Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

ID yangu ni moja tu na ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF. Kwani kosa langu ni nini?

Bado tunamuomba Sheikh Mohamed ajibu hayo maswali yanayohusiana na mapinduzi ya Zanzibar.

Kwani mnaposema huu mjadala unafatiliwa na watu 200,000 unamaanisha nini? Mbuzi au binadamu?

Kama unakubali hao wafatiliaji ni binadamu basi mimi ni mmoja wapo na nipo hapa kujifunza bila kuege
mea upande wowote.

Sheikh Mohamed siye ndugu zako tunasubiria majibu ambayo yatatufanya tutembee kifua mbele kwa kuwa na mwalimu kama wewe. Shukran
Umeishawahi kuwasikia kina Idd Tosiri na Mshume Kiyate?
ID yangu ni moja tu na ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF. Kwani kosa langu ni nini?
Kuna mtu kakuuliza au ndiyo wasiwasi ha haah haaa wenyewe.
Kwani mnaposema huu mjadala unafatiliwa na watu 200,000 unamaanisha nini? Mbuzi au binadamu?
Unaseeemaaaaaa?
Kama unakubali hao wafatiliaji ni binadamu basi mimi ni mmoja wapo na nipo hapa kujifunza bila kuege
mea upande wowote.
Ueleweki unasema kisha unajijibu mwenyewe, tulizana chini kunywa glasi moja ya juice Sharbati kisha rudi kwenye ID yako ya zamani tuendelee na mnakasha.
 
JokaKuu,

Nimechungulia ile post yako kwenye Thread fulani humu Jf,ati ukiamrisha na kutaka Wazanzibary woote wajikusanye na mizigo yao uwakute Port/s tayari kwa deportation!?ahaha!!...hata wewe JokaKuu ndugu yangu ni wa kusema yale!?ahaha!!...haina neno ndo mambo ya minakasha.

Hayo mambo ya Utumwa na vile Vita haramu na vya kinafiki vya Uganda,nafikiri kwa sasa tuiyaache ili tusiharibu hii mada...la muhimu turudi kwenye kuthibitisha kwa kina na kiundani "Uchochezi,Ugaidi na Uhaini".

Unasemaje "tulikaribishwa" na Waganda halafu kumaliza "shughuli" tukaondoka!?...kwa legitimacy ipi iliyokuwepo wakti huo hapo Uganda!?

Soote tunajua jinsi gani Nyerere alivyoingilia kiundani internal politics za Uganda.


Nafikiri kuna wakti hata Mzee Jasusi,pia aligusia na kuunga mkono baadhi ya yale nilokua nazungumzia /kuhoji...nina maana uhusiano wa hizo Ugandan gangs na Nyerere.

Nyerere alitumia rasilmali na jasho jingi la nchi yetu maskini, ili kuvilea na wakti huohuo kuvigombanisha vikundi mbalimbali vilivyokua chini ya wale wauaji,mafisadi,majangili, matapeli na "wanae vipenzi" kina Yusuf Kirunde Lule,Godfrey Binaisa,Obote na Yoweri Kaguta.

Tuyaache haya majambo kwa sasa...nakujibu ile bayana yako ya jana nafikiri ndugu yangu punde tu,maana leo nimapata kifursa kiduchu.

Ahsanta sana.
gombesugu,

..hayo ya wa-Znz labda ilikuwa ni jazba tu kutokana na mnakasha ulivyokwenda.

..mimi msimamo wangu ni muungano uvunjwe na tushirikiane kupitia EAC.

..wa-Znz walioko Tanganyika wapewe permanent resident status kwa kipindi maalum na baada ya hapo waamue kuwa raia wa Tanganyika au warudi kwao Zanzibar.

..actually, wa-Znz wanaweza kupata fursa zilizoko Tanganyika kupitia mwamvuli wa East African Community.

..huo ndiyo msimamo wangu, na nimeuelezea sehemu mbalimbali.

..kuhusu Uganda, mimi nadhani Pro.Lule, Godfrey Binaisa, Milton Obote, na Yoweri Museveni, wana afadhali kuliko masultani wa Kiarabu waliouza babu zetu Utumwani.
 
