Ndugu zako waislamu wenyenye ni kama hawa akina Ritz, The big show, kichwangumu na wengine?
Kama ni hawa wala siumizi kichwa kuwauliza!
Tuendelee kuchambua ngano zako mkuu japo hupendezwi tukiita "NGANO" wakati ndio uhalisia stahiki.
Hakuna watu rahisi kwa sasa DUNIANI kuburuza na kudanganya kama WAISLAM. Ili mradi uwe na maneno makali dhidi ya UKRISTO na WAKRISTO kama Mwalimu.
Ninyi mliobahatika kusomeshwa na mfumokristo mmekuwa kama mwenye jicho moja kwenye kundi kubwa la vipofu( sorry, wasioona). Mnawaburuza wenzenu mtakavyo!Watu rahisi kudanganyika wanakutoa povu hivyo...au mmeamua kujifariji na kujiliwaza.
Ukisoma kitabu cha John IIiffe, utajua kuwa mwanachama wa kwanza wa TANU kisesa alikuwa Zacharia Madilla, mkulima wa pamba na mwenyekiti wa chama cha ushirika. Madilla alilipia mchango wake kupitia mjane wa Lameck Bogohe. Utajua kuwa huko Rungwe ilijulikana kuwa hauwezi kuwa mwanachama wa chama cha ushirika bila kuwa mwanachama wa TANU. Juhudi hizo zilifanywa na wakina Mwakangale. Utangundua kuwa huko Bukoba, Ali Migeyo alipotoka jela, mwenyekiti wa TANU wa wakati huo Herbert Rugizibwa alim-suspend kwa kuhofia kuwa TANU itafungiwa. Lakini Mwalimu Nyerere (yule aliyekuwa na chuki na waislamu) alipotembelea Bukoba alimsema mmisheni mwenzake na kumuamuru amuachie Ali aendelee na shughuli za chama.
Utajua kuwa kwa wasambaa, ni chama cha Shambaa Citizen Union kilichoongozwa na Petro Njau ndicho kilichokuwa kitovu cha TANU. Utafahamishwa kuwa kule Kondoa ambako uongozi serikalini ulishikwa na waislamu ni walimu wakatoliki wa Haubi ndio walioibeba TANU.
na mengine mengi.
Leo hii, huyu mchochezi anataka kutuaminisha kuwa ni ndugu zake wa Gerezani peke yao ndio waliotuletea uhuru! hata aibu hana?
Amandla..........
Hayo unayosema yote nimeyaandika katika kitabu changu.
Kama unacho pitia faharasha (index) utayakuta.
Nimemweleza Bhoke, Eliufoo nk.
Nimemweleza Dr Wilbard Mwanjisi akiwa kiongozi wa TAGSA 1950.
Angalia kitabu utamkuta na najua mengi kuhusu Dr Mwanjisi hadi
ugomvi wake na Nyerere ulopelekea Dr Mwanjisi kukimbia nchi.
Mdogo wake Dr Mwanjisi Rowland Mwanjisi alipokisoma kitabu na
kumkuta kaka yake alifurahi sana na alinitumia salamu.
Ndiyo nasema wakati mwingine angalau mtu achukue muda wa kutalii
kabla hajaandika.
Katika madras maalim akitusisitizia sana kutalii yaani kupitia vitabu kabla
mtu hujazungumza.
Pokeeni ushauri huu.
Lakini na wewe majibu na maelezo yako ni yaleyale tangu ile thread yako mwenyewe. Ungekuwa umefika 65 tungesema umeanza kuwa "senile".Bwana Nyerere hajui kama si madras nisingekuwa
na fahamu hii.
Hajui kama madras imetufunza "power of retention."
Kuhifadhi sura na sura.
Hapa jamvini naona udhaifu wa jamaa zetu.
Atakuuliza swali hilo hilo tena na tena.
Naona udhaifu katika adab wepesi kutumia matusi.
Wepesi kughadhibika.
Wazito kusoma kitu kipya nk.
Ninyi mliobahatika kusomeshwa na mfumokristo mmekuwa kama mwenye jicho moja kwenye kundi kubwa la vipofu( sorry, wasioona). Mnawaburuza wenzenu mtakavyo!
