Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,301
Wild Card, naipongeza busara yako.Ritz,
Andrew hana jipya. Amemkana Yericko mara kadhaa humu, thread hiihii! Mara hii alipokuja nilidhani ana jipya la kuchangia kwenye thread hii tukufu. Namfahamu kidogo Andrew. Tumwache tu.
Ha ha haa... povu linakutoka eehh wacha tupate ukweli kama umekasirika njoo tuvute moshi wa mabomu huku Arusha kamanda eti anakupotezea muda kunawenzako wamepoteza muda kuanzia asubuhi mpaka jioni huku Arusha wameambulia kuvuta moshi wa mabumu.Andrew Nyerere, hapa tunajadili uongo, uzandiki, fitina na uchochezi wa Mohamed Saidi! wewe kama mtu mzima ulitakiwa uje na hoja za kisomi za kukubali au kukataa uchochezi wa Mohamed Said! cha ajabu wewe unatupotezea muda wetu kumjadili Yericko Nyerere kama mtu binafsi! kama hulidhiki kuwa Yericko ni mtoto wa marehem Julias Nyerere mbona ni jambo dogo sana, wapelekee swala hilo wataalam wafanye uchunguzi wa DNA, sasa wewe unahangaika na akina Butiku! wapi na wapi! Wewe mwenyewe unajuaje kama ni "biological child" wa Nyerere? Nakushauri jadiri hoja zilizopo na sio nani ni mtoto wa nani!
Ndicho ufikiricho... nimekupa mfano rahisi ili nisirudi na nukuu ambazo wenzio wanakasirika...nikakupa kitu A->B, A->C then A->C.Hivyo ndivyo mnavyowadanganya wale wanyonge kati yenu!
Quran haiishi mambo awkward kwa hiyo haishangazi......off course bila makafir dunia itafilisika ..wao ndio buffer segment....Waislam hawajawahi kuwa rationala kihivyo....mpaka leo waislam wanadhani tofauti zao kati ya washia na wasunni kuwa zian mkono wa marekani, wayahudi etc..Nadhani wewe hata mkewe akikuudhi utasema kuna mkono wa wayahudi....siku hizi watu wakitaka quick money...wanatafuta conspiracy ya kuwauzia waislam. -Mbona mohamed kakiri kuwa "............ingawa yeye ni mtume hajui hukumu yake itakuwa vipi.............",hakuna muislam aliwahi jiuliza km dereva hana hakika na ya kuika mwisho wa safari,yaani mafundisho yake mwenyewe hayaampi hakika itakuweje kwa muumini wa kawaida..Waislam wanajua mohamad aliomba toba kwa dhambi alizofanya na atakazofanya baadaye...yet wanasema ndio mfano bora wa binadamu.Mtu anayeomba msamaha halafu akafanye kosa nimkosefu sana.Na kama alifanya dhambi, na Koran yenyewe inasema Yesu hakuwa na dhambi..itakuweje huyo mtume mweye dhambi awe mfano bora?Yote hayo waislam hawajawahi jiuliza hayo.......ninaweza kunukuu Hadith baada ya Hadith kukuonyesha kuwa Makafir watakuwepo mpaka siku ya mwisho sasa nitajie ni Muislamu gani anayetaka kuwasilimisha makafir wote katika uso wa Dunia?
