Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed Said naona umebanwa kwenye corner unajaribu kujinasua kwa rope a dope- opponents are going in for the kill-lets hope you get out of this in one piece-WACHANGIAJI wote asanteni kwa somo hili
 
Last edited by a moderator:

Mohamed Said ni Muhaini, na ni janga la kitaifa sasa, asiposhughulikiwa mapema taifa litakuja kujuta kesho!

Sisi hapa tunamuwashia taa nyekundu tu!
 
mohamed said naona umebanwa kwenye corner unajaribu kujinasua kwa rope a dope- opponents are going in for the kill-lets hope you get out of this in one piece-wachangiaji wote asanteni kwa somo hili
kabanwa kwenye kona tena??
Kweli sikio la kufa haliskii dawa?pamoja na nondo zote hizo bado unaukumbatia ububusa?
Kweli mapenzi ni mabaya sana,basi unapozungumza ujaribu kuonesha nawewe ni sehemu ipi aliyobanwa na yeye anapojitahid kujinasua ndugu,usiwe mwepesi kuendeshwa endeshwa na upepo,pia usiwe mwepesi kuchagua upande pasi na kutambua credibility ya upande huo as far as this mnakasha is concerned.
 
Mohamed Said ni Muhaini, na ni janga la kitaifa sasa, asiposhughulikiwa mapema taifa litakuja kujuta kesho!

Sisi hapa tunamuwashia taa nyekundu tu!

Bwana Nyerere huko tusende hakufai kabisa.

Vitisho hii leo?

Kujuta ndiko huku tayari tunajuta.
Wenye fahamu wanajiuliza hivi tumefikaje hapa?

Anaewashiwa taa nyekunda mchunguze.
Siyo Mohamed Said.

Yeye kakaa kitako hawezi kuogopa kuanguka.

Tuliza ubongo wako utaona taa nyekundu inamuwakia nani.
Kwa hakika si Mohamed Said.

Wala wa kujuta hatutakuwa siye.
Tujute kwa kipi tutakachopoteza?

Acha vitisho.
Marehemu Sokoine angekuwa hai ningekwambia nenda kamuulize unamjua Mohamed Said?

Tuliandikiana barua.
Nilimwambia hana uwezo wala haki ya kuwakataza Waislam kusomesha Qur'an katika vibaraza.

Tulimalizana kwa heshima.
Alinielewa.

Mimi si mtu wa kutishika ndiyo maana unaona naandika na jina langu halisi naweka.
Hakuna asiyenijua.

Kuwa na adabu kidogo.
 
asante wakuu wangu najivunia contents zenu na mmenisaidia kujua msamiati wa HISTOHISIA; na hivyo imepelekea mie nami kujua tofauti kubwa kati;

HISTORIA VS
-based on fact
-rules of writing history are followed

HISTOHISIA
-based on fulfilling person feelings
-mostly rules of writing arent followed e.g mzee said book
- for pressure n pride e.g wazee wangu wa gerezan
- praising some groups within community "Group interests" e.g sie waislamu ndio haswa tuligombania uhuru
- developed from CHUKI mf: mzee moh'd anaonyesha wazi kuwa anachuki na nyerere pamoja na dini yake; la angekuwa muislamu ngano mnakasha huu usingekuwepo
 


kaonesha wazi wazi dalili za kukata tamaa,yericko anashindwa kung'amua ya kwamba,
uchovu wa hoja zake umetambulika tayari kwa kila mwenye akili timamu katika huu mnakasha.
 
PLEASE,please do us a favor,vaa sucide belt ukakutane na ma bikra 20 mbele ya safari
 

kama oxford,cambridge na havard wanafikia hatua ya kuyapa heshima maandiko hayo,utakua wewe?
Hakuna wa kuweza kukukataza kuyaita histohisia ama ngano,ama historia fake and whatsoever,,
umeshindwa kuupokea ukweli kwa kuwa umekuwa una ukakasi na mgumu kumezeka kwako,pole sana na ujaribu tuh kuvumilia kama unachomwa na ukweli huo,haki hii itaendelea kusemwa tuh,hadi akili ziwakae sawa,na bila shaka zishaanza kuwakaa sawa sasa.
 
please,please do us a favor,vaa sucide belt ukakutane na ma bikra 20 mbele ya safari

mnaona sasa??
Hizi ni zile dalili za wazi wazi za kuishiwa hoja na kuleta viroja tulizokawa tunazisema,sasa ndio umeandika nini??
Mjadala huu ushakuwa chandimu sasa,hauna heko,hauna staha,hauna mipaka wala ustahimilivu wa moyo na uchungaji wa ndimi zetu,lakini hii si dawa,na hata ukiendelea kulia wewe lia tuh,ila ukimaliza njoo na urudi tena hapa,viboko na bakora za hoja bado zinakusubiri ndugu,hata kama unajitoa ufaham,utarudishwa kwenye track na kupewa darsa maridhawa.
 
