Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
sasa si tulikubaliana tena hakuna kejeli za namna hii? sijawahi kusema unayoandika ni ngano... unless wewe mwenyewe unaamini hivyo. Swali langu kwa kweli ni genuine. Nani alishinda baina ya hawa wawili na ilikuwa ni katika mazingira gani?
Wewe mwenyewe unaziita habari za Mohamed Said ni simulizi za hadithi hadithi. Leo tena unapinda mgongo unataka darsa. Achana na hizo ngano muulize Yericko Nyerere na Mag3, wajuvi wa historia ya Tanganyika.
Last edited by a moderator: