Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ukimpoteza huyu Mzee, utawapa sababu nyingine wafuasi wake kuhalalisha matendo yao ya ajabu. Kuwa karibu naye inatosha sana. Nimesikitika tu MwanaHalisi inafungiwa kwa muda usiojulikana, redio Imaan inafungiwa kwa miezi sita tu!
kheri lawama kuliko uchochezi kama huu.
 
Kaka si tupo kwenye munakasha tunapeana darsa.
Ok. Nawe chukua hili darsa halafu utanieleza kama Mwalimu aliwasahau Waislam. Nakupa Cabinet ya KWANZA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar:
-Rais- Julius Kambarage Nyerre;
-Makamu wa Kwanza wa Rais- Abeid Amani Karume;
-Makamu wa Pili wa Rais- Rashid Mfaume Kawawa;
-Mawaziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Nsilo Swai, Mohamed A Babu, Amir Jamal;
-Waziri wa Nchi Makamu wa Kwanza wa Rais-Aboud Jumbe;
-Mawaziri wa Nchi Makamu wa Pili wa Rais- Lawi Sijaona, Bhoke Munanka;
-Waziri Kilimo, Misitu na Mifugo-Said Ali Maswanya;
-Waziri Biashara na Ushirika-Jeremiah Kasambala;
-Waziri Uchukuzi na Ujenzi-Sir George Kahama;
-Waziri Fedha-Paul Bomani;
-Waziri Mambo ya Nje- Oscar Kambona;
-Waziri Mambo ya Ndani-Job Lusinde;
-Waziri Ardhi, Makazi, Maji-Tewa Said Tewa;
-Waziri Viwanda, Migodi-Abdullah Kassim Hanga;
-Waziri Elimu- Solomon Eliufoo;
-Waziri Afya- Dereck Bryceson;
-Waziri Kazi- Michael Kamaliza;
-Waziri Maendeleo ya Jamii, Utamaduni-Sheikh Amri Abeid;
-Waziri Serikali za mitaa-Austin Shaba;
-Waziri Sheria-Hassan Nassoro Moyo;
-Waziri Habari, Utalii- Idrissa A Wakil.
Hapo haikuangaliwa DINI ya mtu, KABILA ya mtu wala Ukanda. Humo kuna Waafrika, Wahindi, Waarabu na Mzungu. Leo hii wanazuka watu wanasema kuna Waislam walisahaulika.

-
 
Una habari zozote za Tanganyika kama nchi chini ya udhamini wa umoja wa mataifa.

Ritz,

Hilo swali muhimu sana na hapa chini litakuonyesha jinsi viongozi wa TAA
walipolichukua jambo hilo na kama msingi wa kuasisi TANU.

Hii ilikuwa 1950:


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Tanganyika as a Mandate Territory[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Britain was administering Tanganyika under articles 76 and 77 of the Charter of the United Nations.

As the administering authority, Britain was expected to establish and promote political, economic and social advancement of Tanganyika until such time as its people were ready for self-rule.

In spite of this international commitment, the British were more interested in safeguarding their own colonial interests and those of other minorities but-not those of the indigenous African majority. [1]

In order to pre-empt African reaction to this injustice, in 1949 Governor Twining invited proposals from prominent individuals, welfare societies and from Native Authorities,[2] as to how Tanganyika should be governed.

TAA political committee submitted a memorandum to the Constitutional Development Committee which was signed by the entire executive: Sheikh Hassan bin Amir, Abdulwahid Sykes, Vedasto Kyaruzi, Hamza Mwapachu, John Rupia, Stephen Mhando and Said Chaurembo. [3]