Last edited by a moderator:
GombeSugu,

Sio kweli kama unavyohalalisha kuwa 100% ya Wazanzibar ni Waislamu!

Makanisa yaliyopo Zanzibar unayaweka kundi gani la Wazanzibar?

Yericko,

Kama kawaida yako,umekurupuka tena!ahaha!!

Awali ya yoote ni kuwa; sijasema Waislamu ni 100%...nilisema Waislamu ni almost 100%...nafikiri bado una uwezo wa kuona tafauti hapo!?

Pili kumbuka nilikua nikizungumzia hiyo "khabari ya Muungano Cabinet"...kwa hiyo hizo estimation figures zangu ni halali kabisa...yakusema kuwa Zanzibar wakti huo Waislamu walikua ni almost 100%

Kama nilivyokwishakufahamisha ndugu yangu Yericko,mimi Zanzibar na History yake ni mali yangu kiundani mno.

Pia najua yakuwa Zanzibar hata wakti ilipokua kitovu kikuu cha biashara na maendeleo,bado Waislamu walikua sio 100%; sababu palikua pia na Animists,Hindus,Banyanians,Baluchis,Persians/Zooras and few Jews.

Mwambie huyo Shemegi yangu wa Kizanaki,akupakulie huo utumbo wa mbuzi ule na kupumzika. Achana japo kiduchu na haya mambo ya hapa jamvini/Jf yatakuharibia ndoa..nahisi unapotezea muda wako mwingi hapa jamvini na Shemegi analalamika kwa majirani!

Ahsanta.
 
Barubaru,

Salaam Al Habiby.

Wallahi,kama ulikuwamo ndani ya moyo wangu...maana nami nalitaka kuuliza suali hilo hilo tena kwa kunyambua zaidi.
Lakini haina neno Al Akhiy,sitaki kukuharibia hii shughuli ulomwanzia huyo jamaa yako Mag3.

Hii imbalance ya kwenye first Cabinet,inaashiria yakuwa Nyerere hapo hivyo vyeo/nafasi alikua akitoa kwa kuangalia zaidi Udini. Alisahau yakuwa hiyo nchi alokua akiungana nayo/Zanzibar ni Waislamu almost 100%...nafikiri hii fact huyo Nyerere alii-over look au alifanza kwa makusudi!

Kwa mtu yeyote mwenye maarifa na uelewa,ataangalia hiyo idadi ya Waislamu na Wakristo kutoka upande wa Tanzania Bara/Tanganyika,khalafu utajiuliza hao Waislamu wa Tanganyika wako wapi kwenye ile first Cabinet,mbona uwiano hauleti picha nzuri ya nchi/Taifa linalojinasibisha na u-Secular!?

Lakini najua kuna wale fidhuli wa asili na wajuba watatujibu,yakuwa woote walikua ni Makuli!ahaha!!

Hii hali imewaumiza mno Waislamu wa Tanganyika kwa miaka mingi,maana hizo nafasi zao/vyeo ndo imelazim wapewe/wachukue ndugu zao kutoka Zanzibar.

Katika maandiko/vitabu vyake nafikiri Sheikh Mohammed amejaribu kuelezea kwa kina na kiundani masuala haya,tena kwa ustaarabu mwingi mno.

Nafikri hawa jamaa kila khabari waletayo,ambayo wao hufikiri ni mpya miongoni mwao,hawajui yakuwa ndo wanazidi kujitia mwiba na majiti ya roho, na kusababisha masuali mengine mengi zaidi dhidi yao wao wenyewe.

Kwasisi wengine hizi khabari zoote ni za kawaida na ni za kitambo mno,ndo maana Sheikh Mohammed na nduguze wengine kufikia mpaka kuandika vitabu na kubainisha mengi kwa utuvu wa kitaaluma...mpaka leo ni yupi alotokea kuwajibu kitaaluma,zaidi ya tashtit na kebehi za kitoto!?

Insha Allah tuendelee na mnakasha Al Akhiy.

Ahsanta.

