Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Obama,
Kila mtu ana fikra zake.

Kwangu mimi historia ya wazee wangu katika
kupigania uhuru wa Tanganyika ni kitu cha
msingi.
 

Kwanza hongera sana kwakufungua na kuusoma uzi huu,

Ninachofahamu nikuwa ukiona mtu kaamua kuchangia katika uzi huu basi ameshiriki nasi katika uzuri ama upuuzi wetu!

Mwisho nikukaribishe uendelee kusoma ama kuchangia hapahapa!
 
Last edited by a moderator:

Wewe kauzu kweli ungekuwa na akili wala usingetumia jina la Obama, unataka tufanye maendeleo gani? Wewe umefanya nini cha maana? Maendelo gani umefanya? hauwezi kuwapangia watu wazima vitu vya kuandika, unadhani mzazi wako akijua unajiita Obama wa bongo atajisikiaje? Si utamdhalilisha.

Wewe ni Obama wa Tandale au Yombo?
 
Last edited by a moderator:
sawa bwana mkuu!nashukuru kwa maelezo yako
 
Nicholas,

Wewe ni mchanga wa Chadema tupe habari za mgogoro wa ardhi ya Wameru, kina Japhet Kirilo, Earle Seaton, punga nalo limejitokeza ha haa ha.

CC: gombesugu,


Shariff Ritz,

Hapo umempa mpini mzito mno...akijibu italazim pia atunyambulie ule u-selfish wa wale ndugu zetu wa kaskazini na ule "mgogoro wao" wa ardhi kule Meru,nafikiri walishindwa siku zile kufahamu yakuwa Tanganyika ni zaidi ya kanda ya kaskazini?

Pia italazim atunyambulie au sisi tumnyambulie kwa kina ule ukibaraka mchwara wa yule Chief wao Marealle na kule kujipendekeza kwake kwa Waingereza kwa maslahi yake binafsi huku akisahau maslahi ya Taifa au Tanganyika yoote kwa ujumla!?

Halafu nimesoma post fulani humu yakuwa Yericko anadai na kuona fahari yakuwa huyu Mzee Marealle ndie aliekua pia akimnunulia suits na "mavazi mengine" Nyerere!?

Hapa ndipo u-selfish wa kina Nguruvi3&Co unapoonekana dhwahir...yaani Sheikh Mohammed anapotaja madikodiko ya Mshume Kiyate kwa Nyerere inakua ni "criminal offence",lakini Yericko akitaja Marealle alikua akimvalisha Nyerere wao woote wanashangilia!?

Sasa hivi nipo hapa kiduchu, nasubiria wana kanda ya kaskazini huku wakishirikiana na wafuasi wa Chadema waanze viburudisho vyao jukwaani kwa kunishambulia kwa matusi!?ahahaah!!

Haina neno tuendelee na mnakasha.

Ahsanta.
 
Hizi ni kauri za wazee wachawi!



Ndugu yangu Gwalihenzi,yaani tumetokea kwenye "uhaini,ugaidi na uchochezi"...sasa leo tunapelekana kwenye mambo ya uchawi!?ahaha!!...

Nafikiri wakti muafaka umefikia labda wanajamvi kwa pamoja kuomba msaada wa mbunge wa Korogwe nafikiri Muheshimiwa "Maji Marefu" ili atusaidie kwa hili,maana nasikia yeye ndo Taaluma yake!ahaha!!

Mimi nilifikiri nyinyi ma-Atheist hamjali na pia mnapuuza hayo mambo ya uchawi na ushirikina,au wewe unatafauti kiduchu kwasasabu ni Afrikan Atheist!ahaha!!....plse don't take it personal.

Ahsanta sana.

Cc;Boko Haramu
 



Waheshimiwa Nguruvi3 na Mag3,

Salaam sana ndugu zangu. Tafadhalini pokeani hii bayana yangu kiduchu yenye hishma na taadhima ilo kuu kwenu.

Kwanini au kitu kipi kinachokufanzeni nyinyi muone yakuwa mtu yeyote kuomba source/s ya informations zenu binafsi au kutoka kwa Yericko,ni kutokana na mtu huyo kuwa na jazba au hamaki fulani!?

Inakuwaje leo hamjiulizi yakuwa Yericko,yuko hapa takriban nusu mwaka tena huku akijinasibu yakuwa ana "khabar nyingi na ndefu mno" za Historia ya Tanzania lakini bila ya kuthubutu hata siku moja kutaja "source/s zake"!?ahaha!!