Mohamed Said naona umebanwa kwenye corner unajaribu kujinasua kwa rope a dope- opponents are going in for the kill-lets hope you get out of this in one piece-WACHANGIAJI wote asanteni kwa somo hili

Hivi haitoshi mimi peke yangu natoa darsa kwa nyie nyote?
Mnapokuwa wengi na mimi ndipo bongo langu linavyofunguka.

Nimesimama Univeristy of Ohio wakati wa maswali na majibu.

Bingwa mmoja wa masuala ya Afrika anatoa data anasema kuwa
Tanzania Waislam ni wachache ukilinganisha na Wakristo.

Kamwaga takwimu kwa kujiamini.
Ukumbi umesisimka.

Hawa ni Neocons.
Hawapendi Waislam

Walinialika lunch nikawasoma katika mazungumzo yao.
Mie hasikiza sana nasema kidogo.

Sura zao kama vile zinanisuta.
Tabasamu zimetawala kwenye nyuso.

Wanasubiri jibu.

Nikitoa data kinzani nitakuwa sijapata ushindi na mimi lazima niwashinde
hawa Waamerika.

Jibu likaja sijapata kulifikiri hata siku moja.

Nikasema:

''Ushahidi kuwa Waislam ni wengi hautaki takwimu.
Ushahidi wetu ni huu.

Nionyesheni katika historia ya dunia ambako wachache katika nchi walisimama
kupigana na mavamizi a nchi yao.

Waislam ndiyo walionyanyua silaha kupambana na ukoloni wa Wajerumani.
Wangekuwa wachache wangwaachia jukumu hili wale waliokua wengi walifanye.

Nionyesheni tena katika historia wachache katika nchi walisimama kudai uhuu wa nchi
yao.

Waislam ndiyo waliosimama kuupinga ukoloni wa Waingereza Tanganyika.''


Ukumbi ulikuwa kimyaaaaaaaaaa.
Tabasamu zimetoweka katika nyuso zao.

Nyuso zimevaa sura za mashangao.
Hapo nilikuwa nazungumza na baadhi ya wanahistoria wa Afrika na wameandika sana.

Halikjuja swali.
Nilikuja kujua liliwekwa mwisho hili swali kwa makusudi.

Liliwekwa mwisho kunikata ngebe yangu.
Ikawa mimi ndiye niliyekata ngebe yao.
 
Kiswahili kingi ndio kilicho stagnant maendeleo yenu,kiswahili kingi kinasababisha mtu uwe na upeo wa "small holding" ghafla ikipatikana a bigger holding mnanyanganyana matonge mdomoni-hii ndio tatizo la jamii yenu
 

narudia kusema kuwa sijapata mimi kusema kuhusu mambo ya kaptula kwa kweli inaniuma sana jina langu kuhusishwa na matusi na kejeli hasa kwa mtu mzima makamu ya kunizaa.
 

kwenye red hakika nilishamwelewa na kukitia akilini mwangu kile anachokieleza mzze said kupitia kitabu chake.

Pia zaidi alivyoniteka kwa ngano zake ni pale tarehe 14/10/12 siku ya kumbukumbu ya kifo cha baba wa taifa pale radio imani; kwa jinsi alimsasambua mwl nyerere na historia ya tanganyika.

Hakika binafsi nilimuamini kwa asilimia zote hadi kufikia pointi ya kutuma sms ya kumpongeza na ikasomwa hewani huku watangazaji wakifurahia kwakuwa imetoka kwa mkristo na niliandika jina langu.

lakini nashukuru Mungu hakika yeye ni mkubwa kwa kunielekeza kufuatilia mnakasha huu makini na kuweza kupembua kati ya pumba na mchele; yaani HISTORIA na HISTOHISIA
 
wenye akili wanafaham nani mpuuzi anayeighalimu Tanzania kwa sasa. Uchochezi unapozidi tunashuhudia vituko vya mwanza.

Nia ajabu kubwa kuona ndani ya utawala wa kikwete kuachia wachochezi kuendelea kulipotosha Taifa tunashuhudia

wasukuma kila mmoja anataka kuchinja kivyake (mwislam/mkristu/mpagani nk) haya ni matokeo ya historia ya

uchafuzi ya akina mohamed Said
, hili halikuwepo huko nyuma, ni matokeoa ya hasira za ubaguzi zinazoendelezwa kucha kutwa.
Heshima aloijenga hayati kambarage ya kuheshimiana na kuvumiliana katika imani zetu ghafla imeyeyuka nasasa tunatoleana

macho kwa misingi ya udin na kuacha misingi bora ya upendo, umoja, amani na mshikamano aloiasisi nyerere ni kutokana na hawa

akina mohamed said. Mohamed amekuwa kwa amani, amesoma kwa amani mpaka amezeheka sasa amevimbewa amani aloikuta

wakati anazaliwa anatutengezea Taifa la chuki na kisasi- ovyo kabiasa. matukio ya vurugu za uchinjaji mwanza ndo mafundisho

ya mohamedi na kundi lake na huo ni mwanzo tutegemee vituko na vurugu zaidi maana mbegu imemea sasa inastawi.
 
