THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Acha wehu wewe...Usijifany hunielewi?uliandaka hiki
Nikakuuliza hiki
Sasa unaleta mambo ya kihuni hapa.Acha utoto mzee mzima..sasa unachojibu ni kwamba laihudhuria mkutano?
Ndugu acha uongo!
Unawasomesha watu 200000+?? Hao wamekuambia kuwa wapo hapa kwa dhamana ya wewe tu?
Unajichanganya sana na hujui usimamie wapi!
Jana tu hapa umemwambia Nguruvi3 kuwa upo hapa kujifunza mapya mengi tu,
Lakini leo unaendeleza mchezo wako wa eti unawafundisha watu wote wanaosoma uzi huu??????
Nikuulize,
1)Ulijua ushiriki wa kanisa katika harakati za ukombozi ikiwemo kupitia Maryknoll Sister?
2)Ulijua ushirikiano imara wa Wakristu na Waislamu enzi za kupigania uhuru chini ya Kasisi Maranta na Shehe Issa Bin Amir?
Je hayo ni maya kwako au uliyajua kabla?
hapa katika suala zima la kugombania uhuru wa tanganyika, ukweli umewekwa mbeneni sana.
nadhani hakuna ubaya wowote ikiwa kizazi kipya wataanza kuoneshwa ukweli ulivo
na ukweli ni kwamba
WAKIRISTO WAHAKUPIGANA NA WAGERUMANI WALA HAWAKUDAI UHURU KWA SABABU WALIFUNDISHWA KWAMBA WAJERUMANI NI WAKIRISTO WENZIWAO KWAHIVO HARAMU KUPIGANA NA MKIRTO MWENZAKO IJAPOKUWA ANAKUTAWALA KIMABAVU NA KUFANYA MTUMWA
Na waliodai uhuru kwa muengereza kwa mara ya kwanza walikuwa waislamu, walipofika mbele wakaambiwa nyinyi hatukupenui uhuru kwababu munatupinga. leteni mkiristo hapa ndio mutapata uhuru...wakampachika nyerere na yeye akaingiza wakiristo wacheche.
walipopata uhuru wakageuza kibao, na historia wakaanza kuichezea na kuweka watakavo wao
huo ndio ukweli kama niujuwavo mimi
umesma kweli...siwezi intentionaly kiinua hicho kitabu..km nisivyoweza inua vijarida vilivyokuwa vinauzw apale shule ya uhuru miaka hiyo sijui hadi leo vipo+magazeti ya Shingongo ndivyo nisivyoweza soma vitabu vya hovyo vya islamic scholars.Thanks GOD Jf imekuwa paltform nzuri sana ya kuweka mijadala na kupata references at athe same time..HUyu jamaa alicho quote kimetosha mmaliza mwenyewe.
Vitabu vya hawa waandishi havina muto kabisa.Sasa hivi wapo busy kuandika kuhusu free masons...ni tishio kubwa sana kt ya waislam, na hawa makanjanja ndio wanapopiga bao kuwauzia DVDs na vijarida vyenye issu hizo.Nimeona sehemu watu wanaangalia msimulizi aliyepo ndnai anawatolea akina Beyonce, na wengine km freemasons, ...masikini weeee wanazidi wapotezea muda watu wao ambao elimu ndio tuijuayo.Wanapotosha hata fikra kidogo walizobaki nazo baada ya kuharibiwa madrasa.
Shame on these guys inc.....MS
pamoja na suala uliloulizwa na Ritz,
lakin mimi napenda kukuuliza kuwa JE KITABU CHA HISTORIA YA TZ KINATUMIWA NA UNIVERSITY GANI KAMA REJEA? AU KIMEWAHI KUFANYIWA REVIEW KATIKA UNIVERSITY GANU DUNIYANI?
Je kila aliyehudhuria mkutano/mikutano ya TANU ni muhimu awepo kwenye historia ya TANU?
Hili neno "mabwana" unalipenda sana-ndio maana nilikwambia "get out of the closet" kama bado hujaelewa li googleAcha upumbavu wako wewe,
Huna credibility ya kumuita Moh Said mwehu au muhuni,upumbavu upumbavu wako peleka kwa wapumbavu wenzako...
