Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


The small minded will take our words wrongly & the evil minded will go out of their way to misinterpret them. It happens to revelation too.
 
Ni bahati mbaya iliyoje,

Wanajamvi wengi hapa hawajavisoma vitabu husika vinavyojadiliwa hapa, wewe ukiwemo!

umesma kweli...siwezi intentionaly kiinua hicho kitabu..km nisivyoweza inua vijarida vilivyokuwa vinauzw apale shule ya uhuru miaka hiyo sijui hadi leo vipo+magazeti ya Shingongo ndivyo nisivyoweza soma vitabu vya hovyo vya islamic scholars.Thanks GOD Jf imekuwa paltform nzuri sana ya kuweka mijadala na kupata references at athe same time..HUyu jamaa alicho quote kimetosha mmaliza mwenyewe.

Vitabu vya hawa waandishi havina muto kabisa.Sasa hivi wapo busy kuandika kuhusu free masons...ni tishio kubwa sana kt ya waislam, na hawa makanjanja ndio wanapopiga bao kuwauzia DVDs na vijarida vyenye issu hizo.Nimeona sehemu watu wanaangalia msimulizi aliyepo ndnai anawatolea akina Beyonce, na wengine km freemasons, ...masikini weeee wanazidi wapotezea muda watu wao ambao elimu ndio tuijuayo.Wanapotosha hata fikra kidogo walizobaki nazo baada ya kuharibiwa madrasa.

Shame on these guys inc.....MS
 
GombeSugu,

Mimi ni Mtanzania, naweza kuishi popote katika Jamhuri hii labda katika mpya iweke ukomo wa Mtanganyika kuishi kwa hiyari!

Sio Makambako tu, naweza kuishi Usokami,Maduma,Kibengu,Ushirombo,Shirati,Magu,Katavi,Mbutu,Makorola,Mchambawima,Mugumu,Tarime,Butiama,Ikizu,Kihodombi,Kilimanyege,nk

Sasa wewe uliyeughaibuni nivigumu kwako hata kujua tz inakwendaje,

Unategemea sisi tuweke taarifa za hali ya nchi hapa jf ndio ujue!

Mmeikimbia nchi halafu mnapinga tunaoijenga nchi tukitaka mabadiliko!

Karibu Butiama tutakuandalia ugali wa mtama na kichuri!
 
Hili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.
 
Ya kus Mkuu wa chuo, A.K.A kasumuk narabuk,

Hata siku moja Tanzania haiwezi kuongozwa na Padri.
Shariff Al akhiy Al habiby alwatan Ahali yangu Abu Jahl sweet Ritz je umepima upepo au unafurahisha jamvi tu? Amini nakwambia hakuna mtu mwenye hati miliki ya kuongoza Tanzania...
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haa... picha imekukera eehh kuna watu humu jamvini maandishi hawayaelewi,hivi mbuzi akigoma kwenda unambembeleza wimbo wake unaujua ni kiboko tuu:deadhorse: kuna watu huku wanakula viboko vya picha tuu hiyo ndio dawa yao.
 
Boko haram, haya yananihusu nini mie? kweli sasa naamini wewe ni mgonjwa wazimu! bora Ritz au mzee wenu mchimvi akupeleke matibabu kabla hujaanza kuvua nguo hadharani!
 


 
Hili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.
Si bora ingekuwa ni pombe tuu inaonekana anatumia na hii kitu
 
Boko haram, haya yananihusu nini mie? kweli sasa naamini wewe ni mgonjwa wazimu! bora Ritz au mzee wenu mchimvi akupeleke matibabu kabla hujaanza kuvua nguo hadharani!
Ha haa siku shangai ikishafika weekend lazima upate mauchokozi kiti kirefu at work
 

Al Habiby Bin Faza,

Nakuona huwe na moyo wa subra kuna watu watakuja kukushambilia wala usihofu chochote na ndugu zetu tu wana mikwala mbuzi tu.
 
Last edited by a moderator:


Yericko,

Mimi mwenzio mbona sijakimbia nilikuwepo hapo only the February just gonne!...huwa nakuja nyumbani mara tatu kwa mwaka bila ya kukosa.

Pia najishughulisha na kilimo kikubwa hapo hapo nyumbani...

Kwa kifupi sijakimbia kujenga Taifa!ahaha!! Hii khabar pia mjulishe na Mag3 nae, maana kuna wakti alitucheka mimi na Al Akhiy Barubaru ati yakuwa tumo hapa Jf sababu ya Home sick!?ahaha!!...probably he meant Sea sick!?ahaha!!

Butiama natamani kuja au kufuatana na wewe,lakini je watoto wa Mama Maria watakubali kukupokea/kutupokea!?

Si nasikia yule Andrew Nyerere ati alikuja kukuadhiri na kukukataa hapa mbele ya umati wa watu!?....au labda ni maneno ya fitna za hapa jamvini na hii khabari si kweli!?

Tafadhali Yericko,ni kweli inabidi ujirekebishe khasa pia kauli/language utumiayo baadhi ya nyakati. Wewe bado ni kijana,jaribu kutumia muda wako kiungalifu na kujijengea hishma nzuri na mapenzi kwa wengine hata kama una mitazamo nao tafauti.