Cc;Ritz
Hapo kwenye "red" inaonesha wazi kwamba kufikiri kwako kumejeruhiwa mno na udini wako! mie nilidhani kwamba taifa la ki-secular viongozi wake wanapatikana kwa uwezo wao, taaluma zao na uadilifu wao na sio dini zao na kwahiyo basi watu wangejikita kuwaangalia hao waliochaguliwa/teuliwa kuwa viongozi kama wanakidhi haja za kiutendaji badala ya kuangalia imani zao wala uwiano wa waislam v/s wakristo!
 
Barubaru,

Salaam Al Habiby.

Wallahi,kama ulikuwamo ndani ya moyo wangu...maana nami nalitaka kuuliza suali hilo hilo tena kwa kunyambua zaidi.
Lakini haina neno Al Akhiy,sitaki kukuharibia hii shughuli ulomwanzia huyo jamaa yako Mag3.

Hii imbalance ya kwenye first Cabinet,inaashiria yakuwa Nyerere hapo hivyo vyeo/nafasi alikua akitoa kwa kuangalia zaidi Udini. Alisahau yakuwa hiyo nchi alokua akiungana nayo/Zanzibar ni Waislamu almost 100%...nafikiri hii fact huyo Nyerere alii-over look au alifanza kwa makusudi!

Kwa mtu yeyote mwenye maarifa na uelewa,ataangalia hiyo idadi ya Waislamu na Wakristo kutoka upande wa Tanzania Bara/Tanganyika,khalafu utajiuliza hao Waislamu wa Tanganyika wako wapi kwenye ile first Cabinet,mbona uwiano hauleti picha nzuri ya nchi/Taifa linalojinasibisha na u-Secular!?

Lakini najua kuna wale fidhuli wa asili na wajuba watatujibu,yakuwa woote walikua ni Makuli!ahaha!!

Hii hali imewaumiza mno Waislamu wa Tanganyika kwa miaka mingi,maana hizo nafasi zao/vyeo ndo imelazim wapewe/wachukue ndugu zao kutoka Zanzibar.

Katika maandiko/vitabu vyake nafikiri Sheikh Mohammed amejaribu kuelezea kwa kina na kiundani masuala haya,tena kwa ustaarabu mwingi mno.

Nafikri hawa jamaa kila khabari waletayo,ambayo wao hufikiri ni mpya miongoni mwao,hawajui yakuwa ndo wanazidi kujitia mwiba na majiti ya roho, na kusababisha masuali mengine mengi zaidi dhidi yao wao wenyewe.

Kwasisi wengine hizi khabari zoote ni za kawaida na ni za kitambo mno,ndo maana Sheikh Mohammed na nduguze wengine kufikia mpaka kuandika vitabu na kubainisha mengi kwa utuvu wa kitaaluma...mpaka leo ni yupi alotokea kuwajibu kitaaluma,zaidi ya tashtit na kebehi za kitoto!?

Insha Allah tuendelee na mnakasha Al Akhiy.

Ahsanta.

Cc;Ritz
gombesugu,

..siku moja Barubaru "alichoropokwa" na kauli, akakiri kwamba alipokuwa mtumishi wa serikali ya muungano alishuhudia Waislamu wa-Tanganyika wenye qualifications nzuri tu, wakinyimwa nafasi serikalini, kwasababu nafasi hizo walikuwa wakipewa wa-Zanzibari tena wenye qualifications ndogo.

..majuzi Raisi Kikwete ameteua Mzanzibari asiyekuwa na shahada ya chuo kikuu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa!! Binafsi naamini kuna Waislamu wengi tu huku Tanganyika ambao wako well qualified kushika nafasi hiyo.

cc: Nguruvi3, Jasusi, Ritz, Wickama, Kadogoo
 
Last edited by a moderator:
Umeishawahi kuwasikia kina Idd Tosiri na Mshume Kiyate?

Kuna mtu kakuuliza au ndiyo wasiwasi ha haah haaa wenyewe.

Unaseeemaaaaaa?

Ueleweki unasema kisha unajijibu mwenyewe, tulizana chini kunywa glasi moja ya juice Sharbati kisha rudi kwenye ID yako ya zamani tuendelee na mnakasha.
Kwahiyo mgeni yeyote atakaejiunga na mjadala huu na kumuuliza maswali ya muhimu Sheikh Said inakuwa ni kosa?

