Nimeisoma tena kwa utulivu. Nasubiri jibu lako kwa swali langu.Soma tena kwa utulivu hiyo sentensi halafu jishauri kama unataka nikujibu swali lako. That is all.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeisoma tena kwa utulivu. Nasubiri jibu lako kwa swali langu.Soma tena kwa utulivu hiyo sentensi halafu jishauri kama unataka nikujibu swali lako. That is all.
Nimeisoma tena kwa utulivu. Nasubiri jibu lako kwa swali langu.
Anaezungumza hapo ni Mohamed Said.
Bwana Mohamed Said nauliza tena, katika mijadala ya nyuma ulisema wapo wanaukombozi ambao uliweza kuwahojo akiwemo Baba yako,
Sasa ndugu, unaweza kututhibitishia sehemu ya mahojiano hayo kwa njia ya sauti ama video?Ikiwa ni ushahidi wa maandishi hauna mafaa kwetu kwakuwa wewe umeandika machapisho mengi kule Wikipedea na umekuwa uki copy na ku past hapa kama sehemu ya utetezi wa maandiko ya vitabu vyako.
Ahaa! Kwa hiyo ni maoni au interpretation yako. In other words hamna direct quote ambapo Nyerere anasema anawachukia Waislamu? We are now getting somewhere.
Ukishindwa kujibu hoja eti hua unadai 'kupuuza' watu, hii ni tactic ya kitoto sana na wenye akili tushajua huna majibu.Hukufata ushauri nilokupa ndiyo maana nami sioni kama iko tija ya mnakasha na mtu wa hulka kama yako.Samahani Nyerere ndiye hakusikiza ushauri wangu wa mjadala wenye heshima na adabu. Mie si wa staili yake. Wengi humu ukumbini wanalijua hilo kuwa huwa nina kawaida ya kuwapuuza watu kama hao na mfano wao.
How self-defeating!Sihitaji kuthibitisha chochote kwa yeyote awaye yule.
Nithibitishe nini ili iwe nini na kutaka nini?
Mou Hii hii au nyingine?
Vipi kuhusu wale 'activists' kwenye ile doc aliyopost Mzee Mwanakijiji wanaodai kuwa rais Kikwete anapendelea waislamu unawaunga mkono?
Ni hiyohiyo mkuu,
Utashangaa kwanini inaonekana imesainiwa kati ya kanisa na serikali ya Tanzania.
Lakini jibu ni kuwa, kwakuwa makubaliano ya asili yalikuwa kati ya serikali ya kigeni (ujerumani) na kanisa, hivyo serikali ya ndani (Tanzania) ilisimama badala ya serikali ya kigeni na MoU ikasainiwa bila mawaa.
Hivyo kile waislamu wanachodai ni kodi ya watanzaia sio kweli, bali ni misaada kutoka serikali ya kigeni (ujerumani) inayokuja kupitia serikali ya Tanzania kama mdhamini wa MoU. Hili hata Mohamed Said analijua fika lakini hawaambii ukweli waislamu wenzie bali anawalisha sumu ya uasi na uhaini tu.
Bila shaka umenielewa mkuu wangu,
elimu ni kitu gani?Mohamed Said, hebu endelea kutoa elimu ya uraia watanzania wanakusoma.
Na hoja zake zikatanabahishwa kua ni muflis, kabla wewe hujajiunga JF/Mohamed Said, kaishaeleza sana masuala ya MoU kabla wewe ujajiunga JF.
Na majini nayo yatamwombea aishi maisha marefu ili aendelee kusanifu historia zingine ma kuupotosha umma.
elimu ni kitu gani?
Na hoja zake zikatanabahishwa kua ni muflis, kabla wewe hujajiunga JF/