In his annual report for 1950, Abdulwahid was to write:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ''For the welfare of the Africans and to safeguard the interests of this Association and those of the African community as a whole, this Association has arranged for an advocate to stand by and to advise the Association on the technical side of the law. This advocate is Mr. E.E. Seaton of Moshi. He has from time to time written to the Association on various political subjects, and helped a great deal with his advices when this Association was compiling its memorandum on constitutional development. '' [4] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Abdulwahid realised that many of the problems in respect of the rights of Africans in the territory were legal issues which required the advice of legal experts. For the first time, with the help of Seaton, TAA was able to confront the colonial authority with facts and figures illustrating injustices in the colonial system which were contrary to the United Nations Charter. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] In his analysis of the TAA memorandum to the Constitutional Development Committee, Pratt reported:[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ''The most detailed African submission came from the Dar es Salaam branch of the Tanganyika African Association. It asked that the distribution of seats (i.e. an official majority and one-half of the unofficial to be African) should be held constant for the next twelve years and that in the thirteenth year a common electoral roll should be introduced with a majority of the council then being elected.''[5] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Governor Edward Twining's committee ignored TAA's recommendations. The government continued with its long-term plans of strengthening the positions of minority Europeans and Asians in the political development of the territory while pushing aside the indigenous Africans contrary to the United Nations Charter.

Many learned Africans were of the opinion that the TAA submission should have rightly formed the basis of the future constitution of the territory as a multi-racial society.

But the spirit of that document did not die. It surfaced at the TANU founding conference on 7 th July, 1954 and was to form the basis of Julius Nyerere's speech before the Trusteeship Council of the United Nations in New York in March, 1955. [6]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hiyo bold inamkata maini Jasusi.

Hataki kukubali kuwa TAA ilikuwa na watu hodari kama Sheikh Hassan bin Amir ambae wakati
ule alikuwakaandika vitabu takriban saba na vikisomeshwa vyuo vingi vya Kiislam pamoja na
Al Azhar.

[1]For a detailed discussion on the subject see Cranford Pratt, The Critical Phase in Tanzania
1945-1968,
Cambridge University Press, London, 1976, pp. 29-31.

[2]Ibid p. 30.

[3]The author was for the first time informed of the existence of this document by one of
Mwapachu's children, Juma Volter Mwapachu. He was informed that Mwapachu took great
pride in having participated in the drafting of this document. In her book Listowel mentioned
this document and its historical significance to the political history of Tanganyika. But it was
Pratt who analysed the document in detail. The document was first consulted by Pratt in 1959
in a file of the Committee on ‘Constitutional Development Report/and Despatches to the
Secretary of State' no. 1146-6, Dar es Salaam Secretariat Library. Although this file is available
at the Tanzania National Archives, the document is missing. The author was informed that a
microfilm of the document was available but that too could not be traced. For more information
on loss of historical documents see M. Said, ‘In Praise of Ancestors Revisited' in Africa Events, London
March, 1989, pp. 50-51.

[4]Annual Report of the secretary of TAA, ibid.

[5]Pratt op. cit. p. 30.

[6] There are old men, TANU veterans, who believe to this day that the March 1955 speech by Julius
Nyerere before the Trusteeship Council was written by Abdulwahid, and so was the constitution of
Tanganyika. The author has come across this story several times in his interviews with early members
of TANU. The reason for this belief is that the document was drafted by the TAA Political Subcommittee
in 1950.
 
Ok. Nawe chukua hili darsa halafu utanieleza kama Mwalimu aliwasahau Waislam. Nakupa Cabinet ya KWANZA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar:
-Rais- Julius Kambarage Nyerre;
-Makamu wa Kwanza wa Rais- Abeid Amani Karume;
-Makamu wa Pili wa Rais- Rashid Mfaume Kawawa;
-Mawaziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Nsilo Swai, Mohamed A Babu, Amir Jamal;
-Waziri wa Nchi Makamu wa Kwanza wa Rais-Aboud Jumbe;
-Mawaziri wa Nchi Makamu wa Pili wa Rais- Lawi Sijaona, Bhoke Munanka;
-Waziri Kilimo, Misitu na Mifugo-Said Ali Maswanya;
-Waziri Biashara na Ushirika-Jeremiah Kasambala;
-Waziri Uchukuzi na Ujenzi-Sir George Kahama;
-Waziri Fedha-Paul Bomani;
-Waziri Mambo ya Nje- Oscar Kambona;
-Waziri Mambo ya Ndani-Job Lusinde;
-Waziri Ardhi, Makazi, Maji-Tewa Said Tewa;
-Waziri Viwanda, Migodi-Abdullah Kassim Hanga;
-Waziri Elimu- Solomon Eliufoo;
-Waziri Afya- Dereck Bryceson;
-Waziri Kazi- Michael Kamaliza;
-Waziri Maendeleo ya Jamii, Utamaduni-Sheikh Amri Abeid;
-Waziri Serikali za mitaa-Austin Shaba;
-Waziri Sheria-Hassan Nassoro Moyo;
-Waziri Habari, Utalii- Idrissa A Wakil.
Hapo haikuangaliwa DINI ya mtu, KABILA ya mtu wala Ukanda. Humo kuna Waafrika, Wahindi, Waarabu na Mzungu. Leo hii wanazuka watu wanasema kuna Waislam walisahaulika.