Kiswahili kingi ndio kilicho stagnant maendeleo yenu,kiswahili kingi kinasababisha mtu uwe na upeo wa "small holding" ghafla ikipatikana a bigger holding mnanyanganyana matonge mdomoni-hii ndio tatizo la jamii yenu

Kama umenikusudia mimi napenda kukujuvya kuwa hata Kiingereza nakijua vyema.

Oral English Merit Pass.
First Class.

Cambridge Examination.
Ungependa nikupe zaidi katika hiyo lugha au umetosheka?

Acheni kejeli na dharau.
 
narudia kusema kuwa sijapata mimi kusema kuhusu mambo ya kaptula kwa kweli inaniuma sana jina langu kuhusishwa na matusi na kejeli hasa kwa mtu mzima makamu ya kunizaa.


Mohamed acha unafiki, katika posti yako umemnanga nyerere kama muwongo na ....... kwanini useme hutukani au hii hapa chini

sio post yako? hebu isome kisha useme roho inakuuma kwasababu hujawahi kutukana.




By Mohamed Said

Umeingiza mambo mengi sana.
Kuna Zanzibar, elimu ya Waislam, matokeo mabaya ya shule za Kiislam, kuchinja.

Itakuwa tabu kufanya mjadala uliokuwa hauna mwelekeo ulionyooka.

Lakini kwa mukhtasari ukitaka historia ya Zanzibar na maendeleo yake itabidi tuanza kwa kuvamiwa
kwa Zanzibar na jeshi mamluki la Wamakonde kutoka Kipumbwi wakifadhiliwa na utawala wa Nyerere.

Kuanzia hapa tutaingia katika tatizo la Muungano na kwa nini leo Wazanzibari wanadai nchi yao.

Kuhusu elimu ya Waislam itatubidi tuje katika njama za Nyerere kuhujumu chuo kikuu cha Kiislam
kilichokuwa kijengwe Dar es Salaam mwaka 1968 na jinsi alivyotumia uongo na ghilba kuvunja EAMWS
na kuunda taasisi kibaraka BAKWATA.

Vipi shule za Waislam hazifanyi vyema inabidi tuje katika hujma ya NECTA kwa wanafunzi wa Kiislam na
tuupitie waraka wa marehemu Prof. Malima kuhusu yale aliyoyakuta Wizara ya Elimu mwaka 1987.

Wizara ya Elimu na NECTA vimegeuzwa vigango vya kanisa.

Kubwa zaidi ni kuwa Waislam kwa muda mrefu hatukuruhusiwa kujioganaizi nje ya BAKWATA kibaraka
wa serikali.

Makanisa mnaendelea kwa kupendelewa na serikali iliyojaza watendaji Wakristo sisi tungepewa hayo
mabilioni ya MoU kati ya Makanisa na Serikali tusingekuwa kama hivi.

Yapo mengi sasa chagua tuanze na lipi katika hayo hapu juu niliyokugusia.

Wajerumani waliwaweka Wayahudi katika ghetto kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Kwenye ghetto hakuna maji wala misala sasa watu wafanyeje?

Mnatusimanga kwa hospitali mnazoendesha kwa hela ya kodi ya serikali kodi inayolipwa na raia
wote.

Tunabanwa na mfumokristo kisha mnatulaumu hatuna maendeleo
 

Nimesema ''muongo.''
Hilo lipo na naweza nikalirudia wala sijalisema nikiwa siko hadhir.

Na hayo yote mengine naweza nikayarudia tena na tena na tena.
Ila hilo la "kaptula"

Mimi nalalamika kuhusu ''kaptula.''

Naona mnakasha unatoka ladha.
Labda tuupumzishe.

Uchovu umeingia.
Labda tuupumzishe huu mnakasha.

Watu wanasema yasiyokuwapo.
Wengine wanatukana.

Mnasemaje wanaukumbi?
 
Mohamed Said,wallahi nakwambia bila ya huyu mtu Nyerere,uhuru tungeupata 1970,msimamo wake uliopevuka ndio ulisababisha UNO wastuke kwamba ala awa jamaa kumbe wanajiweza
 
Last edited by a moderator:


Mohamed

Wewe ni mtaalam wa kiswahili nitahitaji ufafanuzi wa machache japo yapo mengi.

1. Umetumia neno Necta ni vigango vya kanisa je hili ni tusi au kejeri? kama kweli unaweza kuthibitisha kauli.

2. Umetumia neno Muwongo na Ghiliba je haya ni maneno yenye staha na adabu?

3. Umesema unahusishwa na matusi na kejeli huu ni umoja au wingi, rejea kauli ya tusi kwa maana ya umoja - kaptura, matusi

mengi au ndo kuyumbisha maana ulokusudia?

4. ukisoma hiyo posti yako pale juu imejaa maneno mengi yanayoashiria matusi na kejeri na mengine yanautata MOU, Mfumo kristo, Kodi za wananchi nk huo kwako ni ungwana sio matusi, kejeli au kashifa?


By Mohamed Said

narudia kusema kuwa sijapata mimi kusema kuhusu mambo ya kaptula kwa kweli inaniuma sana jina langu kuhusishwa na matusi na kejeli hasa kwa mtu mzima makamu ya kunizaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…