mwanaharakati, pamoja na kwamba hujaomba msamaha kijana, nimekusamehe kwani hujui ulitendalo. Ungekuwa unafuatilia mjadala huu kimakini, hungekosa kuona kejeli, dhihaka na matusi ya kimtaani anayopewa baba wa taifa, mwalimu julius kambarage nyerere. Lakini hebu shuhudia wazee wa mohamed walivyoupokea ujio wa mwalimu mwaka 1952 dar es salaam.
Julius quickly gained leadership and was elected president of taa. He began by
educating his followers to think about independence. Chief patrick kunambi who knew him well said that his leadership was not based on what julius promised "because julius practically never promised anything.
Because of this goal of independence nyerere and his colleagues reorganized taa as a political party, the tanganyika african national union, on july 7, 1954. It became better known as tanu and the date of it founding, the seventh day of the seventh month became saba saba (in swahili "seven-seven").
His colleagues unanimously elected julius as president of tanu. He was 32 years old at the time. One of the founding members of tanu.
mwanaharakati, amua mwenyewe, hayo ni maandishi ya hao wazee...mohamed said anadai wazee wake ndiyo walimwingiza katika siasa na kumfundisha ustaarabu wa kuvaa suruali mwalimu nyerere...kuna kejeli na tusi kuliko hilo.