Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Ritz hujamuelewa huyu jamaa ni double face "UKRISTO NYUMA YA PAZIA LA UATHIEST"Sasa wewe dini huna hautambui uwepo wa Mungu wala dini, sasa umejuaje kama mimi mdini...ha haa ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ritz hujamuelewa huyu jamaa ni double face "UKRISTO NYUMA YA PAZIA LA UATHIEST"Sasa wewe dini huna hautambui uwepo wa Mungu wala dini, sasa umejuaje kama mimi mdini...ha haa ha
Kuri na maandishi yako ndio yalifanya nikutambue kuwa wewe ni mdini wa kutupwa! na unaposhindwa hoja hapa jamvini hukimbilia kuwaomba waislam wenzako wawashambulie wale walio kutwisha mipini ya NGUVU!Sasa wewe dini huna hautambui uwepo wa Mungu wala dini, sasa umejuaje kama mimi mdini...ha haa ha
Hapana ustaadh, kama ningekuwa nataka kujiunga na dini basi leo hii ningekuwa muislam kwani mama yangu ni muislam!Ritz hujamuelewa huyu jamaa ni double face "UKRISTO NYUMA YA PAZIA LA UATHIEST"
Ritz hujamuelewa huyu jamaa ni double face "UKRISTO NYUMA YA PAZIA LA UATHIEST"
Haki ya Mungu hooooooo, Ritz, Unaniita? ndiyo maana unacheka. Umeanza, tarime, kisha SUA kasha umalizie JIKICHWA? ahahahahaha. Usipate shida na maeneo. Mimi na Tarime na Kavirondo kwenye zombies, haileti taabu kihivyo. Infact nakusifu mpaka sasa unafanya kazi nzuri. Mshikaji anaita BAYANA YAKO!!!!! Yaeleka hajui actual source yeye anajua unashusha vitu kiroho mbaya. Kisha kakutwanga LIKE, ilikuwa RIZK yako bwana. ahahahahah. Ama kuhusu SUA usipate shida. Dunia ina watu bilioni 5 wote. hawawezi kwenda kusoma Harvard. Na huko huko Marekani (haswa Silicon Valley-california) miaka ya karibuni wamekuwa wanaajiri sana (brain drain) computer programers toka INDIA na CHINA sio HARVARD au CHICAGO tena!!!!. Pana fumbo hapa.
Nisikusumbue wewe endelea na shughuli. Eti Ritz, utani pembeni Zali vipi jamani? Penality ilikuwa for how long? Mimi I loved our crossfire and the missiles Zali threw at me!!!! Nobody asked for a transfusion.
Ila sheikh wangu, ukishamaliza ku-paste page ya 500 kuna maswali hamjajibu. Labda urudie ku-paste kitabu upya.
Yericko, tafadhali mtunzie Ritz yale maswali hadi amalize anachofanya kwa sasa tusimchanganye (Kwa JKT-anakula shushi). MS asiguswe jamani. HAYUMO. Mzee MS heshima yako bwana!!!!!
cc; Nguruvi, Jokakuu, Mohammed Said, Jasusi, Hassanalis, BigShow
Wanajamvi, hapa chini nawakumbusha tu kuhusu serikali aliyoiunda Mwalimu Julius Kambarage Nyerere baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliofuatia mapinduzi yaliyoutimua utawala wa Kisultani visiwani. Baraza la Mawaziri lililoundwa lilikuwa na wafuatao.
![]()
- Mwalimu Julius Nyerere (Christian): President
- Abeid Karume (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Vice President and Minister responsible for Zanzibar affairs.
- Rashidi Kawawa (Muslim): 2[SUP]nd [/SUP]Vice President and Minister of Defence and National Service.
- Nsilo Swai (Christian): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidents Office.
- Abdulrahman Babu (Arab & Muslim): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidents Office.
- Amir H. Jamal (Indian & Hinduist) 3[SUP]rd[/SUP] Minister of State for Economic Planning in the Presidets Office.
- Aboud Jumbe (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 1[SUP]st[/SUP] Vice Presidents Office.
- Lawi Sijaona (Muslim): 1[SUP]st[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice Presidents Office.
- Bhoke Munanka (Christian): 2[SUP]nd[/SUP] Minister of State in the 2[SUP]nd[/SUP] Vice Presidents Office.
- Said Maswanya (Muslim): Minister of Agriculture, forests and Animal Husbandry.
- Jeremiah Kasambala (Christian): Minister of Commerce and Cooperatives.
- George Kahama (Christian): Minister of Transport and Buildings.
