Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Mbona hatuelewani mwanazuoni wewe?Nimekuambia ushahidi wa watuhumiwa hauwezi kuwa reference.Sasa unaniambia kuwa Historia ya TAA ipo kweupe ndio nini sasa.Nikusaidie kukutetea mwanazuoni...

Huyo Sykes alikuwa na bank?Hela haiwezi toka nje ya hazina hta siku moja...mchango wowote ukitolewa unaingia ktk hazina ndio unatoka.Unless uniambie hujui account kabisa.Mkipeana hela njiani ni offa za kishikaji tuu.Sioni usemacho.

Pengine angekuwa na hoteli au mabasi ndio ungesema anaweza sema tuu watu watumie huduma bila malipo.
 
Haya ni matakataka tupu..sasa haya yanajibu nini hoja yangu?Nimekupa maswali machache sana ukiyajibu basi itasaidia sana kupunguza pelekea watu wasome junks tupu bure.Kama dini yako inajua habari ya sayansi.
Nimeamini wewe ni debe!
 
Wanajamvi,
Sijamtukana Nyerere siwezi kukosa adabu kiasi hicho.

Nachosema ni kuwa Abdu alimzungumza Chief Kidaha
kuhusu TANU 1950 wala Abdu hajasikia jina la Nyerere.

Hii ikijulikana na wengi katika TAA/TANU.
 
Chukuwa darsa hapa chini.

Kama haitoshi chukuwa na hii hapa chini.


Chukuwa na hii hapa.

Namalizia na huu mpini

Hii chini ni zawadi ya Mkuu wa chuo,


Yeah, hii ndio argument with reasons... Mtu unatakiwa ufikiri nje ya box zaidi...

Nikiingia kwenye laptop nitalipitia zaidi, sikuhizi umejitahidi kuchimbua zaidi...
 
Last edited by a moderator:
Haya ni matakataka tupu..sasa haya yanajibu nini hoja yangu?Nimekupa maswali machache sana ukiyajibu basi itasaidia sana kupunguza pelekea watu wasome junks tupu bure.Kama dini yako inajua habari ya sayansi.

Ha ha haa! Yamekuwa hayo tena, wewe si umeniuliza kuhusu kuswali kuelekea qibra wakati wapo kwenye space? Umeuliza wataswali vipi nakupa mipini unaanza kulilia hapa mie natoa darsa kupitia kwako, haya lete swali lingine twende sawa.
 

Labda hujanielewa KISWAHILI,

Nimesema ALIFISADI sio alitaka kudhurumu tu, bali alidhurumu kabisa!

Kama ni kumuombea dua uanze sasa!
 
Nimeamini wewe ni debe!

Boko haram,

Twende naye hivyo hivyo wanaukumbi wanafaidika na mipini tunayompa, kaja na maswali yake ambayo anajitapa aliuza Indonesia mpaka leo hajajibiwa ha haa ha, mimi nimejibu na video nimemuwekea mipini ataki kukubali, ha haa ha.
 
Last edited by a moderator:
Nicholas,
Ndugu yangu panatosha.

Endelea na wengine.

Yericko,

Anajiliwaza wakati wewe hii nafasi ya kufundisha JF miaka mingi umeitafuta, hajui kwa tutakaa na kulala JF hata miaka mitano. Nani angewafahamu kina Mshume Kiyate. Ha ha ha.
 
Wanajamvi,

Huu mjadala unafuatiliwa kwa karibu sana na baadhi ya familia ya Mwalimu JK Nyerere...wakiwemo Dada Rose Nyerere na Sophia Nyerere(mjukuu wa Mwalimu) na bado wanatafakari kama waingie kuchangia au waendelee kuwa wasomaji.

Hata hivyo wanatoa shukrani zao za dhati kwa Nguruvi3, Mohamed Saidi na Yericko Nyerere.
 

Ni jambo jema sana,

Nashukuru kuona Watanzania wengi wanafuatilia mjadala huu ikiwemo familia ya Mwalimu Julius Nyerere!

Dada Rose Nyerere na Sophia Nyerere nawakaribisheni sana mchangie chochote kitakachojenga historia ya Wazee wetu na kuimarisha umoja wetu!

Nawaombeni radhi kwa yanayowakwaza katika mjadala huu, kuweni wavumili kwani tupo hapa kuijenga historia inayobomolewa na wenye hudsa wa amani ya nchi yetu!

Mungu awabariki sana!
 
Mohamed Said,

Matunda ya ngano zako yanazidi kushamiri nchini,

Huko Arusha watu wako washajibu wito wa jihadi na kuua watu wasio na hatia!

