufuta kauli yake,

Hilo naomba litendeke ndani ya dakika 72 kuanzia ninapo andika maelezo haya, vinginevyo nitamshirikisha MODS katika masikitiko haya na haki ya kisheria itachukua mkondo wake!

Wacha mikwala wewe eti unatoa masaa, wewe mbona umeishaniita mimi mfuta viatu vya Mohamed Said au wewe una haki zako binafsi humu JF unatoa amri tu kwa Mods.
 
Wacha mikwala wewe eti unatoa masaa, wewe mbona umeishaniita mimi mfuta viatu vya Mohamed Said au wewe una haki zako binafsi humu JF unatoa amri tu kwa Mods.

Anajuwa wazi kuwa Mods watamsikiliza mpaka kuweza kutoa hiyo ultimatum. Tuvute subra tu. kwani wengi wanakoseana na lakin kikubwa ni kuelezana bayana na kusameheana.

Pole sana Yericko
 
Ndugu yetu kipenzi Ritz,

Mimi nikiwa ndie muanzisha uzi huu, nimeshauri mambo ya dini yasijadiliwe ama kuhubiriwa hapa,

Kuna jukwaa mahususi kwa mihadhara ya kiroho mkuu waweza kwenda kule na ukahubiri vizuri!

Tusiharibu maana ya uzi huu!

So what Kama wewe ndiyo umenzisha huu uzi?

Nguruvi3, ndiyo kaleta mambo ya Madrassa humu jamvini sisi tunamjibu wewe unatukataza kisa eti uzi umeanzisha wewe...unajitetea kitoto sana.

Hii ni forum watu wanachangia mawazo tofauti tofauti kwa hiyo kama huu uzi ni wako hautaki mawazo tofauti na wewe.

Tupige basi ban wote ambao tunaopingana na wewe.
 
So what Kama wewe ndiyo umenzisha huu uzi?

Nguruvi3, ndiyo kaleta mambo ya Madrassa humu jamvini sisi tunamjibu wewe unatukataza kisa eti uzi umeanzisha wewe...unajitetea kitoto sana.

Hii ni forum watu wanachangia mawazo tofauti tofauti kwa hiyo kama huu uzi ni wako hautaki mawazo tofauti na wewe.

Tupige basi ban wote ambao tunaopingana na wewe.

Unaposema mawazo tofati hilo ndilo dhamira ya uzi huu, laki utofauti huo usiwe ule wa kuweka habari za kidini au za MMU katika uzi huu na kuondoa maana iliyokusudiwa ambayo ni uchochezi na dhihaka ya Mohamed Said dhidi ya wanaukombozi wetu!

Utofauti uwe wa mantiki ya uzi!

Naamini umenielewa! Tusonge mbele!
 
Unaposema mawazo tofati hilo ndilo dhamira ya uzi huu, laki utofauti huo usiwe ule wa kuweka habari za kidini au za MMU katika uzi huu na kuondoa maana iliyokusudiwa ambayo ni uchochezi na dhihaka ya Mohamed Said dhidi ya wanaukombozi wetu!

Utofauti uwe wa mantiki ya uzi!

Naamini umenielewa! Tusonge mbele!

Vipi kitabu chako cha ugaidi chenyewe ruksa.
 
Vipi kitabu chako cha ugaidi chenyewe ruksa.

Ugaidi logical yake inaendana na uchochezi, hivyo kitabu hicho kinakubalika kujadiliwa na ndiomaana suala la ugaidi tumelijadili kwa mapana na marefu hapa!
 
Childish Behaviour & Crocodile Tears..!

Kabla hujayasema hayo ilikupasa uje nawewe ulithibitishie jukwaa hili uhalali wa kulikimbilia jina la Mwalimu na kulinasibisha na nasaba yako,

Yericko yapaswa utambue ya kwamba katika mnakasha huu sisi wengine tupo hapa kusoma facts na ukweli wa mambo,na hatupo hapa kusoma utumbo wako na vitu visivyo na tija,

Muda kwetu ni bidhaa adimu sana,kama umeshindwa kuuonesha uchochez wa Moh Said basi wewe na jamaa zako muambizane musitake kuugeuza huu kama ni uwanja wa Crusade Vs Jihadi...!

Hatupo hapa kwa hilo...
Sasa ni nani yupo hapa kusoma lugha yako ya kibabe na udhalilishaji unayoandika hapa? unasababu gani kujiita muislam wakati hufuati maadili ya uislam hata chembe?
 
Anajuwa wazi kuwa Mods watamsikiliza mpaka kuweza kutoa hiyo ultimatum. Tuvute subra tu. kwani wengi wanakoseana na lakin kikubwa ni kuelezana bayana na kusameheana.

Pole sana Yericko


Gombesugu; Naungana na Barubaru. Hakuna aibu katika kutaka msamaha kwa uliyemkosea. I would that if I were you. Many times nimeshasema IAM sorry humu JF na haijanipunguzia kitu.

Pia namuunga mkono Yericko kuwa tu-focus debate kwenye agenda ya uzi huu. Hatuwezi kujadili everything. Infact watu kutukanana ni dalili ya focus kuanza kupotea.
 
Back
Top Bottom