-

Nashukuru kwa darsa, huyu Amil Jamal ndiyo mwenye jengo pale Samora, JM MALL.
 
Nguruvi,

Mimi siye niliyshindwa kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Ndani ya kitabu changu hilo la yeye kusahau cheo cha Abdu
nimelisema.

Na usidhani nyie ndiyo wa kwanza kushangazwa na hilo.
Sasa leteni video tuisikize na ilikubalika lakini hadi leo haijaletwa.

Vipi utanilaumu mimi?
Leteni hiyo video tuisikize mnikamate uongo.

Namba za mitihani sijashindwa.
Wakujibu si nyie ni Wizara ya Elimu.

Sasa tuje kwa Aboud Jumbe.

Mimi nilikuwa mhariri wa kitabu chake Partnership.
Inakutosha au nikuongezee?

Tuje kwa Hassan Nassor Moyo.
Alikuwa jirani yangu kwa miaka 15.

Inatosha au nikuongezee?

Unasema kuhusu mapinduzi ya Zanzibar...

Mimi nimemuhoji Kamanda wa Majeshi ya Wamakonde Mohamed
Omar Mkwawa.

Soma ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru'' cha Dk Harith Ghassany.
Ipo na picha yangu nimeshika video camera pwani ya Kipumbwi.

Iko picha ya Mzee Omar Mkwawa pia.

Unadhani mambo yale yalikuwa ya akina Moyo na Karume?

Mpate Mzee Aboud Mmasai, Jimmy Ringo mratibu toka TANU Office
Tanga.

Mpate Mzee Baramia.

Mpate Jumanne Abdallah aliyekuwa akitoa ulinzi kwa vijana wa Kimakonde
katika pori la Sakura.

Mpate Kassim Hanga na Oscar Kambona.

We unadhani utakaa hapo la laptop yako upambane na mimi katika haya.
Unataka nikuwekee mimi nilimjua vipi Hanga?

Akija mtaani kwetu nyumbani kwa Mama Abdu Mgunya kucheza bao.

Na siku alipoletwa Mnazi Mmoja kuadhiriwa na Nyerere kwenye mkutano
wa hadhara mimi na wenzangu tupo pale tunalaani maana kiwanja chetu
cha mpira kimetekwa hatuwezi kucheza.

Halafu wale walokuwa pale nawaju kwa majina.

Yule Mzee Omari Londo.
Yule Hamza Aziz nk. nk.

Na wao wananijua mtoto wa Said Salum mjukuu wa Baba Popo.
Soma kwanza ndiyo ujishauri kama una afya ya kuvaana na mimi.

Mimi sijaparamia historia hii ni historia ya mji wangu ya wazee wangu.
Naijua ndani nje
Afya ya kupambana na wewe ninayo sana hata wewe unajua hilo.
Si mara moja mbili au tatu nimekuwekea mambo ambayo huko Cambridge hawakuwahi kuyaona.
Si mara moja au mbili nime prove uongo wako 100% , si mara moja au mbili nimeonyesha uzushi, si mara moja au mbili nimeonyesha ubazazi na hata kufuru yako juu ya mwenyezi mungu.

Unajua fika kuwa tukisimama katika jukwaa bila vipande vya nukuu za vitabu dakika 10 utakuwa umejitahidi.
Mimi si wale wa gogo vivu unajua hilo.

