Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wee mzee acha uongo, unakumbuka niliwahi kukuambia nini kuhusu hii ngano yako? Wewe kukutana na Haroub Othman, kumpa kitabu chako hakuna anayepinga lakini hili la uandishi wa bayografia ya Nyerere kuwa ni kutokana na kitabu chako ni uongo unaotakiwa kuuacha sasa maana tumeshakueleza lakini bado unakoleza tu as if that will turn into some truth.

Na hii ya kusema jambo hili lilieta ubishani sana hapa JF ai kweli, ulitoa tuhuma nikakujibu kwa evidence ukaishia kulalama na kusema "ooh! ni kitabu changu" Lakini kwa sababu ya ile "tropy collecting mentallity" unaendelea kushupalia uongo huu ili ionekane ulishinda hhahahahah ahahahaha. Muogope Mungu we Mzee. Haya nakukumbusha tena.



Wakati mwingine uone aibu Mzee Saidi.

anzania's founder president and father of the nation , the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, died before his autobiography could begin.
Prof. Ahmed Mohiddin, a former academician, told the East African that three people himself, Prof Haroub Othman, now live in Liberia, and former ambassador Ferdinand Ruhinda one of mwalimu's confidants had earlier approached the late Mwalimu to seek his consent.

He had initially agreed, on that and Prof Othman was to meet him in August 12, 1999 so that we could work on strategy on how we were going to do it. I think he knew his disease was fatal.

Prof Mohiddin who describes Mwalimu as the last revolutionary, said it is sad that he departed without it.

Ambassador Ruhinda said in Dar, "We were going to sit with him whenever he had time, and write his own words and then he would go through the manuscript and correct it because we wanted it to be his own work. It is just bad that he departed before the project could take off"

He added "Actually we were just going to assist him to write, but not for us to write for him; there are so many books that have been written about him that we wanted one from himself.

The three writers who had worked on a framework for the Nyerere Autograph now have daunting task ahead. "We will have to reorganize ourselves and the work. But it will never be the same again."
Kama huu ndio upeo wa mchango wako basi pole sana.
Umekanusha nini?.Kumbe umekubali kuwa Prof.Haroub Othman alimfuata Nyerere kumshauri aandike historia yake.Kitu hicho hicho ndicho alichosema Mohammed.
Sisi watu wa mantiq na balagha huwezi kutubabaisha na makeke ya aina hiyo.
Angalia Nyambala!.Wewe hakuna sehemu uliyosema unafahamiana au uliwahi kuzungumza na prof.Haroub Othman tofauti na Mohammed aliyekuwa na usuhuba nae.Kitendo cha hao maprofesa kumfuata Nyerere kilifanyika baada ya kitabu cha Mohammed kutoka na mwishoni mwa maisha ya Nyerere.Kati ya utakayosema wewe na Mohammed ni nani atakayekuamini wewe akawacha aliyosema Mohammed kuhusiana na profesa Haroub ?..
 
Siyo ya kidini wala ya kikabila, kama hujui omba msaada tukufunze hapahapa bila malipo, gharama yako kuu ni intaneti tu.
Spike Lee,'
Kony hana tofauti na Osama bin Laden. Hawa ni watu wanaotumia dini kuendeleza ajenda zao. Dini gani inakushauri ukamate kwa nguvu binti za watu, kuwaingiza msituni na kuwabaka? Labda ungesema IRA kule Northern Ireland yale yalikuwa mapigano ya kidini ingawa tofauti zao zilikuwa za kisiasa zaidi.
 

Kama huu ndio upeo wa mchango wako basi pole sana.
Umekanusha nini?.Kumbe umekubali kuwa Prof.Haroub Othman alimfuata Nyerere kumshauri aandike historia yake.Kitu hicho hicho ndicho alichosema Mohammed.


Ami,

Asichojua Nyambala ni kuwa Prof. Haroub mimi ni ndugu yangu na
mazungumzo yetu hayakuwa na pazia hata kidogo.

