Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Attention seeker at work, kasome tena taratibu za JF na si kutishia watu kitototo, yaani wewe hamu yako ni kujibizana na mkjj wakati uwezo na intellect hiyo huna. Naona burudani na vijana wenzio wa mzee Said imeshakuboa sasa ili eti na wewe uonekane mjenga hoja basi inabidi ulazimishe kubishana na mkjj kwa vitisho, that is just too low and cheap kajipange upya!

If I was a bird,I know who I'd shit on!
 
Wanajamvi, hapa chini nawakumbusha tu kuhusu serikali aliyoiunda Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliofuatia mapinduzi yaliyoutimua utawala wa Kisultani visiwani. Baraza la Mawaziri lililoundwa lilikuwa na wafuatao.

nyerere+baraza+la+mwaziri.jpg



  1. Mwalimu Julius Nyerere (Christian): President
  2. Abeid Karume (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Vice President and Minister responsible for Zanzibar affairs.
  3. Rashidi Kawawa (Muslim): 2[SUP]nd [/SUP]Vice President and Minister of Defence and National Service.
  4. Nsilo Swai (Christian): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the President’s Office.
  5. Abdulrahman Babu (Arab & Muslim): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the President’s Office.
  6. Amir H. Jamal (Indian & Hinduist) 3[SUP]rd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidet’s Office.
  7. Aboud Jumbe (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 1[SUP]st[/SUP] Vice President’s Office.
  8. Lawi Sijaona (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice President’s Office.
  9. Bhoke Munanka (Christian): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice President’s Office.
  10. Said Maswanya (Muslim): Minister of Agriculture, forests and Animal Husbandry.
  11. Jeremiah Kasambala (Christian): Minister of Commerce and Cooperatives.
  12. George Kahama (Christian): Minister of Transport and Buildings.
  13. Paul Bomani (Christian): Minister of Finance.
  14. Oscar Kambona (Christian): Minister of Foreign Affairs.
  15. Job Lusinde (Christian): Minister of Internal Affairs.
  16. Tewa Said Tewa (Muslim): Minister of Lands, Settlement and Water.
  17. Kassim Hanga (Muslim): Minister of Industries and Mines.
  18. Solomon Eliufoo (Christian): Minister of Education.
  19. Derel Brycesson (British & Christian): Minister of Health.
  20. Michael Kamaliza (Christian): Minister of Labour.
  21. Amri Abeid (Muslim) Minister of development and Culture.
  22. Austin Shaba (Christian): Minister of Housing and Local Government.
  23. Hasan Moyo (Muslim): Minister of Law.
  24. Idris Abdulwakil (Muslim) Minister of Information and Tourism.

Wanajamvi wapendwa wakati huo Mwalimu alipendwa kikweli kweli na Watanzania wote bila kujali dini zao, rangi zao wala kabila zao...sura kwenye hili Baraza la Mawaziri mwaka 1964 ni ushahidi tosha kwamba Watanzania hawakubaguliwa wala kubaguana katika misingi yoyote ile. Mapokezi aliyokuwa anayapata Mwalimu kila alipofanya ziara visiwani hayakuwahi kuwa na mfanowe katika historia ya Zanzibar. Kama alikuwepo Mtanzania mwenye dukuduku lolote ni wale Waislaam wachache walioshindwa kuwashawishi Waislaam wenzao kuwaunga mkono hata kabla ya uhuru walipoanzisha chama cha AMNUT mwaka 1958.

Huu uchochezi tunaoushuhudia hivi leo ulikuja kujitokeza muda mfupi baadaye kutokana na chuki za baadhi ya wazee waliokataliwa katika hila zao za kutwaa madaraka kwa kupitia mgongo wa dini. Njama zilianza kufanyika kutaka kuvuruga umoja wa Watanzania kwa kupandikiza mbegu ya chuki ambayo hadi leo mtoto wa mmoja wa wazee hawa anaiendeleza kama tunavyoshuhudia ndani ya mnakasha huu. Swali la kujiuliza ni hili; hivi hawa Waislaam waliokuwa ndani ya hilo Baraza la Mawaziri kuanzia makamu wawili wa Raisi hadi Waziri wa Sheria walikuwa ni wasaliti kwa wananchi wa Zanzibar na Uislaam?

