Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mimi siwezi kukuripoti kwasababu kufanya hivyo nitajidharirisha kazi yangu nikukupa shule halafu wenzako watakupima uwezo wako.

Hekima ni kitu cha bure, kuwachafua wakatoiliki na kuwapatia kisichokuwepo kwenye katiba yao ni utovu wa nidham

Huwezi kumalizia ghadhabu zako kwa kuhojiana na mtu mwingine uwapelekee wakatoliki matamko.

wakati mwingine tutumie vema hekima zetu, kila siku wewe na Dr salaa hata pale asipohusika. mijadala mingi hutumii uhuru wako vizuri?

Tufanye mijadala lakini kujiingiza kwenye kanisa na kuwaingizia wakatoliki unachokiona wewe bora ni kushindwa hoja tena vibaya.
Shahihisho kidogo siyo kujidharirisha "Kujidhalilisha"

Mkuu naona hoja zimeisha unaleta viroja. Kwa kuwaongelea wakatoliki ni lazima mpaka hujue katiba yao lakini wewe ruksa kuwaongelea waislam.

Kama roho inakuuma kuongelewa Dr.Slaa mwambie aachane na siasa. Hili jukwaa la siasa tunamjadili rais wa nchi sembuse Dr.Slaa.
 
Jamani mwenyemungu ni mkubwa, hudhihiri kila jambo kwa namna apendavyo.Mohamed Said amejificha katika ngozi ya mwanahistoria, ameaminisha baadhi ya watu kuhusu maonevu ya waislam baada ya kushidwa kutetea historia. Sasa anatueleza kile kilichopo moyoni.

Huko nyuma alishawahi kusema ipo siku AU na EU wtakuja kusuluhisha vita vya dini(ushahidi upo JF kwa maneno yake)
Leo anashawishi watu wanunue CD na DVD za Ilunga kwasababu yeye ni 'mtaalamu''

Hebu chukua muda wako kidogo umsikilize swahiba yake Mohamed, sheikh Ilunga halafu utafakari hatari mbele yetu
Nguruvi3,kwenye ili ujamtendea haki Mohamed Said,kaulizwa swali na member mmoja atazipata wapi hizo DVD na CD. Hayo ndiyo yakawa majibu yake.
 
Last edited by a moderator:
Mnaochochea na kutafuta chokochoko zisizo na faida za udini ni mashetani wazi mmejiandaa kunywa damu za Watanzania wasio na hatia. Huwezi kuwa muuguzi kama haukufunzwa kutibu hauwezi kuwa mwalimu kama haujaenda shule tabia zenu za kukimbia shule ndy maana hata huyo mchochezi amekalia hayo tu hana sifa. Shetani daima habadiliki kuwa mwema. Sasa hv kila position wao nchi inakufa bado unataka nini uhuru uhuru mazingira ya tendo la kutafuta uhuru lilikuwa pwani sasa anatatka watu wote wakumbukwe anasitajaabisha... Eti ni waislamu Muovu na uovu huwezi kumtenganisha nyakati zenu kuvuma na kujaribu kuutawala ulimwengu. mungu wa dunia hii anajaribu kuchukua nafasi yake. Na wajumbe wake pia mapovu yanawatoka utabishana mpk asubuhi wanajua wanachofanya. Kote huko machafuko yanaenea wao tu tena waokwa wao. Kupata uongozi ni lazima liwe kwa wachache muwe wote viongozi hata msioenda shule. Mkumbukwe wote kivipi. Boko jitahidi utakuwa rais au waziri mkuu ua utakuwa daktari wewe kwakuwa umuislam. Udini wenu ni ubatili ambao Waktisto watazidi kuwa juu kwa kuwa Mungu wao atawatetea siraha zao za amani tu.
 
Nimefedheheka sana kuliona tangazo la huyu ndugu Mohamed Said la kuhimiza watu watu wanunue CD na DVD za kichochezi,

Hii inanipa picha kujiridhisha zaidi kuwa Mohamed Said ni mchochezi na mhaini wa nchi hii, taifa liwe makini na Sanguine huyu kwani anakotupeleka kesho tutajuta!

Ilunga ni ndugu yangu khasa siogopi wala sioni aibu kujinasibishanae.
Pili Ilunga ni sheikh wangu.

