Hii ndio shida ya kuwapa mtandao ambao hawajatoka ktk kupeana taarifa kwa midomo ktk vibaraza vya gahawa.NImekuambia ."Km viwango ni vya madrassa lazima umuone ni GOAT" pia kama anaendekeza midevu km mbuzi si mbaya akaitwa hivyo.Sasa wewe unaleta habari za eneo ktk picture.
Ni bahati mbaya iliyoje,
Wanajamvi wengi hapa hawajavisoma vitabu husika vinavyojadiliwa hapa, wewe ukiwemo!
Hili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.Wewe kichwa maji kabisa..unzidi jiabisha..Wamasai na makabila mengine akina mama wanaishi maziwa yapo ,wahindi matumbo na migongo nje, ila watu waoa hawana shida.Hata mjini watu wanaoga ktk public pools/beach wakiwa na hizo bikin na hakuna mtu anawaita wapo uchi...hapoa si suala la uchi ila ni suala la kutokea sehemu isiyo sahihi.Na hivyo watu,hupata mtazamo tofauti ktk sehemu walizotegemea kitu tofauti.
Mbona wapo akina dada kibao tuu wamefunika hadi uso "....uchi mwingine wenye macho..",ila wamechomekemea hema ktk chupi,au wengine wameshikilia hema huku wamebana makalio ?Hao ndio wanaonyesha utupu wao kwa kutumia nguo.
Shariff Al akhiy Al habiby alwatan Ahali yangu Abu Jahl sweet Ritz je umepima upepo au unafurahisha jamvi tu? Amini nakwambia hakuna mtu mwenye hati miliki ya kuongoza Tanzania...
Ha ha haa... picha imekukera eehh kuna watu humu jamvini maandishi hawayaelewi,hivi mbuzi akigoma kwenda unambembeleza wimbo wake unaujua ni kiboko tuu:deadhorse: kuna watu huku wanakula viboko vya picha tuu hiyo ndio dawa yao.Hii ndio shida ya kuwapa mtandao ambao hawajatoka ktk kupeana taarifa kwa midomo ktk vibaraza vya gahawa.NImekuambia ."Km viwango ni vya madrassa lazima umuone ni GOAT" pia kama anaendekeza midevu km mbuzi si mbaya akaitwa hivyo.Sasa wewe unaleta habari za eneo ktk picture.
Boko haram, haya yananihusu nini mie? kweli sasa naamini wewe ni mgonjwa wazimu! bora Ritz au mzee wenu mchimvi akupeleke matibabu kabla hujaanza kuvua nguo hadharani!Ha ha haa .... eti waislamu ni wachawi na wanamajini msome huyu mgalatia au kamanda mwenzako mwenye imaani ya ki rastafari nyuma ya pazia la ukristo anavyo sema Yericko Nyerere
90% ya Wazungu ni Majini
Kwakutumia historia ya binadamu kibiblia, ukichambua kila uzao na sampuli zake unabainisha wazi hilo nilisemalo, japo laweza kuwa zito kwa wengine.