Alipokuja kufahamu mchango wa Abdu Sykes katika kuunda TANU
alikuwa kama mtu aliyepagawa kwa kuwa alikuwa anajua hatari ya
habari ile na uzito wake.

Alikwenda kwa Ahmed Rashad Ali kuuliza zaidi.
Huko ndiko alipopata wazimu.

Mzee Rashad akamwambia mimi na Abdu tulikwenda pamoja kumuona
Kenyatta mwaka 1950.

Lakini kubwa lililomshtusha ni zile siasa za Nyerere, Kanisa na Waislam.
Vitu hivi vilimnyima raha sana.

Kuna mengi Ami mimi siwezi kuyasema kwani unasema na kubakiza.

Katika msiba wa Abdu Sykes watu wa protocal walimkalisha Nyerere jamvi
moja na Ahmed Rashad Ali na wakati wa kutoa sadaka ulipowadia Rashad
alikula pilau sinia moja na Nyerere mkono kwa mkono.
 
Darwin, zomba, Boko haram, Shijaf, Isalia, DULLAH MSAVIVOR, Achahasira, Tanzania Kwanza, Ritz, Ami, Spike Lee...ninayo matumaini kwamba mpaka sasa mtakuwa tayari mmepata majibu ya maswali yangu kutoka kwa Mwalimu wenu mtoa darsa Mohamed Said, tafadhalini yawekeni hapa wasomaji wafaidike nayo. Kwa faida ya wengi inanibidi nirudie ombi langu kama nilivolitoa kwenye posti No. 8591;

Kulingana na maelezo ya mtoa darsa Mohamed Said, Mwalimu Nyerere alikaribishwa Dar es Salaam na wazee wake mwaka 1953 na kuikuta TAA ikidunda chini ya uongozi shupavu wa Abdulwahid Sykes Raisi wake. Ingawa hana hakika ilichukua muda gani lakini katika muda mfupi baada ya kumfunda Mwalimu Nyerere na kumfundisha ustaarabu wakamkabidhi uongozi wa juu kabisa wa TAA! Miezi kumi na tano baadaye wazee hao hao wa Mohamed Said wakaiasisi TANU na kwa mara nyingine tena wakamkabidhi Mwalimu Nyerere awe Raisi wake wa kwanza...sasa nawaombeni akawape na darsa kuhusu maswali mawili tu;


  1. Kwa nini ilibidi iasisiwe TANU huku TAA tayari ilikuwepo?
  2. Kwa nini ilibidi Mwalimu Nyerere ndiye akabidhiwe uongozi?

Kwa mara nyingine nawaombeni twende tu taratibu tufaidike na ilmu kutoka kwa mwana historia, mtoa darsa na gwiji Mohamed Said
 
Darwin, zomba, Boko haram, Shijaf, Isalia, DULLAH MSAVIVOR, Achahasira, Tanzania Kwanza, Ritz, Ami, Spike Lee...ninayo matumaini kwamba mpaka sasa mtakuwa tayari mmepata majibu ya maswali yangu kutoka kwa Mwalimu wenu mtoa darsa Mohamed Said, tafadhalini yawekeni hapa wasomaji wafaidike nayo. Kwa faida ya wengi inanibidi nirudie ombi langu kama nilivolitoa kwenye posti No. 8591;

Kulingana na maelezo ya mtoa darsa Mohamed Said, Mwalimu Nyerere alikaribishwa Dar es Salaam na wazee wake mwaka 1953 na kuikuta TAA ikidunda chini ya uongozi shupavu wa Abdulwahid Sykes Raisi wake. Ingawa hana hakika ilichukua muda gani lakini katika muda mfupi baada ya kumfunda Mwalimu Nyerere na kumfundisha ustaarabu wakamkabidhi uongozi wa juu kabisa wa TAA! Miezi kumi na tano baadaye wazee hao hao wa Mohamed Said wakaiasisi TANU na kwa mara nyingine tena wakamkabidhi Mwalimu Nyerere awe Raisi wake wa kwanza...sasa nawaombeni akawape na darsa kuhusu maswali mawili tu;


  1. Kwa nini ilibidi iasisiwe TANU huku TAA tayari ilikuwepo?
  2. Kwa nini ilibidi Mwalimu Nyerere ndiye akabidhiwe uongozi?

