Nguruvi na Jokakuu na Jasusi;
Issue hapa ni kwamba some of us wanakuwa sio wakweli. Is it not tru kuwa ASP waliomba msaada? Is it not true kuwa walikuwa na dhamira ya kupindua serikali ya huko? Justification ya Mapinduzi walikuwa nayo ASP na bado wanayo. Na ninavyojua mimi hawa ASP hawana dini tofauti na wale waliowaondoa madarakani.
Sasa ipo dhana ya kama kwamba bidii ya wazenj kujinasua na utawala wa Sultan ilikuwa kuudhoofisha uislamu. Hapa hakuna anayeeleza kuwa historical abuse dhidi ya Africans and shirazis (ASPs) yalikuwa yanadhalilisha uislamu unaotaka haki na uadilifu.
Then strangely watu wanapokuja na "discoveries" za ground operations za hawa wazenj kujinasua toka kwa sultan all the blames anabeba Kambona na Nyerere? Why him and not Karume?
Nadhani kama yupo wa kulaumiwa ni yule aliyetaka kujikomboa (ASP), sio aliyemsaidia kujikomboa (TANU). Hapa ndipo kwa makusudi panapindishwa.
Wickama, as much as maswali yako yanavyoumiza akili za wenye kutumia akili ndivyo yale tuliyo nayo yanavyozidi kutuumiza.
Historia ina kanuni moja, kwamba ikiandikwa kama ilivyotokea chronologically hakutakuwa na broken link.
Tatizo ni pale inapoundwa hapo ndipo unakuta matatizo kama tuliyo nayo.
Sijui kama Mohamed Said anaweza kusimama na kuwaambia Wazanzibar mapinduzi ni upuuzi na yalifanywa na Nyerere.
In fact kuna wzn hapa jamvini waliwahi kumpinga na hata kuonyesha chuki zao dhahiri.
Mwafrika aliteseka sana chini ya Sultan, leo baba yake katoa damu halafu atokee mtu aseme babu huyo kafanya upuuzi!!
The bottom line ni kuwa hakuna ukweli, haiwezekani wamakonde wakusunyike Kipumbwi na kuamua kwenda kumng'oa sultan from nowhere!
Haiwezekani Karume aliyelala nyumbani kwao Mohamed Said awe mtu mwema na Nyerere aliyemtuma awe mtu mbaya.
It doe not add up for intelligent people, nasisitiza intelligent ones.
Kwa wameza ngano hiyo ni ilm na wanafyonza.