Kwa wale muaminio biblia mnaweza kukubaliana na mimi kuwa sababu kuu ya Mungu kuiangamiza dunia enzi za Nuhu, ni kutokana na wanadamu kumuasi mungu, maasi yalikuwa yakufuru hasa yakihusisha mwingiliano wa majini na binadamu, wanyama na binadamu nk na baada ya angamizo hilo, manusura walikuwa ni Nuhu, wanawe, mke wake, na kila kiume kibaya na chema aliviokoa mke na mme. Mwanzo 7:1-11
Hapa tunaona kuwa na majini yaliokolewa na Nuhu, Sasa tukirejea katika masimulizi yetu tunaona sasa baada ya Nuhu kuokolewa na safina, wanae watatu wakiume ambao tayari walikuwa wameoa (enzi za gharika) mmoja wao Yafethi alikuwa kaoa jini, wakati wawili Shemu na Hamu wao biblia inasema walioa mahali ambapo si chukizo mbele za Mungu. Mwanzo 10:1-7
Uzao wa wana wa Nuhu ndio unatupatia ukweli wa nikisemacho, kwanza tunaona kuwa wana wa Yafethi alieoa jini ni, Gomeri (Ujerumani), Magogu (Cambridge UK ), Madai (Hispania), Yavana (Italia), Tubali au Yunani (Ugiriki), Mesheki (Lebano) na Tirasi (Ufaransa), Mpaka hapotumeona uzao wenye ushirika na majini waYafethi
Sasa tuangalie uzao Hamu unaotajwa kuwa Mungu aliupenda na kuupa baraka tele, uzao huo ni Kushi (Ethiopia), Misri (Misri), Kanaani (Israel) na Putu (Libya)
Mwanzo 10:21-23 Tunasoma yakuwa wana wa Shemu ambe ni sehemu ya kipenzi cha Mungu, ni Elamu (Saudi Arabia), Ashuru (Syria), Arfaksadi (Kuweit), Ludi (Jordan), na Aramu (Qatar)
Mpaka hapo tumepata mwangaza kuwa uzao wa Yafethi wenye tokezo la majini/uovu ndio uzao wa mataifa karibu yote ya Ulaya. nauzao wa Hamu na Shamu ndio uzao uliopewa neema na muumba hii ni kwamujibu wa maandiko ya kiroho.
Kwamaandiko hayo tunaamini kabisa kuwa Mashariki ya kati, na Afrika ndio maeneo muhimu ambayo mungu aliwabarikia watu wake.
Hata ukitumia Kuruani takatifu hayo yote yanabainisha wazi kabisa.
Kwamsaada zaidi rejea Mwanzo 4:16-24, Ufunuo 16:13-15, Ufunuo 20:7-8, Ezekieli 27:12-14, Ezekiel 38:1-9
Kwakupanua wigo wa mjadala nje ya biblia hasa wale wenzangu waaminio Freemasonry ijapokuwa watetezi wake hupinga kuwa si ushetani/ujini, watambue kuwa uzao wa asili wa freemasonry ni Magogu (Cambridge UK) japo katika historia inasema ni Scotland UK
Haya ndugu zangu nawakaribisha katika tafakuri njema. Posted by ynyerere on September 23, 2012
Baada ya kusoma chunguza kizazi kipi ni cha kijini na kizazi kipi mungu alikipenda na kizazi cha shem ndicho kizazi cha waarabu ambacho wewe unakichukia na mwenzako aliyeleta huu uzi lakini biblia inasema kizazi hicho ni kipenzi cha mungu,kizazi cha Yafethi ndio kizazi cha majini na ndio nchi zote za ulaya kama alivyo nukuu mkuu Yericko kutoka kwenye biblia.
[
umesma kweli...siwezi intentionaly kiinua hicho kitabu..km nisivyoweza inua vijarida vilivyokuwa vinauzw apale shule ya uhuru miaka hiyo sijui hadi leo vipo+magazeti ya Shingongo ndivyo nisivyoweza soma vitabu vya hovyo vya islamic scholars.Thanks GOD Jf imekuwa paltform nzuri sana ya kuweka mijadala na kupata references at athe same time..HUyu jamaa alicho quote kimetosha mmaliza mwenyewe.
Vitabu vya hawa waandishi havina muto kabisa.Sasa hivi wapo busy kuandika kuhusu free masons...ni tishio kubwa sana kt ya waislam, na hawa makanjanja ndio wanapopiga bao kuwauzia DVDs na vijarida vyenye issu hizo.Nimeona sehemu watu wanaangalia msimulizi aliyepo ndnai anawatolea akina Beyonce, na wengine km freemasons, ...masikini weeee wanazidi wapotezea muda watu wao ambao elimu ndio tuijuayo.Wanapotosha hata fikra kidogo walizobaki nazo baada ya kuharibiwa madrasa.
Shame on these guys inc.....MS
Si bora ingekuwa ni pombe tuu inaonekana anatumia na hii kituHili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.
Ha haa siku shangai ikishafika weekend lazima upate mauchokozi kiti kirefu at workBoko haram, haya yananihusu nini mie? kweli sasa naamini wewe ni mgonjwa wazimu! bora Ritz au mzee wenu mchimvi akupeleke matibabu kabla hujaanza kuvua nguo hadharani!
Mwalimu nyerere mwenyewe amesikika akisema kwamba katika kugombania uhuru wa tanganyika, wakiristo walikuwa wawili tu, yeye Nyerere na Paul Rupia kama sikosei
Pili padri Munishi anasema serikali ya tanzania inauwa waislamu, nasema huyo ni padri anayesema hivo sio sheikh
tazama video hiyo
TANZANIA SERIKALI INAUA WAISLAMU - YouTube
GombeSugu,
Mimi ni Mtanzania, naweza kuishi popote katika Jamhuri hii labda katika mpya iweke ukomo wa Mtanganyika kuishi kwa hiyari!
Sio Makambako tu, naweza kuishi Usokami,Maduma,Kibengu,Ushirombo,Shirati,Magu,Katavi,Mbutu,Makorola,Mchambawima,Mugumu,Tarime,Butiama,Ikizu,Kihodombi,Kilimanyege,nk
Sasa wewe uliyeughaibuni nivigumu kwako hata kujua tz inakwendaje,
Unategemea sisi tuweke taarifa za hali ya nchi hapa jf ndio ujue!
Mmeikimbia nchi halafu mnapinga tunaoijenga nchi tukitaka mabadiliko!
Karibu Butiama tutakuandalia ugali wa mtama na kichuri!
una mdis lakini unamkubali kiaina...Bahatisha nani huyu hapa chini?
Yericko,
Mimi mwenzio mbona sijakimbia nilikuwepo hapo only the February just gonne!...huwa nakuja nyumbani mara tatu kwa mwaka bila ya kukosa.
Pia najishughulisha na kilimo kikubwa hapo hapo nyumbani...
Kwa kifupi sijakimbia kujenga Taifa!ahaha!! Hii khabar pia mjulishe na Mag3 nae, maana kuna wakti alitucheka mimi na Al Akhiy Barubaru ati yakuwa tumo hapa Jf sababu ya Home sick!?ahaha!!...probably he meant Sea sick!?ahaha!!
Butiama natamani kuja au kufuatana na wewe,lakini je watoto wa Mama Maria watakubali kukupokea/kutupokea!?
Si nasikia yule Andrew Nyerere ati alikuja kukuadhiri na kukukataa hapa mbele ya umati wa watu!?....au labda ni maneno ya fitna za hapa jamvini na hii khabari si kweli!?
Tafadhali Yericko,ni kweli inabidi ujirekebishe khasa pia kauli/language utumiayo baadhi ya nyakati. Wewe bado ni kijana,jaribu kutumia muda wako kiungalifu na kujijengea hishma nzuri na mapenzi kwa wengine hata kama una mitazamo nao tafauti.
Achana na hawa mashabiki wako wa hapa jamvini,wengi wao hawakutakii mema. Wao wanakushangilia tu kila ufanzalo bila ya kujali ni jema au baya.
Huwezi jua labda, Padri Daktari Slaa/Chadema siku wakiweza kuingia madarakani,wewe waweza kuwa mmojawapo ya mawaziri wa wizara nyeti au hata Waziri Mkuu...sasa ni muhimu kipindi hiki ambacho wewe ni Celebrity mkubwa hapa Jf,inalazim uchunge na kuitunza image na credibility yako ndugu yangu.
Niwie radhi kama nimekukera kwa hayo nilonena.
Ahsanta sana.
Cc;Ritz
Yericko,
Huenda hii hapa chini ikakumbusha jambo.
Hii mada nimeitoa Zentrum Moderner Orient (ZMO) Berlin, 2011 kwa mwaliko makhsus.