Ama hilo la kushawishi watu kununua DVD za Ilunga wala silikatai ukitaka iwe hivyo.
Ukitaka pia iwe nimeshawishi watu au kuhimiza watu kununua DVD za Ilunga na iwe hivyo vilevile.

Sina hofu na kwa kweli ningependa iwe hivyo.


Ila kwa hapa ukweli ni kuwa mtu kaniuliza humu ndani wapi anaweza kupata DVD za Ilunga ndipo nikaweka wapi zinapatikana.

Narudia tena sioni haya kunasibishwa na Ilunga wala sina hofu kuwaelekeza watu wapi
DVD zake zinauzwa.

Hayo mengine sioni haja ya kujibu.
 
Shahihisho kidogo siyo kujidharirisha "Kujidhalilisha"

Mkuu naona hoja zimeisha unaleta viroja. Kwa kuwaongelea wakatoliki ni lazima mpaka hujue katiba yao lakini wewe ruksa kuwaongelea waislam.

Kama roho inakuuma kuongelewa Dr.Slaa mwambie aachane na siasa. Hili jukwaa la siasa tunamjadili rais wa nchi sembuse Dr.Slaa.

Kama ni masahihisho basi tuanze na wewe, umeandika "Shahihisho" katika ujuvi wangu kwa lugha adhimu ya kiswahili hilo neno "Shahihisho" halipo katika kamusi ya kiswahili, labda umechanganya na lugha ya kikwenu mkuu!
 
Nguruvi3,kwenye ili ujamtendea haki Mohamed Said,kaulizwa swali na member mmoja atazipata wapi hizo DVD na CD. Hayo ndiyo yakawa majibu yake.

Ritz ahsante sana ndugu yangu kwa kuuweka ukweli wazi.

Lakini mimi ningependa iwe hivyo wanavyotaka wao iwe.
Kuwa nashawishi nk nk nk. watu wanunue DVD za Ilunga.

Hakika ningependa watu wengi wazinunue wamsikie anavyozungumza
kuhusu mfumokristo.

Faida kubwa itapatikana.
 
Ritz ahsante sana ndugu yangu kwa kuuweka ukweli wazi.

Lakini mimi ningependa iwe hivyo wanavyotaka wao iwe.
Kuwa nashawishi nk nk nk. watu wanunue DVD za Ilunga.

Hakika ningependa watu wengi wazinunue wamsikie anavyozungumza
kuhusu mfumokristo.

Faida kubwa itapatikana.

Hakuna tatizo lolote kununua CD na DVD za Ilunga Kapungu.

Mie nimepinga walivyokushambulia hujue ndugu yangu Mohamed Said, baada ya hoja zako kuwa na mashiko watu badala ya kushindwa kuzipangua kwa hoja wanatafuta makosa ya kibinadamu kuwa hoja husika katika huu munakasha.

Mie niendelee kukupongeza kwa mchango mkubwa unaoutoa humu kwenye majirisi.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said,

..hivi umeiangalia hiyo DVD ya Ilunga aliyokuwekea Nguruvi3[originally niliileta mimi hapa JF]?

..mimi naomba iutizame halafu urudi hapa utueleze kile unachokubalina nacho, na kile usichokubaliana nacho, ktk DVD ya Shekhe Ilunga.

..Shekhe Ilunga kuwa ndugu yako, ni jambo tofauti na kumuunga mkono ktk mambo anayoyahubiri ktk DVD iliyoleta Nguruvi3.

cc: Ritz
 
Last edited by a moderator:
duh! Mzee Mohamed Said! kweli amani na umoja wetu vinachangamoto kubwa.
 

Ilunga ni ndugu yangu khasa siogopi wala sioni aibu kujinasibishanae.
Pili Ilunga ni sheikh wangu.

Ama hilo la kushawishi watu kununua DVD za Ilunga wala silikatai ukitaka iwe hivyo.
Ukitaka pia iwe nimeshawishi watu au kuhimiza watu kununua DVD za Ilunga na iwe hivyo vilevile.

Sina hofu na kwa kweli ningependa iwe hivyo.


Ila kwa hapa ukweli ni kuwa mtu kaniuliza humu ndani wapi anaweza kupata DVD za Ilunga ndipo nikaweka wapi zinapatikana.

