Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Sasa wewe dini huna hautambui uwepo wa Mungu wala dini, sasa umejuaje kama mimi mdini...ha haa ha
Kuri na maandishi yako ndio yalifanya nikutambue kuwa wewe ni mdini wa kutupwa! na unaposhindwa hoja hapa jamvini hukimbilia kuwaomba waislam wenzako wawashambulie wale walio kutwisha mipini ya NGUVU!
 

Wickama,

Wala unajihisi mie nilikuwa natoa mfano tu, lakini bahati mbaya ndugu yangu umenishambulia bure.
 
Last edited by a moderator:

Nimeipenda sana hii list ya baraza la mawaziri.

Mimi ningekushauri uiangalie kwa jicho la tatu list hiyo kwa kuwatoa wale kutoka Znz ambao wao kwa zaidi ya 99.9% ni waislam. na ubakishe waTanganyika kisha linganisha dini zao.

Hiyo itakupa picha halisi. Kumbuka kuwa Mmamlaka ya BAKWATA MWISHO CHUMBE hayajawahi kufika Znz hata siku moja.

Pole sana

 
Ritz,
Yericko bado yuko kule kule anadhani mie hapa
jamvini nazungumza na yeye wakati yeye ni "rabbit"
katika mbio ndefu ananisaidia mie kuvuta kasi.

Katika mashindano ya mbio kunakuwa na timu moja
labda ina wakimbiaji 4 wanashindana na timu pinzani.

Ili kupata mafanikio huwa hizi timu zinakuwa na pace setter
kuweka spidi ili wavunje rekodi na ushindi upatikane.

Hawa pace setters huitwa rabitts.
Hapa JF sungura wangu ni Yericko Nyerere.

Ananitia spidi ya kueleza mambo mengi ambayo bila yeye nisingeweza
kukwea mti huo.
 
Sheikh Mohamed, wewe ndiye uliyenisababisha mimi kujiunga na JF kutokana na hoja zako. So mimi ni mfuasi wako.Nakuomba kwa heshima na tahadhima mjibu Nguruvi3 na wenzie hayo maswali yao yanayohusu mapinduzi ya Zanzibar.Usipojibu maswali hayo utakuwa hujatutendea haki mimi na familia yangu hapa Mbagala, kwani nyumba mzima na majirani zetu wote tunafatilia mjadala huu na hasa hasa hoja zako wewe. Mjibu Nguruvi3 na wenzie kwa faida ya wakazi wa Mbagala.
 



Barubaru,

Salaam Al Habiby.

Wallahi,kama ulikuwamo ndani ya moyo wangu...maana nami nalitaka kuuliza suali hilo hilo tena kwa kunyambua zaidi.
Lakini haina neno Al Akhiy,sitaki kukuharibia hii shughuli ulomwanzia huyo jamaa yako Mag3.

Hii imbalance ya kwenye first Cabinet,inaashiria yakuwa Nyerere hapo hivyo vyeo/nafasi alikua akitoa kwa kuangalia zaidi Udini. Alisahau yakuwa hiyo nchi alokua akiungana nayo/Zanzibar ni Waislamu almost 100%...nafikiri hii fact huyo Nyerere alii-over look au alifanza kwa makusudi!

Kwa mtu yeyote mwenye maarifa na uelewa,ataangalia hiyo idadi ya Waislamu na Wakristo kutoka upande wa Tanzania Bara/Tanganyika,khalafu utajiuliza hao Waislamu wa Tanganyika wako wapi kwenye ile first Cabinet,mbona uwiano hauleti picha nzuri ya nchi/Taifa linalojinasibisha na u-Secular!?

Lakini najua kuna wale fidhuli wa asili na wajuba watatujibu,yakuwa woote walikua ni Makuli!ahaha!!

Hii hali imewaumiza mno Waislamu wa Tanganyika kwa miaka mingi,maana hizo nafasi zao/vyeo ndo imelazim wapewe/wachukue ndugu zao kutoka Zanzibar.

Katika maandiko/vitabu vyake nafikiri Sheikh Mohammed amejaribu kuelezea kwa kina na kiundani masuala haya,tena kwa ustaarabu mwingi mno.