Je Abeid Karume, Abdulrahman Babu, Kassim Hanga, Amri Abed, Aboud Jumbe, Hasssan Moyo na Idris Abduwakil walikuwa ni wasaliti visiwani Zanzibar? Je Wazanzibari wanayathamini mapinduzi yaliyowaweka hawa madarakani? Je, kwa msingi wa madai ya wachochezi kama Mohamed Said, mapinduzi ya mwaka 1964 yalikuwa haramu? Je Waislam wa bara na visiwani wanawaona hawa kama wasaliti katika Uislaam? Je katika msingi huop huo viongozi wote wa juu wa Jamhuri ya Tanzania ambao wote ni Waislaam, kulingana na uchochezi unaoendelea ni wasaliti katika Uislaam? Je Kikwete, Dr. Bilal, Dr. Shein na Shariff ni wasaliti wa Uislaam?



Aibu kubwa hii,kujaribu kutumia hata takwimu za uongo ili kufanikisha mission yenu..!!

Aibu tena ya hali ya juu,hadi kufikia kuongeza idadi ya watu waonekane kuwa ni muslims ili muweze kushinda mapambano haya,laiti kama angaliandika Moh Said hapa bango lingeshikwa usiku kucha,

Nani kakuambia LAWI SIJAONA ALIKUWA MUSLIM???


Ukweli wa mambo kila mwenye akili zake timamu anajionea humu ndani,na wenye mission zao pia wanakamatika waz waz...
 
Cool,

Kwani Mwanakijiji ni nani na ana nini cha ajambo ambacho watu wasiweze kujadiliana naye, watu wengine bana.

Nyie wafuasi wa Chadema ndiyo mnambabaikia Mwanakijiji kawashikia akili zenu mpaka mnatia huruma mtu yupo Marekani lakini anawandesha nyie ambao mpo Tanzanani.

Shariff Ritz,

Achana nae huyo jamaa Al Akhiy...itakua ana stress za maisha tu na hasira zake atatumalizia sisi.

Publicity alokua ana hamu nayo tushampa...mpuuze la sivyo italazim tumjibu/tumnyoshee maneno, halafu kama kawaida yao wataita wale jamaa zao kina Mods na Invisble!ahaha!!

Tuendelee na mnakasha Shariff.

Ahsanta.
 
Cool,

Kwani Mwanakijiji ni nani na ana nini cha ajambo ambacho watu wasiweze kujadiliana naye, watu wengine bana.

Nyie wafuasi wa Chadema ndiyo mnambabaikia Mwanakijiji kawashikia akili zenu mpaka mnatia huruma mtu yupo Marekani lakini anawandesha nyie ambao mpo Tanzanani.

Humu JF unapimwa kwa hoja na si una nini? Kwa mfano mpaka hapa mtu akisoma nilichoandika na ulichoandika moja kwa moja atagundua wewe ni zezeta na retard. Mambo ya Chadema yameingiaje? wewe unafahamu mim niko wapi? zezeta2. Kwa udhaifu wa hoja zenu mnafikiri eti mkijadiliana na mkjiji basi mtaoyesa jinsi gani mnaelewa mambo ndio maana hamuishi ulimbukeni. Jf ni hoja kwa hoja na si viroja. Mtu kaamua zake kupumzika na wewe kama umechoka pumzika. Hili si jukwaa la kutafuta mabwana.
 
"Mtu kaamua zake kupumzika na wewe kama umechoa pumzika. Hili si jukwaa la kutafuta mabwana. ------- SPOT ON
 
Hapana ustaadh, kama ningekuwa nataka kujiunga na dini basi leo hii ningekuwa muislam kwani mama yangu ni muislam!


Gwalihenzi,

Hiyo ni very cheap excuse unatumia hapo...

Kama kweli Mama yako ni "Muislamu" kama unavyodai,sasa kwanini unaitukana na kuidhalilisha "Dini ya Mzazi" wako kila kukicha,hata kama huiamini!?

Huoni yakuwa unamsononesha Mzazi/Mama yako kupita kiasi,unajuaje labda nayeye pia ni Member hapa jamvini na anaona na kushuhudia zile kashfa na matusi yako kwa Uislamu!?

Jaribu kupitia Posts zako zoote za awali hapa Jamvini,halafu kaa chini utulie na utumie busara zako kwa makini huku ukimhurumia Mama yako alokuzaa kama ulivyotujuza.

Najua utarejea na matusi mengi mno,kwa hiyo inanilazim nikusamehe in advance.

Ahsanta.

Cc;Boko Haram
 
Wala hakuna makosa yeyote wewe kuuliza swali nadhani ujumbe wangu umeupata nakuacha na maneno machache yenye hikma ndani yake.


