Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nafarajika sana kusikia kuna watu wanafaidika na yale niliyoandika.
Wengi wamefaidika na maandishi yangu ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni historia ambayo ilikuwa ikikandamizwa kwa miaka mingi.
Juzi nimepokea email kutoka kwa mwanafunzi mmoja kutoka Marekani.

Anasena hakujuwa kama kulikuwa na ''Muslim movement against British
colonialism in Tanganyika...''

Amesoma kitabu changu kwa ''recommendation'' ya supervisor wake wa
Ph D.

Anasema alihudhuria lecture yangu Northwestern University, Chicago na tulizungumza.
Mimi simkumbuki.

Anasubiri kibali cha utafiti aje Tanzania kwa utafiti zaidi.

Mambo ndiyo haya.

Mkuu umepotosha historia ya Uhuru kwa njia ya kitabu, lakini hata mawazo ya ndugu Shardcole nayo unayapotosha????? Haahaahaa daaah!

Ndugu Shardcole amesema anafurahia kufuatilia mjadala huu hapa, lakini wewe unapotoosha kwa maksudi tu kuwa Shardcole amesema amesoma kitabu na anafurahia kujifunza mengi?????????

Nahofia sana weledi wako ni wakipimo cha richa ngapi???
 
Hivi unaamini kabisa kuwa serikali iliwadhurumu Waislamu?

Hupendi hata kushughulisha tu akili yako mkuu? Unasubiri kulishwa tu habari za vijiweni!

Kunamfano mdogo tu, wanafunzi wanaotoka Zanzibar kuja vyuo vya Tanganyika,

Mfano: Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere hapa Kigamboni, mwaka jana kilipokea wazanzibar 15 lakini katika mchujo wa chuo, ni wanafunzi wa wawili (2) ndio walionusulika.

Kwa mfano huo tu unapata wapi ujasiri wa kusema Nyerere ndie kawadhurumu hawa wanafunzi wa kizanzibar (waislamu)?

Mchawi wa waislamu kwasasa ni Mohamed Said.

''Inawadhulumu'' siyo ''inawadhurumu.''
 
Swadakta...aseme page number watu watafakari! Lakini mambo kama haya ni magumu kwa mzee wetu asiye na mshipa wa aibu...mwisho wa siku atakuzungusha wee na hatimaye kukubandikia kitu kama hiki
.
Hapa amekosa hoja anajaribu kukejeli...
Tumsubiri...

Hiyo siyo kejeli.
Hapo nilikuwa nashangaa.

Mimi sisubiriwi nimo humu napenda sana mijadala.
Khasa ninapokuwa peke yangu na nyie mko wengi kama hivi.

Namjibu huyu namjibu yule nk.
 
Mkuu umepotosha historia ya Uhuru kwa njia ya kitabu, lakini hata mawazo ya ndugu Shardcole nayo unayapotosha????? Haahaahaa daaah!

Ndugu Shardcole amesema anafurahia kufuatilia mjadala huu hapa, lakini wewe unapotoosha kwa maksudi tu kuwa Shardcole amesema amesoma kitabu na anafurahia kujifunza mengi?????????

Nahofia sana weledi wako ni wakipimo cha richa ngapi???

Hebu rejea tena kwenye post yangu.
Usifanye pupa soma taratibu.

Ukitaka kujua weledi wangu angalia vitabu na paper nilizoandika.
Vyuo niliovyoalikwa...
 
Hapana. Kitabu cha Bergen hakijawahi kupigwa marufuku. Kiko out of stock. There is a big difference there. Kitabu cha Mwembechai alichoandika Njozi kilipopigwa marufuku serikali ilitangaza. Kitabu cha Bergen kilitolewa makala chache tu kimemalizika, na wala si kwamba kimepigwa marufuku. Kitabu cha Sivalon (2001) ninacho. Niambie ni ukurasa gani Nyerere amenukuliwa akielezea chuki zake kwa Uislamu. That is all.

