Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Yericko,
Hapana haja ya kuhangaika sana.
Historia ya TANU ya wanajopo wa CCM ipo.
Historia iloandikwa na MS ipo.
Kila upande umeeleza historia yake.
Kwa nini wewe leo jasho likutoke kuikataa
historia yangu?
Tuuachie umma uamue nani mkweli na nani
muongo.
Hapana haja ya kuhangaika sana.
Historia ya TANU ya wanajopo wa CCM ipo.
Historia iloandikwa na MS ipo.
Kila upande umeeleza historia yake.
Kwa nini wewe leo jasho likutoke kuikataa
historia yangu?
Tuuachie umma uamue nani mkweli na nani
muongo.