Narudia tena sioni haya kunasibishwa na Ilunga wala sina hofu kuwaelekeza watu wapi
DVD zake zinauzwa.

Hayo mengine sioni haja ya kujibu.

Wala sina nongwa kwa hilo, nongwa yangu inasimama kwenye dhamira yako kuu ambayo ni UDINI wako ndani ya nchi isiyokuwa na udini.

Kichekesho zaidi ni kuwa maandishi yako huko nyuma ulisema wazi kuwa uliowatetea na unaowatete kwa kuwaandikia kitabu na leo kukigeuza kuwa ndio historia kuu ya Uhuru ni wazee wako, tena ukakazia kuw ni wazee wako wa damu!

Lakin tena hapa unazidi kukazia kuwa Ilunga ni mzee wako wa damu,

Sasa mantiki kuu ya kitabu chako inasimama rasmi kuwa simulizi ya wazee wako tu (baba yako) sio ya watanzania 44.5milioni.

Kibaya zaidi umepotosha kwakuiita eti historia ya uhuru wa Tanganyika upande wapili, hivyo unatueleza kuwa BABA yako angewekwa kwenye historia asili ya uhuru leo hii waislamu wasingekuwa na ajiitae mtetezi wao Mohamed Said?
 
Mohamed Said,

..hivi umeiangalia hiyo DVD ya Ilunga aliyokuwekea Nguruvi3[originally niliileta mimi hapa JF]?

..mimi naomba iutizame halafu urudi hapa utueleze kile unachokubalina nacho, na kile usichokubaliana nacho, ktk DVD ya Shekhe Ilunga.

..Shekhe Ilunga kuwa ndugu yako, ni jambo tofauti na kumuunga mkono ktk mambo anayoyahubiri ktk DVD iliyoleta Nguruvi3.
Jokakuu, nashukuru kwa kuliweka sawa hili na hakika ndiyo ilikuwa maana yangu.
Mohamed Said amenukuliwa mara zaidi ya tatu (nina ushahidi akitaka niuweke) akijihusisha na Sheikh Ilunga. Hakuna tatizo kwa hilo kwasababu hata yule Farid amekaririwa akisema ni ndugu yake. Hakuna tatizo kabisa katika hilo.

Tatizo ni pale alipoulizwa swali akasema hilo liachwe kwa sheikh Ilunga ambaye ni ''mtaalamu''(nukuu ipo)

Mkuu Ritz, katika watu wanomtendea haki Mohamed mimi ni mmoja wapo. Nimemtedea haki kwa kumuonyesha kuwa yeye kama mwanahistoria anavyodai hapaswi kujihusisha na uhamasishaji wa uuzwaji wa DVD kama hiyo.
Vinginevyo yale maneno yake tunayoyanukuu yanashabihiana sana na maudhui ya Sheikh Ilunga.

Tumeleta hiyo DVD iliyowekwa kwa mara ya kwanza na Jokakuu, na ipo you tube ili Mohamed apate kuona jinsi gani uhamasishaji wake unavyomweka mahali tata na tete.

Mohamed anaweza kutoka clean aki denounce baadhi ya maneno yasiyo na ukweli wa kiislam wala kulingana na maadili na ustarabu wa dunia kwasbabu amejinasabisha sana na Sheikh mwenye maneno kama hayo.

Hata hivyo ana nafasi ya kuendelea kushabikia DVD za namna hiyo akitaka.
Endapo zinamjenga au kumbomoa hatujui sisi tutaeleza kuwa ndani ya historia na ngano za MS kuna mengine zaidi ndiyo maana hukimbia kujibu maswali au hoja.

Jambo moja zuri ni kuwa kadri anavyojieleza ndivyo nchi na dunia inavyomuelewa.
Mohamed, toka hapa jamvini uyakatae maneno ya uchochezi na uhalifu.
Vinginevyo waambie wanajamvi huo ndio Uislam kweli kama ulivyo ndani ya Koran, sunna na hadithi?

Hivi kweli ndiyo daawa hiyo na ndio ulinganifu wa dini ya mwenyezi mungu? Kweli!
 
