Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

umekurupuka kujibu,sikatai kwamba hakuna wakristo walioshiriki harakati za uhuru,la hasha.Ninachopinga ni kanisa kulihusisha na harakati za uhuru

Sasa kama ulikuwa hujui, darasa hili ndio linakujuza rasmi kwa makala hiyo fupi tu.

Unapoisoma tuliza akili kuna maeneo mwishoni nimemalizia kwakuwaunganisha wahusika na itikadi zao (Kasisi Maranta na Shehe Issa)
 
Hapa ulikuwa unamkosoa mwanakijiji kwa kuandika kiswahili fasaha kabisa..darasa


Mkuu labda unaweza kunionyesha nilipokukejeli? Ni hapo nilipotaka kujua papers zinaitwaje kiarabu?
Naona inabidi tuwe wanyoofu sana tunapotoa hoja maana naona kama vile umepata ka aogopa hata kukupa jibu.[JFMP3]
[/JFMP3]

Naogopa hata kukujibu.
Naogopa kwa kuwa huenda nitachosema kitakwenda hadi kuwagusa wazazi wako.

Nitokako mie adabu kitu cha mbele kabisa.
Nimefunzwa adabu ya kula, ya kuzungumza na mtu mzima nk.

Hii kanifunza mama yangu.
Madras nimefunzwa adabu ya kufanya mjadala wa ilm.

Tuko JF tuchukue fursa hii tufunzane adabu.

Pitia upya uloandika na kama uko karibu na Mswahili muonyeshe.
Atakuonyesha wapi kosa lako lilipoegemea.

Kibri kimetangulia fikra zenu.
 
Kejeli yangu kwenye post hiyo ni ipi? Tarehe 7.7.1954 ulikuwa na umri gani mzee. Mwalimu aliacha ajira nzuri tena ya kudumu akaingia kwenye siasa ambako kulikuwa hakutabiriki. Wewe umemsimanga kwa kila namna kwa misaada hii midogo toka kwa wazee wako hawa. Unajua vizuri kwamba Mwalimu ameacha madaraka ya nchi hii akiwa masikini pengine kuliko alivyoingia madarakani. Sifa kama hii wanayo viongozi wachache sana barani humu.

Hebu fikiria kama familia ya Sykes ingeupata urais wa nchi wangekuwaje na nchi hii haikuwa yao ya asili.

Ikiwa imekupitikia kauli yangu ina masimango hiyo ni bahati mbaya sana.
Niwie radhi sana.

Ila ni ukweli kuwa Nyerere hakudhikika ila kwa kipindi kidogo sana.
 
huyohuyo nyerere ndo aliyetoa kibari cha kukamatwa muft wa wakat huo kwa madai anataka kuihuju serikali hali iliyopelekea IGP wa wakat huo akatae na nyerere kuamuru maafisa usalama wamkamate. MFUMO SASA BASI
Maulid Daniel,

..halafu huyo IGP aliyekataa kumkamata mufti akaendelea na wadhifa wake.

..miaka michache baadaye akaua mwananchi kwa kumkanyaga na gari.

..kesi ikapelekwa mahakamani lakini IGP akaachiwa katika mazingira ya ajabu-ajabu.

..Mwalimu akampa IGP "adhabu" ya kwenda kufanya kazi/kupumzika ubalozi wa Tanzania Marekani.

..hivyo ndiyo MFUMO UNAVYOFANYA KAZI!!!

cc: @ Mohamed Said, Jasusi, Yericko Nyerere, Nguruvi3
 
Jana nilikuwa naongea na mzee mmoja Muislam safi akaniambia hali ya ELIMU kwa Waislamu ingekuwa mbaya sana kama Mwalimu asingetaifisha shule za madhehebu ya DINI kwani wazee wa Kiislamu walikuwa wamegoma kupeleka watoto wao kwenye shule hizi kwa kuhofia watoto wao kubadilishwa dini na kulazimishwa kusali kikristo kila asubuhi na jioni.
 
Nyerere and Kleist, Dosa.jpgNyerere, Kleist and Dosa
 
Maulid Daniel,

..halafu huyo IGP aliyekataa kumkamata mufti akaendelea na wadhifa wake.

..miaka michache baadaye akaua mwananchi kwa kumkanyaga na gari.

..kesi ikapelekwa mahakamani lakini IGP akaachiwa katika mazingira ya ajabu-ajabu.

..Mwalimu akampa IGP "adhabu" ya kwenda kufanya kazi/kupumzika ubalozi wa Tanzania Marekani.