Soma tena kwa utulivu hiyo sentensi halafu jishauri kama unataka nikujibu swali lako. That is all.
 
Kwa umri nilofika mimi nina jukumu la kusomesha.
Huenda ikapatikana faida kwa vijana.

Hii ni rasilimali ya taifa letu la kesho.

Hebu rejea tena kwenye post yangu.
Usifanye pupa soma taratibu.

Ukitaka kujua weledi wangu angalia vitabu na paper nilizoandika.
Vyuo niliovyoalikwa...

Mzee mohamedi acha mbwembwe maswali umepewa huyajibu mzee mbona longolongo nyingi! kalale kama umechoka kesho utayajibu.

quote_icon.png
By Yericko Nyerere

Kwanza nikupongeze mkuu, na nikupe pole kwani mjadala wewe unachukua karibu wiki ya tatu sasa,

Nimeamua kuuleta hapa peupe kwakuwa kule mjadala huu ulijificha chini ya Tamko la maaskofu, lakini hapa tunapata uwanja mpana wakujadiliana kwa hoja kile ukiitacho historia upande wa pili na kile nikiitacho mimi kuwa ni uchochezi na uhaini.

Nikirudi kwenye majibu ya maswali yangu, Jibu lako la kwanza tu linakutoa kwenye maana ya ulichoandika!

Mfano: Unasema,

"Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika".

Hii inakupa nguvu ya kusema ni historia ya uhuru upande wapili?

Unataka kukiambia kizazi hiki kuwa kila aliyesikia au kuhisi mzazi wake alishiriki katika uhuru wa nchi hii na hayumo kwenye historia aje na kitabu na kukiita historia mpya ya UHURU na kubeza vingine kikiwemo chako?

Katika majibu yako unajichanganya sana, mara useme ni historia ya uhuru upande wa pili, mara histori ya waislamu na sasa unasema ni historia ya wazee wako, Je sisi tusimamie wapi?

Weka sawa kwenye jibu la kwanza tu hapo ili twende mbele mkuu!
 
''Inawadhulumu'' siyo ''inawadhurumu.''

msamehe tu huyu kijana kuanzia kwenye ule mnakasha nilimwambia mzee mohamed Said ni namba nyingine kilugha anakosea kwasababu ni mkuria anajinasibisha na wazanaki!!!!
 
Mzee mohamedi acha mbwembwe maswali umepewa huyajibu mzee mbona longolongo nyingi! kalale kama umechoka kesho utayajibu.

quote_icon.png
By Yericko Nyerere

Kwanza nikupongeze mkuu, na nikupe pole kwani mjadala wewe unachukua karibu wiki ya tatu sasa,

Nimeamua kuuleta hapa peupe kwakuwa kule mjadala huu ulijificha chini ya Tamko la maaskofu, lakini hapa tunapata uwanja mpana wakujadiliana kwa hoja kile ukiitacho historia upande wa pili na kile nikiitacho mimi kuwa ni uchochezi na uhaini.

Nikirudi kwenye majibu ya maswali yangu, Jibu lako la kwanza tu linakutoa kwenye maana ya ulichoandika!

Mfano: Unasema,

"Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika".

Hii inakupa nguvu ya kusema ni historia ya uhuru upande wapili?

Unataka kukiambia kizazi hiki kuwa kila aliyesikia au kuhisi mzazi wake alishiriki katika uhuru wa nchi hii na hayumo kwenye historia aje na kitabu na kukiita historia mpya ya UHURU na kubeza vingine kikiwemo chako?

Katika majibu yako unajichanganya sana, mara useme ni historia ya uhuru upande wa pili, mara histori ya waislamu na sasa unasema ni historia ya wazee wako, Je sisi tusimamie wapi?