Kwa mara nyingine nawaombeni twende tu taratibu tufaidike na ilmu kutoka kwa mwana historia, mtoa darsa na gwiji Mohamed Said

Mag3,

Ningekaa kimya lakini kwa kuwa umenitaja nitakujibu.

Huyo Abdu Sykes wala hakuwa mali kitu.
Si lolote si chochote na hiyo TAA yake.

TAA kilikuwa chama cha starehe cha wanywa kahawa
pale New Street.

Hatuna haja ya kupoteza muda wetu na wanywa kahawa.
 
Spike Lee,'
Kony hana tofauti na Osama bin Laden. Hawa ni watu wanaotumia dini kuendeleza ajenda zao. Dini gani inakushauri ukamate kwa nguvu binti za watu, kuwaingiza msituni na kuwabaka? Labda ungesema IRA kule Northern Ireland yale yalikuwa mapigano ya kidini ingawa tofauti zao zilikuwa za kisiasa zaidi.
Exactly!
 
Kitabu uandike wewe, mjadala uhusu kitabu hichohicho, mtuhumiwa ni wewe, kisha utetezi uutoe kwenye kitabu hichohicho halafu useme hujinukuu?

Inaingia akilini kweli mzee wangu wewe?
Sasa ulitaka iweje?.Kichwa cha habari ni Uchochezi wa Mohammed Said.................kuhusua kitabu alichoandika.Hiyo mada nayo yeye kakumbana nayo hapa JF wala hakukuomba uianzishe kama imekushinda sema.Yeye anachofanya ni kujitetea kwamba hicho kitabu hakina uchochezi.Itakuwaje umepewa paper ya Chemistry lakini majawabu yako yote ni BIology?.
Mohammed endelea kama hivyo sisi tunakusoma na tunawaona walivyopwaya.Eti wanakufundisha majibu!.
 
Mag3,

Ningekaa kimya lakini kwa kuwa umenitaja nitakujibu.

Huyo Abdu Sykes wala hakuwa mali kitu.
Si lolote si chochote na hiyo TAA yake.

TAA kilikuwa chama cha starehe cha wanywa kahawa
pale New Street.

Hatuna haja ya kupoteza muda wetu na wanywa kahawa.
punguza jazba mzee wetu, tupe darsa kidogo kwenye hayo maswali mawili tu ya babu Mag3
 
Last edited by a moderator:
Mag3,
Ningekaa kimya lakini kwa kuwa umenitaja nitakujibu.
Huyo Abdu Sykes wala hakuwa mali kitu.
Si lolote si chochote na hiyo TAA yake.
TAA kilikuwa chama cha starehe cha wanywa kahawa
pale New Street.
Hatuna haja ya kupoteza muda wetu na wanywa kahawa.
Wewe wanena, kumbuka 80,000 wanakusoma! Asante kwa majibu yako ila nina maswali mawili tu ya nyongeza;

  1. Kwa nini mtaa ule uliitwa New Street na ni mwaka gani ulipewa jina hilo?
  2. Je wakati huo wazulu, wanubi na manyema walikuwa wakiishi mtaa gani?
Nakuachia uwanja, endelea kutoa darsa...
 
Wewe wanena, kumbuka 80,000 wanakusoma! Asante kwa majibu yako ila nina maswali mawili tu ya nyongeza;

  1. Kwa nini mtaa ule uliitwa New Street na ni mwaka gani ulipewa jina hilo?
  2. Je wakati huo wazulu, wanubi na manyema walikuwa wakiishi mtaa gani?
Nakuachia uwanja, endelea kutoa darsa...