"Gharama ya uhuru ni kifo"
Sijapata ujumbe wowote kutoka kwako zaidi ya vijembe tu. bado namsubiria Sheikh Said aje kujibu hoja za mapinduzi ya Zanzibar kutoka kwa Bwana Nguruvi3.

Na mimi nakuacha na swali moja tu: Mara nyingi nikusomapo hapa jamvini unalalamika kuwa Waislaam tumeonewa sana toka uhuru na aliyesababisha haya yote ni hayati Mwalimu Nyerere na maranyingi unasema kuwa hii inchi inaendeshwa na mfumo kristo ambao viongozi wake wote ni CCM au wametokana au kupitia CCM. Alafu wewe huyohuyo ndiye mtetezi na mshabiki mkubwa sana wa CCM ambao wamesababisha sisi waislaam tunaishi maisha ya daraja la nne(refer to Lipumba)ndani ya nchi yetu. Hivi huoni kuwa wewe kaka sijui Baba ni mnafiki sana?
 
kiingereza ya std 6 bongo inatuambia if I were not If I was? Ni vema ukatumia lugha uliyoizoea, aywayz I have alwayz bn a bear go figure!

You are just another Idiot and You know that...You need to grow up!

Wanajamvi,forgive the rumblings but this piece of shit makes me sick!
 
Haitoshi Akaamua hadi kumchukua na LAWI SIJAONA Na kumtamkisha shahada hali ya kuwa anajua fika huyo ni Mgalatia mwenzake...!!
Kaazi kweli,kweli...
gombesugu likes this.
Swali moja tu kwako gombesugu, kwa nini umempa like THE BIG SHOW? Kwa hiyo unakubaliana naye! I thought for one moment that you were better than this; If you preachee preachee, if you prayee prayee but not preachee prayee! Ha, ha, ha, haaa...mbavu zangu!
 
You are just another Idiot and You know that...You need to grow up!

Wanajamvi,forgive the rumblings but this piece of shit makes me sick!

u r the one who need to grow up. With ya cheap attention seeking attitude. You need to man up bro! Hoja si viroja hahahahaha ahahaha! Naona kama kawaida jasiri haachi asili inaonekana wewe matusi matusi jadi yako ahahah! hiyo utawapata wenzio huko.
 
Swali moja tu kwako gombesugu, kwa nini umempa like THE BIG SHOW? Kwa hiyo unakubaliana naye! I thought for one moment that you were better than this; If you preachee preachee, if you prayee prayee but not preachee prayee! Ha, ha, ha, haaa...mbavu zangu!

Muheshimiwa Mag3,

Mbona tena unaanza kufuatilia mpaka "LIKE" zangu...au ndo mnakasha na hoja zimeanza kuisha hapa jamvini ndugu yangu!?ahah!!

Kumbuka wewe kuna wengine wengi tu unawapa LIKE hata kwa kutukana au kutoa kebehi!?

Tafadhali nakusihi tuendelee na mnakasha ndugu yangu.

Ahsanta.
 
Swali moja tu kwako gombesugu, kwa nini umempa like THE BIG SHOW? Kwa hiyo unakubaliana naye! I thought for one moment that you were better than this; If you preachee preachee, if you prayee prayee but not preachee prayee! Ha, ha, ha, haaa...mbavu zangu!

It is just simple bcoz this guy doesn't have the manners, intellect , class and wisdom as he always pretended to be. He's just another hack and in here huwa haichukui muda unajulikana tu hahahahahaha!
 
Haya maradhwi makubwa sana mnayougua wewe na jamaa zako,

Kwa lugh ya kitalaam tunayaita (D.I i.e DEDICATED IGNORANCE), MEANS COMMITTED TO BEING UNAWARE OR UNINFORMED ABOUT SOMETHING...

Sababu tuh ya kuamua kujitiisha kiburi nafsin kwa kukusudia,polen sana...

Najaribu tafuta kwa darubini wapi umejibu hoja...sipata.
 
Gombesugu,

Mtikila, Mtikila, Mtikila...
Hebu Insha Allah angalia haya hapa chini:

Soon opposition to Mwinyi's rule within his cabinet and ruling party, the Chama Cha Mapinduzi (CCM) surfaced into the open. Joining in this anti - Mwinyi anti Muslim campaign was the newly established free press controlled by the Christian lobby.

In the Christian camp one person who was been able to unite all Christians in their subtle opposition to Mwinyi was the self proclaimed Reverend Christopher Mtikila, Head of Full Salvation Church and Chairman of Democratic Party. [1] In a daring and dramatic encroachment of the Church into politics, the Tanzania Press Club hosted Reverend Christopher Mtikila.