Nimejaribu kuambia hii si sehemu ya kujadili Talmud.....ila kwa vile waislam mkishameza vitu bhuwa mnapapara sana za kutaka bishana.Mkibanwa mnaanza vitishi au km hamna cha kufanya mnajidai wanyonge. Hembu acha wehu..kwanini unadhani.....kuwa alimaanisha wayahudi wa kidini...ktk dini zote..mila/desturi mapokeo ni matunda ya mila za kabila au binadamu....Na ndicho Yesu alimaanisha..ktk kuitimiliza torati aliwaambia kuwa kila mtu aoe mwanamke mmoja na asitoe talaka..........akawaambi ahaikuwa hivyo mwanzo..ila mapokeo tuu ya wazee wao.Kuwa honest bana..Yesu alimaanisha dini pale alipowaambia....vitu kwa kunukuu maandiko..aliwaambia".... imeandikwa..."Na wengi walinyamaza.Kwa vile hawakuwa tena na cha kumhukumu.Karibu kila mtu anafahamu kuwa alikuwa akimaanisha Mayahudi (kidini) kama unavyojua kuwa kuna Mayahudi wa kidini na Wayahudi wa kabila, mitume katika Uislamu karibu wote walikuwa ni Wayahudi wa kabila. Hawa Mayahudi wa dini ndio wanaomtukana Jesus na mama yake Maria nikinukuu: Sanhedrin 106a . Says Jesus' mother was a -----: "She who was the descendant of princes and governors played the harlot with carpenters." Also in footnote #2 to Shabbath 104b of the Soncino edition, it is stated that in the "uncensored" text of the Talmud it is written that Jesus mother, "Miriam the hairdresser," had sex with many men. Je, utaacha kumuita Dr.Zakir kuwa ni muongo?
unadhani kwanini niache?kwani keshaacha uongo?Je, utaacha kumuita Dr.Zakir kuwa ni muongo?
gombesugu, mbona unabadirisha jina la JF member kwani nia mbaya? Yeye anaitwa Yericko Nyerere na ni verfied user, sasa hilo la Yericko Kambarage umelitoa wapi?
Kwemwale,
Salaam ndugu yangu. Niwie radhi naingilia hili suali lako kiduchu kwa huyu nduguyo Yericko Kambarage.
Kwa kifupi,huyu mtoto Yericko lazim atakua ana nia mbaya fulani moyoni mwake.
Ni yeye binafsi Yericko ndie anaesababisha na kuendeleza hizi kashfa kwake mwenyewe na pia kwa Wanafamilia wa Nyerere.
Kamba anayotumia Yericko na kuwarubuni wengi hapa jamvini na walioko nje/pembeni,ni ya kwamba yeye ndo "anamtetea" Nyerere a.k.a "Baba wa Taifa", dhidi ya "chuki" za Waislamu kwa Nyerere na Ukristo!?...pure rubbish!!
Kwa kutumia mitego au maneno kama hayo ya kichochezi mara nyingi utaweza kuwapata na kuwavuta wengi duniani kwa hisia zao!
Kwanini yeye asijibu tu hili suali kiduchu ambalo ni closed question...je wewe Yericko ni mtoto wa kuzaliwa na Julius Kambarage Nyerere aliewahi kuwa Rais wa TANU na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!?...
Hata kama Mama yako sio Mama Maria,sisi hatutojali...maana hayo itakua ni malumbano yenu ya "kifamilia".
Hao viwavi wanaojifanza ati kumstaajabu Andrew Nyerere na kuanza kumkebehi,kwa kifupi wao ndo watu wa ajabu mno!
Nafikiri wanashindwa kufahamu yakuwa Andrew Nyerere anakwenda/anafikiri beyond this silly thread/"mnakasha".
Kwasababu kama Yericko ameweza kuja hapa Jf na kufanza fraudulently verification na kujifanza yeye ni "mtoto" wa Marehemu Julius Kambarage Nyerere,which by itself can amount to criminality...
Je kama labda itatokea siku nyingine huyo Yericko akianza kudai wale ngo'mbe watatu pale Butiama ambao Mama Maria maskini alopewa na JWTZ!?
Hapa Andrew Nyerere,hana chuki yoyote na huyo Yericko wao. Atamchukia vipi mtu asomjua asilan na wala hawajapata hata kukutana/kuwasiliana!? Lakini imemlazim awe responsible na kutoa ufafanuzi.
Kwa kifupi mimi binafsi nampongeza na kumshukuru mno Bwana Andrew Nyerere,kwa kutumia busara na hikma zake na kutufafanulia kwa hili.
Nashukuru kwa kunisikiza japo kiduchu ndugu yangu.
Ahsanta.