Nilikuuliza hivi

1. kabla hatujaenda mbali zaidi
aliyekujibu vibaya ni nani? bado kwanza hapa turekebishe hili jambo
2. kazi ya mungu huwezi kustaafu kwa katiba ya dini gani kama katoliki kifungu gani? (kumbuka neno kustaafu ni lako siyo langu)

mkuu wewe huwezi kuingia kwenye kanisa ndani kabisa nakuwatolea matamko wakatoliki wakati huijui katiba yao.

Naomba jibu kama Dr slaa ndiye aliekujibu vibaya, vinginevo nitakuunganisha na Mohamedi said anayemchafua hayati mwalim nyerere.

Niambie kama hayo mafundisho ya kurukia watu ndio kufuzu historia za mohamedi, Dr slaa hayupo hapa jukwanii vipi atukanwe?

majibu yako yalikuwa hivi

quote_icon.png
By Ritz

Mkuu mie sijui chochote kuhusu katiba ya wakatoriki.

Kujua Dr Slaa alikuwa Padri wala haitaji kwenda shule.

Ninavyojua mie Padri ni kiongozi wa kanisa kwa wakatoriki.

Kazi Mungu hata siku moja huwezi kustaafu.







Nilikuuliza maswali haya


quote_icon.png
By adolay 1. kabla hatujaenda mbali zaidi aliyekujibu vibaya ni nani? bado kwanza hapa turekebishe hili jambo
2. kazi ya mungu huwezi kustaafu kwa katiba ya dini gani kama katoliki kifungu gani? (kumbuka neno kustaafu ni lako siyo langu)

mkuu wewe huwezi kuingia kwenye kanisa ndani kabisa nakuwatolea matamko wakatoliki wakati huijui katiba yao.

Naomba jibu kama Dr slaa ndiye aliekujibu vibaya, vinginevo nitakuunganisha na Mohamedi said anayemchafua hayati mwalim nyerere.

Niambie kama hayo mafundisho ya kurukia watu ndio kufuzu historia za mohamedi, Dr slaa hayupo hapa jukwanii vipi atukanwe?


Majibu yako yalikuwa hivi

Kama kuna tusi lolote nililomtukana ripoti kwa Mods mkuu.

Tafurahi sana kama utaniunganisha na Mohamed Said, tena nashukuru kwa kunipa hii nafasi.





Shahihisho kidogo siyo kujidharirisha "Kujidhalilisha"

Mkuu naona hoja zimeisha unaleta viroja. Kwa kuwaongelea wakatoliki ni lazima mpaka hujue katiba yao lakini wewe ruksa kuwaongelea waislam.

Kama roho inakuuma kuongelewa Dr.Slaa mwambie aachane na siasa. Hili jukwaa la siasa tunamjadili rais wa nchi sembuse Dr.Slaa.


Conclusion, ukisoma hapo juu nani kioja kati yangu mimi na wewe, soma kwa makini halafu jipatie majibu
 
...Kawawa’s book by Magotti reads like a long CCM report – drab, dry and uninteresting.

It is not that Kawawa had nothing to tell. It is not that Kawawa’s life history is one long uninteresting political career. Kawawa participated in the struggle for Tanganyika’s independence as a trade unionist.

Kawawa served under Mwalimu Nyerere for many years, one of the most able, charismatic and authoritarian leader Africa has known.

Surely there must have been a lot of interesting stories to tell, of intrigues, trading of favours, shifting alliances, changing horses mid stream common in the murky game of politics.

Kawawa was there when Nyerere defeated his opponents and enemies one by one playing his cards close to his chest putting them on the table just about the right time. Kawawa knew these people first hand some of them have passed on and some are still living.

There is a lot of material which Kawawa if probed could have provided information to make his book interesting.

The book carries nothing on relationship between Kawawa and Nyerere though the grapevine has reported that there were times the two did not speak to each other for days.


I do not know Mzee Kawawa well to the extent that I can pick up a pen and write about him.

I can only comment on the book on him from notes and audio cassette I made when I was researching on the life of the late Abdulwahid Sykes.

During that research I managed to get the mood and feeling of the times going through the papers in the custody of the Sykes family.

Ally Sykes gave me a heap of old files and loose documents others dating back to 1950s. He told me to read those files and then after finishing we can sit down for interviews. This is how I met Kawawa.