Nakunyambulia mukadima ''opening'' yangu.
....................................
Muslims. Seemingly derogatory words like "pandikizi" (singular) and "mapandikizi" (plural) meaning "turncoats;" or the new coined word "Mfumo Kristo" roughly meaning "Christian dominance" are now part of the Muslim and Swahili vocabulary. These analogies are used freely in the Muslim media and among Muslims in every day conversation.
But what usually thrills Muslims and utterly significant showing that times have changed is when in the rallies and in normal discussion Muslims refer to Nyerere hitherto known respectfully as "Baba wa Taifa" as "Baba wa Kanisa," meaning "Church Elder."[1] The move by the Catholic Church to make him a saint has not helped matters. More so it proves all the allegations levelled against Nyerere that he never was a nationalist but a Catholic zealot.
Respect and love which Muslims once had for Nyerere has been completely wiped out. The new generation of Muslims no longer believe in the official history of TANU and the propaganda that it was Nyerere who single handed defeated the British. Muslims instead are honouring the forgotten heroes of independence movement and in so doing invoking emotions particularly in the new generation to stand up against oppression as their forefathers had done against Germans and the British.
Muslim heroes of the Maji Maji War like Suleiman Mamba, Ali Songea Mbano,[2] and Muslim nationalists like Abdulwahid [3] and Ally Sykes,[4] Dossa Aziz, Sheikh Hassan bin Amir,[5] Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Yusuf Badi, Bibi Titi Mohamed,[6] Bibi Tatu bint Mzee, Bilali Rehani Waikela,[7] Ali Migeyo[8] and others are now part of nationalist history which was suppressed for many years.[9] Muslims are demanding the restoration of their history and honour as true liberators of Tanganyika. This is unprecedented. One can only speculate and wonder where this would lead to.
Can we identify this phenomenon as corrective and revision of history or is it a lesson of anarchy in recording history?[10] The result of all this is that the Church has been made to stand naked. That the Church did not play any role during Maji Maji[11] or during the struggle against the British or that it has worked hand in hand with the government to sabotage Islam and Muslims is now common knowledge.
[1]The late Prof. Haroub Othman after reading Sheikh Ali Muhsin's book Conflict and Harmony in Zanzibar and the writer's book The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 -1968 The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press, London 1998 and having come across hitherto unknown information on Nyerere was devastated because he was a great admirer of Nyerere as a patriot and a nationalist. The two books had painted him differently. Prof. Haroub confronted Nyerere and told him that the allegations in those two works have tarnished his image and he advised him to respond to them. Nyerere never did. Christian lecturers at Dar es Salaam University are discouraging students from making references to those two books. Dr. Harith Ghassany's book Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru, has also come up with more information on Nyerere hitherto unknown in the Zanzibar Revolution and the bloodbath which followed.
[2]In all historical references to Maji Maji War hero and Chief of Wangoni Ali Songea Mbano, his Muslim name "Ali" would be omitted and he would be referred to as Songea Mbano.
[3] Mohamed Said, The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 –1968), The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika Minerva Publishers, London, 1998.
[4]Mohamed Said, Broken Dreams, The Life of Ally Kleist Sykes, Phoenix Publishers, Nairobi 2011 (Forthcoming).
[5]Issa Ziddy, Sheikh Hassan bin Ameir (1880-1979). Also See Mohamed Said, "Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968)" (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27[SUP]th[/SUP] February – 4[SUP]th[/SUP] March 2004.
[6]Bibi Titi was recruited into TANU by Schneider Abdillah Plantan and began to mobilize people particularly women to join the party even before he came to know Nyerere.
[7]Bilali Rehani Waikela one of the TANU founder members in Western Province in 1955 and Regional Secretary of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) was detained by Nyerere in 1964 for "mixing religion and politics." His personal papers were of great help in understanding the EAMWS crisis of 1968 and the reasons why Nyerere detained prominent sheikhs banned and the society in 1968. A documentary of his political life has been made and although not officially recognized as a patriot Muslims now consider him as one of the heroes of the independence movement. For more information see Mohamed Said, "In Praise of Ancestors," Africa Events (London) March/April 1977.
