Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

kati ya wazee mufilisi ni huyu kizee ni gaidi wamchana kweupee ndo maana hataki kabisa kuwajadili wenzake Alshababu.

Kumbe anataka selikali iwasikilize kisa nyerere (mtu) badala yawaislam wasikilizwe na Kikwete (mtu)

Kutoka mtu watekelezewe na serikali, badala yakutoka mtu (nyerere) kuenda kwa Mtu (kikwete) astakafilullahi! mzee anagubu huyu!

Yeye nawakristo tu kucha kutwa waislam wenzake lo! awaguse nayeye anatafuta thawabu nani kasema?

Kawawa

Abdul Jumbe

Salim Ahmed Salim

Kalume Baba

Kalume Mtoto

Omar mahita

Alhassan mwinyi

Kikwete

.
.
.
Kwake adui ni nyerere tu basi huu nao ni ujuha kweli eti mwanahistria ....historia ya kujadili binadamu mmoja (JK nyerere)
 
Mkuu Jokakuu,

Nimesoma maelezo ya Mohamed Said kuhusu Mshume Kiyate alivyomkirimu mwalim hadi kumpa pesa, chakula n.k.
Mohamed akaenda mbali zaidi na kusema Ditopile alipoelezea mchango wa Kiyate, Magazeti yalipotosha kwa kusema alimdhalilisha Nyerere kwa maneno ''kulishwa''. Hapa Mohamed anatuambia kuwa kuna kusoma habari na kupotosha habari kunakoweza kutokea. Fair enough!

Ukisoma maelezo ya vitabu tuhumiwa utaona kilichotokea ni kuchukua baadhi ya mistari na kupoteza dhana nzima.
Sina maana kila kinachosemwa hakikuandikwa, ninamaanisha kuwa kuna sehemu imechukuliwa sentensi tu na kuacha maudhui ya aya nzima. Sina hakika kama hakuna upotoshaji kama ule aliofanyiwa Ditopile.

Lakini pia lazima watu wasome vitabu vya ngano za Mzee Said kwa kufahamu kuwa yapo mambo yaliyokuwa pre-determined kuandikwa na hivyo hutafutiwa eneo tu.

Ukisoma majibu kwa Yericko Nyerere kuhusu Mshume Kiyate, Mohamed ameelekeza tuhuma zake kwa Nyerere hasa pale anapodai kuwa kulikuwa na zipo hujuma za jina lake kutopewa mtaa. Kwamba Nyerere alifanya hivyo kama sehemu ya dharau na chuki kwa wazee wake.

Anachosahau Mohamed ni kuwa Tangu Uhuru, madiwani wa jiji la Dar es Salaam kwa asilimia zaidi ya 80 hadi sasa ni Waislam wakiongozwa na Mameya Waislam tena wazee wake akina Kitwana Kondo, Sykes, Abouu n.k.
Hakuna kumbu kumbu kama walifanya chochote na kuzuiwa zaidi ya wao kuwa sehemu ya mabadiliko ya majina kama UWT/Bibi Titi n.k. Why Nyerere na sio madiwani? Kwanini Moshi waenzi watu wao Dar washindwe? Ni kosa la nani!

Mfano huu ni kuonyesha kuwa yapo mazingira yaliyoandaliwa ili kujenga mazingira yenye ushahidi usiokuwepo.
Hapo ndipo ''vitabu husika'' huelezwa kwa undani kwasababu kuna mstari mmoja au miwili inayoweza chomolewa na ku-fit the purpose.

Fikiria hivi, mambo yote yaliyotokea kati ya 1954 hadi 1985 yalimhusu Nyerere kama mtu. Leo Mohamed anasema serikali ikae na Waislam iongee nao kuhusu tatizo. Kwanini Waislam wasitake kukaa na Mwinyi, Mkapa au Kikwete bali serikali.
Lini mambo ya taifa yametoka kwa mtu na kuwa serikali? Mbona huko nyuma haitajwi serikali anatajwa Nyerere na kwanini leo hatajwi Kikwete inatajwa serikali.

Nitamwelewa kama atasema hivi, Waislam wanataka kukaa kitako na Kikwete kuelezea kadhia yao wasikilizwe.
Asiishie hapo tu, ni lazima na ni wajibu wa mtu anayetafuta suluhu kuweka kila kitu mezani.
Mohamed hawezi kutuambia kuna kadhai lakini hatuambia anafikiri suluhisho ni nini.

