Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Hapana sio hao tu bali hao niwahafidhina zaidi!
Vema zaidi tujikite kwenye mada!
Na nikushauri tena kuwa kile ulichonifanyia mimi umerudia tena kumfanyia ndugu yetu Nguruvi3,
Huo sio uungwana, una katabia kaku quote kitu kisha unabadili maneno (edit) ili sentensi ieleweke kama utakavyo wewe,
Hilo nikosa kisheria hapa jf,
Mimi nilikuonya kwa kutumia maneno kuwa
"huna qualification yakujadiliana na mimi katika mambo yanayohitaji jicho la tatu bali tujadili ngano za kipata na mkunguni"
Lakini katika hali ya kushangaza umeendelea kuvunja sheria za jf na kudharirisha wanajamvi ambao wanatoa michango yao na wewe kuibadili kwa mafaa yako!
Tujitahidi kwenda kwa adabu na utii bila shuruti ya Mods, hakika tutakidhi haja ya wadau wanaofutilia mjadala huu wenye mafaa kwa taifa letu takatifu!
Tusonge mbele
Yericko,
Hivi kwa akili yako unadhani kuna mtu anafanya mjadala na wewe? Wewe ni daraja la kuwafikia wasikilizaji na wanaukumbi.