Achana na hawa mashabiki wako wa hapa jamvini,wengi wao hawakutakii mema. Wao wanakushangilia tu kila ufanzalo bila ya kujali ni jema au baya.

Huwezi jua labda, Padri Daktari Slaa/Chadema siku wakiweza kuingia madarakani,wewe waweza kuwa mmojawapo ya mawaziri wa wizara nyeti au hata Waziri Mkuu...sasa ni muhimu kipindi hiki ambacho wewe ni Celebrity mkubwa hapa Jf,inalazim uchunge na kuitunza image na credibility yako ndugu yangu.

Niwie radhi kama nimekukera kwa hayo nilonena.

Ahsanta sana.

Cc;Ritz
 

Al Habiby gombesugu,

"If your heart is always content, then you are the same as or even better than he who has everything in this world."
 
Last edited by a moderator:

Naona unajisifu kuwa ulialikwa German...hapa kuna mengi ya kuongea ambayo sijui km utaweza thibitisha.

Tukirudi hapa
"Mfumo Kristo" roughly meaning "Christian dominance" .Nadhani utakuwa umeona ulivyoweka tfsiri wrong..sijui ni kutojua huko au ni kuwa confuse...kutumia ".Christian dominance" Dominance si "..negative aspect...by default ".Tafsiri yake ni kuwa Christian wanashikilia hatamu..na kwa Tanzania Wakristu wameshikilia nyanya nyingi muhimu.Na hakuna ushahidi kuwa walinyang`anya.Wenzetu wanaojua udhaifu wa waislam..wanaweza peleke mawazo ktk namna ya kuwawezesha ila si hayo usemayo kuwa walidhulumiwa.

Ila wewe si msislam wa kwanza kwenda magharibi na version nyingine ya fikra zao, wakipata sifa kidogo basi wakirudi nyumbani ,huja na version ingine ya hizo praise.Hata CUF WENYEWE NI WALIBERALI WAKIWA NJE YA NCHI...WAKIRUDI ZENJI NI WAPINGA ULIBERALI,NI WAZALENDO.WANA VERSION AYO YA KUPELEKA WEST, WANA YA BONGO HADHARANI,WAN AYA BONGO MISIKITINI NA WANA YA KUMPELEKEA SULTANI.

Huu ujinga utawa cost sana....
-Nyerere aligombea chaguzi kadhaa kabla ya uhuru na mkampa kura kibao.kama alikuw ana makosa basi msingempa kura.Mispende tumia tofauti zake na mabepari kupitisha agenda mbaya.Mlifanikiw akutumia "Ubaguzi/apartheid" na sera za Tanzania kuingiza Tanzania ktk "movement za kiislam Africa na mashariki ya kati".

West wanatofatiana na Nyerere ktk ujamaa na ubinafsishaji ambao uliwafaa sana waislam kuliko Wakristu..watu waliokuwa hawajui uwekeza na kufanya bila usimamizi wakapewa vitengo.Ila uaminifu ,misimamo ,kuchukia kwake ubaguzi wa aiana yoyote na uzuri wa kichwa yake.Waingereza na wamarekani walijua anatofautiana nao kiuchumi na sera na hakuwa na woga,ila walijua hata wao watakuwa salama ktk mikono ya Nyerere km wao ndio wanadai haki.
[/QUOTE]

Historia inaonyesha waislam si wazuri sana kuishi ktk uhuru na kuwa huru....hao unaowaita forgotten heroes are forgotten villains.

Quotes zako zimethibitisha hivyo,Nyerere alifanya zaidi ya inavyoelezwa...yeye ndie alijua njia za kupata uhuru, akawapa hao wazee mpango mzima.Wazee wakampa go ahead na kumpatia idadi ya watu kwa kujiunga ili TANU ipate sura ya kitaifa.Na ndio kosa alilofanya hadi leo tuna Junks km nyie,angeunda chama kingine kitaifa na si kuunda TANU ya pwani na kuipeleka mikoani.Huko mikoani kuna watu wengi sana walitoa hela na kuieneza TANU kwa hela na juhudi zao .Wengine waliacha njia za kwao ili kujiunga na TANU.Leo mnahesabu hao wacheza bao, wasaliti kuwa ni mashujaa?Rushwa na ubinafsi na kutumika kwa waislam wa Tanzania,dhidi ya wenzao ilikuwepo tangu enzi ya AA.Mwingereza na mwarabu alitumia sana.Leo mnamwona sykes kuwa alikuwa tajiri.



Ninachokupendea ni pale unapoleta ushahidi unaotosha kumaliza mwenyewe..Historia ya nchi hii imeficha sana majina ya kiislam ktk wanaoitwa mashujaa kwa jambo moja tuu...kuwashika watu wengi kuwa hao jamaa walikuwa waafrica haswa, waliofight kwa uhuru wa mwafrica...mimi kama kawa huwa nikisoma historia kuna vitu huwa vinaniamsha hisia, na hivyo kuchimba zaidi.