Kuhusu maneno ya Nyerere, Jokakuu kaweka maaandishi hapa hujayakana.
Lakini mwenye dhima ya ku-prove maneno yhayo ni wewe uliyezusha.
Mimi niliisikiliza hotuba ya mwalimu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Ninakuhakikishia kama kuna kufur uliowahi kufanya ni kumsingizia maneno hayo.
Eti mtafiti anasubiri video badala ya yeye kuleta matokeo ya utafiti! phwee!
Mohamed, hilo Nyerere wewe umezusha, hakusema maneno hayo.Acha unafiki Mohamed

Kuhusu wazee wako kila mtu anajua majina ya watu wa mtaani kwake.
Kwa taarifa yako ni kutokana na masimulizi ya vibarazani ndio ukaja na ngano hii ambayo katika mizania yoyote ya kisomi ni rubbish. Honest it's rubbish. Kama mweandishi anaandika kitu asichoweza kukitetea kwanini mtu aamini kuwa hapo kuna elimu.

Huwezi ku-prove jambo hadi ufanye self quotation, halafu tuamini huyu ni mwandishi achilia mbali mtafiti.
Kitabu cha Ghesany umeandika wewe halafu unataka kufanya reference
Warsha wewe ulikuwa mtafiti leo unatudanganya ni organization kumbe ulikuwa wewe.

Leo tunajua wazi kuwa familia unazosema zilikuja kumkomboa Mtanganyika zilikuwa na element za utapel.
Familia ya Sykes imefisadi mali za TAA na wewe unalijua lakini hulisemi. Tunalijua na tutalisema.

Nimekuwekea maelezo ya yule Mpakistani Maliki ukasema utakuja na habari zake!
Guess what hukuweza kuja nazo na ungetia mguu ningekumwaga vibaya huyu Malik I know him and his mission kuliko unavyomjua wewe.Wewe ulikuwa unamsikiliza sisi tunamjua, fahamu hilo.

FYI Malik ana link na organization chafu sana hapa duniani. Tuseme zaidi.
Unawajua Haqqan wewe!
 
Ok. Nawe chukua hili darsa halafu utanieleza kama Mwalimu aliwasahau Waislam. Nakupa Cabinet ya KWANZA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar:
-Rais- Julius Kambarage Nyerre;
-Makamu wa Kwanza wa Rais- Abeid Amani Karume;
-Makamu wa Pili wa Rais- Rashid Mfaume Kawawa;
-Mawaziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Nsilo Swai, Mohamed A Babu, Amir Jamal;
-Waziri wa Nchi Makamu wa Kwanza wa Rais-Aboud Jumbe;
-Mawaziri wa Nchi Makamu wa Pili wa Rais- Lawi Sijaona, Bhoke Munanka;
-Waziri Kilimo, Misitu na Mifugo-Said Ali Maswanya;
-Waziri Biashara na Ushirika-Jeremiah Kasambala;
-Waziri Uchukuzi na Ujenzi-Sir George Kahama;
-Waziri Fedha-Paul Bomani;
-Waziri Mambo ya Nje- Oscar Kambona;
-Waziri Mambo ya Ndani-Job Lusinde;
-Waziri Ardhi, Makazi, Maji-Tewa Said Tewa;
-Waziri Viwanda, Migodi-Abdullah Kassim Hanga;
-Waziri Elimu- Solomon Eliufoo;
-Waziri Afya- Dereck Bryceson;
-Waziri Kazi- Michael Kamaliza;
-Waziri Maendeleo ya Jamii, Utamaduni-Sheikh Amri Abeid;
-Waziri Serikali za mitaa-Austin Shaba;
-Waziri Sheria-Hassan Nassoro Moyo;
-Waziri Habari, Utalii- Idrissa A Wakil.
Hapo haikuangaliwa DINI ya mtu, KABILA ya mtu wala Ukanda. Humo kuna Waafrika, Wahindi, Waarabu na Mzungu. Leo hii wanazuka watu wanasema kuna Waislam walisahaulika.

-

WC,

Mashaallah wewe hodari sana.

Hayo usemayo kweli.
Mambo yalikuja kuharibika baadae.

Sasa angalia mwaka 1968 wakati wa mgogoro wa EAMWS mambo yalikuwaje:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] It is from these developments that we can now start tracing and analysing how the government finally moved to subvert Muslim unity through campaigns of intrigue, sabotage, bribery and misinformation against the EAMWS leadership, which it perceived as a threat to its own political domination over the Muslim majority.