Sisi wengine tumesoma mjadala huu sasa ni mwezi wa 4. Hao wakina Tosiri unaoniambia nimewasoma wote kupitia Sheikh Mohamed Saidi. Pia nakuomba unianikie hapa jamvini hiyo ID yangu ya zamani. Shukran
 
Shukran;

Nimeishia kuwasoma several fathers of that surname. Haina tatizo thanks whatever the nia was. Baada ya hapo sina nalo lalamikia. wewe ndiye uliyetaka kujua masuala ya Geneva convention yanakuja vipi. Mtiririko ni kama huo. Hakuna lawama humo. Kulikuwa na mapengo ambayo yametumika kutukana watu for so long. It is strange sasa simple questions zinaleta ukimya. Ama kuhusu opinion yako kuhusu content ya maelezo hayo ni haki yako na wala humuudhi mtu.

Connection NA JIKICHWA LA HABARI; ni kuwa ukimuita Nyerere KAVAMIA Zenj maana yake ni kuwa ASP pia walivamiwa, maanake wao sio watanganyika. Ukigwaya kuwaita ASP wavamizi (kwao) kwa vile walimwomba Nyerere msaada, Ni kuwa UNAJIZUIA kuwaita WASALITI. MBELE YA SAFARI UTAJA WAITA WASALITI. NI SUALA LA LINI. Na unapolalama majukwaani kuwa JAMANI huyu ndiye aliyewasaidia bila ya KULALAMIKA PIA KWANINI ASP HAMKUBAKI KWENYE DHULMA ILIYOWAFANYA WAPINDUE ni kwamba wewe ni mchochezi. Link iko hapo.

Ndipo Yericko alipoaanzia UZI HUU.

Inabidi nikuongezee hint, "Kit Cunningham, Soni Tanzania."

Sasa pia unawapata wengi?

"Unguja ni njema atakae na aje!" umeshawahi yasikia hayo?

Jee, umeshawahi msikia Tosiri?
 
gombesugu,

..siku moja Barubaru "alichoropokwa" na kauli, akakiri kwamba alipokuwa mtumishi wa serikali ya muungano alishuhudia Waislamu wa-Tanganyika wenye qualifications nzuri tu, wakinyimwa nafasi serikalini, kwasababu nafasi hizo walikuwa wakipewa wa-Zanzibari tena wenye qualifications ndogo.

..majuzi Raisi Kikwete ameteua Mzanzibari asiyekuwa na shahada ya chuo kikuu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa!! Binafsi naamini kuna Waislamu wengi tu huku Tanganyika ambao wako well qualified kushika nafasi hiyo.

cc: Nguruvi3, Jasusi, Ritz, Wickama, Kadogoo

Huo ndio ushahidi wako wa jikichwa la habari?
 
gombesugu,

..hayo ya wa-Znz labda ilikuwa ni jazba tu kutokana na mnakasha ulivyokwenda.

..mimi msimamo wangu ni muungano uvunjwe na tushirikiane kupitia EAC.

..wa-Znz walioko Tanganyika wapewe permanent resident status kwa kipindi maalum na baada ya hapo waamue kuwa raia wa Tanganyika au warudi kwao Zanzibar.

..actually, wa-Znz wanaweza kupata fursa zilizoko Tanganyika kupitia mwamvuli wa East African Community.

..huo ndiyo msimamo wangu, na nimeuelezea sehemu mbalimbali.

..kuhusu Uganda, mimi nadhani Pro.Lule, Godfrey Binaisa, Milton Obote, na Yoweri Museveni, wana afadhali kuliko masultani wa Kiarabu waliouza babu zetu Utumwani.
Sio kuwauza tu pia waliwatumikisha kwenye mashamba yao ya karafuu na minazi hapo hapo visiwani!
 
gombesugu,

..hayo ya wa-Znz labda ilikuwa ni jazba tu kutokana na mnakasha ulivyokwenda.

..mimi msimamo wangu ni muungano uvunjwe na tushirikiane kupitia EAC.

..wa-Znz walioko Tanganyika wapewe permanent resident status kwa kipindi maalum na baada ya hapo waamue kuwa raia wa Tanganyika au warudi kwao Zanzibar.