..hivyo ndiyo MFUMO UNAVYOFANYA KAZI!!!

cc: @ Mohamed Said, Jasusi, Yericko Nyerere, Nguruvi3

Mbona ndugu yangu umeacha mengi sana kuhusu Hamza Aziz na Nyerere?

Umeliona lile la ajali ya barabarani aliyopata ndiyo kubwa la kuweka humu
kumfedhehesha mzee wangu?

Yapo mengi huyajui.

Ungetaja na Hamza Aziz kuitwa Halmashauri Kuu kushitakiwa kwa kupingana na Leadership Code.
Ungeeleza na mpambano uliotokea mle ndani kati ya Nyerere na Hamza Aziz.

Ungeeleza kuwa katika kikao kile kaka yake Hamza Aziz, Dossa Aziz alipewa safari na alipokuwa
hayupo ndipo kikao kikaitwa kwa haraka ili Hamza Aziz asitetewe na kaka yake.

Ungeeleza na msimamo wa Rashid Kawawa katika sakata ile yote na nini alisema.

Ungeeleza, ungeeleza, ungeeleza na ''bugging'' ya simu zake...

Ungeeleza na vita alokuwa akipigwa ndani ya jeshi la polisi.
Aliyekuwa akiongoza vita vile ni Geoffrey Sawaya aliyetumiwa kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA...

Tunajua mengi.
Na sababu ya kujua hayo yote ni moja tu.

Waliokuwa wakiandamwa ni wazee wetu.
Wameondoka na kutuachia nyuma hazina ya taarifa.

Angalia taarifa zako.
Hamza Aziz hakuenda Marekani bali Canada.

Huko akasoma shahada mbili.
Hivi ndivyo zile fitna zilivyomsaidia.

Kwa kumaliza napenda nikueleze.
Hamza Aziz aliwahi kusomewa dua na Sheikh Hassan bin Amir.

Sheikh Hassan bin Amir alinyanyua mikono yake juu akalia na Allah
amjalie Hamza na amkinge na kila shari.

Hamza Aziz alipokuwa kijana mdogo yuko Morogoro ndiyo kaanza kazi ya polisi
baba yake alimtembelea nyumbani kwake Police Baracks.

Mzee Aziz Ali alimwombea dua akamwambia, ''Hamza mwanagu namuomba Allah
akuhifadhi na akupe kila utakalomuomba.''
 
View attachment 79799Nyerere, Kleist and Dosa

Hii picha ni yangu.
Nilipewa miaka mingi sana iliyopita na Kleist na mimi nikaisambaza.

Hii ilikuwa Arnatouglo Hall 1956.

Nyerere alikuwa anakwenda Umoja wa Mataifa kwa mara ya pili na
TANU walimfanyia tafrija pale ya kumuaga,

Huyo aliyekaa mkono wa kushoto wa Abdu ni Nang'wanda Lawi Sijaona.

Lawi Sijaona aliingizwa katika siasa na Suleiman Masoud Mnonji aliyekuwa
Mwenyekiti wa TANU Lindi.

Hiyo ilikuwa 1955.

Ahsante sana kwa kuleta hii picha hapa.
 
Mbona ndugu yangu umeacha mengi sana kuhusu Hamza Aziz na Nyerere?

Umeliona lile la ajali ya barabarani aliyopata ndiyo kubwa la kuweka humu
kumfedhehesha mzee wangu?

Yapo mengi huyajui.

Ungetaja na Hamza Aziz kuitwa Halmashauri Kuu kushitakiwa kwa kupingana na Leadership Code.
Ungeeleza na mpambano uliotokea mle ndani kati ya Nyerere na Hamza Aziz.

Ungeeleza kuwa katika kikao kile kaka yake Hamza Aziz, Dossa Aziz alipewa safari na alipokuwa
hayupo ndipo kikao kikaitwa kwa haraka ili Hamza Aziz asitetewe na kaka yake.

Ungeeleza na msimamo wa Rashid Kawawa katika sakata ile yote na nini alisema.

Ungeeleza, ungeeleza, ungeeleza na ''bugging'' ya simu zake...

Ungeeleza na vita alokuwa akipigwa ndani ya jeshi la polisi.
Aliyekuwa akiongoza vita vile ni Geoffrey Sawaya aliyetumiwa kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA...

Tunajua mengi.
Na sababu ya kujua hayo yote ni moja tu.

