Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #16,801
Hassanalis,
Ndugu zetu wana maradhi ya kuamini tafiti za Wazungu.
Hata ukiwaambia nini wametia nta hawasikii la mwadhini
wala la mnadi sala.
Ikiwa mzungu kaandika facts na mwadhini kaandika hisia, unadhani tutaamini ya mwadhini huyo?