Nafikri hawa jamaa kila khabari waletayo,ambayo wao hufikiri ni mpya miongoni mwao,hawajui yakuwa ndo wanazidi kujitia mwiba na majiti ya roho, na kusababisha masuali mengine mengi zaidi dhidi yao wao wenyewe.

Kwasisi wengine hizi khabari zoote ni za kawaida na ni za kitambo mno,ndo maana Sheikh Mohammed na nduguze wengine kufikia mpaka kuandika vitabu na kubainisha mengi kwa utuvu wa kitaaluma...mpaka leo ni yupi alotokea kuwajibu kitaaluma,zaidi ya tashtit na kebehi za kitoto!?

Insha Allah tuendelee na mnakasha Al Akhiy.

Ahsanta.

Cc;Ritz
 

[h=3]Multiple IDs at work...ha haa haa.[/h]
 


Pain Killer,

Poleni nyoote wana wa Mbagala,Mola takuzidishieni sabra kwa mustahamala mfanzao.

Sheikh Mohammed,kishatoa majibu yoote ya hayo masuali yao kwenye vitabu na maandiko yake mengi. Nina hakika utakua unayajua kwa kina kama kweli wewe ni "mfuasi wake" mtiifu kama unavyodai ndugu yetu. Japo nina hakika yeye hatopenda wewe kutumia neno hilo,na wala hajui na hajawahi kuwa na wafuasi popote pale!

Kinachotumika hapa ni technicalities tu,na kwakuwa Sheikh Mohammed ni Scholar/msomi wa hali ya juu,anafahamu mbinu na ujanja woote utumikao hapa.

Kumbuka yakuwa mpaka sasa huo uchochezi,ugaidi na uhaini bado haujathibitishwa popote pale!...sasa hii ilobaki ndo inajaribu kutumika kama bakora/fimbo ya kuthibitsha yayo.

Niwie radhi kwa kuingilia kati mawasiliano yako matukufu na Sheikh Mohammed,na pia niswamehe kwa huo uchechefu wangu.

Ahsanta sana.

Cc;Sheikh Mohammed Said
 

Ooooho my god!

Mungu awape nguvu na uvumilivu wakufuatilia uzi huu,

Bila shaka mzee wetu Mohamed Said atawatendea haki watz wenzake!
 
Wickama,

Wala unajihisi mie nilikuwa natoa mfano tu, lakini bahati mbaya ndugu yangu umenishambulia bure.


Shariff Ritz,

Salaam Al Akhiy.

Huyo jamaa yetu Wickama nafikiri yuko sensitive mno. Ni mtu wa kujishuku saana.
Lakini haina neno,mimi binafsi nampenda mno na tamwandikia sasa hivi nimuombe akaniongezee mke wa pili huko kwao Tarime na itakua uzuri kama ana Dadize walobaki japo kiduchu...labda ndo itasaidia ili atufahamu kwa kistaarabu!?ahaha!!

Ahsanta.
 
Ooooho my god!

Mungu awape nguvu na uvumilivu wakufuatilia uzi huu,

Bila shaka mzee wetu Mohamed Said atawatendea haki watz wenzake!

Yericko,

Mbona unajiandikia msgs/posts khalafu unajijibu mwenyewe ndugu yangu!?

Umekutwa na jakamoyo lipi!?

Cc;Ritz
 
GombeSugu,

Sio kweli kama unavyohalalisha kuwa 100% ya Wazanzibar ni Waislamu!

Makanisa yaliyopo Zanzibar unayaweka kundi gani la Wazanzibar?
 
Yericko,

Mbona unajiandikia msgs/posts khalafu unajijibu mwenyewe ndugu yangu!?

Umekutwa na jakamoyo lipi!?

Cc;Ritz

Kuna haja gani mpaka nifike mahali nijiandike na kujijibu mwenyewe?

Angalia IP address na Location kama ni Kigamboni Mbutu mtaa wa Mbarajange!

Hapa ndipo ninapoishi na mida hii nipo Nyumbani na shemeji yako keshanipikia maakuli ya Kizanaki hasaaaa!

Karibu ndugu!
 

Hawa ndugu zetu siku zote tuendelea kuwapa darsa pamoja kuwa wanatuletea kejeli na dhihaka kwa wazee wetu wazalendo amabao walikuwa na mapenzi makubwa na Nyerere anagalia hapa chini hizi kejeli.