The government was now literally in Christian hands. Apart from Zanzibaris in the union government - A.M. Maalim, Minister of Commerce and Industry; Aboud Jumbe, Minister of State; A.M. Babu, Minister of Lands, Settlement and Water development; Hasnu Makame, Minister of Information and Tourism; Nyerere's right-hand man, First-Vice President Rashid Mfaume Kawawa, the only Muslim minister from the Mainland in the fifteen-man cabinet was Said Ali Maswanya, Minister of Minister of Home Affairs. How could such a situation have arisen?

The answer to this question lies in the past history of Tanzania when the first missionaries arrived to ‘civilise the black continent'.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=2][/h] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Afya ya kupambana na wewe ninayo sana hata wewe unajua hilo.
Si mara moja mbili au tatu nimekuwekea mambo ambayo huko Cambridge hawakuwahi kuyaona.
Si mara moja au mbili nime prove uongo wako 100% si mara moja au mbili nimeonyesha uzushi, si mara moja au mbili nimeonyesha ubazazi na hata kufuru yako juu ya mwenyezi mungu. Unajua fika kuwa tukisimama katika jukwaa bila vipande vya nukuu za vitabu dakika 10 utakuwa umejitahidi. Mimi si wale wa gogo vivu unajua hilo.

Kuhusu maneno ya Nyerere Jokakuu kaweka maaandishi hapa hujayakana. Lakini mwenye dhima ya ku-prove maneno yhayo ni wewe uliyezusha. Mimi niliisikiliza hotuba ya mwalimu kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Ninakuhakikishia kama kuna kufur uliowahi kufanya ni kumsingizia maneno hayo. Muombe mwenyezi mungu msamaha maana ulichokifanya ni kufur. Eti mtafiti anasubiri video badala ya yeye kuleta matokeo ya utafiti! phwee!
Mohamed, hilo Nyerere wewe umezusha, hakusema maneno hayo.Acha unafiki Mohamed

Kuhusu wazee wako kila mtu anajua majina ya watu wa mtaabi kwake. Kwa taarifa yako ni kutokana na masimulizi ya vibarazani ndio ukaja na ngano hii ambayo katika mizania yoyote ya kisomi ni rubbish. Honest it's rubbish. Kama mweandishi anaandika kitu asichoweza kukitetea kwanini mtu aamini kuwa hapo kuna elimu.

Huwezi ku-prove jambo hadi ufanye self quotation, halafu tuamini huyu ni mwandishi achilia mbali mtafiti.
Kitabu cha Ghesany umeandika wewe hal;afu unataka kufanya reference
Warsha wewe ulikuwa mtafiti leo unatudanganya ni organization kumbe ulikuwa wewe.

Nimekuwekea maelezo ya yule Mpakistani Maliki ukasema utakuja na habari zake! Guess what hukuweza kuja nazo na ungetia mhuu ningekumwaga vibaya maana huyu jamaa Malik I know him and his mission kuliko unavyomjua wewe.
Wewe ulikuwa unamsikiliza sisi tunamjua, fahamu hilo.

FYI Malik ana link na eveil organization na yupo katika black list. Tuseme zaidi.
Unawajua Haqqan wewe!

N,

Ala kumbe wewe mwandishi.
Safi sana.

''I am a trained soldier but I have never been in action!''
Askari aliyepata mafunzo lakini hajapigana vita!

Mwandishi mtafiti lakini sijaona kazi yako hata moja.

Vitisho vya nini?

Si nimeeleza hapa jinsi rafiki zangu walivyoiweka alama pasi
yangu kiasi kokote duniani nina ''status'' maalum na credit card
zangu hazisomi kitu hadi nifunguliwe?

Hiyo ''evil organisation'' ndiyo niogope?
ANC nayo si ilikuwa ''blacklisted?'' cha ajabu kipi ndugu yangu.

Mimi natafakhari kuwa nilisomeshwa na Sheikh Malik na kanifunza
mengi katika utu.

Sheikh Maliki anadarshisha anasema, ''Iko siku mtakamata madaraka
muwe waadilifu, msidhulumu, waoneeni huruma wanginge na ambao
Allah hakuwajaalia nema mlizopewa nyie. Somesheni watoto ambao
wazee wao ni masikini wala msiogope kuwa mtafilisika kwa kutoa sadaka
kwa ajili ya Allah. Ishini vyema na wale ambao hawakiujaaliwa nema ya
Uislam. Msidhulumu na wala msikubali kudhulumiwa. Haya nisemayo si maneno
yangu haya ni maneno ya Allah Subhana Wataala.''