Yericko,
Chunga kauli zako! huenda ukawa unachochea fitina na chuki miongoni mwa wa TZ! bomu la Kanisani Arusha walihusishwa Waislamu na Waarabu lakini matokeo yake ni wakristo wenyewe wamekamatwa! sasa bomu ktk mkutano wenu wa Chadema huenda ni wana Chadema wenyewe wahusika tokana na tofauti zao sasa kuanza kumnyooshea MS kidole ni kinyume na maadili na sheria za JF! kama mods, wanafuatilia mjadala huu ni bora upate onyo ili iwe fundisho kwa wengine!
 

Huna credibility ya kuniambia hivyo,

Ninaposema sumu ya Mohamed Said inazaa matinda ninamaana pana zaidi,

Siangalii urefu wa pua tu,

Mohamed Said amechochea makundi ya kihoro kiasi cha leo watu kutazamana kwa dini zao, chuki hiyo imesambaa hata ndani ya siasa za nchi hii, watu kwenye siasa wanatazamana kwa dini zao,

Kibaya zaidi amechochea watu wadini moja waonekana ni wanyonge na wanaodhurumiwa kwa kila kila kitu katika nchi hii,

Hali hiyo inaleta mtafariku kwa kila ukionacho lazima uangaze kidini kwanza!

Mtu huyu ni hatari tena hatari inayo ogofya zaidi watu wanavyofikiria!

Huyu ni mpishi wa mahubiri ya akini Shehe Sale na Shehe Illunga,

Ni play marker wa kila aina ya uchochezi nchini,

Wewe ni miongoni mwa wafuasi wake wakuogopwa!

Nasema Matunda ya UCHOCHEI wa Mohamed Said yanaonekana!

Na hayajaanza kuonekana leo, ni tangu mauji ya mapadre kule Zanzibar, Uchomaji moto wa Makanisa, na vurugu zote unazoziona baadhi ya Waislamu wanazifanya ni kwamsaada wa Mohamed Said!

Kitabu chake kina miaka 15 sasa, hujui kuwa hayo ndio matunda ya kitabu hicho?

Shame on you!!!!
 


Mshikachuma,

Ikiwa kweli usemayo hili ni jema sana.

Huyo Sophia kachukua jina la dada yake Nyerere.

Huyo Sophia mwenyewe alikuwa kipenzi cha Abdu Sykes.
Bi. Sophia akipenda kumwita Abdu ''Kaka Abdu.''

Sophia alikujaolewa na Lawrence Gama.

Jiulize ndugu yangu Mshikachuma iweje mie mtu wa Kariakoo
niwajue watu hawa wa Musoma kwa kiasi hiki?

Wazee wetu waliishi kama ndugu wakati wa kupigania uhuru.

Shangazi yangu yu hai hadi leo aliolewa nyumba mkabala na
nyumba ya Bi Mrugruru mama yake Abdu alikuwa rika moja
na marehemu Bi. Sophia walijuana pale.

Ndiyo humwambia Yericko kuwa na adabu na watu hawa ni
baba, shangazi na bibi zako.

Leo Abdu Sykes Nicholas anamwita mwizi!
Abdu aliyejitolea kwa hali na mali kuipigania TANU hadi ikaundwa.

Dossa kafa peke yake na masikini wa kutupwa Mlandizi kwa ajili ya
TANU...
 
Mshikachuma,
Nisalimie dada Rose. Mwambie aingie tu tupate nondo zake vile vile.
 
Na ukiwa mjinga jifunze kuacha vitu usivyovijua......Nimesema kuhamia (permanent staying).
Pia hata usemalo si sahihi sana ,Hembu imagine hata miaka miwili tuu ukiwa space, utalipiza vipi swala 5 achilia mbali ramandhani.
Kweli ulitakiwa uache usivyovijua!

Nitajie idadi ya siku ambazo msafiri amewekewa katika Quran au Hadith yaani zikizidi hizo siku basi inakuwa si msafiri tena.
 
Mshikachuma,
Nisalimie dada Rose. Mwambie aingie tu tupate nondo zake vile vile.
Wanatamani sana kuingia hapa na kuchangia, lakini kunavitu fulani fulani vinawabana kutokana na mjadala huu.
So bado wanakuwa wasomaji huku wakitafakari kama waingie au hapana.

Lakini bado naendelea kuwabembeleza wachangie japo kidogo tu ili wanajamvi wapate mawili matatu toka kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…