Ndugu zangu wanajamvi,
Kwanini nimemuita Mohamed Said ni MCHOCHEZI?
Nitaeleza yanayoakisi uchochezi huo!
Issue ni kuwa;
1. Wote hapa jamvini na duniani tunakubaliana kuwa Mohamed Said ameandika kitabu cha Maisha na nyakati za Abdul Sykes!
2.Kitabu hicho mimi nakikosoa kuwa kinamapungufu mengi,
Mifano ya mapungufu hayo ni kama, Malima kuanzisha Namba za mitihani (get exact dates when the Ministry started this) utakuta ina -predate Malima kuwa pale ministry (this is easy)
Kwaujumla hakuna ushahidi wa wazi au wamazingira kuthibitisha madai yake,
Hivyo huu ni UCHOCHEZI wa wazi!
3. Madai mengine katika maandishi ya Mohamed Said juu ya elimu nchini nikuwa hata hatua ya Mwalimu Nyerere kutaifisha shule za kidini ili kila mtanzania asome (analysis yake) analaumu kuwa hatua hiyo haimkumsaidia mtoto wa kiislamu
Lakini Mohamed Said hasemi/hapendekezi/hashauri nini kifanyike kuondoa hali hiyo, amebaki kuwahubiria watu kuchukia hali hiyo na kumchukia Mwalimu Nyerere tu,
Hivyo huo ni UCHOCHEZI wa wazi kwa jamii!
4. Mohamed Said anailaumu serikali ya Mwalimu Nyerere kuhusu numbers of muslim professionals in places across the civil service,
Wanajamvi, wote tunatambua kuwa mtumishi wa umma katika nchi hii hupatikana kwa taratibu zilizowekwa kwa mjibu wa sheria,na sio kwa kufuata kigezo cha DINI,
Lakini anashindwa kushauri nini kifanyike kuondoa hali hiyo, na badala yake amebaki kupandikiza chuki kwa jamii tu,
Hivyo huo ni UCHOCHEZI wa wazi kwa jamii!
5. Mohamed Said fails to acknowledge politicization of the EAMWS at the hand of sheikh Hassan in support of opposition elements to TANU.
Katika hili la kifo cha EAMWS Mohamed Said madai yake mengi kama siyo yote aliyoyaelekeza kwa Mwalimu Nyerere nikuwa kila mahali utakuta anasema,
Ilisemekana,Niliambiwa,Nilisikia,
Katika madai ya aina hiyo hayana mantiki ya kiushahidi!
Hivyo huo ni UCHOCHEZI wa wazi kwa jamii!
6. Mohamed Said is ambigious when it comes to the Zanzibar revolution. He spends efforts in belittling those who risked their lives to overthrow the sultan regime (wamakonde)
Katika hili Mohamed haleti ushahidi zaid yakusema nilisimuliwa na wazee wangu,
Huu sio ushahidi wakuweza kuhalalisha madai yake,
Ushahidi kama huu unakuwa batili kwakuwa ulichukuliwa upande mmoja bila kuangalia upande wapili,
Hivyo huo ni UCHOCHEZI wa wazi kwa jamii!
6. Mohamed Said does not offer suggestions as to what should be done to alleviate the problem.
Wanajamvi wenzangu,
Nimeeleza UCHOCHEZI wa Mohamed Said,
Kisha baadae nitaangaza Dhihaka za Mohamed Said