In one of the files I came across a hand written letter from Bukoba which Kawawa wrote to Ally Sykes in 1952. There were also other correspondences by Kawawa dating 1951. These documents have very interesting information. I wish to share this information with readers. Ally Sykes told me on tape reminiscing of the times he was working with Kawawa in the colonial civil service:


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] ''In 1951 I was elected General Secretary of TAGSA (Tanganyika African Government Servants Association). The association was formed in 1927 with the objective of promoting understanding between Her Majesty’s Government and us African Servants.

Thomas Marealle was president and Rashid Kawawa was committee member. The constitution of TAGSA provided for annual elections, and I was returned to office as secretary four times until October, 1954 when I had to resign after being transferred to Korogwe as punishment for being among the seventeen TANU founder members.

The presidency always changed hands and Stephen Mhando and Dr. Wilbard Mwanjisi were at various times elected presidents.

Among active members of TAGSA were Dr Michael Lugazia and Rashid Kawawa who was elected secretary to replace me. That experience put Kawawa in a good position for he was later elected to the post of General Secretary of Tanganyika Federation of Labour (TFL)...''


It is strange that Kawawa’s book does not have references to his personal papers which are not only important to Kawawa’s life history but to the history of Tanganyika as well.

Magotti did not even interview Kawawa’s contemporaries still living like Ally Sykes and Victor Mkello a fellow trade unionist now on his death bed.

This was Magotti’s greatest omission.

Had he done that he would have come across Kawawa’s other contemporaries and names of other patriots who Kawawa had worked with in TAGSA like Dr. Wilbard Mwanjisi, Dr. Michael Lugazia, Dr Kyaruzi and others.

Kawawa’s contemporaries are aware of the conflict and hatred between Dr. Mwanjisi and Nyerere which lasted many years forcing Dr. Mwanjisi to run away from Tanzania to seek employment in Kenya.


Dr Mwanjisii was a person known to both Nyerere and Kawawa.

Efforts to mediate between the two did not bear any fruits. What was the reason for that conflict was it a case of personality clash or what?

On the basis of these personalities he would have probed Kawawa to talk about them and it is obvious each name would have a story waiting to be told.

This would have added flavour to the book. For instance Dr. Lugazia was an active member of TAA during that time when the association was drafting the TANU constitution.

Hailing from Bukoba he wanted Bukoba to be one of the provinces represented at the TANU founding meeting in July 1954 but unfortunately Ali Migeyo who was the most active leader in the Lake Region was in prison and as a result of this TAA in Bukoba lost momentum.

The story of Ali Migeyo is among the sad chapters in the history of Tanganyika’s independence struggle. Migeyo who was a leading voice in the Lake Region was imprisoned by the colonial government for mobilizing the people against British colonialism.

After independence Migeyo was detained by Nyerere’s government for his political activities.

It would have been very interesting to hear from Kawawa why Nyerere took the decision to imprison a fellow patriot and one of the leading figures who spearheaded the struggle for Tanganyika’s independence.

On the same breath it would have been interesting to know how he felt when in 1964 leaders in the trade union movement, patriots like Victor Mkello,
Paul Pamba, Abdallah Mwamba, Hassan Khupe, Salum Abdallahand many others who he had worked with during the struggle for independence were detained and while in detention the government outlawed the trade unions they were leading and formed a new organisation NUTA lead by handpicked personalities within the TANU echelons.

There is an interesting part in which the book portrays Kawawa as a government servant working in the Mau Mau camps set up by the colonial government to detain Kenyans suspected of being Mau Mau living in Tanganyika.

These camps were opened up soon after the declaration of emergence in Kenya when Kenyatta and other patriots the famous Kapenguria Six - Bildad Kaggia, Jomo Kenyatta, Kun’gu Karumba, Achieng Oneko, Paul Ngei and Fred Kubai were arrested.

Among the Mau Mau detainees at Handeni Camp where Kawawa was working were two TANU members although they were Kenyans.

These were Dome Okochi Budohi and Patrick Aoko. Budohi’s TANU card was no. 6.

Budohi and Aoko were arrested in 1955 soon after the formation of TANU. They were detained at the Central Police Station in Dar es Salaam and interrogated for six months. The two were kept in chains.

Kawawa if propped could have talked about these Kenyan patriots who struggled for Tanganyika’s independence and about his experiences with them in the Mau Mau camps and what became of them when both Kenya and Tanganyika were liberated from the British.