Waliokuwa wakiandamwa ni wazee wetu.
Wameondoka na kutuachia nyuma hazina ya taarifa.
Mohamed Said,

..hayo ya Hamza Aziz kuitwa Halmashauri kuu sikuwa na habari nayo. asante kwa darsa!!

..mimi nilikuwa namjibu Maulid Daniel ambaye alikuwa anajaribu kumchafua Mwalimu Nyerere.

..mwisho, kama utaamua kueleza historia ya Hamza Azizi basi unapaswa kutoa habari zote.
 
Last edited by a moderator:
Jana nilikuwa naongea na mzee mmoja Muislam safi akaniambia hali ya ELIMU kwa Waislamu ingekuwa mbaya sana kama Mwalimu asingetaifisha shule za madhehebu ya DINI kwani wazee wa Kiislamu walikuwa wamegoma kupeleka watoto wao kwenye shule hizi kwa kuhofia watoto wao kubadilishwa dini na kulazimishwa kusali kikristo kila asubuhi na jioni.

Mdomo haumkatai bwana wake.

Mzee wangu huyo laiti kama kweli angekuwa ''Muislam safi''
kama unavyosema angelijua kuwa Allah amekataza mtu kusema
kile asichokuwa na ujuzi nacho.
 
Mbona ndugu yangu umeacha mengi sana kuhusu Hamza Aziz na Nyerere?

Umeliona lile la ajali ya barabarani aliyopata ndiyo kubwa la kuweka humu
kumfedhehesha mzee wangu?

Yapo mengi huyajui.

Ungetaja na Hamza Aziz kuitwa Halmashauri Kuu kushitakiwa kwa kupingana na Leadership Code.
Ungeeleza na mpambano uliotokea mle ndani kati ya Nyerere na Hamza Aziz.

Ungeeleza kuwa katika kikao kile kaka yake Hamza Aziz, Dossa Aziz alipewa safari na alipokuwa
hayupo ndipo kikao kikaitwa kwa haraka ili Hamza Aziz asitetewe na kaka yake.

Ungeeleza na msimamo wa Rashid Kawawa katika sakata ile yote na nini alisema.

Ungeeleza, ungeeleza, ungeeleza na ''bugging'' ya simu zake...

Ungeeleza na vita alokuwa akipigwa ndani ya jeshi la polisi.
Aliyekuwa akiongoza vita vile ni Geoffrey Sawaya aliyetumiwa kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA...

Tunajua mengi.
Na sababu ya kujua hayo yote ni moja tu.

Waliokuwa wakiandamwa ni wazee wetu.
Wameondoka na kutuachia nyuma hazina ya taarifa.

Angalia taarifa zako.
Hamza Aziz hakuenda Marekani bali Canada.

Huko akasoma shahada mbili.
Hivi ndivyo zile fitna zilivyomsaidia.

Kwa kumaliza napenda nikueleze.
Hamza Aziz aliwahi kusomewa dua na Sheikh Hassan bin Amir.

Sheikh Hassan bin Amir alinyanyua mikono yake juu akalia na Allah
amjalie Hamza na amkinge na kila shari.

Hamza Aziz alipokuwa kijana mdogo yuko Morogoro ndiyo kaanza kazi ya polisi
baba yake alimtembelea nyumbani kwake Police Baracks.

Mzee Aziz Ali alimwombea dua akamwambia, ''Hamza mwanagu namuomba Allah
akuhifadhi na akupe kila utakalomuomba.''

Wakuu ili tuweze kujifunza mengi na yenye mafaa, ni lazima tutambue mambo mawili makuu!

1) Kundi la wanaharakati kuhama kutoka uanaharakati kwenda uanasiasa.

2) Filosofia ya TANU na siasa zake za ndani.

Tukiyajua hayo bila shaka tunaweza kuondoa hisia za upande mmoja ama hisia mbaya kwa ujumla.

Bahati nzuri mimi ninaufahamu wa sayansi ya siasa hivyo sifikirii vibaya au mlengo wa kushoto juu ya TAA na TANU na kisha CCM kwakuwa filosofia zao nijua.
 
Mohamed Said,

..hayo ya Hamza Aziz kuitwa Halmashauri kuu sikuwa na habari nayo. asante kwa darsa!!

..mimi nilikuwa namjibu Maulid Daniel ambaye alikuwa anajaribu kumchafua Mwalimu Nyerere.

..mwisho, kama utaamua kueleza historia ya Hamza Azizi basi unapaswa kutoa habari zote.

Pole kaka niwie radhi kama nilishuka ''full speed.''

Hahahahahahaha.
 
Mbona ndugu yangu umeacha mengi sana kuhusu Hamza Aziz na Nyerere?

Umeliona lile la ajali ya barabarani aliyopata ndiyo kubwa la kuweka humu
kumfedhehesha mzee wangu?

Yapo mengi huyajui.

Ungetaja na Hamza Aziz kuitwa Halmashauri Kuu kushitakiwa kwa kupingana na Leadership Code.
Ungeeleza na mpambano uliotokea mle ndani kati ya Nyerere na Hamza Aziz.

Ungeeleza kuwa katika kikao kile kaka yake Hamza Aziz, Dossa Aziz alipewa safari na alipokuwa
hayupo ndipo kikao kikaitwa kwa haraka ili Hamza Aziz asitetewe na kaka yake.

Ungeeleza na msimamo wa Rashid Kawawa katika sakata ile yote na nini alisema.

Ungeeleza, ungeeleza, ungeeleza na ''bugging'' ya simu zake...

Ungeeleza na vita alokuwa akipigwa ndani ya jeshi la polisi.
Aliyekuwa akiongoza vita vile ni Geoffrey Sawaya aliyetumiwa kuwahonga vibaraka waikubali BAKWATA...

Tunajua mengi.
Na sababu ya kujua hayo yote ni moja tu.

Waliokuwa wakiandamwa ni wazee wetu.
Wameondoka na kutuachia nyuma hazina ya taarifa.

Angalia taarifa zako.
Hamza Aziz hakuenda Marekani bali Canada.

Huko akasoma shahada mbili.
Hivi ndivyo zile fitna zilivyomsaidia.

Kwa kumaliza napenda nikueleze.
Hamza Aziz aliwahi kusomewa dua na Sheikh Hassan bin Amir.

Sheikh Hassan bin Amir alinyanyua mikono yake juu akalia na Allah
amjalie Hamza na amkinge na kila shari.

Hamza Aziz alipokuwa kijana mdogo yuko Morogoro ndiyo kaanza kazi ya polisi
baba yake alimtembelea nyumbani kwake Police Baracks.

Mzee Aziz Ali alimwombea dua akamwambia, ''Hamza mwanagu namuomba Allah
akuhifadhi na akupe kila utakalomuomba.''

Mohamed,'
Sahihisho dogo tu. Hamza Aziz aliahamishiwa hapa Washington D.C. 1974-au 75. Alihamia Canada 1978. Nimemfahamu vizuri tu pamoja na familia yake alipokuwa hapa Washington. Hata masomo alianzia hapa wakati huo balozi Bomani naye akifanya Masters yake.
 
mbona povu linakutoka,vumilia utapona japo dawa chungu.Waite na wengine mje msome kwa mwanahistoria Mohamed Said,watu wanastafidi sana hapa jamvini.Mwenzio Yeriko kaja kulitetea kanisa nalo eti lilipigania uhuru wa tanganyika.Teh teh teh kazi kwelikweli,kapewa jina la sheikh hata hajulikani kajaribu kufananiza lakini kaumbuliwa

kwani ukikaa pembeni kama mimi kuusikiliza huu mnakasha utaonekana mjinga?.
 
Last edited by a moderator:
Jana nilikuwa naongea na mzee mmoja Muislam safi akaniambia hali ya ELIMU kwa Waislamu ingekuwa mbaya sana kama Mwalimu asingetaifisha shule za madhehebu ya DINI kwani wazee wa Kiislamu walikuwa wamegoma kupeleka watoto wao kwenye shule hizi kwa kuhofia watoto wao kubadilishwa dini na kulazimishwa kusali kikristo kila asubuhi na jioni.

Huyo mwislam hajitambui,ndiyo hao hao wanaotupa shida uelewa wao kwa kweli ni mdogo sana,wamezoea kuendeshwa na propaganda.Kwa waislam wa sasa,mpaka ipite suruhu vinginevyo hakuna kitakachoeleweka.
 
Wakati TANU inazaliwa ahali yako Mzee Mohamed Said alikuwa na miezi kadhaa tangu azaliwe. Aliona nini sasa wakati huo? Hakuna aliyepigania uhuru wa Tanganyika. Waingereza walitutawala hapa kama waangalizi waliokuwa wameteuliwa na UN. Hawakuwa wabishi kuondoka walipotakiwa kufanya hivo. Wala hakukuwa na mikutano ya Lancaster kama wenzetu. Hii historia ya kupeana nauli, kupikiana chai, kupeana lifti kwenye gari,..., kama ndio upiganaji wenyewe, basi hata tuliowachangia ili wafanye harusi mke/mme yule si wao peke yao.