Sheikh Malik huyo.
Lipi baya alokuwa anasomesha?

Nakupa uhuru sema zaidi kuhusu mimi na mwalimu wangu.
Uwanja ni wako nami nakusubiri Insha Allah.
 
WC,

Mashaallah wewe hodari sana.

Hayo usemayo kweli.
Mambo yalikuja kuharibika baadae.

Sasa angalia mwaka 1968 wakati wa mgogoro wa EAMWS mambo yalikuwaje:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]It is from these developments that we can now start tracing and analysing how the government finally moved to subvert Muslim unity through campaigns of intrigue, sabotage, bribery and misinformation against the EAMWS leadership, which it perceived as a threat to its own political domination over the Muslim majority.

The government was now literally in Christian hands. Apart from Zanzibaris in the union government - A.M. Maalim, Minister of Commerce and Industry; Aboud Jumbe, Minister of State; A.M. Babu, Minister of Lands, Settlement and Water development; Hasnu Makame, Minister of Information and Tourism; Nyerere's right-hand man, First-Vice President Rashid Mfaume Kawawa, the only Muslim minister from the Mainland in the fifteen-man cabinet was Said Ali Maswanya, Minister of Minister of Home Affairs. How could such a situation have arisen?

The answer to this question lies in the past history of Tanzania when the first missionaries arrived to ‘civilise the black continent'.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mzee Mohamed,
Itoe Cabinet hiyo ya 1968 kama nilivyotoa hiyo ya 1964.
 
Mzee Mohamed,
Itoe Cabinet hiyo ya 1968 kama nilivyotoa hiyo ya 1964.

WC,

Ndugu yangu utanipa kazi kubwa ya kutafuta.
Kwani huniamini unadhani ninefanya ujanja?

Nakuomba utosheke na hiyo la kama wewe unaweza
kuleta full cabinet itakuwa vyema.

WC unanichangamsha sana.
Thanx.
 
Sasa nakwambia tena ukweli wewe mfuasi wa shehe Ilunga, Hizo laana mnazomuombea mwalimu Nyerere hazitakaa zimpate, zitawapata ninyi mtakuwa watu wa kulalamika hadi kiama! mara mnaonewa, mara hamtendewi haki, huku viongozi wenu wakivaa ndala zilizo chanika....

Hapo ndipo mtajua huyo Mungu mnaemwomba atoe laana ni wa kweli au feki.....

Mzizi,

Umekwenda mbali.
Mimi fikra yangu ni sisi kujiuliza tumefikaje katika hali hii?

Kisha tunaweza sasa tukalaumiana kwa kule kusemezana
na kupeana laana.
 
Afya ya kupambana na wewe ninayo sana hata wewe unajua hilo.
Si mara moja mbili au tatu nimekuwekea mambo ambayo huko Cambridge hawakuwahi kuyaona.
Si mara moja au mbili nime prove uongo wako 100% , si mara moja au mbili nimeonyesha uzushi, si mara moja au mbili nimeonyesha ubazazi na hata kufuru yako juu ya mwenyezi mungu.

Unajua fika kuwa tukisimama katika jukwaa bila vipande vya nukuu za vitabu dakika 10 utakuwa umejitahidi.
Mimi si wale wa gogo vivu unajua hilo.

Kuhusu maneno ya Nyerere, Jokakuu kaweka maaandishi hapa hujayakana.
Lakini mwenye dhima ya ku-prove maneno yhayo ni wewe uliyezusha.
Mimi niliisikiliza hotuba ya mwalimu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Ninakuhakikishia kama kuna kufur uliowahi kufanya ni kumsingizia maneno hayo.
Eti mtafiti anasubiri video badala ya yeye kuleta matokeo ya utafiti! phwee!
Mohamed, hilo Nyerere wewe umezusha, hakusema maneno hayo.Acha unafiki Mohamed

Kuhusu wazee wako kila mtu anajua majina ya watu wa mtaani kwake.
Kwa taarifa yako ni kutokana na masimulizi ya vibarazani ndio ukaja na ngano hii ambayo katika mizania yoyote ya kisomi ni rubbish. Honest it's rubbish. Kama mweandishi anaandika kitu asichoweza kukitetea kwanini mtu aamini kuwa hapo kuna elimu.