- Paul Bomani (Christian): Minister of Finance.
- Oscar Kambona (Christian): Minister of Foreign Affairs.
- Job Lusinde (Christian): Minister of Internal Affairs.
- Tewa Said Tewa (Muslim): Minister of Lands, Settlement and Water.
- Kassim Hanga (Muslim): Minister of Industries and Mines.
- Solomon Eliufoo (Christian): Minister of Education.
- Derel Brycesson (British & Christian): Minister of Health.
- Michael Kamaliza (Christian): Minister of Labour.
- Amri Abeid (Muslim) Minister of development and Culture.
- Austin Shaba (Christian): Minister of Housing and Local Government.
- Hasan Moyo (Muslim): Minister of Law.
- Idris Abdulwakil (Muslim) Minister of Information and Tourism.
Wanajamvi wapendwa wakati huo Mwalimu alipendwa kikweli kweli na Watanzania wote bila kujali dini zao, rangi zao wala kabila zao...sura kwenye hili Baraza la Mawaziri mwaka 1964 ni ushahidi tosha kwamba Watanzania hawakubaguliwa wala kubaguana katika misingi yoyote ile. Mapokezi aliyokuwa anayapata Mwalimu kila alipofanya ziara visiwani hayakuwahi kuwa na mfanowe katika historia ya Zanzibar. Kama alikuwepo Mtanzania mwenye dukuduku lolote ni wale Waislaam wachache walioshindwa kuwashawishi Waislaam wenzao kuwaunga mkono hata kabla ya uhuru walipoanzisha chama cha AMNUT mwaka 1958.
Huu uchochezi tunaoushuhudia hivi leo ulikuja kujitokeza muda mfupi baadaye kutokana na chuki za baadhi ya wazee waliokataliwa katika hila zao za kutwaa madaraka kwa kupitia mgongo wa dini. Njama zilianza kufanyika kutaka kuvuruga umoja wa Watanzania kwa kupandikiza mbegu ya chuki ambayo hadi leo mtoto wa mmoja wa wazee hawa anaiendeleza kama tunavyoshuhudia ndani ya mnakasha huu. Swali la kujiuliza ni hili; hivi hawa Waislaam waliokuwa ndani ya hilo Baraza la Mawaziri kuanzia makamu wawili wa Raisi hadi Waziri wa Sheria walikuwa ni wasaliti kwa wananchi wa Zanzibar na Uislaam?
Je Abeid Karume, Abdulrahman Babu, Kassim Hanga, Amri Abed, Aboud Jumbe, Hasssan Moyo na Idris Abduwakil walikuwa ni wasaliti visiwani Zanzibar? Je Wazanzibari wanayathamini mapinduzi yaliyowaweka hawa madarakani? Je, kwa msingi wa madai ya wachochezi kama Mohamed Said, mapinduzi ya mwaka 1964 yalikuwa haramu? Je Waislam wa bara na visiwani wanawaona hawa kama wasaliti katika Uislaam? Je katika msingi huop huo viongozi wote wa juu wa Jamhuri ya Tanzania ambao wote ni Waislaam, kulingana na uchochezi unaoendelea ni wasaliti katika Uislaam? Je Kikwete, Dr. Bilal, Dr. Shein na Shariff ni wasaliti wa Uislaam?
Sheikh Mohamed, wewe ndiye uliyenisababisha mimi kujiunga na JF kutokana na hoja zako. So mimi ni mfuasi wako.Nakuomba kwa heshima na tahadhima mjibu Nguruvi3 na wenzie hayo maswali yao yanayohusu mapinduzi ya Zanzibar.Usipojibu maswali hayo utakuwa hujatutendea haki mimi na familia yangu hapa Mbagala, kwani nyumba mzima na majirani zetu wote tunafatilia mjadala huu na hasa hasa hoja zako wewe. Mjibu Nguruvi3 na wenzie kwa faida ya wakazi wa Mbagala.Ritz,Yericko bado yuko kule kule anadhani mie hapajamvini nazungumza na yeye wakati yeye ni "rabbit"katika mbio ndefu ananisaidia mie kuvuta kasi.Katika mashindano ya mbio kunakuwa na timu mojalabda ina wakimbiaji 4 wanashindana na timu pinzani.Ili kupata mafanikio huwa hizi timu zinakuwa na pace setterkuweka spidi ili wavunje rekodi na ushindi upatikane.Hawa pace setters huitwa rabitts.Hapa JF sungura wangu ni Yericko Nyerere.Ananitia spidi ya kueleza mambo mengi ambayo bila yeye nisingewezakukwea mti huo.