Budohi and Kawawa were both entertainers of their time, the cool, elegant young men of Dar es Salaam of 1950s. Budohi was a talented musician playing with the Skylarks of which young Ally Sykes was the band leader and Kawawa was an actor.

The band was very popular at that time as it was the only band which played popular western style music such as jazz, waltz, and the like.

The band later changed its name to the Blackbirds and the band was a regular feature in the local radio station “Sauti ya Dar es Salaam'' when broadcasting began in Tanganyika in 1951.

Kawawa like all other young men in Dar es Salaam was a regular patron when Blackbirds played at Arnatouglo Hall during week ends.

Budohi and Kawawa therefore knew each other very well. The two had acted together in a movie “Wageni Wema” let alone that both were budding young politicians.

Kawawa surely must be having a lot of fond memories of those days long gone.


The times when Kawawa was acting in mid 1950s was the time which the British after World War Two had embarked on opening certain avenues to Africans particularly in music and other entertainment activities like broadcasting and film making.

This was the time when an Englishman by the name of Hugh Tracey from Southern Rhodesia (now Zimbabwe) was making rounds in the colonies and in his travels he was recording African music.

Tracey discovered Mwenda Jean Bosco from Belgian Congo (now DRC) and George Sibanda from Southern Rhodesia and recorded their music which came to be very popular in East Africa during the 1950s and early 1960s.

This music was played in radio stations in British African colonies like Sierra Leone, Ghana and Nigeria.


George Sibanda acted in a movie which the theme is very similar to the one which Kawawa acted in “Muhogo Mchungu.”

The music in that movie was from the songs and guitar played by Sibanda and flute played by the legendary Spokes Mashiane the King of Kwela from Johannesburg, South Africa.

This was the time when Peter Colmore discovered Frank Humplink in Moshi and recorded his music in Nairobi.

One of Humplink’s songs came to be TANU’s clarion and was banned by the colonial government and had young Humplink arrested only to be released when Chief Thomas Marealle of the Chagga intervened with the British.

It was the times when music played by Africans mingled with politics to the chagrin of colonialists.

These are the stories of the times which Kawawa not only witnessed but was also a key player. This was not reflected in Magotti’s book.


Some of the music, films, photographs and documents of those times are in the custody of the estate of the late Peter Colmore at his Muthaiga residence in Nairobi other documents and photographs are in the custody of Ally Sykes in Dar es Salaam.

The movies which Kawawa made with the help of a South African company were in the custody of the Audio Visual Institute but for lack of proper facilities of film stowing the films have been damaged beyond repair.

They cannot be put on a projector.

This withstanding copies of the film must be in existence in some film libraries in South Africa were the films were processed and some copies must be lying somewhere in Britain.


The door is still open for researchers to enter and write about the life history of Rashidi Mfaume Kawawa because his biography is yet to be written.

But I congratulate the author for writing this book because it is from this book that I derived the strength to write the little that I know on the times of Mzee Kawawa.

Surely Kawawa has beaten all of them in Tanzania he has two books on his life but again his is a tale of two books and the book that never was.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mohamed,
As much as you blame Magoti for writing such a press release type of book, I blame you too. As a historian, you did not have to know Kawawa personally to seek him out. Once you got those notes from Ally Sykes, it was incumbent upon you to seek out Kawawa and get his version of things. You did not. Could it be because Kawawa did not come from Gerezani area? Could it be that he was not Manyema as your ancestors were? While you blame Magoti, you should take blame too for letting this unique opportunity pass by.
 
Ala hivi mie nishakuwa muhimu kiasi hiki kuwa mnataka nitoa fikra zangu kuhusu Sheikh Ilunga. Hiyo DVD naijua sana. Sasa mnataka niseme kitu gani?
 
Honestly it never crossed my mind to do a book on Kawawa.

Nasubiri majibu ya hoja zangu mkuu, zinahitaji majibu yako kwakuwa zimezaliwa kutokana na kile ukiitacho Historia ya Uhuru wa Tanganyika upande wa pili,

Na mimi nikiita ni uchochezi na uhaini!
 
Shahihisho kidogo siyo kujidharirisha "Kujidhalilisha"

Mkuu naona hoja zimeisha unaleta viroja. Kwa kuwaongelea wakatoliki ni lazima mpaka hujue katiba yao lakini wewe ruksa kuwaongelea waislam.

