Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Kukiri siyo tusi, kwa wenzetu wanasema 'admit' au confess wakimaanisha kukukubali ukweli au au iwavyo bila upinzania.

Unaposema hakukuwa na katiba ya TAA au AA hapo unakubaliana na ukweli kama ilivyo bila upinzani ambako ndiko kukiri.

Kualikwa na chuo kikuu hakuna maana unayoyasema ni kweli. Leo miaka takriban 40 baada ya moon landing watu wanachunguza maneno ya Armstrong kama ndivyo yalivyokuwa au la.

Ahmadinajad, rais wa Iran aliwahi kupewa fursa ya kuzungumza katika chuo kikuu kimoja Marekani. Ahmadinajeda na hoja yake ya holocuts bado watu wanamsikiliza.Hiyo haimaanishi anaongea ukweli au uongo ni mtizamo tofauti

Kualikwa maana yake ni wasomi wanaofikiri wakitaka kusikia mitazamo tofauti ili waje na conclusion kutokana na mitazamo hiyo. Hiyo haimaanishi kuwa mitazamo hiyo lazima iwe sahihi.

Huko unakosema lazima uelewe hawaielewi Tanzania kuliko sisi wenyewe. Wao hawana habari kuwa sheikh Amir alipewa fursa ya kuwa katika uongozi akakataa. Pengine wakimwalika Ziddy na kuoanisha na maneno yako ndipo huja na mambo kamili.

Northwestern hawaelewi mazingira yetu na ni rahisi kwao kukubali kuwa kuna mtu alitoka Dar hadi Rufiji miaka ya 1950+ kwa baiskeli akigawa kadi za TANU. Sisi tutahoji mwaka jana kaliwa mtu Mkuranga ilikuwaje miaka hiyo.
Hatukatai kama haikuwezekana tunachotaka ni ushahidi usio na mashaka juu ya hilo.

Mashaka yanatokana na hypebole zilizokithiri katika ngano. Mathalan, Ibadan wanajua Mtu anaweza kuja Tanzania na kuhutubia bunge tu, sisi ndio tunaojua kuwa la hasha ile ilikuwa hyperbole ya kimataifa, ndio asili ya neno mkoba.

Lakini basi kama huwezi kueleza kuhusu mapinduzi na Wanakipumbwi kwa sisi wenyeji vipi mtu wa nje atajua pakuanzia.
Sisi unakimbia na ukirudi unakuja mtupu, nani huko Marekani anajua Kipumbwi na safari yao ya ghafla kuelekea visiwa vya karafuu.

Hapa ni hoja, hatuangalii wala kutishiwa na volume au safari.

Ahsante mzee Said,
Salimia jamaa hapo nyumbani
 

Kizazi cha leo kimebadilika ndugu yangu, vitabu havisomwi kama unavyofikiria!

Mitandao ya kijamii ndio uwanja sawia kwa kizazi cha leo kusoma na kupata habari mpya!

Huoni mfano hapahapa jf kuwa Watanzania wengi kwa zaidi ya miaka 15 sasa walikuwa hawakijui kitabu cha Mohamed Said wala kitabu cha TANU, lakini kupitia ulimwengu wa dotikomu leo wanasomeshwa watu zaidi ya 200000 ndani ya miezi sita tu!

Hivyo sioni umuhimu wa kitabu kwa leo hii, lakini nimechukua fursa ya kulala jf, kukesha jf, kushinda jf ili kuwazidua walipotea kama wewe!


Juu ya kumuona Mama yetu mpendwa Mama Maria Nyerere kwalengo lakupata "ushahidi" wa ayasemayo Mohamed Said, sioni sababu,

Kwakuwa haya niliyonayo yanatosha kumbomoa kabisa kama ilivyo sasa uchochezi wake upo wazi kwa Watanzania zaidi ya 200000

Nakueleza tena wewe na Mohamed Said, kuwa mimi naijua vema historia ya Uhuru wa nchi hii na nina HAZINA kubwa ya vielelezo vya uhuru wa Tanzania huenda kuliko kijana yeyote wa kizazi hiki cha dotikomu!

Ndiomana nazungumza kwa starehe kabisa kuwa Mohamed Said ni MUONGO tu, MZUSHI na laghai wa kijahidina anataka kulifarakanisha taifa kwa maslahi yake!