Lakini cha kustaajabisha zaidi ni yakuwa, katakata hatoi/hataki na "source/s zake" wala hapendi kuulizwa hilo suali...na cha kuhuzunisha zaidi ni ile support mnayompa and all of you just keep follow him blindly and religiously!?ahaha!!

Hivi ndugu zangu,kutokana na usomi wenu wa hali ya juu mlionao na exeperience na exposure zoote za kitaaluma mlizonazo,hamuoni yakuwa mtu kuomba source/s ya information au datas ni legitimate question kwenye field yoyote ile muhimu duniani!?

Mimi binafsi,nimeanza kuomba sources za khabar mletazo hapa jamvini nyinyi wawili kitambo, tena kwa ustaarabu bila ya hamaki au jazba yeyote,na mpaka leo bado nasubiria Insha Allah maana najua kwa ustaarabu wenu kamwe hamjanisahau ndugu yenu!?

Kwa hiyo si kweli ya kwamba ati tunafanza/ninafanza hivyo ili kulipiza kisasi kisa yakuwa nanyi mnaulizia baadhi ya sources toka kwa Sheikh Mohammed.

Jingine Muheshimiwa Ngururvi3;usitumie nguvu zako nyingi mno kila wakti kuonyesha ati sisi hatukufahamu point/s zako au ni wazembe wa kufahamu jambo na mengineyo mengi, hasha ndugu yangu.

Mimi binafsi nilishakuambia mara kadhaa hapa jamvini yakuwa nakusikiza na kukufuatilia bayana zako tena kiuadilifu,bila ya kujali yakuwa mara nyingi tunajikuta/tunakuwa kwenye mitazamo tafauti!?

Yawezekana ni kweli hatujawahi kwenda Shule,hatujui kusoma wala kuandika,lakini pia tuna "Tartib Al Adab" zetu zinazotuwezesha na kutusaidia kufahamu majambo mengi mno kwa kina kuliko vile wengi wenu mnavyokhis.

Yeyote kati yenu au atokaye kwenye wafuasi wenu,ni wajibu wake kitaaluma na pia ni haki kama Mwanajamvi kuomba source/s ya aina yeyote toka kwa Sheikh Mohammed...

lakini pia ikumbukwe yakuwa uamuzi wa mwisho ni wa huyo aombwae-Sheikh Mohammed na maelekezo atoayo!?

Tukumbuke huyu mtu ni Scholar/Historian mkubwa mno na pia ni maarufu kwa kiasi chake...kwa hiyo pia ni wajibu wake kufuata kanuni na ethics za field yake,mojawapo ni kuhifadhi source/s of information zake when deemed necessary!?

Nimefurahi kuzungumza nanyi kwa pamoja ndugu zangu. Niwieni radhi kwa huo uchechefu wangu kiduchu.

Ahsantani sana.

Cc;Ritz
 

Childish,ulimbuken n stupidity...!

Mambo yako ya haki za ndoa na mkeo nani anataka kufaham??

Tunataka utuoneshe ulipo uchochez tena kwa vyanzo mbali mbali vya taarifa zako,mkeo mkeo na haki zake za ndoa,??


Nani hana mke na familia hapa??

You must be so so Stupidy,Dumb & Dull Boy...
 



Ni wafia dini tuh,wasikupe shida yyte,

Mimi nataka kumuuliza Nguruvi3,

Yeye anataka source zipi??kwani ni vibaya Moh Said akijinukuu yeye mwenyewe??


Vipi NGURUVI3 haoni literature survey/reviews kila kwenye maandiko ya Moh Said??

Je,amejaribu kupitia pitia hizo surveys akajiridhisha??

Source anazozitaka yeye ni zipi??

Jasho linamtoka hali halali,kutwa anashinda hapa kudai source source,tumuulize amezipitia hizo reviews??

Nguruvi3 usilete upumbavu wako hapa,kama unadhani yupo anaekuhofia na kukutilia maanani basi ni kwa hao hao jamaa zako wasiojua mishen yenu hapa jukwaani,

Haitoshi Mag3 kwa ule ule ulimbuken wenu,kaja hapa na takwimu zake za ajabu hadi kufikia kuweka majina ya viongoz na kuwapachika dini ambazo si zao kwa makusudi kabisa ili kupigana crusade war yake kisawasawa,kaweka data za uongo,hajamuuliza source wala hamjamtaka aombe radhi kwa ule uongo wake,kama sio double standard ni nin??