Mag3,

Kuhusu darsa.
Angalia hizo post nilizoweka leo.
 
Sasa ulitaka iweje?.Kichwa cha habari ni Uchochezi wa Mohammed Said.................kuhusua kitabu alichoandika.Hiyo mada nayo yeye kakumbana nayo hapa JF wala hakukuomba uianzishe kama imekushinda sema.Yeye anachofanya ni kujitetea kwamba hicho kitabu hakina uchochezi.Itakuwaje umepewa paper ya Chemistry lakini majawabu yako yote ni BIology?.
Mohammed endelea kama hivyo sisi tunakusoma na tunawaona walivyopwaya.Eti wanakufundisha majibu!.

Ami,

Wanasoma na wanafaidika hilo nina hakika.
Alhamdulilah.
 
Darwin, zomba, Boko haram, Shijaf, Isalia, DULLAH MSAVIVOR, Achahasira, Tanzania Kwanza, Ritz, Ami, Spike Lee...ninayo matumaini kwamba mpaka sasa mtakuwa tayari mmepata majibu ya maswali yangu kutoka kwa Mwalimu wenu mtoa darsa Mohamed Said, tafadhalini yawekeni hapa wasomaji wafaidike nayo. Kwa faida ya wengi inanibidi nirudie ombi langu kama nilivolitoa kwenye posti No. 8591;

Kulingana na maelezo ya mtoa darsa Mohamed Said, Mwalimu Nyerere alikaribishwa Dar es Salaam na wazee wake mwaka 1953 na kuikuta TAA ikidunda chini ya uongozi shupavu wa Abdulwahid Sykes Raisi wake. Ingawa hana hakika ilichukua muda gani lakini katika muda mfupi baada ya kumfunda Mwalimu Nyerere na kumfundisha ustaarabu wakamkabidhi uongozi wa juu kabisa wa TAA! Miezi kumi na tano baadaye wazee hao hao wa Mohamed Said wakaiasisi TANU na kwa mara nyingine tena wakamkabidhi Mwalimu Nyerere awe Raisi wake wa kwanza...sasa nawaombeni akawape na darsa kuhusu maswali mawili tu;


  1. Kwa nini ilibidi iasisiwe TANU huku TAA tayari ilikuwepo?
  2. Kwa nini ilibidi Mwalimu Nyerere ndiye akabidhiwe uongozi?

Kwa mara nyingine nawaombeni twende tu taratibu tufaidike na ilmu kutoka kwa mwana historia, mtoa darsa na gwiji Mohamed Said

mbona tayari hayo maswali umeshajibiwa au hukuyapenda kupewa uongozi nyerere sio tatizo, tatizo limekuja baada kupata uhuru akijitoa mshipa wa fahamu na kuwadharau wale waliomsaidi na kumpokea na kuwafanya maadui wake,kwa ustadi mkubwa mzee ms akaelezea ukweli ambao msioutaka nyinyi upande wa pili.
 
Ami,

Asichojua Nyambala ni kuwa Prof. Haroub mimi ni ndugu yangu na
mazungumzo yetu hayakuwa na pazia hata kidogo.

Alipokuja kufahamu mchango wa Abdu Sykes katika kuunda TANU
alikuwa kama mtu aliyepagawa kwa kuwa alikuwa anajua hatari ya
habari ile na uzito wake.

Alikwenda kwa Ahmed Rashad Ali kuuliza zaidi.
Huko ndiko alipopata wazimu.

Mzee Rashad akamwambia mimi na Abdu tuikwenda pamoja kumoona
Kenyatta mwaka 1950.

Lakini kubwa lililomshtusha ni zile siasa za Nyerere, Kanisa na Waislam.
Vitu hivi vilimnyima raha sana.

Kuna mengi Ami mimi siwezi kuyasema kwani unasema na kubakiza.