Cc;The Big Show, Ritz
Kwa hiyo elimu ikiwa ya msingi ni shida..?Nina mashaka sana na madrassa zenu..sasa km hamsaidii kujenga isingi imara ipo shinda.
Yericko,
Wewe unaleta historia ya shule ya msingi.
Mimi nakuwekea niliyosimuliwa na bibi yangu mkuu historia niliyoishinayo.
Soma hii hapa chini:
''Hayo yalikuwa ya shule. Nikirudi nyumbani kisa nilichokuwa nikikipenda sana kilikuwa kile cha bibi wa baba yangu, Bibi Safi Mukumbo Masiya. Bibi Safi aliletwa Tanganyika kutoka Congo kama mtumwa akiwa na umri mdogo sana. Wakati mimi nikisoma shule ya msingi yeye alikuwa yungali hai. Mimi nilikuwa ndiyo kilembwe chake kipenzi. Kamwe hakupata kuniita kwa jina langu alipata kunieleza hivyo kwa kuniheshimu. Mara kwa mara alikuwa akiniita papa akimaanisha baba nami nilizoeya kumwita mama. Aliniambia mimi na yeyote aliyetaka kusikia kwamba mimi nilifanana sana na baba yake ambaye alimwacha Congo. Aliwahi kunisimulia namna watekaji wa watumwa wa Kiarabu walivyomkamata siku moja asubuhi njema katika kijiji chao kilichoitwa Lwama Kabambale.''
Nina mengi sana.
Historia sisi tumeishinayo ndani ya nyumba zetu.
Fisi angekuwa na common sense kama ya kwako angekuwa amekwisha kufa njaa...Ha ha haa... povu linakutoka eehh wacha tupate ukweli kama umekasirika njoo tuvute moshi wa mabomu huku Arusha kamanda eti anakupotezea muda kunawenzako wamepoteza muda kuanzia asubuhi mpaka jioni huku Arusha wameambulia kuvuta moshi wa mabumu.
........Wagalatia ni mabingwa wa uzushi !..........mnathubutu hata kuzusha kuwa mungu alimtoa mwanawe wa pekee ili afe kifo cha mateso msalabani eti ili nyie muokoke !
'Je !, nikwambieni ni nani wanawashukia Mashetani ?
Wanawashukia kila mzushi mkubwa, na mwingi wa dhambi.
Q: Ash: 221-222.
Ilikuwaje Nicholas kaingia kwenye hii thread..? Ndo basi tena ishapoteza muelekeo ..
Huna la zaidi, akili yako duni inajadili watu badala ya mawazo(ideas). Pole sana mgonjwa wa akili. Hayo ndio madhara ya bangi za utotoni. Shukuru kwakuwa baba yako ni sheikh, ama sivyo ungekuwa jela mjinga wewe.Ha ha haa... povu linakutoka eehh wacha tupate ukweli kama umekasirika njoo tuvute moshi wa mabomu huku Arusha kamanda eti anakupotezea muda kunawenzako wamepoteza muda kuanzia asubuhi mpaka jioni huku Arusha wameambulia kuvuta moshi wa mabumu.
HASWA.nadhani THE BIG SHOW ameshadhurika medullaHahahahahaa daah hapa kuna watu nadhani wanatumia drugs!
Gwalihenzi ndugu yangu umenifurahisha sana baba yangu ni sheikh wala hujakosea kwa hilo am proudly mtoto wa madrasa mbona wewe unamjadili mzee Ms badala ya hoja au ni huu ugonjwa unaomsumbua Nicholas na wewe unao kwasababu kipindi cha maembe vichaa wanazidi masokoni!Huna la zaidi, akili yako duni inajadili watu badala ya mawazo(ideas). Pole sana mgonjwa wa akili. Hayo ndio madhara ya bangi za utotoni. Shukuru kwakuwa baba yako ni sheikh, ama sivyo ungekuwa jela mjinga wewe.