Nimeipenda sana hii list ya baraza la mawaziri.
Mimi ningekushauri uiangalie kwa jicho la tatu list hiyo kwa kuwatoa wale kutoka Znz ambao wao kwa zaidi ya 99.9% ni waislam. na ubakishe waTanganyika kisha linganisha dini zao.
Hiyo itakupa picha halisi. Kumbuka kuwa Mmamlaka ya BAKWATA MWISHO CHUMBE hayajawahi kufika Znz hata siku moja.
Pole sana
Sheikh Mohamed, wewe ndiye uliyenisababisha mimi kujiunga na JF kutokana na hoja zako. So mimi ni mfuasi wako.Nakuomba kwa heshima na tahadhima mjibu Nguruvi3 na wenzie hayo maswali yao yanayohusu mapinduzi ya Zanzibar.Usipojibu maswali hayo utakuwa hujatutendea haki mimi na familia yangu hapa Mbagala, kwani nyumba mzima na majirani zetu wote tunafatilia mjadala huu na hasa hasa hoja zako wewe. Mjibu Nguruvi3 na wenzie kwa faida ya wakazi wa Mbagala.
Sheikh Mohamed, wewe ndiye uliyenisababisha mimi kujiunga na JF kutokana na hoja zako. So mimi ni mfuasi wako.Nakuomba kwa heshima na tahadhima mjibu Nguruvi3 na wenzie hayo maswali yao yanayohusu mapinduzi ya Zanzibar.Usipojibu maswali hayo utakuwa hujatutendea haki mimi na familia yangu hapa Mbagala, kwani nyumba mzima na majirani zetu wote tunafatilia mjadala huu na hasa hasa hoja zako wewe. Mjibu Nguruvi3 na wenzie kwa faida ya wakazi wa Mbagala.
Sheikh Mohamed, wewe ndiye uliyenisababisha mimi kujiunga na JF kutokana na hoja zako. So mimi ni mfuasi wako.Nakuomba kwa heshima na tahadhima mjibu Nguruvi3 na wenzie hayo maswali yao yanayohusu mapinduzi ya Zanzibar.Usipojibu maswali hayo utakuwa hujatutendea haki mimi na familia yangu hapa Mbagala, kwani nyumba mzima na majirani zetu wote tunafatilia mjadala huu na hasa hasa hoja zako wewe. Mjibu Nguruvi3 na wenzie kwa faida ya wakazi wa Mbagala.
Wickama,
Wala unajihisi mie nilikuwa natoa mfano tu, lakini bahati mbaya ndugu yangu umenishambulia bure.
Ooooho my god!
Mungu awape nguvu na uvumilivu wakufuatilia uzi huu,
Bila shaka mzee wetu Mohamed Said atawatendea haki watz wenzake!
Yericko,
Mbona unajiandikia msgs/posts khalafu unajijibu mwenyewe ndugu yangu!?
Umekutwa na jakamoyo lipi!?
Cc;Ritz
Kujumuika ktk saumu haikuwa zawadi kwa Nyerere.Kijana msomi,mwenye hekina wa enzi hizo akiwa ktk kundi la makuli,masheikh na wengine waliokuwa hawana elimu dunia...Nyerere alikuwa superstar haraka kwa vile alikuwa na vionjo vilivyowafanya wazee wamhitaji.Waislama always wana mapingano ktk yao ,the third person alifanya bora wote wakose.
Pia hakuna ushahidi Kuwa Nyerere alifunga ramadhani:rejea hapa
1.walifunga ili kuomba kitu maalumu kwa ajili kitu fulani.Hii ni purely Judeo-Christian.
2.Walifunga ila Nyerere alikuwa kaifunga na kuomba, baadaye ktk kufuturu Nyerere alikuwa nao.Ila kuulizia dawa na si chakula wakati wa wengine wanafuturu ni wazi kuwa nyerere alikuwa anafunga christiani ways.Kufunga muda mefu bila futarii,ila mara chache kula kidogo kitoshacho kutunza uhai.Sasa hapa nyerere alikuwa kakosa maji na pengine na necessary ions kwa ubongo...
Naomba muwe analytical kuliko kuwa storage media.