[8] G. Mutahaba, Portrait of a Nationalist: The Life of Ali Migeyo, East African Publishing House, 1969.
[9] Maji Maji Museum in Songea which has been greatly desecrated removing all signs of Muslim symbols during the Maji Maji War with Germans. The Maji Maji Museum at Peramiho under the Catholic Church has closed its doors to young Muslims for fear of criticism for distorting history. All Muslim symbols in Maji Maji War against Germans have been obliterated in the Maji Maji Museum.
[10] A children's book authored by the current writer, Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2007 has been blacklisted and cannot be included as a reader in schools because it contravenes the official history.
[11]Yusuf Halimoja, Historia ya Masasi, East African Literature Bureau, Nairobi, 1977 pp 163 175 gives a narration how Christians fought alongside Gerrmans during Maji Maji. Also see P. Gerold Rupper, OSB, Pugu Hadi Peramiho: Miaka 100 wa Wamishionari Wabenediktini Katika Tanzania, Benedictine Publications, Ndanda Peramiho, 1980, pp 31- 42.
Muulize Mwigulu NchembaKwani ni nani?
Utizamwe kwa tahadhari kwasababu ya kauli zako, uchochezi na kuahidi usuluhishi utakaotokana na vita ya kidini na matamshi mabaya sana katika jamii (sijui kama nitaombwa ushahidi)
Nashukuru umekubali kuwa upo kujifunza na si kusomesha kama ulivyokuwa unasema hapo awali
Kazi ya mikono haikosi makosa kahiyo huna sababu za kutisha watu kwa reviews za ulaya, umeshasema ni ya mikono.
Matundu:
-Historia yako haikufuata kanuni za uandishi wa historia. Imeandikwa halafu matukio, nyakati,wahusika vikachomekwa.
-Masimuizi yako hayakufanyika kisayansi na kwa utafiti uliozingatia taratibu za utafiti bali utafiti wa ''infusion'' ya kaka yako mwenye PhD. Hakuna elimu ya infusion kuna elimu ya kusoma na katika utafiti hilo halipo.
-''Historia'' yako ililenga baadhi ya watu, matukio ya kuchagua na nyakati kama ilivyotokea
a)Kumshusha hadhi na kumdhalilisha Nyerere
b)Kuleta uchonganishi na imani zingine na hata kuwatenga wasioamini na wapagan
c)Kuwagawa watu kwa misingi ya imani na ukabila
d)Kujenga majina kwa gharama za watu wengine
-Kutokuwa na vithibitisho
a)Kuwahoji watu uliodhani wameonewa na kukosa sehemu ya pili ya waliodhulumu
c)Kutumia hisia ''inasemekana'' inasemwa, inadhaniwa, yawezekana kama vithibitisho vya tuhuma
d)Kuwatuhumu wakristo bila kuwa na ushahidi bali masimulizi ya siri baina yako na wazee wako waliojaa chuki kama wewe
- Kuficha ukweli
a)Ujio wa Mbuwane Sykes ulikusudia kuua wazalendo na msiba wake ulitokea akienda kuua Watanganyika
b)AA haikuwa mali ya K.Sykes na wala hakutoa wazo, yeye alikuwa mshiriki. Rais alikuwa Matola aliyejua anafanya nini
c)Nyerere alianza siasa kabla ya A.Sykes na alijulikana makao makuu kinyume na madai yako
d)Familia ya Sykes ilishiriki dhulma za mali ya chama kama nyumba iliyotolewa na gavana
e)Mchango wa Nyerere katika kuandika katiba ambayo haikuwahi kuandikwa tangu Mbuwane Sykes hadi Abdul Sykes