Hii ni kwasababu tayari ameshajenga mazingira ya ''wasikilizwe'' na wala si kusikilizwa bali kutekelezewa.
Hiyo ndio pre-determined condition ambazo zinashangaza ndani ya masimulizi na ngano za mzee wetu.

Ametoa madai kitabu kimepigwa marufuku, hajaeleza ni tamko la nani na lini! Ameshauriwa viwekwe hapa anatoa bei ya vitabu! Yote haya ni kwa kujua kuwa vitabu hivyo vikitua jamvini kwa wale wasiovisoma awali au waliosoma kwa ushabiki, ngano inaweza kuchukua mweleko mpya kabisa.

Tungeweza kufanya mjadala.
Lakini kwa kuwa lugha yako ni kejeli...

Vipi najadili kejeli?
 
Mohamed Said,

..mbona Van Bergen naye anadai kuwa Wakristo walikuwa wanalalamika kwamba wananyimwa uongozi ktk Tanu?

Haikuwa hivyo.
Labda nidokeze ni wapi walinyimwa uongozi katika TANU?

Insha Allah naweza kuangalia na kutoa maelezo ikiwa nayajua.

Lakini baada ya 1958 milango ilikuwa wazi sana na Wakristo wengi
walichukua nafasi katika TANU.
 
Kejeli ipo wapi? Au hoja ni nzito! kama kawaida Sheikh Mohamed anatoweka kiaina.
Usiku mwema mzee Said

Ahsante Alamsik.
Umesema naandika ''ngano.''

Hiyo si lugha ya kuzungumza.
Ikiwa kitabu changu ni ngano.

Sasa mimi na wewe tunajadili nini?
Mlango wangu uko wazi.

Ikiwa unataka mjadala basi jitulize.
Andika kwa adabu.

We mwenyewe ushaniheshimu unaniita
''Mzee'' na mimi nimepokea heshima hiyo.

Sasa iweje unikejeli?
 
HOJA YA UBUNGE HUGOMBEWA HUJAITIZAMA KWA MLINGANYO SAHIHI...!

UTARATIBU WA UPATIKANAJI WA MPIGIWA KURA UNAFAHAMIKA NCHI HII TOKEA ZAMA NA ZAMA.

NAOMBA NISEME :nono:

:nono::nono::nono::nono:
Bado sijakuelewa. Mohamed tumeshaelewana na kukubaliana kwamba ubunge unagombewa na haugawanywi. Sasa kama kuna mfumo uliowazuia Waislamu kugombea viti vya ubunge, naomba ufafanue.
 
Sidhani kama zimetoka TRA, bila shaka zimetoka msikitini. Hata Quran yenyewe ina makosa ya namna hii hii ya kihisabati.

Kingine cha kushangaza ni kuona watu wanasema kwa machungu fulani anafaidika zaidi, je hizi asilimia si zao la ushiriki wako ktk shughuli za maendeleo?


Mkuu naomba japo aya moja tuu moja tuu ukinipa ambayo inamakosa ya hesabu kwa Quraan tukufu basi nakupa
laki tano kwa kila aya ambayo utaitowa kwa kila aya ambayo inamakosa ya kihesabu lakini katika bible ninazo nyingi tuu ambazo zina contradict wenyewe kihesabu nitafute nitakupa ref.
 
Haikuwa hivyo.
Labda nidokeze ni wapi walinyimwa uongozi katika TANU?

Insha Allah naweza kuangalia na kutoa maelezo ikiwa nayajua.

Lakini baada ya 1958 milango ilikuwa wazi sana na Wakristo wengi
walichukua nafasi katika TANU.
Mohamed Said,

..unajua na mimi nitakuwa na-lift sentesi moja moja na kuharibu maudhui ya kitabu cha van bergen.

..nimefanya simple search ktk google "bergen + muslims + tanu".

..kilichorudi ni taarifa kwamba kuna maeneo Wakatoliki walikuwa wanakatazwa kujiunga na Tanu. Hapo Van Bergen alikuwa anamnukuu Kiwanuka.

..sehemu nyingine Van Bergen anasema wapo Wakatoliki waliokuwa wana-support harakati za uhuru. Anadai wapo waliokwenda mbali mpaka kumchangia Nyerere ktk safari yake kwenda UN in 1957.

