Wewe inaonesha hata historia yako na mababu zako huijui kabisa,
umesahau hizo hospitals wale agents of colonialisms i.e MISSIONARRIES,walijenga kwa ajenda ipi??
hizo shule pia unajua kipindi babu zako wamefanya watumwa zilijengwa kwa mantiki ipi?
au unajitoa ufaham,au huijui historia?hospitals zilijengwa kwa lengo kubwa la kujitibia wao wenyewe,machifu na wanafamilia wa machifu,kuwatibu watumwa wao pindi pale wanapopatwa na maradhi ili wazid kuwazalishia zaid kwa nguvu kazi zao,,
hizo shule babu zako wala hawakuwa walengwa,walilengwa watawala wao wam kizungu ambao ni kama clerks na supervisors wa colonial govements,middle class people like asians,na baadhi ya weusi ambao wangetumika katika kuwasimamia wao interests zao,
so usijitie kimbele mbele na kujihashua na kujiona wa maana eti walikujengea wewe shule na hospitals,wewe nani na wanufaike na nini kutoka kwako??
pia kama hujui,uislam kama dinni tokea mwanzo inakemea biashara ya utumwa tena kwa wazi wazi,wewe endelea kuzubaa zubaa na PISHI LAKO LA UJINGA..[/QUOTE
Kisu kimekuingiaeee! Na bado!....sasa kama hayo yote mnayajua kwanini mnalialia kwa kuimba kuna mfumo kristo?
By they way umeleta majibu mepesi kwenye maswali magumu. Naomba unisome tena