Kama roho inakuuma kuongelewa Dr.Slaa mwambie aachane na siasa. Hili jukwaa la siasa tunamjadili rais wa nchi sembuse Dr.Slaa.


Pia nilikuliza hivi haya maswali


quote_icon.png
By adolay Mkuu Ritz

Neno padri ni cheo katika kanisa katoliki na kwa imani ya wakatoliki padri haruhusiwi kuoa nasikitika kwanini umwite Dr W.P slaa padri wakati anamke/mchumba vyovyote?

b) Wewe ni mwislam vipi kujishughurisha na kanisa katoliki umepewa huo usemaji lini mkuu na mamlaka ya kuteuwa mapadri?

c) Yeye amekujibu vibaya nani? unataka kutuambia Dr W. P slaa ndiye aliyekujibu vibaya kama siyo yeye vipi umshabulie yeye?

Tanzania itatawaliwa na mtanzania yoyote awe mpagani, mkritu au mwislam kama ilivo sasa kwa kuzingatia uwezo wake.

Fahamu hakuna Cheo cha rais kama padri au shekhe kwenye katiba na katiba hairuhusu upuu huo.


Naomaba ufafanuzi mkuu wangu.



majibu yako Ritz yalikuwa hivi
Mkuu adolay,

Na mimi naomba nikuulize kuna ubaya wowote kumuita mtu yoyote kwa Professional yake hata kama kastaafu. Upadri ni taaluma kama taalumu zingine mpaka uende shule.

Katiba haijakataza kugombea lakini ni busara kutokugombea sababu Watanzania tumechanganyikana dini mbalimbali.

Nadhani nimejibu vyema.

Mkuu wewe ni mkiristo vipi unajishughulisha na mambo ya waislam tena umekwenda mbali zaidi mpaka Somalia.​





Nikakuliza na kukujibu hivi

Mkuu

1.Hujajibu swali hata moja narudia alikujibu vibaya ni nani, Dr slaa?

2. Unafahamu katiba ya wakatoliki? kama unaifahau elezea upadri wa padri yoyete anaupataje?

3. Je kuna sifa zozote zinazoweza kumuondolea mtu upadri katika katiba ya kanisa na unaweza kuzitaja?

4. Je kunakustaafu upadri au kuacha katiba inasemaje ya wakatoriki na umri gani padri anapaswa kustaafu kama uliosema hapo juu.




Jibu Kuhusu waislam

Nani anakesha hapa kuleta hoja za mfumo kristo?, dhulma dhidi ya waislam?, Mou nk katika madai haya ungetaka nani akujibu?

a) mwislam na kama mwislam kwanini

b) mkristo na kwanini awe mkristo

tutaendelea mkuu Ritzs ukinijibu hapa, maana ndipo jibu lako lilipo.

Nifanyie uungwana kwa kujibu jibu sahihi kwa kila swali yaani mstari baada ya mstari.




Angalia majibu unayotoa hapo juu kwa kila ulichoulizwa, kisha tafakali kioja kipo wapi.

Ritz uwezo wako kusimamia hoja ni mdogo sana kama unavyojieleza hapo juu, haya ndiyo matokeo ya kuukumbatia uchochezi

kama ulivofuzu kozi za babu yako mohamed said za kichochezi mkiacha ukweli kule na kuamua kupotosha umma wa watanzania.
 
Hamjanifahamu katika maandishi yangu. Sitafuti umaarufu wala sifa. Jukumu langu ni kusomesha basi. Kwa ajili hii "kubomolewa" au kinyume cha hivyo si jambo linalonishughulisha. Ama kuhusu DVD ya Ilunga kama mnataka uchambuzi wake hilo ni suala la maulamaa na mie ilm hiyo sina.
 
Nasubiri majibu ya hoja zangu mkuu, zinahitaji majibu yako kwakuwa zimezaliwa kutokana na kile ukiitacho Historia ya Uhuru wa Tanganyika upande wa pili,

Na mimi nikiita ni uchochezi na uhaini!

Yericko

Mimi nakukubali mkuu kwasababu moja tu kubwa ya msingi ukweli uwekwe bayana ili tuepukane na hawa wachochezi

wanaotaka kulipeleka taifa la Tanzania kuzimu
 
Back
Top Bottom