Huwezi ku-prove jambo hadi ufanye self quotation, halafu tuamini huyu ni mwandishi achilia mbali mtafiti.
Kitabu cha Ghesany umeandika wewe halafu unataka kufanya reference
Warsha wewe ulikuwa mtafiti leo unatudanganya ni organization kumbe ulikuwa wewe.

Leo tunajua wazi kuwa familia unazosema zilikuja kumkomboa Mtanganyika zilikuwa na element za utapel.
Familia ya Sykes imefisadi mali za TAA na wewe unalijua lakini hulisemi. Tunalijua na tutalisema.

Nimekuwekea maelezo ya yule Mpakistani Maliki ukasema utakuja na habari zake!
Guess what hukuweza kuja nazo na ungetia mguu ningekumwaga vibaya huyu Malik I know him and his mission kuliko unavyomjua wewe.Wewe ulikuwa unamsikiliza sisi tunamjua, fahamu hilo.

FYI Malik ana link na organization chafu sana hapa duniani. Tuseme zaidi.
Unawajua Haqqan wewe
!
Hata mimi nina hamu kujua hizo mission za Malik.Usisite kuziweka hapa ili na sisi tuweze kuangalia ukweli au uongo wako.
 
Afya ya kupambana na wewe ninayo sana hata wewe unajua hilo.
Si mara moja mbili au tatu nimekuwekea mambo ambayo huko Cambridge hawakuwahi kuyaona.
Si mara moja au mbili nime prove uongo wako 100% , si mara moja au mbili nimeonyesha uzushi, si mara moja au mbili nimeonyesha ubazazi na hata kufuru yako juu ya mwenyezi mungu.

Unajua fika kuwa tukisimama katika jukwaa bila vipande vya nukuu za vitabu dakika 10 utakuwa umejitahidi.
Mimi si wale wa gogo vivu unajua hilo.

Kuhusu maneno ya Nyerere, Jokakuu kaweka maaandishi hapa hujayakana.
Lakini mwenye dhima ya ku-prove maneno yhayo ni wewe uliyezusha.
Mimi niliisikiliza hotuba ya mwalimu kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Ninakuhakikishia kama kuna kufur uliowahi kufanya ni kumsingizia maneno hayo.
Eti mtafiti anasubiri video badala ya yeye kuleta matokeo ya utafiti! phwee!
Mohamed, hilo Nyerere wewe umezusha, hakusema maneno hayo.Acha unafiki Mohamed

Kuhusu wazee wako kila mtu anajua majina ya watu wa mtaani kwake.
Kwa taarifa yako ni kutokana na masimulizi ya vibarazani ndio ukaja na ngano hii ambayo katika mizania yoyote ya kisomi ni rubbish. Honest it's rubbish. Kama mweandishi anaandika kitu asichoweza kukitetea kwanini mtu aamini kuwa hapo kuna elimu.

Huwezi ku-prove jambo hadi ufanye self quotation, halafu tuamini huyu ni mwandishi achilia mbali mtafiti.
Kitabu cha Ghesany umeandika wewe halafu unataka kufanya reference
Warsha wewe ulikuwa mtafiti leo unatudanganya ni organization kumbe ulikuwa wewe.

Leo tunajua wazi kuwa familia unazosema zilikuja kumkomboa Mtanganyika zilikuwa na element za utapel.
Familia ya Sykes imefisadi mali za TAA na wewe unalijua lakini hulisemi. Tunalijua na tutalisema.

Nimekuwekea maelezo ya yule Mpakistani Maliki ukasema utakuja na habari zake!
Guess what hukuweza kuja nazo na ungetia mguu ningekumwaga vibaya huyu Malik I know him and his mission kuliko unavyomjua wewe.Wewe ulikuwa unamsikiliza sisi tunamjua, fahamu hilo.

FYI Malik ana link na organization chafu sana hapa duniani. Tuseme zaidi.
Unawajua Haqqan wewe!