Hivi Bishop Joseph Kibwetele alikuwa anawaburuza kina nani? Achilia mbali kina Kakobe, Mama Rwakatale, Mzee wa Upako.
Tujikite kwenye munakasha wa historia ya TANU tuyaache hayo.
Hawa wote uliowataja hawawaburuzi wenzao kushambulia na kuwachukia watu IMANI na DINI tofauti. Wanawaburuza kuwakamua tu kwa kutumia jina la Yesu. Wanajikita zaidi kwenye Biblia na Miujiza kama ya Yesu. Wao wanajifanya kiungo kati ya wafuasi wao na Yesu.Hivi Bishop Joseph Kibwetele alikuwa anawaburuza kina nani? Achilia mbali kina Kakobe, Mama Rwakatale, Mzee wa Upako.
Tujikite kwenye munakasha wa historia ya TANU tuyaache hayo.
Jasusi,
...
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Betrayal of Ideals[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] On 5 th November, 1985, before he stepped down as president, Nyerere delivered an emotional speech to elders of Dar es Salaam.
Most of them were former members of TANU-the townsman who supported Nyerere during the struggle for independence[1] Nyerere acknowledged the role of Muslims in those difficult days.
Nyerere told his audience that the imbalances between Muslims and Christians which his government had inherited from the British were rectified under his rule:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"]
''And they (Muslims) gave us chance through our education policies, to correct the imbalances which we have done.
I am now in the happy position of sometimes not knowing whether a new member of Parliament, a Minister, or a Principal Secretary in our government ministries, is a Muslim or a Christian or neither unless their first name happens to give it away. And even that is not a sure guide in Tanzania, for we have Christians with Muslim names, Muslims with Christian names. This religious tolerance and freedom is your creation; what I have done is to speak up for those values on your behalf.'' [2][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The speech was a farce.
The truth is that three decades after independence Muslim are not better off than they were under colonialism.
Sivalon has revealed that the Church has been able to create its own lobby which controls 75% of the seats in the parliament.
Among these seats 70% are held by Catholics and the rest are divided among Muslims and Christian denominations.[3][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
.
Hawa wote uliowataja hawawaburuzi wenzao kushambulia na kuwachukia watu IMANI na DINI tofauti. Wanawaburuza kuwakamua tu kwa kutumia jina la Yesu. Wanajikita zaidi kwenye Biblia na Miujiza kama ya Yesu. Wao wanajifanya kiungo kati ya wafuasi wao na Yesu.
Tunakoelekea sasa kubaya. Si umesikia masuala ya kuchinja kule Mwanza yanaleta taabu? Mchango wa mzee Mohamed ni mkubwa tu katika haya.
Unamburuza mtu pale anapokuwa ameacha kufikiri na kuamua kila jambo nawe unafanya hivo kwa niaba yake. Hahoji, hadadisi wala hashtuki. Ntakupa mfano unaotokana na huu mjadala wetu hapa. Waislam wengi tu sasa hivi wanaamini yote anayoyasema na kuyaandika Mzee wetu Mohamed juu ya Mwalimu na utawala wake ni ya kweli.Nini maana ya kuwaburuza.
Nini maana ya kuwaburuza.
Bwana Nyerere hajui kama si madras nisingekuwa
na fahamu hii.
Hajui kama madras imetufunza "power of retention."
Kuhifadhi sura na sura.
Hapa jamvini naona udhaifu wa jamaa zetu.
Atakuuliza swali hilo hilo tena na tena.
Naona udhaifu katika adab wepesi kutumia matusi.
Wepesi kughadhibika.
Wazito kusoma kitu kipya nk.
Unashauri nini kifanyike?Waislamu na Wakristo wote ni kama viatu tu, mnatumiwa kwa kuvaliwa na kisha viatu vikiisha vinatupwa, vinanunuliwa vingine na kuanza kazi ile ile tena na kamwe mwenye kiatu hawezi kukumbuka thamani ya kiatu alichokitumia na kukitupa kama kilimsaidia wakati wakati wa mvua na jua kali, kwa maana ana kiatu kingine kipya! Kwa kifupi wote MATAKATAKA TU!
Unashauri nini kifanyike?
Msiwe kama kama viatu, muwe wavaaji viatu!
Kwa sasa sisi tukiwa viatu, nani anaetuvaa?