..actually, wa-Znz wanaweza kupata fursa zilizoko Tanganyika kupitia mwamvuli wa East African Community.

..huo ndiyo msimamo wangu, na nimeuelezea sehemu mbalimbali.

..kuhusu Uganda, mimi nadhani Pro.Lule, Godfrey Binaisa, Milton Obote, na Yoweri Museveni, wana afadhali kuliko masultani wa Kiarabu waliouza babu zetu Utumwani.


JokaKuu,

Kumbuka huyohuyo Nguruvi3,alokutilia "LIKE"...yeye ndo mara nyingi husisitiza yakuwa "Muhuni aitwe Muhuni tu",akiwa na maana hakuna muhuni mzuri au muhuni mwenye afadhali!

Kumbuka wakti nafanya majadilano fulani hapa jamvini na Nguruvi3;yeye alileta story za Alhaj Rukara,lakini wakti na mimi nilipojaribu "kushusha matambara" ya Prof. Lwakabamba...Nguruvi3,aliwaka mno,na kunisema huku akistaajabu yakuwa kwanini ndugu yangu Gombesugu una-justify "uhuni"/unyama wa mtu fulani kwa kuonyesha "uhuni" wa mtu mwingine!?

Ama kwa hakika kama dasturi yangu nilimstahi mno na tukamalizana nae kiustaarabu kama dasturi yangu. Kwa kifupi hii yaonyesha hizo hypocrisy zenu nyingi mno hapa jamvini!?

Sasa wewe vipi ule ushenzi,unyama,mauwaji,ubakaji,vitisho,utumwa, dhuluma,mateso na mengineyo mengi mno yalofanzwa na Kabaka kwa Waganda wenzie,pia na kina Shaka Zulu,Monomutapa na Wale Freed Slaves/Afrikan Amerikans kwa wale Natives/Afrikans ndugu zao wa damu pale Liberia!?

Kwa hiyo wewe yale mauaji/atrocities za kina Yoweri Kaguta na Obote kwa wale wa-Uganda wenzao/ndugu zao unaona ni sawa kwasababu walifanyiana wenyewe kwa wenyewe/watu weusi!?ahaha!!

Kumbuka hizo atrocities kuna very reputable International Organisations walisema zilikua ni Genocides!?


Lakini hivi sasa naelewa wafuasi woote wa Muheshimiwa Nguruvi3,mtahalalisha au kupenda kisichopendeka ili tu ati kumshinda Sheikh Mohammed Said!?ahaha!!

Kumbukeni hapa jamvini pia reputations na dignity zenu zipo matatani na kuna watu/wenzenu wengi wanakuchungulieni kwa utuvu.

Ahsanta.
 
gombesugu,

..siku moja Barubaru "alichoropokwa" na kauli, akakiri kwamba alipokuwa mtumishi wa serikali ya muungano alishuhudia Waislamu wa-Tanganyika wenye qualifications nzuri tu, wakinyimwa nafasi serikalini, kwasababu nafasi hizo walikuwa wakipewa wa-Zanzibari tena wenye qualifications ndogo.

..majuzi Raisi Kikwete ameteua Mzanzibari asiyekuwa na shahada ya chuo kikuu kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa!! Binafsi naamini kuna Waislamu wengi tu huku Tanganyika ambao wako well qualified kushika nafasi hiyo.

cc: Nguruvi3, Jasusi, Ritz, Wickama, Kadogoo


JokaKuu,

Niwie radhi hapo mie nitashindwa kutia neno...kama nilivyowahi kunena awali hapa jamvini; yakuwa yatendekayo sasa hapo nyumbani/Local politics mie sizijui au kuzifahamu kwa mapana.

Najua utanisamehe kwa kukosa jawaba kwalo.

Ahsanta sana ndugu yangu JokaKuu.
 
gombesugu,

..sijakanusha kwamba Obote na Museveni committed atrocities against their own ppl.

..swali langu ni dogo tu: Je, atrocities hizo unaweza kuziweka daraja moja na biashara ya utumwa, na kuwatumikisha watumwa, kulikofanywa na masultani wa Znz na watawala wao??