Wanadhani wanaweza kuja hapa kupata umaarufu wa bure bure bila kuwa na maarifa kichwani??

Makanjanja wakubwa hao...
 


The Big Show,

Salaam Al Akhiy.

Yaani hawa jamaa ni watu ajab pita kiasi...na Allaha'mdulillahi nashukuru mno hapa jamvini nimejifunza mengi mno toka kwao.

Hivi jaribu ku-imagine huo utumbo na upuuzi wa huyo Yericko hapo juu angelisema yeyote kati yetu sisi ingelikua vipi zile kashfa,kebehi,tashtit na yale matusi yao!?...lakini jambo limefanzika na Kasisi wao woote wamenyamaa kama kondoo walopigwa radi!ahaha!!

Kumbuka kiwavi huyohuyo,khalaf ati huwa anarejea tena hapa jamvini kuwakanya watu wenye shughuli zao yakuwa wawe wastaarabu na pia wajihadhari wasende nje ya mada!?ahaha!!...afana'alek!!

Haina neno tuendelee na mnakasha.

Ahsanta.

Cc;Ritz
 

gombesugu
Waleykhum Salaam Al akhiy,
Hawa jamaa mimi nawashangaa sana,ukitulia na kuwasoma kwa umakini utakuja kuibain waz waz chuki yao,

Na jins walivyo na wanavyojaribu kuyatwist maandiko ya Moh Said ile yaonekane kama yamekaa kuwapigania waislam na uislam,wanayatoa moja kwa moja kwenye maudhui kuu,

Moh Said alichokifanya yeye ni kuandika kama yalivyo,na hajachagua,ukisoma kwa umakin hiki kitabu utakuja kuona si tuh kwamba wametajwa wazee wa kiislam pekee,bali wametajwa na kuzungumziwa historia za watu wengi waislam na wakristo,sasa kwa kuwa wao wanaona kama waislam wamekwezwa na kupambwa,wao wanaona huu ni mwendelezo wa malalamiko na kupigiwa upatu waislam na uislam hali ya kuwa si hivyo...



Wakae wakitambua ya kwamba hii historia ishaandikwa tayari na watu kwa sasa tuna furaha na amani kwani kila kitu kipo wazi,na wale ambao walifichwa kwa hila mbali mbali ili wasifahamike kwenye harakati za ukombozi wa taifa hili washafichuliwa tena kwa umakini wa hali ya juu sana...



Waache hao wakae wakikesha na kukejeli hapa JF kwa kudhani ukweli utafutika,wanajisumbua sana....


Na kwa kweli tumekwisha wakanyaga,wakanyaga mithili ya mitalawandaaa,wako wapi hao waliokawa wanajidai kuwa ni waasisi na mababa wa taifa hili??

Wako wapi leo??


Victory Won...!!

Ukweli utasimama daima,wanune wakasirike na ikibidi wapasuke,lakini ukweli umesimama na dunia imetambua kinaga ubaga....
 
gombesugu,

..hapana.

..wananchi wa Meru hawakuwa wabinafsi ktk harakati zao za kudai kupokonywa ardhi yao.

..JAPHET KIRILLO, aliyewasilisha madai ya Wameru UN, ni mmoja kati ya waasisi wa chama cha TANU.

..harakati za uhuru wa Tanganyika zilikuwa na "plots" nyingi. Mgogoro wa ardhi wa Meru ni kati ya "plots" hizo zilizowaunganisha wa-Tanganyika kudai uhuru wa nchi yao.

..Japhet Kirilo amepata kunukuliwa akisema hivi: " The eviction woke our people up to the indignity of being ruled by foreigners. Now we nationalists are going to wake up all Tanganyika. "

..habari ya Chief Marealle na UTP ni ndefu kidogo. kuitendea haki kunapaswa kuwe na thread yake maalum.

cc: Nguruvi3, Ritz, Wickama, Yericko Nyerere, Mag3
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha THE BIG SHOW A literature review does not shy away from opposing views,it must deal with them credibly.


 
Last edited by a moderator:
Hawana hoja ya kuongea, wamebaki kusalimiana na matusi juu!

Haya tuendelee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…