Wanaukumbi baada ya kumsoma huyu ndugu yetu hebu hapa chini tumsome Nyerere anawazungumziaje hawa Wazee wanaoitwa makuli.Kujumuika ktk saumu haikuwa zawadi kwa Nyerere.Kijana msomi,mwenye hekina wa enzi hizo akiwa ktk kundi la makuli,masheikh na wengine waliokuwa hawana elimu dunia...Nyerere alikuwa superstar haraka kwa vile alikuwa na vionjo vilivyowafanya wazee wamhitaji
Miezi minne baada ya kuanza kazi Pugu nikawa ninakuja Dar es Salaam, kwa mguu; kila Jumamosi. Baadaye wazee wakanipa baiskeli nikawa ninakuja mjini kukutana na wenzangu; kufanya mikutano.
Hivyo ndivyo tulivyofanya. Wazee wakaniamini upesi sana. Tukawa na uhusiano mkubwa sana. Wadogo wenzangu wengine walikuwa Abdul Sykes, Abass Sykes (mdogo wake), Dosa Aziz – waliokuwa wengi ni wazee.
Katika kuhutubia mikutano yangu, nilikuwa nikisema: Wazee na Ndugu zangu! Wazee hasa ndio walikuwa na mikutano ya awali ya TAA na TANU.
Hakuna alikuambia Nyerere alifunga Ramadhan Nyerere alifunga kwa ajili ya mapambano ya uhuru na kuwasaidia wengine ndiyo maana anasema tulikuwa tunafunga hebu msome Nyerere mwenyewe hapa chini.Pia hakuna ushahidi Kuwa Nyerere alifunga ramadhani:rejea hapa
1.walifunga ili kuomba kitu maalumu kwa ajili kitu fulani.Hii ni purely Judeo-Christian.
Baadhi yetu mtakumbuka safari moja jamaa wa Kenya, hawa akina Tom Mboya (marehemu) walishitakiwa. Tukasema tuwasaidie. Tuwasaidie vipi? Tukasema tufunge. Tukaomba nchi nzima kufunga siku hiyo. Tufunge! Tukafunga. Hakuna kula. Na siku ya kufunga tulikuwa na mkutano Bagamoyo. Tukaenda huko. Tukafanya mkutano hadi saa 12 jioni.
Wanaukumbi hebu chini hapa tujitulize tumsome Nyerere mwenyewe anavyofafanua vizuri kuhusu walivyokuwa wanafunga.2.Walifunga ila Nyerere alikuwa kaifunga na kuomba, baadaye ktk kufuturu Nyerere alikuwa nao.Ila kuulizia dawa na si chakula wakati wa wengine wanafuturu ni wazi kuwa nyerere alikuwa anafunga christiani ways.Kufunga muda mefu bila futarii,ila mara chache kula kidogo kitoshacho kutunza uhai.Sasa hapa nyerere alikuwa kakosa maji na pengine na necessary ions kwa ubongo...
Baada ya mkutano tukaenda nyumbani kwa Mzee Mohamed Ramia (marehemu). Hapa ndipo tulikuwa tumefikia. Mimi nikamuuliza mzee: Sheikh, una Aspro? Akajibu: Kwa nini unataka Aspro? Nikajibu kuwa kichwa kinaniuma kwelikweli. Akasema subiri.
Tulisubiri hadi saa ya kufuturu. Tukafuturu vizuri. Mzee Ramia akaniuliza: bado unataka Aspro? Nikajibu kichwa sasa hakiumi. Kumbe ilikuwa njaa.
Nawaelezeni haya kwa sababu huko tulikotoka, tulishikamana sana. Tulishirikiana sana na wazee."'
Wickama,
..wasikusumbue hao. wengine ni binamu wa Sultani Jamshid.
..kama ni lawama apewe Muingereza kwa kubakisha utawala haramu wa Sultani.
..wanadai Sultani alikaribishwa na wenyeji kumuondoa Mreno. lakini huo siyo uhalali wa yeye kukaa hapo miaka yote najuu yake kuuza watu weusi Utumwani.
..Tanzania na sisi tulikaribishwa na Waganda kumuondoa nduli Iddi Amini, lakini baada ya kumaliza shughuli hiyo tulifunga virago na kuondoka.
ID yangu ni moja tu na ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF. Kwani kosa langu ni nini?Multiple IDs at work...ha haa haa.
Shariff Ritz,
Salaam Al Akhiy.
Huyo jamaa yetu Wickama nafikiri yuko sensitive mno. Ni mtu wa kujishuku saana.
Lakini haina neno,mimi binafsi nampenda mno na tamwandikia sasa hivi nimuombe akaniongezee mke wa pili huko kwao Tarime na itakua uzuri kama ana Dadize walobaki japo kiduchu...labda ndo itasaidia ili atufahamu kwa kistaarabu!?ahaha!!
Ahsanta.