NGURUVI

''Self Quotation''

Umesahau.
Mimi hapa siko na wewe tu.

Wewe ni mtu mmoja na Alhmdulilah nashukuru kuwa unanisikiliza.

Pamoja na wewe kuna wasikizaji 75,000 plus wametega masikio.
Hawa hawajasikia haya ninayosema.

Wewe unanisaidia mimi kuwafikishia hawa yale ambayo hata siku
moja hawakupatapo kuyajua.

Hapo ndipo ninapoweka yale niyajuayo.

Kuna msikizaji mmoja leo kasema yeye hachangii chochote lakini
kaingia kusema kuwa hakika ananufaika sana na haya niyasemayo.
 
Sasa kama hauna hiyo full cabinet ya 1968 hicho kipande ulichojinukuu hapo unakitoaje kama ushahidi?

WC,

Usidhani mimi niko hapa kutoa ushahidi.

Mimi nilipoandika kitabu kile nia ilikuwa kutoa jibu kwa historia rasmi.

Ndiyo maana husisitiza ikiwa unahisi mie si mkweli soma jipitie zako.

Uingereza kuna gazeti linaitwa The Sun. Gazeti la kipuuzi sana mie
sikuwa napata tabu kulinunua.

Nikiingia kwenye treni nalikuta mtu kailinunua kalisoma kashuka kituo
chake na kuliacha kwenye kiti.

Nami nalichukua nalisoma kisha nikifika kituo changu nateremka gazeti
naliacha hapo hapo nilipolikuta.

Hivyo hivyo kila aingiae ataliacha maana ni upuuzi.
Huu ndiyo ushauri wangu kwako.

Usijitaabishe kitabu kina miaka sisi tunakijadili leo.
 
WC,

Usidhani mimi niko hapa kutoa ushahidi.

Mimi nilipoandika kitabu kile nia ilikuwa kutoa jibu kwa historia rasmi.

Ndiyo maana husisitiza ikiwa unahisi mie si mkweli soma jipitie zako.

Uingereza kuna gazeti linaitwa The Sun. Gazeti la kipuuzi sana mie
sikuwa napata tabu kulinunua.

Nikiingia kwenye treni nalikuta mtu kailinunua kalisoma kashuka kituo
chake na kuliacha kwenye kiti.

Nami nalichukua nalisoma kisha nikifika kituo changu nateremka gazeti
naliacha hapo hapo nilipolikuta.

Hivyo hivyo kila aingiae ataliacha maana ni upuuzi.
Huu ndiyo ushauri wangu kwako.

Usijitaabishe kitabu kina miaka sisi tunakijadili leo.
dah! mzee kwa mbinu za kukwepa hoja sikuwezi,
bahati mbaya mbinu zako za kukwepa hoja zimeshazeeka japo vijana wako wanajaribu kuzifanya zionekane bado mbichi,
sad!
 
dah! mzee kwa mbinu za kukwepa hoja sikuwezi,
bahati mbaya mbinu zako za kukwepa hoja zimeshazeeka japo vijana wako wanajaribu kuzifanya zionekane bado mbichi,
sad!

Z,

Hapana sikwepi hoja ninasema kile ninachoona sawa.
 
WC,

Usidhani mimi niko hapa kutoa ushahidi.

Mimi nilipoandika kitabu kile nia ilikuwa kutoa jibu kwa historia rasmi.

Ndiyo maana husisitiza ikiwa unahisi mie si mkweli soma jipitie zako.

Uingereza kuna gazeti linaitwa The Sun. Gazeti la kipuuzi sana mie
sikuwa napata tabu kulinunua.

Nikiingia kwenye treni nalikuta mtu kailinunua kalisoma kashuka kituo
chake na kuliacha kwenye kiti.

Nami nalichukua nalisoma kisha nikifika kituo changu nateremka gazeti
naliacha hapo hapo nilipolikuta.

Hivyo hivyo kila aingiae ataliacha maana ni upuuzi.
Huu ndiyo ushauri wangu kwako.

Usijitaabishe kitabu kina miaka sisi tunakijadili leo.

Mbona unarudia makosa yaleyale? Kitabu chako si historia halisi ya harakati za uhuru bali ni simulizi/ngano za wazee wako tu,
 
Back
Top Bottom