Tumeamua sasa kumdhibiti, tumeanza kwa maandishi ya hoja kisha tutaingia kwa vitendo hatua kwa hatua mpaka uzandiki wake ukome kabisa na awe mtu mwema kabisa kwa taifa hili takatifu!
 

Ndugu yangu gombesugu,

Huyo jamaa wa Chadema sidhani kama kichwa chake kizima, ha haa haaa, hebu pita bayana zake walaahi utakufa kwa kuchaka, haya twende sasa hapa chini.
Hapa tena walahai burudani.
Hapa tena ha haa haaa
Hapa tena, ahahh hahaa.
Hapa tena ha ah haa haa.
Hapa tena, ha haa haa haa.
Hapa tena ha haa haa haaa.
Hapa tena ha haah haaa.
ha haaa haaa haa. JF kuna vituko.
 
Last edited by a moderator:

kaka sijui umekisoma kitabu mwandishi ameelezea maudhui nzima ya mapinduzi yale na kama umekisoma kitabu huwezi kuja na masuali ka haya
ahsanta
cc john okkelo
 
kaka sijui umekisoma kitabu mwandishi ameelezea maudhui nzima ya mapinduzi yale na kama umekisoma kitabu huwezi kuja na masuali ka haya
ahsanta
cc john okkelo

Kitabu hakijajibu hayo maswali, kimeacha maswali lukuki!

Kisome tena kwa umakini ndugu!
 


Wild Card,
Nasema mmeshtushwa kwa sababu mnavyohangaika humu kujaribu
kuibomoa historia hiyo.

Hivi nyie hamjiulizi kwa nini mimi sijapinga historia yenu wala sikuulizeni
mswali, wala situkani au kutumia lugha chafu na kali.

Hivi kweli hamjajiuliza kwa nini iwe hivyo?

Mimi sina neno ikiwa mtapenda kuamini kuwa TANU imeanzishwa na Nyerere
kutokea Musoma.

Kwa kweli sina neno asilani wala sitakubughudhi kwa hilo.

Nachokuomba ni kuwa na wewe usinibughudhi mimi nikikuambia kuwa TANU
ni ''brain child'' ya Abdu Sykes.

Tatizo liko wapi ndugu yangu?
 
kaka sijui umekisoma kitabu mwandishi ameelezea maudhui nzima ya mapinduzi yale na kama umekisoma kitabu huwezi kuja na masuali ka haya
ahsanta
cc john okkelo

Naona hatujaelewana. Bora tuachie hapa. Kitabu hakina jibu la kama ASP walilazimishwa na TANU msaada. Ahsante bwana.
 
Yericko,
Kuna watu wameniomba nikupuuze.
Hutaweza kunipuuza kwakuwa mimi ndimi njia sahihi ya kuulinda uongo wako!

Kwani hukumbuki mimi na Nguruvi3 ulituweka kwenye kapu lako mwisho wa siku uzalendo ukakushinda?

Mimi ni maji, utanikwepa kwakunywa lakini mwisho utanioga tu!

Mtu akiitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia, lakini mtu akikulazimishisha utembee hatua mbili basi weye tembea hatua nne!

Ungeamua kunipuuza kweli leo tusingetimiza miezi sita huku tukizidi kukuanika na kuzipembua ngano zako mkuu!
 

Ubarikiwe mkuu,kwa ufundi wa kuandika na kujenga hoja...staha ulitumia ,napata imani kwamba huyu mzee km atalionea aibu hili "Kukiri" basi rahisi tena kupata paltform km hii tena.Kwani paltform uliyompa kwa jasiri na mwaminifu basi hatokwazwa.

Ni kitu nilichojaribu fikiri njia ipi inaweza kuwa bora,ila sikujaaliwa uandishi mzuri na hivyo sikuona ktk kipawa changu.
 

Mzee

Hatuzungumzi kama mambo ya kifamilia,

Hapa ukishasema historia ya uhuru wa tanganyika maana yake umetualika tuseme,

Ukishasema historia ya TANU maana yake umetualika tuseme, na kweli tutasema chochote hata cha kukukwaza, lakini nikujuze tena, kuwa mwanahistoria yeyote hutetea tafiti zake kwa hoja,

Tupo jf, huu ndio mtandao unatumiwa na wasomi wengi sana wakitanzannia!

Hapa ndipo mahali pake!