Wanaukumbi baada ya kumsoma huyu ndugu yetu hebu hapa chini tumsome Nyerere anawazungumziaje hawa Wazee wanaoitwa makuli.

Mashaalah hapa tumeona Wazee wetu makuli walijibana na vijisenti vyao na kuamua kumnunulia Nyerere baiskeli, mahaba mazito.

Pia hakuna ushahidi Kuwa Nyerere alifunga ramadhani:rejea hapa
1.walifunga ili kuomba kitu maalumu kwa ajili kitu fulani.Hii ni purely Judeo-Christian.
Hakuna alikuambia Nyerere alifunga Ramadhan Nyerere alifunga kwa ajili ya mapambano ya uhuru na kuwasaidia wengine ndiyo maana anasema tulikuwa tunafunga hebu msome Nyerere mwenyewe hapa chini.


Wanakumbi hebu tuendelee kumsoma Nyerere mwenyewe anavyoielezea funga halafu tulinganishe na maneno ya huyu ndugu yetu.
Wanaukumbi hebu chini hapa tujitulize tumsome Nyerere mwenyewe anavyofafanua vizuri kuhusu walivyokuwa wanafunga.

Wanaukumbi nadhani mesoma wenyewe hali ilivyokuwa pamoja na kejeli na dhihaka kutoka kwa hawa ndugu zetu wanaowaita wazee wetu makuli lakini sisi bado tupo nao kama Watanzania wenzetu.
 



JokaKuu,

Nimechungulia ile post yako kwenye Thread fulani humu Jf,ati ukiamrisha na kutaka Wazanzibary woote wajikusanye na mizigo yao uwakute Port/s tayari kwa deportation!?ahaha!!...hata wewe JokaKuu ndugu yangu ni wa kusema yale!?ahaha!!...haina neno ndo mambo ya minakasha.

Hayo mambo ya Utumwa na vile Vita haramu na vya kinafiki vya Uganda,nafikiri kwa sasa tuiyaache ili tusiharibu hii mada...la muhimu turudi kwenye kuthibitisha kwa kina na kiundani "Uchochezi,Ugaidi na Uhaini".

Unasemaje "tulikaribishwa" na Waganda halafu kumaliza "shughuli" tukaondoka!?...kwa legitimacy ipi iliyokuwepo wakti huo hapo Uganda!?

Soote tunajua jinsi gani Nyerere alivyoingilia kiundani internal politics za Uganda.


Nafikiri kuna wakti hata Mzee Jasusi,pia aligusia na kuunga mkono baadhi ya yale nilokua nazungumzia /kuhoji...nina maana uhusiano wa hizo Ugandan gangs na Nyerere.

Nyerere alitumia rasilmali na jasho jingi la nchi yetu maskini, ili kuvilea na wakti huohuo kuvigombanisha vikundi mbalimbali vilivyokua chini ya wale wauaji,mafisadi,majangili, matapeli na "wanae vipenzi" kina Yusuf Kirunde Lule,Godfrey Binaisa,Obote na Yoweri Kaguta.

Tuyaache haya majambo kwa sasa...nakujibu ile bayana yako ya jana nafikiri ndugu yangu punde tu,maana leo nimapata kifursa kiduchu.

Ahsanta sana.
 
Multiple IDs at work...ha haa haa.
ID yangu ni moja tu na ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF. Kwani kosa langu ni nini?

Bado tunamuomba Sheikh Mohamed ajibu hayo maswali yanayohusiana na mapinduzi ya Zanzibar.

Kwani mnaposema huu mjadala unafatiliwa na watu 200,000 unamaanisha nini? Mbuzi au binadamu?

Kama unakubali hao wafatiliaji ni binadamu basi mimi ni mmoja wapo na nipo hapa kujifunza bila kuege
mea upande wowote.

Sheikh Mohamed siye ndugu zako tunasubiria majibu ambayo yatatufanya tutembee kifua mbele kwa kuwa na mwalimu kama wewe. Shukran
 

Al Habiby gombesugu,

Mwenzako mimi tayari nimeishafanya
[h=3] Masna , Nikah Tarime ha ha haaa.[/h]
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…