..zaidi, kuna mgogoro tena unaelezewa humo wa uchaguzi wa mwaka 1963 ambapo Wakristo wa Bukoba walikuwa wanadai kwamba Tanu inapendelea Waislamu. Malalamiko hayo yalisababisha waalimu wa Kikatoliki 25 wasimame kama independent candidates wakipingana na wagombea wa Tanu.

..kutokana na msuguano huo wa Bukoba, Mwalimu Nyerere aliandika barua kwa Kanisa Katoliki akiwalaumu Maaskofu kwa kuingilia masuala ya siasa.

..kwa kweli kama tungeweza kupata hivi vitabu, au hata chapters chache ktk vitabu hivyo tungeweza kuwa na mjadala mzuri zaidi.

cc: Nguruvi3, Jasusi, Companero, Mzee Mwanakijiji
 
Tungeweza kufanya mjadala.
Lakini kwa kuwa lugha yako ni kejeli...
Vipi najadili kejeli?

Hapa Mzee MS hakijadiliwi kitabu chako kama mada kuu (japo inaweza kuwa ndani ya mnakasha). Kwa hiyo kusema ngano inweza kuwa mtazamo wa nguruvi 3 na usiwe mtazamo wa mtu mwingine.


Kejeli ipo wapi? Au hoja ni nzito! kama kawaida Sheikh Mohamed anatoweka kiaina.
Usiku mwema mzee Said



Ahsante Alamsik.
Umesema naandika ''ngano.''

Hiyo si lugha ya kuzungumza.
Ikiwa kitabu changu ni ngano.

Sasa mimi na wewe tunajadili nini?
Mlango wangu uko wazi.

Ikiwa unataka mjadala basi jitulize.
Andika kwa adabu.

We mwenyewe ushaniheshimu unaniita
''Mzee'' na mimi nimepokea heshima hiyo.

Sasa iweje unikejeli?


Napenda Mzee Mohammed Said anavyojua kukwepa hoja muhimu...........
Hupenda kujibu zile nyepesi tena kwa kirefu na kwa nukuu kadhaa kutoka kwenye kitabu chake.
Lakini hizi zinazofikirisha msitegemee 'mjadala wa hoja kwa hoja'...........Na hii si mara ya kwanza.
 
Mungu atuweke hai .Nina uhakika kukamatwa kwa Ponda and co na jinsi maandamano waislam yalivyodhibitiwa utayaandika kama ulivyoandika wakati wa Mwinyi. Ila kama angekuwa rais Mkristo madarakani ungeandika kama nilivyo highlight hapo chini kwenye paper yako. Kimsingi unasukumwa na chuki ya kidini tu . Hautoki nje ya hapo.
In an operation on Easter Friday afternoon a group of young Muslims like well trained commando squad moved swiftly

Wala haikunipitia kitu chochote.
Kwa kweli kabisa hiyo ni namna tu ya uandishi wangu.
 
Umesema naandika ''ngano.''Hiyo si lugha ya kuzungumza.Ikiwa kitabu changu ni ngano.
Ikiwa unataka mjadala basi jitulize.Andika kwa adabu.
Mohamed Said;5461998]Nakuwekea maandishi ya utafiti si "ngano" maana hao watu walikuwapo na walifanya hayo
Nilipata hilo neno baada ya wewe kulitumia.
 
Hapa Mzee MS hakijadiliwi kitabu chako kama mada kuu (japo inaweza kuwa ndani ya mnakasha). Kwa hiyo kusema ngano inweza kuwa mtazamo wa nguruvi 3 na usiwe mtazamo wa mtu mwingine.

Napenda Mzee Mohammed Said anavyojua kukwepa hoja muhimu...........
Hupenda kujibu zile nyepesi tena kwa kirefu na kwa nukuu kadhaa kutoka kwenye kitabu chake.
Lakini hizi zinazofikirisha msitegemee 'mjadala wa hoja kwa hoja'...........Na hii si mara ya kwanza.

Itakavyokuwa siwezi kujadili kejeli.
Aandikae afanye adabu na staha.
 
Mohamed Said,

..unajua na mimi nitakuwa na-lift sentesi moja moja na kuharibu maudhui ya kitabu cha van bergen.

..nimefanya simple search ktk google "bergen + muslims + tanu".

..kilichorudi ni taarifa kwamba kuna maeneo Wakatoliki walikuwa wanakatazwa kujiunga na Tanu. Hapo Van Bergen alikuwa anamnukuu Kiwanuka.