In that press luncheon of the Tanzania Press Club Mtikila attacked Mwinyi's government as being corrupt echoing Nyerere's speech delivered in February that year. [2]

Mtikila was not a new name in this anti- Mwinyi campaign. In 1987 during the CCM-NEC conference in Dodoma he distributed a document, which among many allegations to Mwinyi he accused him of supporting “Muslim fundamentalism”[3] and slotting Muslims into important positions in his government.

In reality Muslim cabinet ministers were negligible and Muslim principle secretaries non-existing. Mwinyi like his predecessor Julius Nyerere ignored Muslims’ call for rectifying this imbalance.

The Church should have raised to condemn Reverend Mtikila but it did not do so instead Catholic Bishops of Tanzania through the Tanzania Episcopal Conference (TEC) began to issue what came to be known as‘Pastoral Letters’which were very critical of Mwinyi's rule accusing his government of every ill in the country from incompetence to corruption.[4]

Nyerere also joined in attacking Mwinyi accusing him of religious bigotry. [5]

The Pastoral Letters and Nyerere’s views were echoed by the media and state-radio.

The Pastoral Letters were the last straw, which broke the camel's back.

It was now evident that the Catholic Church was mixing politics with religion to the detriment of the state, the aim which was to destabilise President Mwinyi and undermine his confidence.

During the struggle for independence when Muslims were in control of politics they never allowed Nyerere to be humbled by dissident Muslims. Sheikhs always rose up in unison to defend and protect the political system from religious sentiments.

Such patriotism was not forthcoming from neither from the Church or from Nyerere.

President Mwinyi did not help the situation because whenever he talked about the problem of religious conflict in the country, his speeches were vague, middle of the road type.

He eluded pointing at the source of the problem for fear of aggravating the already volatile situation even further.[6]

The government paper would report a typical speech by Mwinyi that he has declared war on agitators and the disgruntled. It would be reported that those ‘few misguided’ would not be allowed to divide the nation along religious lines.[7]

And by the ‘agitators’ and the ‘disgruntled’ Mwinyi meant Muslims.

On the other hand Muslims insisted that the agitation against the Christian dominated government was not directed towards Christianity nor were Muslims struggling to establish ‘sharia’ in Tanzania.

However the problem of religious conflicts was treated as a case of few misguided Muslim fundamentalists financed by external forces[8] and was on the rise due to Mwinyi's weakness.

Muslims kept on repeating that they were agitating against discrimination by the government. Their cry fell on deaf ears. The danger signs were on the wall for all to see and take heed.

But all said and done the government was not yet ready to face the realities much as the Christian lobby was not yet ready to accept a Muslim president least of all a Muslim from Zanzibar.[9]

[1] For more information see MSAUD paper, “Vita vya Mchungaji Mtikila Dhidi ya Uislam,” 3 February, 1993. Also Rev. C. Mtikila kwa Mwenyekiti Kamati ya Masuala ya Dini Nchini FSC/ADM/370 27 April, 1989.

[2]Business Times, 22 June 1990.

[3] The Reverend openly declared his mission as that of defending Christianity against Islam. Mtikila’s DP manifesto is to break the union between Zanzibar and Tanganyika and to expel Arabs, Somalis and Indians from the country. Conspicuously absent from his expulsion list were Europeans. In his many speeches Mtikila has shown outright contempt to religious tolerance, the union and the ideals of multi-racial society. Strange enough the state-radio provided airtime for the Reverend. At that time more than ten private newspapers under Christian ownership were in circulation and Muslims had nothing. The Christian monopoly in politics and in the media contributed into fuelling religious tension because of its anti- Muslim stand. The press picked on Muslims ministers scandalising them at will. Muslims in the governments were accused by the press for all sorts of offences from ‘praying in their offices’ to ‘selling the country to rich Arab Sheikhs’ from the Middle East. Even the vocabulary had to change. People began to be refereed to by the colour of their skins. The press began to identify people as ‘Arabs’, ‘Indians’ and ‘indigenous Africans’ reminiscent of colonial days; with the exception that during colonialism Africans were then refereed to as ‘natives.’

[4] Al-Markaz Sheikh Suleiman Takadir, “Barua ya Kisiasa ya Maaskofu: Maaskofu Wana Nafasi Gani Katika Serikali ya Nchi Hii.”