Ujifunze adabu na heshima,hili sio jukwaa la kutafuta mabwana,
Kama una nia hiyo nenda MMU kule,must be so so craizy...
kweli siku babako anakuzaa bora angepata "wet dreamza".NIkiongelea wewe unahaimia kwa mohamed said,nikimwongelea yeye unajiongelea wewe.Always off-track.
Unataja taja non entities katika huu msafara wa UNO,mbona husemi kwamba bila RUPIA,hii safari isingefanyika na laiti RUPIA angekuwa mmoja wa wazee wako hili jukwaa sijui tungejificha wapiYericko,
Kile kipindi kilikuwa kigumu sana.
Special Branch wakitisha watu kuhusu kujikomboa kutoka ukoloni.
Watu walioingia TANU kati ya 1954 - 1958 wanastahili heshima ya
pekee.
Ali Meli si kama alikuwa katika wanachama wa mwanzo bali alitoa hadi
fedha za ofisi yake Dar es Salaam Municipal Council kutunisha mfuko wa
safari ya Nyerere UNO 1954.
Siku ya pili yake wakaguzi wakavamia ofisi kufanya ukaguzi.
Mole wa wakoloni ndani ya TANU alikwenda kumchomea nguru.
Nguruvi3
Lini nawewe utabeba mikoba na kwenda nayo ughaibuni kuhadhiri??
Kwenda kuua hii sumu ya Moh Said iliyodumu takriban mika 15 na ushee kwa sasa??
Lini nawewe utaandika kwa maslahi ya kizazi chako ili kisije kikasoma huu uchochez wa Moh Said??
Nakupa offer ya ticket go & return kwa trip ya kwanza sharti uanzie kwenda kutoa nondo zako IBADAN...!!
Naomba unitahadharishe km una ulemavu wa akili ili nisikudharau wakati ndipo jitihada zako zilipofikia.Wazungu long time walitenganisha mambo yao.....Wajerumani walikuwepo wamissionary na mapepari....ila wamissionary walidai haki ya ulinzi kwa serikali yao kwa vile walipa kodi na wanastahili.Tanzania ikiwa chini ya ujerumani serikali ya ujerumani iliwajibika kuwalinda kw avile walikuwepo ktk german terrirotory.
Waarabu hawakuteganisha na hivyo walipigana kama waislam na makoloni wauzajina wamikili wa utumwa.Kwa hiyo waarabu walikuwa na shida na makundi yote ya wajerumani..
Nadhani nimekufungua macho.....
Hivi wewe kweli kuna mtu utamfungua macho wakati akili yako ina matege.
mfano ni huyu "Published: November 07, 1995Haha...public speeking ktk universities ni utamaduni ambao tunaukosa sana.Ni heshima ingawa pia inaweza kuw aloopholes ya kusoma perceptions na views za tamaduni nyingine namataifa mengine.Ahmadinejan nae aliwahi karibishwa na vyuo kadhaa..ila wanafunzi walikuwa wakimfanyia experiment..na maswali yalikuwa very specific na provoking.Huyu jamaa kaenda wakilisha islamic issue km African Culture.Ndio maana wenzetu wanasema Africa has no culture...nahdni utakuwa umeona,,,jamaa alivyo too naive au ill-intentionally.
Na hii inaweza kuwa na makundi wau watu tofauti ila waliofanikisha kitu fulani....kuna intellectual km akina Pope staafu Benecti, kuna wajarisiriamali waliofanikiwa na kuwa wawekezaji wakubwa km akina Bill gate, Zuckeman, ..na kuna wanasiasa.Hapa Kwetu akina Mfuruki ,Mengi ,hata mawalla .....wanashiriki sehemu nyingi kuwapa vijana skills zao na mengine ambayo wanadhani yaliwafanikisha....ila siasa za bongo, haziwakaribishi sana hawa jamaa ktk vyuo.....huyu jama yetu aiitwa kw amitizamo ya dini na vitengo vyeny watu wenye mitizamo ya kijamaa na kiislam..km akina mazrui na wengine waliotangulia na wapo funded na tawala za mashariki ya kati.Wengine watamwita kwa vile wanataka pata watu wa ukanda huu wa Africa ,mbaya waandishi wengi wa kibongo hawakua real serious au hawajatumia publishers wakubwa wanaoweza vitangaza.Hakuna kitu km kuwa na cutting edge writing skills na historical facts.Jamaa kw aalivyojieleza ni wazi kuwa hiyo vitabu vyake zaidi ni personal opinions,bila historical facts.Mengi ni analysis binafsi.