Ni vizuri kukumbuka pia Mwalimu aliacha kazi ya mshahara mzuri kwa ajili shughuli hii ya kurudisha uhuru wetu. Pengine umasikini huu wa kupewa nauli, chakula na chai ulichangiwa na hilo pia kwa kuwa tayari alishakuwa na familia.

Waingereza hawakuondoka kwa khiyari yao.
Inaelekea huijui historia ya uhuru wa Tanganyika.

Waingereza walifanya mbinu nyingi kupiga vita juhudi
za wazee wetu kujikomboa.

Kuna Government Circular No. 5 na No. 6 walizotoa ili
TAA/TANU ikose viongozi.

Hizo circular zilikataza wafanyakazi serikalini kujiunga na siasa.

Kulikuwa na Speicial Branch iliyokuwa ikiwabughudhi wanasiasa.
Hawa wakiongozwa na Amiri Kweyamba.

Huyu kachero akiwafatafata sana Abdu na Ally Sykes hasa 1953 walipoanza kusambaza
''makaratasi ya uchochezi'' yakihimiza Waafrika kujiunga na TAA.

Ndugu yangu uliza vitu hivi kwa ustaarabu utaelezwa.

Hawa walofanya haya walikuwa wazee wetu na wametueleza mengi sana yaliyopita kipindi
kile hadi uhuru ukapatikana mwaka 1961.
 
Pole kaka niwie radhi kama nilishuka ''full speed.''

Hahahahahahaha.
Mohamed Said,

..hujakosea hata kidogo.

..Waswahili wana msemo wao "penye wengi ..."

..Mimi napenda sana aina yako ya uandishi wa historia, hata kama kuna mambo ambayo sikubaliani nayo.

..I wish tungekuwa na waandishi wengi zaidi wa aina yako, kwasababu nadhani hilo tu ndiyo lingeweza kuitendea haki historia yetu.

NB:

..sasa ngoja na mimi nikupe darsa la "dot com"

..kwenye mtandao hatucheki "hahahahaaa". ukitaka kucheka andika LOL meaning "laughing out loud" au "laughs out loud"

..upooooo!!!??
 
Last edited by a moderator:
Waingereza hawakuondoka kwa khiyari yao.
Inaelekea huijui historia ya uhuru wa Tanganyika.

Waingereza walifanya mbinu nyingi kupiga vita juhudi
za wazee wetu kujikomboa.

Kuna Government Circular No. 5 na No. 6 walizotoa ili
TAA/TANU ikose viongozi.

Hizo circular zilikataza wafanyakazi serikalini kujiunga na siasa.

Kulikuwa na Speicial Branch iliyokuwa ikiwabughudhi wanasiasa.
Hawa wakiongozwa na Amiri Kweyamba.

Huyu kachero akiwafatafata sana Abdu na Ally Sykes hasa 1953 walipoanza kusambaza
''makaratasi ya uchochezi'' yakihimiza Waafrika kujiunga na TAA.

Ndugu yangu uliza vitu hivi kwa ustaarabu utaelezwa.

Hawa walofanya haya walikuwa wazee wetu na wametueleza mengi sana yaliyopita kipindi
kile hadi uhuru ukapatikana mwaka 1961.

Nakubaliana na wewe mkuu!

Huo ni ukweli kuwa muingereza hakutoa nchi kwa urahisi kama wengi wanavyodhani.

Ilikuwa kazi ngumu na ya hatari kuupata uhuru huu tunaouchezea leo!
 
Kulikuwa na Speicial Branch iliyokuwa ikiwabughudhi wanasiasa.
Hawa wakiongozwa na Amiri Kweyamba.

Huyu kachero akiwafatafata sana Abdu na Ally Sykes hasa 1953 walipoanza kusambaza
''makaratasi ya uchochezi'' yakihimiza Waafrika kujiunga na TAA.
Hawa walofanya haya walikuwa wazee wetu na wametueleza mengi sana yaliyopita kipindi
kile hadi uhuru ukapatikana mwaka 1961.
Mohamed, kuna maswali yangu kiporo kule nyuma.

Anyway, labda nikuulize jambo moja.
Huyu AMIR Kweyamba anaangukia katika kundi gani? Wazee wako au kibaraka
 
Back
Top Bottom