Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mohamed Said, haya dnakujuza tu kuwa nduguyo mchochezi mwenzio wa maasi ya kiroho Shehe Ilunga yasemekana kashatiwa korokoroni na FBI, bado wewe na wenzio wengine,
Yericko,
Umesahau mara hii kuhusu hotuba ya muago ya Nyerere.
Nilikuasa nikakuambia usishangilie goli kabla mpira haujagusa
nyavu.
Una haraka gani?
Subiri nikamatwe ndiyo ushangilie.
Unadhani mie kuwekwa korokoroni nakuhofia?
Hiyo ni sunna kwa kila asimamiae haki.
Nikiwekwa korokoroni nitakuwa nimewekwa kwa ajili
ya Allah, Mfalme wa Wafalme, Hakimu Muadilifu.
Yeye ambae hakalifu miadi.
Umesahau Nyerere na kesi ya Mzungu wa Geita?
Nyerere kawaita Waingereza ''wanyonya damu.''
Akafunguliwa kesi na hukumu ikawa kifungo au faini.
Nakudokezea.
Sunna ya kufungwa Muislam ni hii.
Akitoka jela heshma na hadhi yake hupanda.
Mimi siogopi kwenda jela kwa kusema kweli kuwa serikali inatudhulumu
Waislamu.
Itakuwa kazi ya mahakama kunitia hatiani kuwa nisemayo si kweli.
Tusubiri.