..sehemu nyingine Van Bergen anasema wapo Wakatoliki waliokuwa wana-support harakati za uhuru. Anadai wapo waliokwenda mbali mpaka kumchangia Nyerere ktk safari yake kwenda UN in 1957.

..zaidi, kuna mgogoro tena unaelezewa humo wa uchaguzi wa mwaka 1963 ambapo Wakristo wa Bukoba walikuwa wanadai kwamba Tanu inapendelea Waislamu. Malalamiko hayo yalisababisha waalimu wa Kikatoliki 25 wasimame kama independent candidates wakipingana na wagombea wa Tanu.

..kutokana na msuguano huo wa Bukoba, Mwalimu Nyerere aliandika barua kwa Kanisa Katoliki akiwalaumu Maaskofu kwa kuingilia masuala ya siasa.

..kwa kweli kama tungeweza kupata hivi vitabu, au hata chapters chache ktk vitabu hivyo tungeweza kuwa na mjadala mzuri zaidi.

cc: Nguruvi3, Jasusi, Companero, Mzee Mwanakijiji

Itakuwa vizuri kama tunaweza kupata hiyo barua ambayo Nyerere aliliandikia Kanisa. Katika kitabu changu niemandika maneno haya yafuatayo kueleza mambo yalivyokuwa:

''...baada ya kupatikana kwa uhuru, ile nguvu ya Waislam iliyotumika kupambana na Waingereza kuleta uhuru, ikaonekana haina maana yoyote na haifai kitu tena. Kuvunjwa kwa Baraza la Wazee ndiyo ilikuwa kishiko cha mwisho cha Waislam katika TANU.

Baada ya hapo Kanisa lililokuwa pembeni wakati wa kudai uhuru sasa likajitokeza waziwazi kuwapiga vita Waislam katika TANU.

Katika kitendo ambacho kanisa halikupata kufanya, Kanisa Katoliki Bukoba liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.

Kampeni kama hii ilifanyika vilevile Kigoma. Hakuna ushahidi wowote unaoonyesha kuwa Nyerere, serikali au TANU yenyewe ilichukua hatua zozote dhidi ya Kanisa kwa kuchanganya ''dini na siasa.''
 



attachment.php


attachment.php


attachment.php




Kimsingi kilichobadilika ni jina la mmiliki tu uongozi na malengo ya shule yalibaki vile vile. Ndiyo maana hakuna mtu yoyote aliyethubutu au atakayethubutu kudai eti kwamba ukienda katika shule zilizotaifishwa mfano, Pugu, Minaki, Tambaza, Zanaki, Jangwani, Kibasila, Ilboru, Weruweru, Tosamaganga, Msalato, Umbwe, Ndanda n.k, utakuta idadi ya kuridhisha ya wanafunzi Waislamu wanaosoma huko. Lakini hata katika shule za sekondari chache mpya ambazo serikali ilijenga au kujengewa mwishoni mwa miaka ya 70, kama vile: Kibiti, Ruvu, Karatu, Bagamoyo n.k , kote walimu, wafanyakazi na wanafunzi ni Wakristo kwa zaidi ya asilimia 80.

Watoto wachache wa Kiislamu wanaosoma huko huonekana kama wakimbizi wanaosaidiwa katika nchi ya ughaibuni. Kuhusu kuingia sekondari kwa kigezo cha kuchaguliwa na mpango wa quota system, watendaji Wakristo waliojazana katika mfumo wa elimu nchini wamekuwa wakihakikisha kwamba Waislamu hawasomi kutokana mbinu zifuatazo:-

i. Kufanya matokeo ya darasa la saba kuwa ni siri hivyo kuweza kuibadili nafasi walizoshinda Waislamu na kuwapa wengine. Tazama ushahidi mzito uliotolewa na Njozi mwaka 2000; katika kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania uk. wa 62 -70. Hapa vijana wa Kiislamu waliofaulu darasa la saba walinyimwa nafasi kuingia sekondari na wale waliofaulu kidato cha nne walinyimwa kuingia kidato cha tano. Kazi hii ya kuwakwamisha vijana wa Kiislamu ilifanywa vyema na mawakala wa Mfumokristo waliojazana katika mfumo wote wa elimu nchini.