[5] Kiongozi, 1-15 January, 1994.In a press conference Nyerere warned of the dangers of to the nation of mixing politics and religion, castigating those who mix the two as “conmen,” and “politically bankrupt.” Baraza Kuu unofficial mouthpiece An-nuur attacked Nyerere in no uncertain terms accusing him of abusing his privilege as president during his 24 years reign as president to subvert Islam. The attack was so fierce and convincing that from that time Nyerere avoided being engaged in discussing Muslim-Christian relations in the country.

[6] The ruling party also was responsible for creating religious tension not so much by ignoring Muslim grievances but by meddling into them. On several occasions CCM had organised seminars purported to create understanding between the government, party and religious leaders on topics the government thought needed participation and support of religious leaders. Whereas these seminars were not a problem to the Church, they posed fundamental problems to Muslims. In reality these seminars were organised as a way to try and subjugate basic teachings of Islam. Between 1988 and 1989 CCM organised two seminars on population control. These seminars funded from Christian powers in Europe had a hidden agenda incompatible with Islam. The party handpicked sheikhs were invited to these seminars. The inclusion of sheikhs had to effects, first it was meant to improve the image of government in the eyes of Muslims and second, the inclusion of sheikhs was to act as rubber stamps to whatever decisions passed.

[7]Daily News, 9 November, 1989.

[8] At the international level the Church wanted the world to believe that the problem was not Islam but “Muslim fundamentalists.” While visiting Tanzania the Archbishop of Cantebury Dr. George Leonard Carey warned the country of “Muslim fundamentalists” as a danger to peace. Likewise in a special synod held in Rome on Islam, the Catholic Church singled out “Muslim fundamentalism” as its greatest challenge.

[9] The Church also tried to improve its relations with Muslims. The Catholic Church made arrangements with a mediocre Muslim organisation, (BALUKTA) Tanzania Council of Qur’an Reading and the Church was able to present to Muslims the Pope’s message to mark the 25th anniversary of the World Peace Day. The message was delivered by Pope’s ambassador to Tanzania, Monseigneur Agostino Machetto and the Secretary of the Apostolic, Father Gabriele Gaccia and Peter Smith, an expert propagandist and resource person in Muslim-Christian affairs in the Catholic Church. The message was received on behalf of Muslims by Tewa Said Tewa and Sheikh Yahya Hussein BALUKTA’s secretary and chairman respectively. [9] It is not difficult to understand why the Catholic Church could not dare come out openly and deliver Pope’s message of peace to BAKWATA. Amidst all this politicking Prof. Malima stood firmly behind President Mwinyi.


Sheikh Mohammed,

Salaam Al Akhiy. Tunashukuru mno kwa bayana nyingine ilo adimu kama hii.

Wallahi,sisi hatuna cha kukulipa. Insha Allah fadhila zako tapewa na Allah,maana ni yeye pekee mwenye uwezo wa kutimiza Ahdi zake zoote!

I always admire your brutal analytical skills and adept ability to analyse the Political situation in Tanganyika/Tanzania within the intellectual context and the ability to convey your analysis to the World.

I always pray for you.

Ahsanta.
 
Naona hujayaona maswali ukayajibu kwanza halafu ndio uulize.

Jee, umewahi msikia Mshume Kiyate?

sidhani kam nahitaji jibu huu uchafu...nitakupa nafasi ya kukimbia ulichoanza.Maswali umepewa mengi tuu,na watu hujajibu hadi ukajisahau na kudhani wewe ndio ulianza.

Una akili ya laini sana...upe easily influenced sana.Na hii inaonyesha jinsi mlivyo dhaifu na sana kifikra,na imechangia sana hata waandishi na wasomi wenu kuwa hovyo sana ktk fani husika.
 
swali moja tu kwako gombesugu, kwa nini umempa like the big show? Kwa hiyo unakubaliana naye! I thought for one moment that you were better than this; if you preachee preachee, if you prayee prayee but not preachee prayee! ha, ha, ha, haaa...mbavu zangu!


lawi sijaona ni mmakonde mwenzangu,
hadi kanisa alilokuwa anafanyia ibada zake newala na mnyambe nalifaham vema sana,na watoto wake wote pamoja na wajukuu zake tunafahamiana,

unakuja kuongopea jamvi kwa takwimu zako bubu kuwa lawi sijaona was a muslim??

Ili tuh ushinde mission yako??

Haya tumeona,umeshinda,
nimekubesha medali mzee wa takwimu na majedwali...
 
Back
Top Bottom