Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Muda wowote utakaochukulia mzaa dini ya Watanzania wenzako, basi wewe ndiyo utayechekwa. JF ni huru kwa dini zote.
Ritz, wacha kutuletea upuuzi wako hapa, hakuna anayechukulia mzaa dini ya mtu yeyote, wewe unalazimisha dini yako iwe kila mahali jambo ambalo sio sahihi. Mambo yenu na imani zenu zipelekeni mahali mfuaka yaani kwenye jukwaa la dini au misiktini kwenu, sasa wewe huelewi nini?
 

Mohamed Said,

Tupo hapa kujadiliana na kufahamishana mambo yahusuyo Historia,

Hatubishana ilimradi kubishana kama watu tusio na mpangilio wa ubishi, bali tujabishana kwa hoja na ustaarabu na adabu!

Tunaheshimiana, tunathaminiana, na kujaaliana!v

Naomba nikuulize swali MOJA tu ili tupate mwelekeo wa jadala wetu juu ya Historia ya Zanzibar!

1) Je mapundizi ya Zanzibar ya 1964 ni HALALI au ni KHARAMU?
 

Unatumia nguvu nyingi sana inawezakana wewe ukaniona mpuuzi hili kwangu wala halina tatizo upo huru kuongea chochote na kuonyesha fikra zako.

Mwisho kabisa nakucha na maneno machache yenye hikma ndani yake ingawa wewe utaona upuuzi.

"Mtu mwenye busara huwa na tabia ya kufanya mafikirio mwenyewe wakati wa majadiliano, mtu mjinga huwa anaropoka chochote kwenye majadiliano hili haonekane mjuvi"
 

naam sheikh wangu naona unaongea usichokitenda au hayo maneno ya hikma hayakuhusu wewe...
 

Ulikusudia mwaka 1964 maana 1963 z'bar hayakufanyika mapinduzi isipokuwa walipata uhuru kutoka kwa waingereza
 
Haya mungeyapeleka kwenye jamvi la dini au misiktini kwenu, hapa mnatuchosha bure wewe na hilo zee lako, eboo!

Ndio yale yale msichanganye dini na siasa halafu wengine wao ni haki yao kuchanganya dini na siasa ha ha haa hayo yalikuwepo kipindi cha baba wenu wa taifa sio kipindi hichi "uislamu huwezi kuutenganisha na siasa"Gwalihenzi nakushauri punguza hii kitu
 

Mkuu Mohamed Said,

Kwa nukuu ya maneno yako haya,

"Baada ya mapinduzi siku Mkello alipokwenda Zanzibar Hanga akamtambulisha
Mkello kwa Karume.

Karume alisimama na kumkumbatia Mkello".

Hapa tayari umeshaweka wazi kuwa ASP waliratibu MAPINDUZI hayo,

Sasa nakuuliza tena mkuu,

Nyerere alihusikaje? Aliombwa kusaidia mapinduzi? Alishinikiza mapindizi yafanyike? Aliratibu moja kwa moja kwakumtuma Okello na jeshi lake la Kipumbwi?

Na mwisho,

Mapindizi ya Zanzibar ni Kharamu au ni Halali?
 
Sasa jiulize the same question wakti alipokuwa Rais wa JMTz Ali Hassan Mwinyi, Ungesemaje?
 


Aibu kubwa hii,mara umeandika 1963...!!,,umekosolewa na kuambiwa huo mwaka sio sahihi haraka haraka ukakimbilia kuedit na kuweka mwaka 1964..!!

Hilo tumelishuhudia kwenye mabandiko yako mengi sana huku nyuma ukienda kuyarekebisha,

Aibu kubwa sana hii,all in all wewe utabakia kuwekwa kwenye darja lile lile tuh,la makanjanja...
 

Mohamed,
Asante. Sikuwa na habari kuwa Costa ameshatangulia mbele ya haki.
 
Kwani zanzibar kapinduliwa sultaniii ay serikali ya jamhuri ya watu wa zanzibar??
 

Ukikosea na ukakosolewa na kisha ukakubaliana na mkosoaji, kinachofuata ni kusahihisha kosa!

Usistawi mwili tu, stawi na akili pia!
 
Ukikosea na ukakosolewa na kisha ukakubaliana na mkosoaji, kinachofuata ni kusahihisha kosa!

Usistawi mwili tu, stawi na akili pia!


Kanjanja ni kanjanja tuh...

Editting zote zile ulizozifanya ni kipimo cha kutokuwa na uelewa wa mambo,bora basi ingekuwa ni typing error..!

Mtu anakuja kifua mbele kana kwamba kuna anachokijua basi,kumbe unakuja na ujinga wako ukidhani ya kwamba watu wataumeza kama ulivyoumeza wewe...!

Naskia kina Andrew nyerere wanajiandaa kwenda kukushitaki kwa kulitumia jina la mzee wao kinyume na utaratibu tena kwa maslahi yako ya kujitafutia umaarufu,

Nadhan umefika wakati sasa ukaacha kulitumia hilo jina,kama vile ulivyoshindwa kuuthibitishia umma hapa ulipo uchochez wa Moh Said ndivyo hivyo hivyo utavyoshindwa kujipatia umaarufu kwa kupitia jina hili usilo na nasaba nalo...
 
Wapuuzi daima hujiita wenye busara!
 
hapo kwenye nyekundu hizo habari umezipata wapi?, naona kwenye mipasho uko safi kwanini usianzishe kikundi chako cha taarab? Sheikh wangu sio lazima kuchangia hata kusoma inatosha tu sheikh...
 
hapo kwenye nyekundu hizo habari umezipata wapi?, naona kwenye mipasho uko safi kwanini usianzishe kikundi chako cha taarab? Sheikh wangu sio lazima kuchangia hata kusoma inatosha tu sheikh...

I second you...hii mipasho inachafua sana trend ya huu mnakasha
 
Wickama, as much as maswali yako yanavyoumiza akili za wenye kutumia akili ndivyo yale tuliyo nayo yanavyozidi kutuumiza.

Historia ina kanuni moja, kwamba ikiandikwa kama ilivyotokea chronologically hakutakuwa na broken link.
Tatizo ni pale inapoundwa hapo ndipo unakuta matatizo kama tuliyo nayo.

Sijui kama Mohamed Said anaweza kusimama na kuwaambia Wazanzibar mapinduzi ni upuuzi na yalifanywa na Nyerere.
In fact kuna wzn hapa jamvini waliwahi kumpinga na hata kuonyesha chuki zao dhahiri.
Mwafrika aliteseka sana chini ya Sultan, leo baba yake katoa damu halafu atokee mtu aseme babu huyo kafanya upuuzi!!

The bottom line ni kuwa hakuna ukweli, haiwezekani wamakonde wakusunyike Kipumbwi na kuamua kwenda kumng'oa sultan from nowhere!

Haiwezekani Karume aliyelala nyumbani kwao Mohamed Said awe mtu mwema na Nyerere aliyemtuma awe mtu mbaya.
It doe not add up for intelligent people, nasisitiza intelligent ones.

Kwa wameza ngano hiyo ni ilm na wanafyonza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…