Unapomtaja MS usisahau sifa zake kuu za uzushi, fitina, chuki, visasi,uzandiki, kupenda sifa asizokuwa nazo wala kustahili, kuwaabudu wazungu, udini usio namanufaa katika jamii yake na taifa hili...Gwalihenzi ndugu yangu umenifurahisha sana baba yangu ni sheikh wala hujakosea kwa hilo am proudly mtoto wa madrasa mbona wewe unamjadili mzee Ms badala ya hoja au ni huu ugonjwa unaomsumbua Nicholas na wewe unao kwasababu kipindi cha maembe vichaa wanazidi masokoni!
-Kwanza mimi si kiongozi wa CDM.
-Pili kwanini usingejibu hizo posting huko zilipo.
Oooohoo hehee pole sana!
Mimi ni sehemu ya Watanzania wachache walizalisha ajira na kuajiri Watanzania wenzao hapa nchini,
Mimi nisehemu ya walipakodi wa kati naelekea kuwa mlipakodi mkubwa wa TRA nchini Tanzania,
Nimeishi na kusoma Ulaya na Mashariki ya Mbali lakini sikupiga box huko, niliamua kurudi Tanzania kuwasaidia Watanzania wenzangu na kukuza uchumi wa nchi yangu takatifu!
Huenda sio kosa lako/lenu lakini nikusihi ingia gugu tu umtafute Yericko Nyerere na utaona WASIFU wangu ndugu!
Ukibahatika kuniona kwa macho yako ya nyama utanidharau mara mbili ya hapa, lakini katika himaya yangu ninawafanyakazi wazee kama wewe na wananiheshimu nami nawaheshimu!
Katika tafakuri yangu kuu nimesema wazi kuwa ni kweli "Historia ya Uhuru wa Tanganyika inamapungu" na inahitaji Mahuisho, lakini hiki alichofanya Mohamed Said sio Mahuisho bali ni Uchochezi, Ufitini, Uzandiki na Uhaini kwa Taifa letu"
Hapa ninamaana kuwa hata kitabu cha TANU cha Kivukoni kinamapungu, lakini cha Mohamed kimeongeza mapungufu zaidi, badala ya kurekebisha historia sasa Mohamed Said amebomoa zaidi, na kibaya zaidi amepandikiza chuki ya kidini ambayo ndiyo turufu ya kitabu chake!
Katika nchi zetu za kiafrika ukitaka kumuondolea binadamu ufahamu wake basi katika chochote umpacho tia neno la kiroho tu utampata kama ngamia wa kisomo!
Huenda lengo la Mohamed Said halikuwa kuudhi jamii, lakini hulka yake ya kiimani imemtia matatani, na mpaka dakika hii haoni kama ni mkosaji!
Mimi rastafarian nisiyeamini ukristu wala uislamu ninaona kosa lililo kwenye maandiko yake, na bahati nzuri hata Wakristu na Waislamu werevu wameona kosa hilo kwenye maandiko ya Mohamed Said, na wanapaza sauti zao kukemea uchochezi huo!
Mitume wote ni Maasuum! hakuna Mtume anayefanya dhambi...ama kuhusu kukosea katika masuala yasiyo ya kiWahyi hilo ni suala jingine.Nicholas said:na Koran yenyewe inasema Yesu hakuwa na dhambi..itakuweje huyo mtume mweye dhambi awe mfano bora?
Unachosema wewe ni kigeni! kwa sababu karibu kila mtu ndani ya duru za kidini anajua kuwa Mayahudi walimhukumu Jesus (Yesu) kwa ushirikina, uchawi, uzinzi na usaliti. Jisomee mwenyewe wanavyofundishana katika Talmud:Nicholas said:akawaambi ahaikuwa hivyo mwanzo..ila mapokeo tuu ya wazee wao.Kuwa honest bana..Yesu alimaanisha dini pale alipowaambia....vitu kwa kunukuu maandiko..aliwaambia".... imeandikwa..."Na wengi walinyamaza.Kwa vile hawakuwa tena na cha kumhukumu.
HASWA.nadhani THE BIG SHOW ameshadhurika medulla