Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Sheikh Mohamed Said,
Hawa ndugu zetu wanatuambia kuwa AA, TAA, havikuwa vyama vya siasa sababu havikusajiliwa na msajili wa vyama, ha haa haaa!
Wanaukumbi hivi vyama hivi cha Kwame Nkrumah (CPT) chama cha Patrice Lumumba (MNC) chama cha Nelson Mandela (ANC) chama cha Kenneth Kaunda (UNIP) chama cha Hastings Banda (MCP) hivi vyote havikuwa kusajiliwa kama vyama vya kisiasa.
Leo hii tuwaseme vyama vyao viliundwa na Waingereza si itakuwa kituko.
Si tuu hivya vyma havikuwa vya kisiasa pia havikuwa na political awareness.Vilikuwa ni vyama vya kugombea tuu maslahi ya makuli...Ndio maana hapakuwa namajaribio ya dhati ya kutengeneza vyama vya kisiasa...hata kama waingereza walipiga marufuku bado hakuna kati yao aliwahi fany ajaribu la maana ..
Akina ANC walipigwa marufuku na kunyimwa,hilo lilihalalisha uwepo wao kwa vile wameporwa haki.Waingereza wasingeweza nyima watanzania hilo ktk uwazi kwani mojawapo ya kazi walizopewa ni kuandaa taifa kuja jitegemea.Walichoweza ni kuwahonga hao "Bakwata wa zamani", n akuwapa TAA,ili wawatawae wenzao ambao hawakuwa wakijua kitu,na ulichoweka ktk nukuhu zako Nyerere alipowaambia...viinavyowezekana wazee walikuwa wakiona nyota tuu..
Wale wazee wenu wengi walisaidia kwa kuwepo ktk idadi,kwani Nyerere alihitaji statistics ili kujenga uhalali wa TANU...na wale wazee wa gahawa wa kuuza kashata na uvuvi wa usiku,hawakuwa na cha kuafanya mchana.Abdulwahidi hakuwa na jipya,kwani TAA ilikuwa ni ajira yake na kibali cha kufanya biashara Kariakoo na kwingine.