f)Nyerere alimshinda A.Sykes katika sanduku la kura mara zaidi ya moja kwa weledi
g)Michango kama ya Maryknol haikuonyeshwa kwasababu ya chuki za kiimani
h)Kifo cha AMNUT ni matokeo ya mifarakano, na ndio walioua EAMWS chini ya Sheikh Amir
i)Sheikh Amir aliendesha siasa majitaka nje ya chama,unafiki
ii)Aliwasaliti waislam kwa kukataa fursa ya kuwatumikia katika serikali
iii)Alihujumu pesa za makao makuu EAMWS na kupelekea chuki mikoani na kujitenga
Kuwagawa na kuwadharau Watanganyika
a)Kudharau jitihada za kwingineko kuhusu mapambano dhidi ya ukoloni
b)Kuifanya Tanganyika kama Narung'ombe na Kipata
c)Kuwafanya Wamanyema, Wazulu na Wanaubi kama wakombozi wa nchii hii(WWW)
d)Kuwapiga vita waislam kwa misingi ya AMNUT, ubara na (WWW)
Historia kuongoza ushawishi uliofikiriwa kabla ya historia
a)Madai yasiyo na ushahidi ya Namba za mitihani na Malima. Imehdihirika ni uzushi
b)Hotuba ya Nyerere ya kuaga, umeshindwa kutoa vielelezo vya chanzo cha matamshi uliyoyanukuu mwenyewe
c)Madai kuhusu ugaidi. Paper ya Ibadan iliandikwa kwa kunukuu bila kuangalia nukuu. Utafiti wa infusion. Uongo
d)Nyumba ya AA na TAA ilijengwa Jumapili, si kweli ilitapeliwa na kukarabatiwa jumapili na familia ya Mbuwane Sykes
e)Wamakonde wa Kipumbwi, umeshindwa kutoa ushahidi wa hilo kwa kuzingatia wakati tulio nao.
Kuwatenga Wazalendo wengine kwasababu ya Imani zao
a)Hukuwahi kumhoji Vedastus Kyaruzi hadi alipofariki hivi karibuni. Kyaruzi alikuwa kiongozi kabla ya Sykes katika siasa
b)Hakuna mahojiano na Kawawa hadi alipofarii hivi karibuni
c)Hukuwahi kufanya jaribio la kumhoji Nyerere bali ulisikia kupitia prof Othman
d)Mchango wa familia kama za Bomani haukuandikwa kama wa Mshume Kiyate na bi Farijala
e)Hukuwahi kumwelezea John Rupia zaidi ya Mshume au Idd Mwafongo kama si bi Mluguru
Kuiteka historia
a)Kuifanya historia kama ya waislam hata kama waislam wanaikataa kwa maneno
i)Abdul alisema(Mohamed)......ni kwa ajili ya ukombozi wa Mwafrika
ii)AMNUT walikataliwa na waislam wa Tanganyika
iii) Kutumia maneno sisi kuipa historia hisia zako na si za washiriki na matukio.
Kuchomeka ndoto zako kama historia
a)A.Sykes kuanzisha chama kwa fikra, katiba na mageuzi mengine yafanywe na Nyerere
b)A.Sykes hakushindwa uchaguzi mkali bai alimwachia Nyerere. Alishindwa na Nyerere katika uongozi wa TAA na TANU
c)Kumfanya A.Sykes Rais wa TANU. Hakuwahi kuwa Rais wa TANU hata sekunde moja
d)ASykes alikuwa Rais wa Tanganyika kuanzia Burma, hakuwahi kuwa hata mkuu wa Wilaya
e)Nyerere alichukiwa, Nyerere alipendwa kuliko kiongozi mwingine wa nyakati hizi na zilizopita
d)AMNUT watarudi kutawala, si kweli na wanapigwa vita na kila Mtanzania mwenye akili timamu.
Hii ni 1/100 ya sehemu ya matundu yasiyozibika kwa patex au super glue. Serious intellectual abuse,
Ningeendelea ngoja kwanza nifute machozi kutokana na hisia za uwezekano wa kizazi kijacho 'kunajisiwa'
Dah inatia uchungu sana!
-
Hili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.