Yericko,
Kile kipindi kilikuwa kigumu sana.
Special Branch wakitisha watu kuhusu kujikomboa kutoka ukoloni.
Watu walioingia TANU kati ya 1954 - 1958 wanastahili heshima ya
pekee.
Ali Meli si kama alikuwa katika wanachama wa mwanzo bali alitoa hadi
fedha za ofisi yake Dar es Salaam Municipal Council kutunisha mfuko wa
safari ya Nyerere UNO 1954.
Siku ya pili yake wakaguzi wakavamia ofisi kufanya ukaguzi.
Mole wa wakoloni ndani ya TANU alikwenda kumchomea nguru.
SWEET@Ritz tupa taulo ulingoni mpiganaji kalewa masumbwiNdugu zangu Wanajamvi,
Uongo ukirudiwarudiwa huanza kugeuka kuwa ukweli,
Kusema safari ya UNO ilikuwa 1954 ni UONGO uliopindukia,
Sasa jioneeni, TANU imezaliwa 7/7/1954,
Haya muulizeni Mohamed Said, safari hiyo ya 1954 ya ujumbe wa TANU kwenda UNO ilikuwa tarehe ngapi na mwezi wa ngapi??
Ukweli nikuwa Safari ya Mwalimu Nyerere kwenda UNO ilikuwa ni 05/03/1955. Yaani miezi 8 baada ya kuundwa kwa TANU!
Na safari hii iligharimiwa/ilidhaminiwa na Kanisa Katoliki kupitia shirika lake la Maryknoll Sister la USA, na michango ya baadhi ya wanachama wa TANU akiwemo mzee Paul Rupia na wengineo!
Chama cha TANU kilikuwa hata hakina akaunti ya benki, kwanza kilikuwa kimetoka kwenye vuguvugu la mageuzi kutoka chama cha wacheza bao na mamwinyi (TAA) kwenye
Chama cha siasa za kudai uhuru (TANU)
Sasa ndugu yetu hataki kuweka ukweli na badala yake anapanda hadithi za uongo hapa!
SWEET@Ritz tupa taulo ulingoni mpiganaji kalewa masumbwi
Masikini wee...unaquote kitu kinachohitaji jibiwa kwa hoja..unaandika ulichosahau ili kupotezea?Kweli huna hata heshima kwa watu serious ktk issue.NImekuambia acha uhuni mzee mzima.Ach ukanjanja...sasa hapa tuu unatukanjanja..hao waioijua nchi unadanganya kiasi gani?Nicholas, Hii mada nilisahau kuiorodhesha: 1. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21[SUP]st[/SUP] Century 1[SUP]st[/SUP] - 3[SUP]rd[/SUP] August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
Ndugu zangu Wanajamvi,
Uongo ukirudiwarudiwa huanza kugeuka kuwa ukweli,
Kusema safari ya UNO ilikuwa 1954 ni UONGO uliopindukia,
Sasa jioneeni, TANU imezaliwa 7/7/1954,
Haya muulizeni Mohamed Said, safari hiyo ya 1954 ya ujumbe wa TANU kwenda UNO ilikuwa tarehe ngapi na mwezi wa ngapi??
Ukweli nikuwa Safari ya Mwalimu Nyerere kwenda UNO ilikuwa ni 05/03/1955. Yaani miezi 8 baada ya kuundwa kwa TANU!
Na safari hii iligharimiwa/ilidhaminiwa na Kanisa Katoliki kupitia shirika lake la Maryknoll Sister la USA, na michango ya baadhi ya wanachama wa TANU akiwemo mzee Paul Rupia na wengineo!
Chama cha TANU kilikuwa hata hakina akaunti ya benki, kwanza kilikuwa kimetoka kwenye vuguvugu la mageuzi kutoka chama cha wacheza bao na mamwinyi (TAA) kwenye
Chama cha siasa za kudai uhuru (TANU)
Sasa ndugu yetu hataki kuweka ukweli na badala yake anapanda hadithi za uongo hapa!
Masikini wee...unaquote kitu kinachohitaji jibiwa kwa hoja..unaandika ulichosahau ili kupotezea?Kweli huna hata heshima kwa watu serious ktk issue.NImekuambia acha uhuni mzee mzima.Ach ukanjanja...sasa hapa tuu unatukanjanja..hao waioijua nchi unadanganya kiasi gani?