Majimaji ilikuwa ni vita ya kiislam na waislam ktk upande wa Watumikishaji(wafanya biashara ya utumwa), biashara ya Wayao ambao walichukua watumwa hadi malawi,kwa ukatili mkubwa kwa vile walikuwa wakristu na wapagani..HADI LEO CHUKI YA WAMALAWI IPO JUU YA WATANGANYIKA,NA HATA MGOGORO WA ZIWA UNASURA HIYO.Wamalawi wanajua kuwa watanganyika ni waislam wauza watumwa.

Na hapa ndipo uliposhindwa tumia kili au kufany makusudi ili umtumie mungu wenu wa utumikishaji na mauaji.Wabenektini walikuwa upande wa wajerumani kwa vile ndio njia pekee ya kuondosha utumwa na kuwa salama ktk "mfumo islam " uliokuwa ukiendeshwa na waarabu kwa ushirika wa makabila ya kishenzi enzi hizo "wayao", "manyema".Historia ya Pugu inaonyesha jinsi walivyopata shida na uislam.Wakakimbilie kule mlimani ili kuwa salama...na baadaye wakaja komboa nchi..kwa kutoa wanafunzi ambao walikuwaja kuwa fahari ya taifa.Waislam hado leo hawajajtambua kuwa wanatumika.
 


Wanajamvi,

Kuna haya nayo ingekuwa vyema nayo akayasemea:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Conspiracy Theory[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] At the moment there are two books in existence written by non-Muslims which proves that Christians have used their positions in the government to subvert Islam and Muslims. Jan P van Bergen in his book, Development and Religion in Tanzania, (1981) [1] divulges very incriminating information on former President Nyerere.

The book gives details of how during his rule Nyerere used to have private confidential meetings with Bishops to discuss the future of Tanzania.

In those meetings Nyerere is reported to have assured Bishops of his continued support to Christianity.

The work reveals how Nyerere guaranteed Christians a privileged position and backed his promise by appointing them to important positions in his government and party.

This book was on sale at the Catholic Bookshop, Dar es Salaam, and was hurriedly withdrawn from sale after it was realised that it was revealing highly confidential and sensitive information on Islam.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [2] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.

The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.
[3] There are also two works by Muslim writers focusing on post-independence relations between the government and Muslims.

The first is an undergraduate dissertation by Dr K. Mayanja Kiwanuka, ‘The Politics of Islam in Bukoba District' (1973);
[4] and the second is a research paper ‘Islam and Politics in Tanzania' (1989)[5]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] by the current author. It was after reading Kiwanuka's work in which he deduced that President Nyerere was justified in using his high office to prevent a parallel Muslim force from developing in the Tanzanian body politic to ‘preserve national unity', that I as a Muslim first, and a patriot second, felt obligated to respond with a research paper to give the Muslim version of the crisis which for two decades remained unheard.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] There is also the ‘Kwikima Report' (1968)[6] which gives a detailed account of the Muslim crisis, its source and the role of the post-independence government in subverting Muslim unity.

This report is valid today as it was then. It reveals how the Party, government and few Muslim bureaucrats used their political offices to put brakes on Islam in the belief that that particular decision was desirable as a matter of national interest. The above five references are important to students of Tanzanian politics and history; and to anyone who wants to understand the source of religious sentiments engulfing the country.

All the above referred books, papers and reports, in their multiplicity of authorship and diversity in approach to the subject, prove the fact that there has been for almost a century a continuous conspiracy, first by colonising powers in Tanganyika, and then by African Christians, to relegate Islam and Muslims in free Tanzania.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1]Jan P van Bergen, Religion and Development in Tanzania, (Madras, 1981). passim.

[2] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).
[3]Ibid. p 37.
[4] K. Mayanja Kiwanuka, The Politics of Islam in Bukoba District (1973), B.A. Thesis, University
of Dar es Salaam.

[5] Mohamed Said, ‘Islam and Politics in Tanzania' (1989) and Tewa's unpublished manuscript
‘A Probe In the History of Islam in Tanzania',and Waikela's papers and newspaper cuttings on
the crisis were of great help. This paper was later published by Al Haq International (Karachi)
Vol. 1 No. 3 August- December 1993, under the same heading.

[6]'Kwikima Report' is in The Standard, 12 December, 1968, and also in The Nationalist, 15 th
December, 1968. See Bergen, p. 238.
 
Hili ndiyo tatizo la kuja JF umelewa pombe angalia unavyojidhalilisha, halafu cha kushangaza wewe ni kiongozi wa Chadema, ha haa haaa.

Uongozi wa CDM umenipa wewe?Mbona mbea wewe?Nikupe Full name yangu ukaulizie CDM?Naona unachelkelea kutania Ubongo kwa vile unadhani hauna kazi...km wewe huna na upo ktk mtandao kwanini usifikiri hivyo.Wenzio pia nao hufikiri hivyo ndio maana hawataki soma na kufanya kazi kwa bidii kwa vile wanaoan hakuna haja km kazi mnapewa kwa udini na mkikosa mnalia kwa udini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…