Weka sawa kwenye jibu la kwanza tu hapo ili twende mbele mkuu!

wewe balali ndio ukala mzee yuko fit hanywi viroba kama ww
 
msamehe tu huyu kijana kuanzia kwenye ule mnakasha nilimwambia mzee mohamed Said ni namba nyingine kilugha anakosea kwasababu ni mkuria anajinasibisha na wazanaki!!!!

wewe unafahamu vema lugha ya kiswahili? acha utani kaka, tunataka hoja na majibu, wataalamu wa lugha hii wapo jukwaa la kiswahili
 
msamehe tu huyu kijana kuanzia kwenye ule mnakasha nilimwambia mzee mohamed Said ni namba nyingine kilugha anakosea kwasababu ni mkuria anajinasibisha na wazanaki!!!!

Mie nilimuona siku nyingi sana.
Nilikuwa nampa kamba ndefu nilikuwa najua nitamnasa.

Kitu cha kwanza niliona ile pupa yake...
Hatulii hana akhlak njema...

Nikalijua tatizo liko wapi...

Lakini kitu kimoja.
Juhudi hii akiitia katika kusoma na kujifunza.

Akajifundisha kusikiza.
Atafika mbali.

Ana ghera kubwa sana.
 
Mkuu sasa hivi haujibu hoja, umejikita kwenye masahihisho ya lugha tu?

Hoja za kitabu nilichoandika miaka 15 iliyopita.
Najibu kadri ninavyoweza.

Lipi sijajibu?
Lugha ni muhimu nataka mfaidike kwa kila kitu kwa mimi kuwa humu.
 
msamehe tu huyu kijana kuanzia kwenye ule mnakasha nilimwambia mzee mohamed Said ni namba nyingine kilugha anakosea kwasababu ni mkuria anajinasibisha na wazanaki!!!!

Ni vema kutulia kama huna hoja utajifunza mengi mkuu, kuliko kuwa mfuta jasho mkuu,
 
Guaranteed 250 pages

safi sana JF

Ila nakuonea huruma sana bwana Yeriko, mwenzako Mohammed akiongea anawakilisha vielelezo, je wewe una nini za ku counter argue? Nyerere na Mkapa wote ni marais ambao walishakiri kuwa kweli hakuna uwiano sawa na waislam hawakupata their equal share sasa wewe una ushahidi gani wa ku counter argue?

Pia kabla hatujaenda mbali unajibuje kuhusuhili:

Kikwete si aliwaambia na nyie mpeleke ya kwenu?mmefikia wapi?na kama sio hiyo hapo,wewe ungetibiwa KCMC au Bugando?
 
Hoja za kitabu nilichoandika miaka 15 iliyopita.
Najibu kadri ninavyoweza.

Lipi sijajibu?
Lugha ni muhimu nataka mfaidike kwa kila kitu kwa mimi kuwa humu.
VIPI ile mutiny ya wanajeshi 1964-wazee wako walihusika au ni maneno ya mtaani
 
wewe balali ndio ukala mzee yuko fit hanywi viroba kama ww

Kaka bokoharam kwani hapo dukani kwako umemaliza kuuza viroba vya jana? mimi hupita tu hapo kijiweni kwako unapouzia viroba.

Mimi sinywi viroba, haviswihi wala sio suna.

mwambie basi mohamedi atulie kwenye hoja aache kona nyingi, sawa kaka.
 
Hoja za kitabu nilichoandika miaka 15 iliyopita.
Najibu kadri ninavyoweza.

Lipi sijajibu?
Lugha ni muhimu nataka mfaidike kwa kila kitu kwa mimi kuwa humu.

Tangu tuanze mjadala huu umekuwa ukiuvuruga kwakutoujibu,

Umejibu kwa kiwango ambacho umepwaya kimantiki na nilivyojaribu kukurejesha utulie kwenye mjadala umeonyesha dharau na kuhamahama tu na kunakili kutoka kwenye rejea ulizoziandika wewe mwenyewe na kuziona ni jibu!
 
Back
Top Bottom