ii. Kuhamisha wanafunzi Wakristo kutoka maeneo yenye ushindani mkubwa kwenda Mikoa iliyokuwa na alama ndogo za kuchaguliwa kama Pwani, Dar, Lindi, Mtwara na Tanga ambayo pia ni maeneo ya Waislamu . Tazama Malekela 1983 in “Access to secondary education in Sub- Sahara Africa”
Katika jedwali la ruzuku sio sahihi kwa sababu kiwango kinachotolewa kwa makanisa kimeonekana kuwa ni kikubwa sana kuliko kinachotolewa kwenye Hospitali zote za serikali. Mbona haujaonyesha n kiasi gani cha fedha kilienda kwenye hospiltali za wilaya na mikoa na zahanati na vituo vya afya vya serikali ndipo ulinganishe fedha ngapi ilienda hospitali za makanisa? Baada ya kuchukua idadi kamili kiasi cha fedha kinachokwenda kwenye mahospitali yote ya serikali na kiasi cha fedha kinachokwenda kwenye mahospitali ya makanisa utakuta kwamba hospitali za makanisa zinapata kiasi kidogo sana cha fedha za serikali tofauti na takwimu hizo hapo juu. Kama unaweza kutoa takwimu zisizo sahihi
ulizochakachua nadhani pia habari zingine ulizotoa huenda zinaweza kuwa za uongo.

Shule ulizotaja hapo juu ni za zamani za wakristo je, mbona haujataja shule za kiislamu zilizotaifishwa na serikali?
Hapo penye rangi nyekundu: kama matokeo ya darasa la saba yalikuwa ni siri wewe ulijuaje kwamba waislamu waliofaulu walikuwa wanaachwa na wanachukuliwa wakristo waliokuwa wamefeli ili waende sekondari na kidato cha tano; ikiwa matokeo yalikuwa ni ya siri na hao unaosema walikuwa wanachagua walikuambia??


wanafunzi Wakristo kutoka maeneo yenye ushindani mkubwa kwenda Mikoa iliyokuwa na alama ndogo za kuchaguliwa kama Pwani, Dar, Lindi, Mtwara na Tanga ambayo pia ni maeneo ya Waislamu . Hii inamaanisha kwamba uwezo wa kielimu, au kufaulu mitihani ulikuwa mdogo sana na kwamba ufaulu wa waislamu uko chini ukilinganisha na ufaulu wa wakristo kwenye mikoa anayodai ina ushindani sana. Kwa hiyo hao wakristo walipokwenda kwenye mikoa hiyo wakawa wanapeta kwenye mitihani. Lakini cha ajabu ni kwamba mimi nilikuwa natumia jina la kiislamu; JUMA HASSAN na nilifaulu nikaenda sekondari nikitumia jina hilo. Maelezo yako ni ya uongo, hakukuwa na upendeleo wowote.
Nitajie uislamu ulipokuja ulileta shule gani ya msingi, sekondari, au chuo cha uganga na hospitali? Waislamu wamewahi kujenga wapi chuo cha nursing wakasomesha wauguzi? Mahali pengine nimeshasema swala la elimu ni la ukristo. Ukristo umeleta elimu, na mahospitali Uislamu umeleta madrasa na misikiti tu. Waambieni watu wenu Elimu hiyo mnayodai ni ya wakristo. Wao wamewahurumia wakawapatieni. Niambie katika elimu mchango wa waislamu katika ugunduzi wowote Scientific invention, haupati majina ya waislamu katika elimu. Hakuna lolote katika elimu lililoletwa na waislamu, tulieni tuwafundishe aliyekwisha tangulia ametangulia.
 
Naona mzee wa watu amepigwa cha kiutu uzima. 'Ngano'. Akili yote imetibuka. Mohamed Said ukitulia, zitendee haki hoja za Nguruvi3. Kwa kweli zinahitaji maelezo ya kina kutoka kwako.
 
Naona mzee wa watu amepigwa cha kiutu uzima. 'Ngano'. Akili yote imetibuka. Mohamed Said ukitulia, zitendee haki hoja za Nguruvi3. Kwa kweli zinahitaji maelezo ya kina kutoka kwako.

Wakutulia ni yupi?
Yule atoae kejeli au yule anaesihi kejeli ziachwe.

Mantiki inasema yule anaetuliza hamaki ndiye aliyetulia.

Ikiwa nitajibu kejeli mjadala utaharibika itakuwa ni kutukanana tu.

Tuna uzoefu huko nyuma yameandikwa humu mambo hata siwezi
kuyasema.

Humu wako watu wengi wanatusoma sasa tusiwakwaze kwa matusi.

Mwambie atulie aandike kwa adabu tutajadili Insha Allah.
 
Back
Top Bottom