Hatutaachana hivi hivi kama unavyo sema, wasomaji wetu hapa wanaamini katika hoja tu
 

teh teh....kumbe mzee akibanwa kilio kinasikika upande mwingine wa dunia.....?huyu bwanyenye anayemtetea mzee inawezekana nae alichangia kiasi fulani kujenga ground za kutukuzwa uarabau.
 

Gombesugu; Nilipoonya mapema kuwa tuji-confine kwenye masuala ya hii thread ni kwa sababu kulikuwa na alama za watu kuwa-harass wengine kama mifugo kuwaingiza kwenye makundi ya kulinda au kutii dini badala ya kuchangia mada za siasa. Nilijua itafika wakati atakuja mtu au watu watarudisha matusi waliyopewa kwa muda mrefu na watukanaji.

Kwa sasa, hii ni mpaka hii ghadhabu ipowe. Hasira zipowe na watu wachangie. Maana naona hata watoa "AYA" wanagwaya. Hiki ndicho nilchokuwa najitahidi kiepukwe.

Tulio wengi tunasahau hakuna mahali M\Mungu kaahidi kuwafanya watu WOTE kuwa na dini moja. Kwa hiyo ukilianzisha kutukana/kubeza imani ya wenzako you are just wasting time. Sana sana unachochea ya kwako kutukanwa pia.

I hope umenielewa, siwezi eleza zaidi ya hapa.
 
-Watu wanaongelea vitu wajuavyo....huwa wanaweza switch millions of time ktk nyanja nyingine na kurudi ili kuweza weka mifano hai, kukumbushana na mengine.....ni wewe tuu ukiwa na shida na uelewa mdogo ndio utapata shida na kuleta shida.

-Kutoukubalia uislam, au kutoupenda hakumaanishi kuwa unauchukia..Kuna option zaidi ya tatu ktk dhana ya ukubali wa vitu...(kuchukia, kupenda, "kutopenda na kuchukia=kuchukia",kuukataa bila kuuchukia, kutopenda bila kuchukia....kutopenda na kutochukia)....sijui umefikiaje hapo.Ila pia ujue nina haki ya kuuchukia bila kuwalazisha nyie kuwa kama mimi.Mbona waislama wanachukia Nguruwe kawatendea Nini?


-Vatican Lazime iwe favourites ktk mjadala ambao waislam wenyewe wameshajichagulia adui wake kanisa katoliki na kwa sasa Kardinal Pengo ndie target.Kanisa katoliki Tz tuu limwekeza vyema ktk elimu na afya bora kuliko waislam wote wa africa mashariki,kati na pembe za somalia.Wamekuwa wastahimilivu kuliko waislam,hawajawahi choma msikiti,shule,wala kuua muislam ila waslam wamefanya yote hayo bila hata hisia za utu....Halafu bado wamekuja na uongo km huu kujifanya kuwa wao ni victims.

-Bakhresa kashambuliwa wapi?Na wewe ni nani wake....?Kwani nanai hajui kuwa kawaendesha km punda miaka yote akiwapa "chakula cha siku mmoja mnachoenda kunya kesho yake" leo mpo tayari kufa kwa ajili yake wakati sasa hivi ni multibillionea na nakopa WB si ktk bank zetu tena.But are the muslims of Dar?Hakupata wa kuinuka nae?
Huwezi amini...ila kasome historia uone mjini kati dara kabla ya uhuru palikuwa na nani?Hadi wamissionary walikosa pa kuishi zaidi ya kukimbilia Pugu.Sasa kaangalie dilute.Na hii ni phenomenon ya miji yote nchini.Baada ya kesi zenu za mirathi...kati ya wajukuu kwa wajukuu,wajukuu na watoto,watoto wa kiume na mabinti, wajomba na mashangazi, msikiti na CCM ..mwishowe...huishia kuwa mali ya Kafir.


Cyclic reasoning imeonyesha sana na "muslim hooligans"...wanahamahama bila "tune", na kuingiza hisia za udini kw akiasi cha kutoona "Vitu vya msingi".Wengine wameleta quote zinazowapinga.

Kwa vile issue imeanza na MS,na kujitetea kwake kumemweka ktk kitanzi kwa kiasi cha kunfanya ili atete kazi yake lazim ajibu hayo maswali.wengine mliruhusiwa kumsaidia ingawa hamkustahili hilo kwani kitabu ni chake...na upotoshaji anafanya yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…