..je, katika mkutano wako na Sultani Jamshid, mmeshapata kulizungumza suala la historia ya UTUMWA na UBAGUZI WA RANGI??



.
 
Last edited by a moderator:
Mzee bahati mbaya sana ,mimi ni mmojawapo wa watu ambao hupata sana shida kupata kitabu chenye maana ktk waandishi wa kitanzania hasa Historia na Political science.So sidhani km hiyo inaweza kuwa CV mbele yangu.

Nadhani unazi wewe ndio unao halafu mbaya unazunguka ktk logic fulani ambazo si rational.Yaani..kwanza mnaanza shambulia upande wa pili kwa kusema kirahisi tuu kuwa haelewi wewe ndio unaelewa, baadae mnawaita wanazi...ikianza kuwa ngumu mnahamia ktk kutafuta cha kuita tusi ili uanze deka na kujifanya ni kubwa sana,na hivyo upande wa pili uonekane na kujisikia kuwa mkosefu.Hii si fairness na ni very irresponsible...Kadiri unavyoona unakosa majibu ya msingi ni kipindi chako wewe kujiuliza kama unachoamini au kutetea kina uzito hivyo.

Nigefuarahi km utajibu hoja na kuacha mikwara ya vijiweni......watu wasio waaminifu km nyie ndio mmepotosha sana historia, na kujifunika ktk pazia la heshima na umaarufu.Wengine sisi sijui mtataka waita hawana adabu ili mjifiche ugumu wa hoja usiwe juu yenu..yaani huwa watuogopeshwi na idadi ya vitabu...vitabu vinaandikwa tuu.Nyambari Nyangwine wao huwa authur,editor na critique,book reviewers.Mmeposha na kujipotosha sana.Sijui kwa faida ya nani.Dini?Dini yenye waumini wasio kipaumbele?Km waumini wangekuwa kipaumbele basi ungewatendea haki kwa kuwaandikia ukweli kwa akili zako zote na ufundi wako wote.

Napata huruma km baada ya hii thread kufika mwisho km utakuwa na ujasiri wa kuandika kitabu kingine na ukitangaze kwa nguvu zote zaidi ya vile vingine,ili watu wasome..na kujua kuwa Historia yako si halisi ila ni zao la fikra na unazi wako.

Ni human pscyhology kuandika ujinga au upotoshaji,halafu baadaye waliowapotosha wakiwa na imani kubwa basi nao huanza polepole kushindwa tofautisha huo uongo na ukweli.Baaday huamua kuamini na yeye.


Haya maradhwi makubwa sana mnayougua wewe na jamaa zako,

Kwa lugh ya kitalaam tunayaita (D.I i.e DEDICATED IGNORANCE), MEANS COMMITTED TO BEING UNAWARE OR UNINFORMED ABOUT SOMETHING...

Sababu tuh ya kuamua kujitiisha kiburi nafsin kwa kukusudia,polen sana...
 
Wanajamvi, hapa chini nawakumbusha tu kuhusu serikali aliyoiunda Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliofuatia mapinduzi yaliyoutimua utawala wa Kisultani visiwani. Baraza la Mawaziri lililoundwa lilikuwa na wafuatao.

nyerere+baraza+la+mwaziri.jpg



  1. Mwalimu Julius Nyerere (Christian): President
  2. Abeid Karume (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Vice President and Minister responsible for Zanzibar affairs.
  3. Rashidi Kawawa (Muslim): 2[SUP]nd [/SUP]Vice President and Minister of Defence and National Service.
  4. Nsilo Swai (Christian): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the President’s Office.
  5. Abdulrahman Babu (Arab & Muslim): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the President’s Office.
  6. Amir H. Jamal (Indian & Hinduist) 3[SUP]rd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidet’s Office.
  7. Aboud Jumbe (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 1[SUP]st[/SUP] Vice President’s Office.
  8. Lawi Sijaona (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice President’s Office.
  9. Bhoke Munanka (Christian): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice President’s Office.
  10. Said Maswanya (Muslim): Minister of Agriculture, forests and Animal Husbandry.
  11. Jeremiah Kasambala (Christian): Minister of Commerce and Cooperatives.
  12. George Kahama (Christian): Minister of Transport and Buildings.
  13. Paul Bomani (Christian): Minister of Finance.
  14. Oscar Kambona (Christian): Minister of Foreign Affairs.
  15. Job Lusinde (Christian): Minister of Internal Affairs.
  16. Tewa Said Tewa (Muslim): Minister of Lands, Settlement and Water.
  17. Kassim Hanga (Muslim): Minister of Industries and Mines.
  18. Solomon Eliufoo (Christian): Minister of Education.
  19. Derel Brycesson (British & Christian): Minister of Health.
  20. Michael Kamaliza (Christian): Minister of Labour.
  21. Amri Abeid (Muslim) Minister of development and Culture.
  22. Austin Shaba (Christian): Minister of Housing and Local Government.
  23. Hasan Moyo (Muslim): Minister of Law.
  24. Idris Abdulwakil (Muslim) Minister of Information and Tourism.