Katika msiba wa Abdu Sykes watu wa protocal walimkalisha Nyerere jamvi
moja na Ahmed Rashad Ali na wakati wa kutoa sadaka ulipowadia Rashad
alikula pilau sinia moja na Nyerere mkono kwa mkono.
Mimi nimependa hiyo darsa uliyotoa kwangu.Najua wengi watafaidika.Endelea kufanya kama hivyo kwa kila atakayenasa kuingia mjadala huu.Allah azidi kukupa afya njema ya kufanya kazi hii.Hata hivyo wale wajinga sana wasikuchoshe.Achana nao.
Huo mshangao alioupata profesa Haroub naufananisha na ule nilioupata mwenyewe nyumbani kijijini.Bibi yangu aliyekuwa akinilea na kufuatana naye kila pahala nilipokua kidogo nikaelezwa kuwa ni mchawi nilishtuka sana.Nilishtuka kwa sababu aliyenieleza hivyo alinipa na alama ambazo zote nilimkuta bibi anazo pale ndani.
 
HAPA mtu mzima Mohamed Said ana "smell rat" anaogopa kujipiga kitanzi-swali limeenda shule,majibu yake hapa yanaweza kuja pangua mengi,heri akae kimya-kwa lugha ya chandimu hapa tunasema kawekwa "mtu kati"



  1. Kwa nini mtaa ule uliitwa New Street na ni mwaka gani ulipewa jina hilo?
  2. Je wakati huo wazulu, wanubi na manyema walikuwa wakiishi mtaa gani?
 
Last edited by a moderator:
HAPA mtu mzima Mohamed Said ana "smell rat" anaogopa kujipiga kitanzi-swali limeenda shule,majibu yake hapa yanaweza kuja pangua mengi,heri akae kimya-kwa lugha ya chandimu hapa tunasema kawekwa "mtu kati"



  1. Kwa nini mtaa ule uliitwa New Street na ni mwaka gani ulipewa jina hilo?
  2. Je wakati huo wazulu, wanubi na manyema walikuwa wakiishi mtaa gani?

Son...

Una maana ''smell a rat.''
Yaani nimegutuka.

Kaka hunijui.
 
HAPA mtu mzima Mohamed Said ana "smell rat" anaogopa kujipiga kitanzi-swali limeenda shule,majibu yake hapa yanaweza kuja pangua mengi,heri akae kimya-kwa lugha ya chandimu hapa tunasema kawekwa "mtu kati"



  1. Kwa nini mtaa ule uliitwa New Street na ni mwaka gani ulipewa jina hilo?
  2. Je wakati huo wazulu, wanubi na manyema walikuwa wakiishi mtaa gani?
Son of Alaska, huyu mwalimu wa Spike Lee na wenzake angekuwa hakwepi maswali huu mjadala haungefika hapa ulipofikia ila subiri atakavyojaribu kukwepa au "spin" atakazozileta! Hata hivyo nampa hint kidogo tu kuhusu miaka hiyo;

  • Wazaramo ambao idadi yao ilikuwa kubwa, makazi yao ya nyumba za makuti yalikuwa nje kidogo ya City Center kama Buguruni, Tabata na Ubungo.
  • Washomvi waliweka makazi yao Kunduchi na Msasani.
  • Wasukuma waliweka makazi Msasani na Magogoni.
  • Wanyamwezi (idadi yao pia haikuwa ndogo) makazi yao yalikuwa Kindondoni na Bonde la Msimbazi.
  • Wangoni walijikita Keko na Kijitonyama.
Swali langu kwa Mohamed Said ni kuwa wazee wake (wazulu na Manyema) makazi yao yalikuwa wapi? Hapa naongelea mara tu baada ya Tanganyika kutwaliwa na Uingereza kwenye 1920s. Sasa namwomba asiwanyime wanafunzi wake akina Spike Lee fursa ya kufyonza ilmu, awaambie wazee wake waliishi mitaa ipi...hilo tu. Tukumbuke kuwa idadi ya wakaazi wote wa Dar es Salaam wakati huo ilikuwa haifiki 20,000!
 
Back
Top Bottom