Wanajamvi wapendwa wakati huo Mwalimu alipendwa kikweli kweli na Watanzania wote bila kujali dini zao, rangi zao wala kabila zao...sura kwenye hili Baraza la Mawaziri mwaka 1964 ni ushahidi tosha kwamba Watanzania hawakubaguliwa wala kubaguana katika misingi yoyote ile. Mapokezi aliyokuwa anayapata Mwalimu kila alipofanya ziara visiwani hayakuwahi kuwa na mfanowe katika historia ya Zanzibar. Kama alikuwepo Mtanzania mwenye dukuduku lolote ni wale Waislaam wachache walioshindwa kuwashawishi Waislaam wenzao kuwaunga mkono hata kabla ya uhuru walipoanzisha chama cha AMNUT mwaka 1958.

Huu uchochezi tunaoushuhudia hivi leo ulikuja kujitokeza muda mfupi baadaye kutokana na chuki za baadhi ya wazee waliokataliwa katika hila zao za kutwaa madaraka kwa kupitia mgongo wa dini. Njama zilianza kufanyika kutaka kuvuruga umoja wa Watanzania kwa kupandikiza mbegu ya chuki ambayo hadi leo mtoto wa mmoja wa wazee hawa anaiendeleza kama tunavyoshuhudia ndani ya mnakasha huu. Swali la kujiuliza ni hili; hivi hawa Waislaam waliokuwa ndani ya hilo Baraza la Mawaziri kuanzia makamu wawili wa Raisi hadi Waziri wa Sheria walikuwa ni wasaliti kwa wananchi wa Zanzibar na Uislaam?

Je Abeid Karume, Abdulrahman Babu, Kassim Hanga, Amri Abed, Aboud Jumbe, Hasssan Moyo na Idris Abduwakil walikuwa ni wasaliti visiwani Zanzibar? Je Wazanzibari wanayathamini mapinduzi yaliyowaweka hawa madarakani? Je, kwa msingi wa madai ya wachochezi kama Mohamed Said, mapinduzi ya mwaka 1964 yalikuwa haramu? Je Waislam wa bara na visiwani wanawaona hawa kama wasaliti katika Uislaam? Je katika msingi huop huo viongozi wote wa juu wa Jamhuri ya Tanzania ambao wote ni Waislaam, kulingana na uchochezi unaoendelea ni wasaliti katika Uislaam? Je Kikwete, Dr. Bilal, Dr. Shein na Shariff ni wasaliti wa Uislaam?

Roman Catholics wangapi na wengineo wangapi kati ya wakiristo?
 
Mwanakijiji&Co,

Tafadhalini saana,sisi ndo tupo hapa takriban nusu ya mwaka kukutakeni mtuthibitishie tuhuma zenu nyingi za kitoto na za uchochezi kama hizi, kwa chuki mlizonazo dhidi ya Scholar/Historian Sheikh Mohammed Said.


Mwanakijiji,
nakuhakikishia/tunakuhakikishia yakuwa tuhuma hizi nzito dhidi ya ndugu yetu;kama utashindwa/umeshindwa kuzithibitisha inakulazim urejee tena hapa Jf/Jamvini kumtaka radhi kimaandishi Sheikh Mohammed.

Najua/tunajua una "matatizo fulani" huko uliko,lakini taratibu na uwezo wa kukufikishia summons upo na tunao;ili wewe sasa tukurejeshe kinguvu hapo D'Salaam ili uje kujibu tuhuma za uchochezi!!...

Natumai unatufahamu/unanifahamu kwa makini nina maanisha nini!?...usitulazimishe "tufunguke"/tumwage vitu vyako vingine hapa jamvini!...natumai unanisikia na kunifahamu kwa makini!?

Cc;Ritz,The Big Show,Sheikh Mohammed Said

Attention seeker at work, kasome tena taratibu za JF na si kutishia watu kitototo, yaani wewe hamu yako ni kujibizana na mkjj wakati uwezo na intellect hiyo huna. Naona burudani na vijana wenzio wa mzee Said imeshakuboa sasa ili eti na wewe uonekane mjenga hoja basi inabidi ulazimishe kubishana na mkjj kwa vitisho, that is just too low and cheap kajipange upya!
 
gombesugu,

..sijakanusha kwamba Obote na Museveni committed atrocities against their own ppl.

..swali langu ni dogo tu: Je, atrocities hizo unaweza kuziweka daraja moja na biashara ya utumwa, na kuwatumikisha watumwa, kulikofanywa na masultani wa Znz na watawala wao??

..je, katika mkutano wako na Sultani Jamshid, mmeshapata kulizungumza suala la historia ya UTUMWA na UBAGUZI WA RANGI??
.


JokaKuu,

Mbona wale kina Shakazulu,Monomotapa,Freed slaves in Liberia na nduguyo Kabaka,hutaki/hupendi kuwazungumzia!?ahaha!!

Point/hoja yangu ni kuwa Uhuni/unyama ni unyama tu...hakuna cha upi mtamu/mdogo na upi ni mkubwa!?

Wakti Sultan Jamshid anatawala Zanzibar,kulikua hakuna Utumwa,wacheni/punguzeni propaganda hizo..someni History ya Zanzibar kwa makini!

Hivi hujui yakuwa Zanzibar hiyo 1961-1964...mbona kuna "Watu weusi" wengi tu walikua matajiri/wanajimudu hata kuliko hao "Waarabu"!? Tena walikua wakisafiri nje za nchi na kufanza mambo mengine mengi kama raia yeyote yule wa kawaida wa Zanzibar wakti ule!?

Nafikiri na kuna ushahidi wa kutosha kuonyesha yakuwa ilokuwepo pale ni ile Class Struggle and/or Political Struggle,kama ambayo ipo pahala pengi mno duniani.

Kumbuka kuna Waarabu wengi tu ambao nao pia walikua ni maskini wa kutupwa,na walikuwa wakifanza kazi kwa hao "Watu weusi".

Ahsanta.
 
Kwahiyo mgeni yeyote atakaejiunga na mjadala huu na kumuuliza maswali ya muhimu Sheikh Said inakuwa ni kosa?

Sisi wengine tumesoma mjadala huu sasa ni mwezi wa 4. Hao wakina Tosiri unaoniambia nimewasoma wote kupitia Sheikh Mohamed Saidi. Pia nakuomba unianikie hapa jamvini hiyo ID yangu ya zamani. Shukran

Wala hakuna makosa yeyote wewe kuuliza swali nadhani ujumbe wangu umeupata nakuacha na maneno machache yenye hikma ndani yake.


"Gharama ya uhuru ni kifo"
 
Attention seeker at work, kasome tena taratibu za JF na si kutishia watu kitototo, yaani wewe hamu yako ni kujibizana na mkjj wakati uwezo na intellect hiyo huna. Naona burudani na vijana wenzio wa mzee Said imeshakuboa sasa ili eti na wewe uonekane mjenga hoja basi inabidi ulazimishe kubishana na mkjj kwa vitisho, that is just too low and cheap kajipange upya!

Cool,

Kwani Mwanakijiji ni nani na ana nini cha ajambo ambacho watu wasiweze kujadiliana naye, watu wengine bana.

Nyie wafuasi wa Chadema ndiyo mnambabaikia Mwanakijiji kawashikia akili zenu mpaka mnatia huruma mtu yupo Marekani lakini anawandesha nyie ambao mpo Tanzanani.
 
Back
Top Bottom